Zaburi 106 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 106:1-48

Zaburi 106

Wema Wa Bwana Kwa Watu Wake

1106:1 Ezr 3:11; Za 63:7; 22:23; 103:2; 119:68; 136:1-26; Yer 33:11; Mt 19:17Msifuni Bwana.

Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema;

upendo wake wadumu milele.

2106:2 Za 40:5; 71:16Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya Bwana

au kutangaza kikamilifu sifa zake?

3106:3 Yer 22:15, 16; Mt 22:37; Za 15:2; 112:5; Hos 12:6Heri wale wanaodumisha haki,

ambao daima wanafanya yaliyo mema.

4106:4 Za 25:6-7; 77:7; Mwa 50:24Ee Bwana, unikumbuke unapowatendea mema watu wako,

uwe msaada wangu unapowaokoa,

5106:5 Kum 30:15; Za 1:3; 105:6; 20:5; 27:5; 47:5; 118:15; Kut 34:9ili niweze kufurahia mafanikio ya wateule wako,

niweze kushiriki katika furaha ya taifa lako,

na kuungana na urithi wako katika kukusifu.

6106:6 1Fal 8:47; Neh 1:7; Dan 9:5; Rum 3:9; 2Nya 30:7; Law 26:40Tumetenda dhambi, kama vile baba zetu walivyotenda,

tumekosa na tumetenda uovu.

7106:7 Amu 3:7; Za 78:42; Kut 14:11, 12Wakati baba zetu walipokuwa Misri,

hawakuzingatia maajabu yako,

wala hawakukumbuka wingi wa fadhili zako,

bali waliasi kando ya bahari, Bahari ya Shamu.

8106:8 Kut 9:16; 14:30-31; Za 80:3; 107:13; 23:3; 143:11; Isa 25:9; Yoe 2:32; Yos 7:9; Yer 14:7, 21Hata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,

ili apate kudhihirisha uweza wake mkuu.

9106:9 Nah 1:4; Isa 50:3; 63:11-14; Kut 14:21; Za 18:15; 78:13Alikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka,

akawaongoza katika vilindi vyake kama vile jangwani.

10106:10 Kut 14:30; Za 107:13; 78:42, 53; Isa 35:9; 62:12Aliwaokoa mikononi mwa adui;

kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.

11106:11 Kut 14:28Maji yaliwafunika adui zao,

hakunusurika hata mmoja.

12106:12 Kut 15:1-21; Za 105:43Ndipo walipoamini ahadi zake,

nao wakaimba sifa zake.

13106:13 Kut 15:24; 16:28; Hes 27:21Lakini mara walisahau aliyowatendea,

wala hawakungojea shauri lake.

14106:14 1Kor 10:9; Kut 17:2; Za 78:40; 68:7Jangwani walitawaliwa na tamaa zao,

walimjaribu Mungu nyikani.

15106:15 Isa 10:16; Hes 11:33; Kut 16:13; Za 78:29Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba,

lakini akatuma juu yao ugonjwa wa kudhoofisha.

16106:16 Hes 16:1-3Kambini walimwonea wivu Mose,

na pia Aroni aliyekuwa amewekwa wakfu kwa Bwana.

17106:17 Kum 11:6; 15:12; Hes 16:1Ardhi ilifunguka ikawameza Dathani,

ikawazika Abiramu na kundi lake.

18106:18 Law 10:2Moto uliwaka katikati ya wafuasi wao,

mwali wa moto uliwateketeza waovu.

19106:19 Kut 32:4; Mdo 7:41Huko Horebu walitengeneza ndama,

na kuabudu sanamu ya kusubu kwa chuma.

20106:20 Yer 2:11; Rum 1:23Waliubadilisha Utukufu wao

kwa sanamu ya fahali, ambaye hula majani.

21106:21 Za 78:11; 75:1; Kum 10:21Walimsahau Mungu aliyewaokoa,

aliyekuwa ametenda mambo makuu huko Misri,

22106:22 Za 78:51; Kut 3:20; Kum 4:34miujiza katika nchi ya Hamu

na mambo ya kutisha huko Bahari ya Shamu.

23106:23 Kut 32:10-14; Hes 11:2; Eze 13:5; 20:13; Kum 9:19Kwa hiyo alisema kwamba angewaangamiza:

kama Mose mteule wake,

asingesimama kati yao na Mungu

kuizuia ghadhabu yake kuwaangamiza.

24106:24 Ebr 3:18; Yer 3:19; Hes 14:11, 30, 31; Kum 8:7Kisha waliidharau ile nchi nzuri,

hawakuiamini ahadi yake.

25106:25 Kut 15:24; Kum 1:27; 1Kor 10:10Walinungʼunika ndani ya mahema yao,

wala hawakumtii Bwana.

26106:26 Hes 14:23; Ebr 4:3; 3:17; Kum 2:14Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa

kwamba atawafanya waanguke jangwani,

27106:27 Law 26:33kuwatawanya wazao wao waanguke miongoni mwa mataifa,

na kuwatawanya katika nchi zote.

28106:28 Hes 23:28; 25:2, 3; Kum 4:3; Hos 9:10; Ufu 2:14Walijifunga nira na Baali wa Peori,

wakala dhabihu zilizotolewa kwa miungu isiyo na uhai.

29106:29 Za 64:2; 141:4; Hes 16:46; 25:3, 8Waliichochea hasira ya Bwana,

wakamkasirisha kwa matendo yao maovu,

nayo tauni ikazuka katikati yao.

30106:30 Kut 6:25; Hes 25:8Lakini Finehasi alisimama na kuingilia kati,

nayo tauni ikazuiliwa.

31106:31 Mwa 15:6; Za 49:11; Hes 15:11-13Hili likahesabiwa kwake haki,

kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.

32106:32 Kum 1:37; Kut 17:7; Hes 20:2-13Kwenye maji ya Meriba, walimkasirisha Bwana,

janga likampata Mose kwa sababu yao;

33106:33 Kut 17:4-7; 23:21; Yak 3:2; Isa 63:10; Za 107:11; 51:11; Hes 20:8-12kwa maana walimwasi Roho wa Mungu,

na maneno yasiyofaa yakatoka midomoni kwa Mose.

34106:34 Amu 1:21, 27-36; 2:2; Yos 9:15; Kum 2:34; 7:2, 16; 20:10; Kut 23:24Hawakuyaangamiza yale mataifa

kama Bwana alivyowaagiza,

35106:35 Amu 3:5, 6; Ezr 9:1, 2bali walijichanganya na mataifa

na wakazikubali desturi zao.

36106:36 Kut 10:7; 23:33; Amu 2:12; 2Fal 17:8-11; 2Nya 33:2-7; Kum 7:10, 16Waliabudu sanamu zao,

zikawa mtego kwao.

37106:37 Isa 57:5; Kut 10:7; 22:20; Law 18:21; Kum 32:17; 12:31; 7:16; 1Kor 10:20; Eze 16:20-21Wakawatoa wana wao

na binti zao dhabihu kwa mashetani.

38106:38 2Fal 3:27; Hes 35:33; Law 18:21; Kum 18:10Walimwaga damu isiyo na hatia,

damu za wana wao na binti zao,

ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani,

nayo nchi ikanajisika kwa damu zao.

39106:39 Mwa 3:17; Law 18:24; Eze 20:18; Hes 15:39Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda;

kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba.

40106:40 Law 26:28; Kut 34:9; 9:29Kwa hiyo Bwana akawakasirikia watu wake

na akauchukia sana urithi wake.

41106:41 Amu 2:14; Neh 9:27Akawakabidhi kwa mataifa

na adui zao wakawatawala.

42106:42 Amu 4:3Adui zao wakawaonea

na kuwatia chini ya mamlaka yao.

43106:43 Amu 7:1-25; 2:16-19; 6:1-7; Yos 10:14; Neh 9:28Mara nyingi aliwaokoa

lakini walikuwa wamezama kwenye uasi,

nao wakajiharibu katika dhambi zao.

44106:44 Amu 3:9; 10:10Lakini akaangalia mateso yao

wakati aliposikia kilio chao;

45106:45 Mwa 9:15; Lk 1:72; Za 105:8; 103:11; 17:7; Law 26:41; Mao 3:32; Kut 32:14kwa ajili yao akakumbuka agano lake,

na kutokana na upendo wake mkuu akapooza hasira yake.

46106:46 1Nya 16:8; Mt 19:17; 2Nya 5:13; 7:3Akawafanya wahurumiwe

na wote waliowashikilia mateka.

47106:47 Za 147:2; 105:1; 30:4; 99:3; 28:9; 107:3; Isa 11:12; 27:13; 56:8; 66:20; Yer 31:8; Lk 1:74; Eze 20:34; Mik 4:6; 2Kor 5:15Ee Bwana Mungu wetu, tuokoe.

Tukusanye tena kutoka kwa mataifa,

ili tuweze kulishukuru jina lako takatifu,

na kushangilia katika sifa zako.

48106:48 Za 41:13; 72:19Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli,

tangu milele na hata milele.

Watu wote na waseme, “Amen!”

Msifuni Bwana.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 106:1-48

106

1ハレルヤ。

主の恵み深さを感謝します。

その愛は、いつまでも変わることがありません。

2栄光に輝く主の奇跡を、

一つ残らず書き留めることのできる人が

いるでしょうか。

だれが、あなたを十分に賛美し尽くせましょう。

3公平と正義と思いやりとを身につけている人々には、

幸福が訪れます。

4ああ主よ。

あなたの民に祝福と救いを注がれるとき、

私にも目を留めてください。

5この身をも、選ばれた民の繁栄にあずからせ、

彼らと同じ喜びに浸り、

ご栄光を共に味わわせてください。

6私たちも先祖と同じように、

はなはだしく悪の道にそれました。

7私たちの先祖はエジプトで、

あれほどの奇跡を目撃しながら、感動することもなく、

たちまち数々の恵みを忘れてしまいました。

それどころか、紅海のほとりで、

神に逆らったのです。

8しかし、そんな人々をも、主はお救いになりました。

それは、ご自身の名誉を守り、

お力を全世界に知らせるためでした。

9神が紅海に命じると、海は二つに裂け、

まるで荒野のように乾ききった、

一本の道ができたのです。

10こうして、主は人々を敵の手から救い出し、

11そののちすぐに水を元に戻して、

敵を一人残らずおぼれさせました。

12ここまで来て、ようやく先祖たちは神を信じ、

堅く閉じていた口を開いて、賛美の歌を歌いました。

13しかし、たちまち元に戻ってしまったのです。

彼らは神を無視して行動し、

14もっとおいしいものを食べたいと注文をつけました。

こうして、もはや赦しを頂くことができない時点まで、

神の忍耐を試したのです。

15主は欲しがるものをお与えになりましたが、

彼らの心を空虚になさいました。

16人々は、モーセと、主が祭司に任命したアロンを

ねたんだのです。

17そのため、大地は口をあけてダタンとアビラムと、

アビラムの友人たちをのみ込みました。

18しかも、天から降って来た火は、

悪者どもを焼き尽くしたのです。

19-20それは、彼らが栄光に輝く神より、

草を食べる牛の像を選んだことへの罰でした。

21-22エジプトと紅海のほとりで

大きな奇跡をなさった神の顔に、

彼らは泥を塗ったのです。

23神は、

人々を滅ぼそうとなさいましたが、

選ばれた人モーセが間に入ってとりなしました。

怒りを静め、人々を滅ぼさないでほしいと

神に嘆願したのです。

24彼らは、神の祝福の約束を信じず、

約束の地に入ることを拒みました。

25おのおのの天幕で口をとがらせ、嘆き悲しみ、

主の命令を全く無視したのです。

26そこで主は、彼らを荒野で殺し、

27その子孫を遠い国へ追い散らすことになさったのです。

28そのあと私たちの先祖は、

ペオルでのバアル礼拝に加わり、

死人にまでいけにえをささげました。

29こうして、神の怒りは極限に達し、

恐ろしい災いが下りました。

30ピネハスが、災いを引き起こした張本人たちを

処刑すると、神の罰は収まりました。

31このピネハスの適切な処置は歴史に残ることでしょう。

32イスラエルはメリバでも主を怒らせ、

モーセを窮地に追い込みました。

33そのため怒りに燃えたモーセは、

思わず軽率なことを口にしてしまったのです。

34イスラエルの民は、主の命令に逆らい、

カナンに住む外国人を滅ぼさなかったばかりか、

35いっしょになって悪の道に励みました。

36その地の偶像にいけにえをささげ、

神には目もくれませんでした。

37-38彼らは、

わが子をカナンの偶像の悪霊にささげることまで行い、

罪のない者の血を流し、国土を汚したのです。

39偶像を愛することは、

神の目から見れば姦淫の罪であり、

自分自身を汚すことになりました。

40主の怒りは激しく燃え上がり、

神は彼らを嫌悪なさいました。

41-42そのためイスラエルは、

外国人に踏みにじられるようになったのです。

彼らは敵に支配され、抑圧されました。

43主はそのような奴隷状態から、

彼らを何度お救いくださったことでしょう。

しかし人々は、反抗的な態度を続け、

自らの罪ゆえに自滅していったのです。

44それでもなお、主はその叫びを聞き、

その苦境を思いやってくださいました。

45愛の主は、以前の約束を思い出してあわれみ、

46敵でさえ、捕虜となったイスラエル人を

あわれむように配慮してくださいました。

47ああ神である主よ、お救いください。

各地に散らされた人々を再び集めてください。

私たちは、躍り上がって喜び、

感謝と賛美をささげたいのです。

48イスラエルの神である主は、

永遠から永遠まで賛美を受けるにふさわしいお方です。

人々が口々に、「アーメン」と言いますように。

ハレルヤ。