1 Sura hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22. 11:1 Isa 47:7-8; Ezr 4:20; Eze 5:5; Isa 3:26; Yer 42:2; Law 26:43; Mao 1:9Tazama jinsi mji ulivyoachwa ukiwa,
mji ambao zamani ulikuwa umejaa watu!
Jinsi ambavyo umekuwa kama mama mjane,
ambaye wakati fulani alikuwa maarufu miongoni mwa mataifa!
Yule ambaye alikuwa malkia miongoni mwa majimbo
sasa amekuwa mtumwa.
21:2 Za 6:6; Yer 4:30; Mik 7:5; Yer 30:14; 13:17; Mao 1:16; Ay 7:3Kwa uchungu, hulia sana usiku,
machozi yapo kwenye mashavu yake.
Miongoni mwa wapenzi wake wote
hakuna yeyote wa kumfariji.
Rafiki zake wote wamemsaliti,
wamekuwa adui zake.
31:3 Yer 13:19; Kum 28:64-65; Kut 15:9; Law 26:14, 32, 33Baada ya mateso na kufanyishwa kazi kikatili,
Yuda amekwenda uhamishoni.
Anakaa miongoni mwa mataifa,
hapati mahali pa kupumzika.
Wote ambao wanamsaka wamemkamata
katikati ya dhiki yake.
41:4 Isa 27:10; Yer 9:11; Yoe 1:8-13Barabara zielekeazo Sayuni zaomboleza,
kwa kuwa hakuna yeyote anayekuja
kwenye sikukuu zake zilizoamriwa.
Malango yake yote yamekuwa ukiwa,
makuhani wake wanalia kwa uchungu,
wanawali wake wanahuzunika,
naye yuko katika uchungu wa maumivu makuu.
51:5 Isa 22:5; Yer 10:20; 39:9; 30:14; Mao 3:39; Yer 30:15; 52:28-30; Za 5:10; Mao 2:17Adui zake wamekuwa mabwana zake,
watesi wake wana raha.
Bwana amemletea huzuni
kwa sababu ya dhambi zake nyingi.
Watoto wake wamekwenda uhamishoni,
mateka mbele ya adui.
61:6 Yer 13:18; Za 9:14; Law 26:36Fahari yote imeondoka
kutoka kwa Binti Sayuni.
Wakuu wake wako kama ayala
ambaye hapati malisho,
katika udhaifu wamekimbia
mbele ya anayewasaka.
71:7 2Fal 14:26; Yer 37:7; Mik 4:11; Mao 4:17; Yer 2:26Katika siku za mateso yake na kutangatanga,
Yerusalemu hukumbuka hazina zote
ambazo zilikuwa zake siku za kale.
Wakati watu wake walipoanguka katika mikono ya adui,
hapakuwepo na yeyote wa kumsaidia.
Watesi wake walimtazama
na kumcheka katika maangamizi yake.
81:8 Isa 59:2-13; Za 38:8; Yer 13:22-26; 2:22Yerusalemu ametenda dhambi sana
kwa hiyo amekuwa najisi.
Wote waliomheshimu wanamdharau,
kwa maana wameuona uchi wake.
Yeye mwenyewe anapiga kite
na kugeukia mbali.
91:9 Isa 47:7; Eze 24:13; Yer 13:18; Mhu 4:1; Yer 16:7; Za 25:18; Kum 32:29Uchafu wake umegandamana na nguo zake;
hakuwaza juu ya maisha yake ya baadaye.
Anguko lake lilikuwa la kushangaza,
hapakuwepo na yeyote wa kumfariji.
“Tazama, Ee Bwana, teso langu,
kwa maana adui ameshinda.”
101:10 Neh 13:1; Kum 23:3; Yer 51:51; Isa 64:11; Za 74:7-8Adui ametia mikono
juu ya hazina zake zote,
aliona mataifa ya kipagani
wakiingia mahali patakatifu pake,
wale uliowakataza kuingia
kwenye kusanyiko lako.
111:11 Za 38:8; Yer 38:9; 37:21; 52:6Watu wake wote wanalia kwa uchungu
watafutapo chakula;
wanabadilisha hazina zao kwa chakula
ili waweze kuendelea kuishi.
“Tazama, Ee Bwana, ufikiri,
kwa maana nimedharauliwa.”
121:12 Yer 18:16; Isa 10:4; Yer 30:24; Dan 9:12; Isa 13:13; Mit 24:21; Lk 21:22“Je, si kitu kwenu, ninyi nyote mpitao kando?
Angalieni kote mwone.
Je, kuna maumivu kama maumivu yangu
yale yaliyotiwa juu yangu,
yale Bwana aliyoyaleta juu yangu
katika siku ya hasira yake kali?
131:13 Ay 30:30; Za 102:3; Hab 3:16; Yer 44:6; Eze 12:13; Ay 18:8; Za 66:11; Hos 7:12“Kutoka juu alipeleka moto,
akaushusha katika mifupa yangu.
Aliitandia wavu miguu yangu
na akanirudisha nyuma.
Akanifanya mkiwa,
na mdhaifu mchana kutwa.
141:14 Isa 47:6; Yer 15:12; 32:5“Dhambi zangu zimefungwa kwenye nira,
kwa mikono yake zilifumwa pamoja.
Zimefika shingoni mwangu
na Bwana ameziondoa nguvu zangu.
Amenitia mikononi mwa wale
ambao siwezi kushindana nao.
151:15 Yer 37:10; Isa 41:2; 28:1; Yer 18:21; Ufu 14:19; Yer 14:17; Amu 6:11; Isa 63:3“Bwana amewakataa wapiganaji wa vita
wote walio kati yangu,
ameagiza jeshi dhidi yangu
kuwaponda vijana wangu wa kiume.
Katika shinikizo lake la divai Bwana amemkanyaga
Bikira Binti Yuda.
161:16 Za 119:136; Ay 7:3; Yer 16:7; 13:17; 14:17; Isa 22:4; Mao 3:48-49“Hii ndiyo sababu ninalia
na macho yangu yanafurika machozi.
Hakuna yeyote aliye karibu kunifariji,
hakuna yeyote wa kuhuisha roho yangu.
Watoto wangu ni wakiwa
kwa sababu adui ameshinda.”
171:17 Yer 4:31; Kut 23:21; Law 18:25-28Sayuni ananyoosha mikono yake,
lakini hakuna yeyote wa kumfariji.
Bwana ametoa amri kwa ajili ya Yakobo
kwamba majirani zake wawe adui zake;
Yerusalemu umekuwa
kitu najisi miongoni mwao.
181:18 1Sam 12:14; Kum 28:32; Neh 9:33; Ezr 9:15; Kut 9:27; Dan 9:7“Bwana ni mwenye haki,
hata hivyo niliasi dhidi ya amri yake.
Sikilizeni, enyi mataifa yote,
tazameni maumivu yangu.
Wavulana wangu na wasichana wangu
wamekwenda uhamishoni.
191:19 Mao 2:20; Yer 14:15; 22:20“Niliita washirika wangu
lakini walinisaliti.
Makuhani wangu na wazee wangu
waliangamia mjini
walipokuwa wakitafuta chakula
ili waweze kuishi.
201:20 Yer 4:19; Kum 32:25; Eze 7:15; Ay 20:2; Mao 2:11; Isa 16:11; Hos 11:8“Angalia, Ee Bwana, jinsi nilivyo katika dhiki!
Nina maumivu makali ndani yangu,
nami ninahangaika moyoni mwangu,
kwa kuwa nimekuwa mwasi sana.
Huko nje, upanga unaua watu,
ndani, kipo kifo tu.
211:21 Za 38:8; Mao 2:15; Yer 30:16; Isa 47:11; Za 6:6“Watu wamesikia ninavyolia kwa uchungu,
lakini hakuna yeyote wa kunifariji.
Adui zangu wote wamesikia juu ya dhiki yangu,
wanafurahia lile ulilolitenda.
Naomba uilete siku uliyoitangaza
ili wawe kama mimi.
221:22 Neh 4:5; Za 6:6“Uovu wao wote na uje mbele zako;
uwashughulikie wao
kama vile ulivyonishughulikia mimi
kwa sababu ya dhambi zangu zote.
Kulia kwangu kwa uchungu ni kwingi
na moyo wangu umedhoofika.”
Första klagosången över Jerusalem1:0 1:1 Kap. 1—4 består av sånger där varje vers börjar i turordning med en bokstav ur det hebreiska alfabetets 22 bokstäver, i kap. 3 tredubblat. Femte och sista sången avviker från mönstret och utgör en bön. Städer, i Klagovisorna Jerusalem, presenteras ofta i poetiska texter i femininform.
1Se, så övergiven hon sitter,
den folkrika staden!
Som en änka har hon blivit,
hon som var så stor bland folken.
Ländernas drottning
har blivit en slavinna.
2Hon gråter bittert i natten,
hennes kinder blir våta av tårar.
Bland alla vänner som älskade henne
finns nu ingen som tröstar henne.
Alla har svikit henne
och blivit hennes fiender.
3Juda har förts bort i landsflykt
efter förnedring och hård slavtjänst.
Nu bor hon bland andra folk
och finner ingen ro.
Alla hennes förföljare hann ifatt henne,
och ingen flyktväg fanns.
4Vägarna till Sion sörjer,
för ingen kommer till högtiderna.
Alla hennes stadsportar är övergivna.
Hennes präster suckar,
och hennes unga kvinnor jämrar sig,
själv sörjer hon bittert.
5Hennes ovänner har tagit makten,
hennes fiender är trygga.
Herren har straffat henne
för hennes många synder,
hennes barn har drivits bort i fångenskap,
bortförda av fienden.
6Sion har förlorat all sin prakt.
Hennes furstar är som hjortar
som inte funnit bete,
kraftlösa tvingades de fly
undan sina förföljare.
7I sin misär och hemlöshet
minns Jerusalem alla de skatter
som hon ägde
i gångna tider.
När hennes folk föll i fiendens hand
kom ingen till hennes hjälp.
Motståndarna såg på henne
och skrattade åt hennes undergång.
8Jerusalem har begått svåra synder
och därför orenat sig.
Alla de som ärat henne
föraktar henne nu
när de ser henne naken.
Hon suckar och vänder sig bort.
9Orenhet fläckar hennes kläder.
Ett sådant slut hade hon aldrig tänkt sig.
Hon har sjunkit ofattbart djupt,
och ingen finns som tröstar henne.
”Herre, se mitt elände,
fienden triumferar!”
10Motståndaren har räckt ut sin hand
efter alla hennes skatter.
Hon har sett främmande folk
träda in i hennes helgedom,
de som du hade förbjudit
att komma in i din församling.
11Hela hennes folk suckar
och letar efter bröd.
De byter sina skatter mot mat
för att hålla sig vid liv.
”Se, Herre,
se hur föraktad jag är!”
12”Betyder detta ingenting för er,1:12 Grundtextens innebörd är osäker.
alla ni som passerar här längs vägen?
Se, och tänk efter, om ni någonsin sett en plåga
som är lik den som kommit över mig,
den som Herren har låtit drabba mig
på sin brinnande vredes dag.
13Han har sänt en eld från höjden,
skickat ner den ända in i mitt innersta.
Han har brett ut ett nät för mina fötter,
vänt sig bort från mig
och lämnat mig övergiven,
sjuk och svag dagen lång.
14Till ett ok har mina synder vävts samman,
hans hand knöt ihop dem
och lade dem över min nacke.
Han har tagit all min kraft ifrån mig
och överlämnat mig åt dem
som jag inte kan stå emot.
15Herren har förkastat
alla kämpar som förr fanns hos mig.
Han har kallat samman en armé mot mig
för att krossa mina unga män.
Som i en vinpress har Herren trampat
jungfrun, dottern Juda.
16Därför gråter jag,
tårarna strömmar från mina ögon.
Långt borta från mig är den som kunde trösta
och ge mig ny livslust.
Mina barn är utblottade,
för min fiende har tagit över.”
17Sion sträcker ut sina händer,
men ingen tröstar henne.
Herren har uppbådat
alla Jakobs grannfolk som hans fiender.
Jerusalem har blivit
som något orent bland dem.
18”Herren är rättfärdig,
för jag var upprorisk mot hans bud.
Lyssna nu, alla folk,
och se min plåga!
Mina unga kvinnor och män
har förts bort i fångenskap.
19Jag kallade på mina älskare,
men de svek mig.
Mina präster och äldste
gick under i staden
medan de letade efter något att äta
för att hålla sig vid liv.
20Herre, se, jag är i nöd!
Mitt inre är i uppror,
mitt hjärta vänder sig inom mig,
så upprorisk som jag varit.
Ute har svärdet gjort mig barnlös,
och inomhus finns bara död.
21Man hör hur jag suckar,
men ingen finns som tröstar mig.
Alla mina fiender har hört om min olycka
och gläds över att du har gjort så här.
Den dag som du förkunnat har du låtit komma,
men för dem ska det gå som för mig.
22Låt all deras ondska komma inför dig,
och gör med dem
så som du har gjort med mig
för alla mina synders skull.
Mina suckar är många
och mitt hjärta är tungt.”