Yeremia 41 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 41:1-18

141:1 Yer 40:8; Lk 22:21; Za 41:9Katika mwezi wa saba Ishmaeli mwana wa Nethania mwana wa Elishama, aliyekuwa wa uzao wa mfalme na pia alikuwa mmoja wa maafisa wa mfalme, akaja pamoja na watu kumi kwa Gedalia mwana wa Ahikamu huko Mispa. Walipokuwa wakila pamoja huko, 241:2 Za 41:9; Yer 40:5; 2Sam 3:27; Rum 3:15; Yos 11:10; Ebr 11:37; 2Sam 20:9-10; Yer 40:8Ishmaeli mwana wa Nethania pamoja na wale watu kumi waliokuwa pamoja naye waliinuka na kumuua Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani kwa upanga, wakamuua yule ambaye mfalme wa Babeli alikuwa amemteua awe mtawala wa nchi. 3Ishmaeli akawaua pia Wayahudi wote waliokuwa na Gedalia huko Mispa, pamoja na askari wa Kikaldayo waliokuwa huko.

4Siku moja baada ya kuuawa kwa siri kwa Gedalia, kabla mtu yeyote hajafahamu jambo hilo, 541:5 Law 19:27; Yer 48:37; Mwa 12:6; 1Fal 16:24; 3:2; Isa 15:2; Yer 47:5; Hes 16:40; Amu 9:1-57; Mk 14:63watu themanini waliokuwa wamenyoa ndevu zao, waliorarua nguo zao na kujikatakata walikuja kutoka Shekemu, Shilo na Samaria wakileta sadaka za nafaka na uvumba katika nyumba ya Bwana. 641:6 2Sam 5:16; Ufu 20:10; Hos 7:11; Za 5:9Ishmaeli mwana wa Nethania akaondoka Mispa ili kwenda kuwalaki, huku akilia alipokuwa akienda. Alipokutana nao, akasema, “Karibuni kwa Gedalia mwana wa Ahikamu.” 741:7 Mwa 27:24; 2Fal 10:14Walipoingia mjini, Ishmaeli mwana wa Nethania na wale watu waliokuwa pamoja naye wakawachinja na kuwatupa ndani ya kisima. 841:8 Isa 45:3Lakini watu kumi miongoni mwao wakamwambia Ishmaeli, “Sisi usituue! Tuna ngano na shayiri, mafuta na asali, vilivyofichwa katika shamba.” Kwa hiyo akawaacha na hakuwaua pamoja na wale wengine. 941:9 1Fal 15:22; 2Nya 16:6; Amu 6:2; Yos 10:16-18Basi kile kisima ambacho alitupa zile maiti za watu aliowaua pamoja na Gedalia kilikuwa ni kile kisima ambacho Mfalme Asa alikifanya sehemu ya ulinzi wake dhidi ya Baasha mfalme wa Israeli. Ishmaeli mwana wa Nethania akakijaza kisima hicho kwa maiti.

1041:10 Yer 40:7, 12-14; Neh 2:10, 19Ishmaeli akawafanya mateka watu wote ambao Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme alikuwa amewaacha huko Mispa na kumweka Gedalia mwana wa Ahikamu juu yao: walikuwa binti za mfalme pamoja na watu wote aliokuwa amewaacha huko. Ishmaeli mwana wa Nethania akawachukua mateka na kuondoka nao, akavuka kwenda kwa Waamoni.

1141:11 Yer 40:8-13Yohanani mwana wa Karea na maafisa wote wa jeshi waliokuwa pamoja naye waliposikia juu ya uhalifu wote ambao Ishmaeli mwana wa Nethania alikuwa ameufanya, 1241:12 2Sam 2:13; Yn 9:7; Kut 14:14; Yn 18:36; Yos 9:3waliwachukua watu wao wote kwenda kupigana na Ishmaeli mwana wa Nethania. Wakakutana naye karibu na bwawa kubwa huko Gibeoni. 13Ikawa watu wote waliokuwa na Ishmaeli walipomwona Yohanani mwana wa Karea pamoja na maafisa wa jeshi waliokuwa pamoja naye, wakafurahi. 14Watu wote ambao Ishmaeli alikuwa amewachukua mateka huko Mispa wakageuka na kumfuata Yohanani mwana wa Karea. 1541:15 Yos 21:30; Mit 28; 17; 1Sam 30:17Lakini Ishmaeli mwana wa Nethania pamoja na watu wake wanane wakamtoroka Yohanani na kukimbilia kwa Waamoni.

Kukimbilia Misri

1641:16 Yer 42:1; 43:2-4; Eze 7:16; 14:22; Sef 2:9Ndipo Yohanani mwana wa Karea pamoja na maafisa wote wa jeshi waliokuwa pamoja naye wakawaongoza wote walionusurika kutoka Mispa, ambao walipona kutoka mikononi mwa Ishmaeli mwana wa Nethania baada yake kumuua Gedalia mwana wa Ahikamu: walikuwa askari, wanawake, watoto na matowashi aliowaleta kutoka Gibeoni. 1741:17 2Sam 19:37; Yer 42:14; Mwa 35:19; Mik 5:2Kisha wakaenda mbele na kutua Geruth-Kimhamu karibu na Bethlehemu wakiwa njiani kwenda Misri 1841:18 Hes 14:9; Lk 12:4-5; Yer 40:5; Isa 5:12; Yer 42:16; 2Fal 25:22ili kuwatoroka Wakaldayo. Waliwaogopa kwa sababu Ishmaeli mwana wa Nethania alikuwa amemuua Gedalia mwana wa Ahikamu, ambaye alikuwa amewekwa na mfalme wa Babeli kuwa mtawala wa nchi.

Swedish Contemporary Bible

Jeremia 41:1-18

1Men i sjunde månaden kom Ismael, Netanjas son och Elishamas sonson, som var av kunglig släkt och en av hovmännen, med tio män till Gedalja, Achikams son, i Mispa. Medan de åt tillsammans 2reste sig Ismael, Netanjas son, och hans tio män, drog sina svärd och dödade Gedalja, son till Achikam och sonson till Shafan, han som den babyloniske kungen satt över landet. 3Sedan dödade Ismael också alla judar som var hos Gedalja i Mispa, samt de kaldeiska soldater som befann sig där.

4Dagen efter mordet på Gedalja, innan någon ännu visste om det, 5kom åttio män från Shekem, Shilo och Samaria. De hade rakat av sig skägget, rivit sönder sina kläder och ristat sig. De hade med sig matoffer och rökelse, som de skulle bära fram i Herrens hus. 6Ismael, Netanjas son, gick ut från Mispa för att möta dem och grät medan han gick. När han mötte dem sa han: ”Kom med till Gedalja, Achikams son!”

7När de hade kommit in i staden, dödade Ismael, Netanjas son, och hans män dem och kastade dem i en brunn. 8Men bland dem var tio män som sa till Ismael: ”Döda oss inte, för ute på fältet har vi gömt undan vete, korn, olja och honung.” Då lät han bli att döda dem med de övriga. 9Brunnen, som Ismael hade kastat de mäns kroppar i som han dödat förutom Gedalja, var den brunn som kung Asa hade låtit göra i försvar mot Basha, Israels kung. Den fyllde nu Ismael, Netanjas son, med de döda.

10Ismael tog till fånga allt folk som var kvar i Mispa, kungadöttrarna och allt annat folk som var kvar där och som Nebusaradan, befälhavaren för livgardet, hade anförtrott åt Gedalja, Achikams son. Ismael, Netanjas son, tillfångatog dem och drog bort för att gå över till ammoniterna.

11Men när Jochanan, Kareachs son, och de andra arméofficerarna som var med honom fick höra om allt det onda Ismael, Netanjas son, hade gjort, 12tog de alla sina män och gav sig iväg för att strida mot Ismael, Netanjas son. De fick tag i honom vid den stora dammen i Givon. 13När allt folket Ismael hade med sig såg Jochanan, Kareachs son, och de andra arméofficerarna, blev de glada. 14Allt folk som Ismael hade tagit till fånga från Mispa vände sig och gick över till Jochanan, Kareachs son. 15Men Ismael, Netanjas son, flydde undan Jochanan med åtta av sina män och tog sig till ammoniterna.

Flykten till Egypten, som Jeremia varnar för

16Jochanan, Kareachs son, och arméofficerarna som var med honom, tog med sig resten av folket, alla som Ismael, Netanjas son, hade fört bort från Mispa som fångar efter att ha mördat Gedalja, Achikams son: soldater, kvinnor, barn och hovmän som han hade hämtat tillbaka från Givon. 17De gav sig av och stannade i Gerut41:17 Gerut kan även tolkas som härbärge, värdshus. Kimham i närheten av Betlehem, för att sedan fortsätta vidare till Egypten 18undan kaldéerna. De var rädda för dem, eftersom Ismael, Netanjas son, hade dödat Gedalja, Achikams son, som kungen av Babylonien hade satt över landet.