Zaburi 105
Uaminifu Wa Mungu Kwa Israeli
(1 Nyakati 16:8-22)
1105:1 1Nya 16:34; Za 80:18; 99:6; 116:13; Yoe 2:32; Mdo 2:21; Isa 12:4Mshukuruni Bwana, liitieni jina lake,
wajulisheni mataifa yale aliyoyatenda.
2105:2 Za 30:4; 146:2; 33:3; 96:1; 7:17; 18:49; 27:6; 59:17; 71:22; 75:1Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa,
waambieni matendo yake yote ya ajabu.
3105:3 Za 89:16Lishangilieni jina lake takatifu,
mioyo ya wale wamtafutao Bwana na ifurahi.
4105:4 Za 24:6; 27:8Mtafuteni Bwana na nguvu zake,
utafuteni uso wake siku zote.
5105:5 Za 40:5; Kum 7:18; 8:2Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya,
miujiza yake na hukumu alizozitamka,
6105:6 Za 105:42; Kum 10:15; Za 106:5enyi wazao wa Abrahamu mtumishi wake,
enyi wana wa Yakobo, wateule wake.
7105:7 Isa 26:8Yeye ndiye Bwana Mungu wetu,
hukumu zake zimo duniani pote.
8105:8 Mwa 9:15; Za 106:45; 111:5; Eze 16:60; Lk 1:72Hulikumbuka agano lake milele,
neno ambalo aliamuru, kwa vizazi elfu,
9105:9 Mwa 22:16-18; 15:18; Ebr 6:17; Lk 1:73; 17:2; 12:7; Gal 3:15-18; Dan 9:4agano alilolifanya na Abrahamu,
kiapo alichomwapia Isaki.
10105:10 Mwa 28:13-15; Isa 55:3Alilithibitisha kwa Yakobo kuwa amri,
kwa Israeli liwe agano la milele:
11105:11 Mwa 12:7; Hes 34:2“Nitakupa wewe nchi ya Kanaani
kuwa sehemu utakayoirithi.”
12105:12 Kum 7:7; Ebr 11:9; Mwa 17:8; 23:4; 34:30Walipokuwa wachache kwa idadi,
wachache sana na wageni ndani yake,
13105:13 Mwa 15:13-16; Hes 32:13; 33:3-49walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine,
kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.
14105:14 Mwa 35:5; 12:17-20; 20:3; Za 9:5Hakuruhusu mtu yeyote awaonee;
kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:
15105:15 Mwa 26:11; 20:7; 1Sam 12:3“Msiwaguse niliowatia mafuta;
msiwadhuru manabii wangu.”
16105:16 Isa 3:1; Law 26:26; Mwa 12:10; 41:54; 2Fal 8:1; Eze 4:16Akaiita njaa juu ya nchi
na kuharibu chakula chao chote,
17105:17 Mwa 45:5; 37:28; Mdo 7:9naye akatuma mtu mbele yao,
Yosefu, aliyeuzwa kama mtumwa.
18105:18 Mwa 40:15Walichubua miguu yake kwa minyororo,
shingo yake ilifungwa kwa chuma,
19105:19 Mwa 12:10; 41:40; 40:20-21hadi yale aliyotangulia kusema yalipotimia,
hadi neno la Bwana lilipomthibitisha.
20105:20 Mwa 41:14Mfalme alituma watu wakamfungua,
mtawala wa watu alimwachia huru.
21Alimfanya mkuu wa nyumba yake,
mtawala juu ya vyote alivyokuwa navyo,
22105:22 Mwa 41:43-44; 41:40kuwaelekeza wakuu wa mfalme apendavyo
na kuwafundisha wazee wake hekima.
23105:23 Mdo 7:15; 13:17; Mwa 46:6; 47:28; Za 78:51Kisha Israeli akaingia Misri,
Yakobo akaishi kama mgeni katika nchi ya Hamu.
24105:24 Kut 1:7; Kum 26:7; Mdo 7:17Bwana aliwafanya watu wake kuzaana sana,
akawafanya kuwa wengi sana kuliko adui zao,
25105:25 Kut 4:21; 1:6-10; Mdo 7:19ndiye aliigeuza mioyo yao iwachukie watu wake,
wakatenda hila dhidi ya watumishi wake.
26105:26 Kut 3:10; 4:16; Hes 33:1; 16:5; 17:5-8Akamtuma Mose mtumishi wake,
pamoja na Aroni, aliyemchagua.
27105:27 Za 105:28-37; Kut 7:8; 12:51; 4:17; 10:1; 3:20; Dan 4:3Walifanya ishara zake za ajabu miongoni mwao,
miujiza yake katika nchi ya Hamu.
28105:28 Mwa 1:4; Za 99:7; Kut 10:22; 7:22Alituma giza na nchi ikajaa giza,
kwani si walikuwa wameyaasi maneno yake?
29105:29 Za 78:44; Kut 7:21Aligeuza maji yao kuwa damu,
ikasababisha samaki wao kufa.
30105:30 Kut 8:2, 6Nchi yao ilijaa vyura tele, ambao waliingia
hadi kwenye vyumba vya kulala vya watawala wao.
31105:31 Za 78:45; 107:25; 148:8; Kut 8:16-18; 8:21-24Alisema, yakaja makundi ya mainzi,
na viroboto katika nchi yao yote.
32105:32 Kut 9:22-25; Ay 38:22; Za 78:47Alibadilisha mvua yao ikawa mvua ya mawe,
yenye umeme wa radi nchini yao yote,
33105:33 Za 78:47; Kut 10:5, 12akaharibu mizabibu yao na miti ya tini,
na akaangamiza miti ya nchi yao.
34105:34 Za 107:25; Kut 10:4, 12-15; 1Fal 8:27; Yoe 1:6Alisema, nzige wakaja,
tunutu wasio na idadi,
35wakala kila jani katika nchi yao,
wakala mazao ya ardhi yao.
36105:36 Kut 4:23; 12:12Kisha akawaua wazaliwa wote wa kwanza katika nchi yao,
matunda ya kwanza ya ujana wao wote.
37105:37 Kut 3:21, 22Akawatoa Israeli katika nchi
wakiwa na fedha na dhahabu nyingi,
wala hakuna hata mmoja
kutoka kabila zao aliyejikwaa.
38105:38 Kut 15:16Misri ilifurahi walipoondoka,
kwa sababu hofu ya Israeli ilikuwa imewaangukia.
39105:39 Kut 13:21; 1Kor 10:1; Za 78:14; Neh 9:12Alitandaza wingu kama kifuniko,
na moto kuwamulikia usiku.
40105:40 Za 78:18; Kut 16:4; Yn 6:31; Kut 16:12Waliomba, naye akawaletea kware,
akawashibisha kwa mkate wa mbinguni.
41105:41 Hes 20:11; 1Kor 10:4; Kut 17:6; Neh 9:15; Isa 48:21Alipasua mwamba, maji yakabubujika,
yakatiririka jangwani kama mto.
42105:42 Mwa 15:1-4, 13-16; 13:14-17Kwa maana alikumbuka ahadi yake takatifu,
aliyompa Abrahamu mtumishi wake.
43105:43 Kut 15:1-19; Za 106:12Aliwatoa watu wake kwa furaha,
wateule wake kwa kelele za shangwe,
44105:44 Kum 6:10-11; Za 106:12akawapa nchi za mataifa, wakawa warithi
wa mali wengine walikuwa wameitaabikia:
45105:45 Kum 6:14-21; 4:1, 40; Za 105:35; 78:5-7alifanya haya ili wayashike mausia yake
na kuzitii sheria zake.
Msifuni Bwana.105:45 Msifuni Bwana kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.
105
1主のなさるすばらしいことの一つ一つに感謝し、
諸国の民に伝えなさい。
2賛美の歌を歌い、
会う人ごとにその奇跡を告げ知らせなさい。
3主を拝む人々は、その名を誇り、喜びなさい。
4常に主を求め、御力を慕い続けなさい。
5-6主がどれほど大きいことをしてくださったか、
考えてみなさい。
それは、私たちが主のしもべアブラハムと
ヤコブの子孫であり、選ばれた民だからです。
さあ、どのようにして敵を滅ぼしていただいたか、
思い起こしなさい。
7私たちの神の恵みは、国中の至る所で明らかです。
8-9たとえ、何千年を経たのちでも、
主は約束を忘れず、
アブラハムやイサクと結んだ契約を
守られます。
10-11そして、この契約をヤコブに再確認されました。
「カナンの地を相続させよう」という、
イスラエルへの約束です。
12このころはまだ、
イスラエルはほんの一にぎりの民族で、
カナンの寄留民にすぎませんでした。
13彼らは国々に散らされ、
国から国へと放浪したこともありました。
14しかし、そんな時でも、主の許しなしには、
だれも彼らを攻撃することはできなかったのです。
彼らを攻撃しようとする多くの王が滅ぼされました。
15神の警告が響き渡りました。
「わたしの選んだ者にさわるな。
わたしの預言者に害を加えるな。」
16主がカナンの地にききんを呼び寄せられると、
食糧が底をつきました。
17一方、ご自分の民を飢えから救うため、
ヨセフを奴隷としてエジプトに送られました。
18ところがヨセフは牢獄につながれ、
足かせや鉄の首輪をかけられたのです。
19神の時がくるまで、
ヨセフは忍耐を試されました。
20彼はついに、王によって自由の身とされ、
21王室の全財産の管理を任されました。
22ヨセフは、思いどおりに王の補佐官を投獄したり、
側近を教育したりできる身分となったのです。
23そののち、ヤコブもエジプトを訪れて、
息子たちとともに住みつくことになりました。
24それ以後、イスラエルの民は増え、
支配者たちを脅かす大民族とまでなったのです。
25このころ神は、
エジプト人をイスラエルの敵と変え、
イスラエルは奴隷にされました。
26しかし、主はご自分の代理として、
モーセをアロンとともに派遣なさいました。
27エジプトに、恐ろしいみわざを行うためです。
28主からの指図を受けて、
この二人は国中を暗闇で覆い、
29あの大河を血に変え、
魚を死滅させました。
30また、おびただしいかえるが現れ、
王の部屋に侵入しました。
31モーセのひと言で、
あぶやぶよが、雲が立ちこめるように、
エジプト全土を覆いました。
32主は、雨の代わりに、
人の頭を打ち砕く雹をお降らせになりました。
また、いなずまの先に、
エジプトの民は震え上がりました。
33ぶどうといちじくの木は全滅し、
木という木の幹は、ことごとく裂けたのです。
34また、主のひと声で、いなごの大群が襲来し、
35青いものを跡形なく食い尽くし、
穀物をすべて食い荒らしました。
36続いて、主は
エジプト人の全家庭の長男を、
その家の誇りである長男を打たれました。
37一方、ご自分の民には、
銀と金をふんだんに持たせて、
エジプトを脱出させてくださいました。
その時、一行の中からは、
体の弱い者や病人は一人も出ませんでした。
38エジプトは彼らを
非常に恐れるようになっていたので、
彼らが出て行くことを喜びました。
39主は雲の幕を広げて、
彼らを焼けつく日ざしから守り、
夜には火の柱を立てて、明かりとされました。
40人々が肉を欲しがると、空からうずらを降らせ、
天からパンであるマナを
お与えになりました。
41主が岩を裂かれると、水がほとばしり出て、
乾いた地を潤す川となりました。
42主は、しもべアブラハムへの約束を
覚えておられたのです。
43こうして、選ばれた民イスラエルは、
意気揚々と約束の地に入りました。
44主が、麦の穂の波打つ他民族の地を
与えてくださったので、
彼らは他人が育てた穀物を食べました。
45これは、かれらが主のおきてを
忠実に守るようになるためでした。
ハレルヤ。