Yeremia 37 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 37:1-21

Yeremia Gerezani

137:1 2Fal 14:17; 1Nya 3:16; Eze 17:13; 2Nya 36:10; 24:8, 12; Yer 22:24Sedekia mwana wa Yosia akafanywa kuwa mfalme wa Yuda na Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye akatawala mahali pa Yehoyakini37:1 Yehoyakini ni jina jingine la Yekonia au Konia. mwana wa Yehoyakimu. 237:2 2Fal 24:19; 2Nya 36:12-14; Mit 29:12Lakini sio Sedekia, wala watumishi wake, wala watu wa nchi walisikiliza maneno ya Bwana aliyonena kupitia kwa nabii Yeremia.

337:3 2Fal 25:18; Yer 52:24; Hes 21:7; 1Sam 12:19; Yer 38:14; Kut 8:28; 1Fal 13:6Hata hivyo, Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali mwana wa Shelemia, pamoja na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwa nabii Yeremia na ujumbe huu: “Tafadhali utuombee kwa Bwana, Mungu wetu.”

437:4 Yer 32:2Wakati huu Yeremia alikuwa huru kuingia na kutoka katikati ya watu, kwa sababu alikuwa bado hajatiwa gerezani. 537:5 Mwa 15; 18; Yer 34:21; 31:1; Isa 30:5; 2Fal 24:7; Eze 17:15Jeshi la Farao lilikuwa limetoka Misri, nao Wakaldayo waliokuwa wameuzunguka Yerusalemu kwa majeshi waliposikia taarifa kuhusu jeshi hilo walijiondoa Yerusalemu.

6Ndipo neno la Bwana likamjia nabii Yeremia kusema: 737:7 Mwa 25:22; 2Fal 22:18; 18:21; Yer 2:12; 36; Mao 4:17“Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: Mwambie mfalme wa Yuda aliyekutuma uniulize mimi, ‘Jeshi la Farao lililotoka kuja kukusaidia litarudi katika nchi yake yenyewe, yaani Misri. 837:8 Yer 21:10; 39; 8; Mit 21:30; Yer 38:3, 8Kisha Wakaldayo watarudi na kushambulia mji huu, watauteka na kuuchoma moto.’

937:9 Yer 29:8; Mk 13:5“Hili ndilo Bwana asemalo: Msijidanganye wenyewe mkifikiri, ‘Hakika Wakaldayo watatuacha na kwenda zao.’ Hakika hawatawaacha! 1037:10 Law 26:36-38; Isa 30:17; Yer 21:4-5, 10Hata kama mngelishinda jeshi lote la Wakaldayo linalowashambulia ninyi, na wakawa ni watu waliojeruhiwa tu waliobaki kwenye mahema yao, wangetoka na kuuchoma mji huu moto.”

11Baada ya jeshi la Wakaldayo kujiondoa kutoka Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Farao, 1237:12 Yer 32:9Yeremia akaanza kuondoka mjini ili kwenda nchi ya Benyamini ili akapate sehemu yake ya milki miongoni mwa watu huko. 1337:13 Yer 20:2; 21:9Lakini alipofika kwenye Lango la Benyamini, mkuu wa walinzi, ambaye jina lake lilikuwa Iriya mwana wa Shelemia mwana wa Hanania, akamkamata Yeremia na kusema, “Wewe unakwenda kujiunga na Wakaldayo!”

1437:14 Isa 58:6; Yer 40:4Yeremia akasema, “Hiyo si kweli, mimi sijiungi na Wakaldayo.” Lakini Iriya hakumsikiliza; badala yake, akamkamata Yeremia na kumpeleka kwa maafisa. 1537:15 Yer 20:2; 38:26; Ebr 11:36; Mdo 5:40; 12:6; 1Fal 22:27Wakamkasirikia Yeremia, wakaamuru apigwe, na akafungwa katika nyumba ya Yonathani mwandishi waliyokuwa wameifanya gereza.

16Yeremia akawekwa kwenye chumba kilichofukuliwa chini, kilichojengwa kwa zege ndani ya gereza chini ya ngome, akakaa huko kwa muda mrefu. 1737:17 Yer 15:11; 38:16; 21:7; Mwa 25:22Kisha Mfalme Sedekia akatumana aletwe katika jumba la kifalme, mahali alipomuuliza kwa siri, “Je, kuna neno lolote kutoka kwa Bwana?”

Yeremia akajibu, “Ndiyo, utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli.”

1837:18 1Sam 16:18; Yn 10:32; Mdo 25:8Kisha Yeremia akamwambia Mfalme Sedekia, “Nimefanya kosa gani dhidi yako na maafisa wako au watu hawa, hata ukanitia gerezani? 1937:19 Yer 14:13; Eze 13:2Wako wapi manabii wako waliokutabiria wakisema, ‘Mfalme wa Babeli hatakushambulia wewe wala nchi hii?’ 20Lakini sasa, bwana wangu mfalme, tafadhali sikiliza. Niruhusu nilete maombi yangu mbele yako, usinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, nisije nikafia humo.”

2137:21 Law 26:26; 2Kor 4; 6; Isa 33:16; 2Fal 25:3; Yer 52:6; 39:13-14Ndipo Mfalme Sedekia akatoa maagizo Yeremia awekwe katika ua wa walinzi, na apewe mkate kutoka mitaa ya waokaji kila siku mpaka mikate yote katika mji itakapokwisha. Kwa hiyo Yeremia akabaki katika ua wa walinzi.

Swedish Contemporary Bible

Jeremia 37:1-21

Jeremia fängslas

1Sidkia, Josias son, blev kung i stället för Konja, Jojakims son. Nebukadnessar, kungen av Babylonien, utsåg honom till kung i Juda land. 2Men varken han, hans hov eller folket i landet lyssnade till vad Herren talade genom profeten Jeremia.

3Ändå skickade kung Sidkia Jukal, Shelemjas son, och prästen Sefanja, Maasejas son, till profeten Jeremia med uppmaningen: ”Be för oss till Herren, vår Gud!” 4Jeremia fick röra sig fritt, för han hade då ännu inte blivit fängslad. 5Faraos armé hade tågat ut från Egypten, och när kaldéerna som belägrade Jerusalem fick höra rapporten om dem, drog de sig bort från Jerusalem.

6Då kom Herrens ord till profeten Jeremia: 7”Så säger Herren, Israels Gud: Svara kungen av Juda, som skickade er för att fråga mig: ’Faraos armé, som var på väg att undsätta er, ska vända tillbaka hem till Egypten. 8Kaldéerna kommer tillbaka för att anfalla denna stad och bränna ner den till grunden.’

9Så säger Herren: Låt inte lura er att tro att kaldéerna ska ge sig i väg för gott, för det ska de inte. 10Även om ni lyckades slå hela den kaldeiska armén som strider mot er, så att det bara blev några sårade män kvar i sina tält, så skulle de resa sig och bränna ner denna stad.”

11När den kaldeiska armén dragit sig tillbaka från Jerusalem på grund av faraos armé, 12ville Jeremia lämna Jerusalem för att gå till Benjamins land och ta i anspråk sin egendom bland folket där.37:12 I versens senare hälft är grundtextens innebörd osäker. 13Men när han kom till Benjaminporten blev han gripen av ett vaktbefäl, som hette Jiria och var son till Shelemja och sonson till Hananja. Denne sa: ”Du tänker gå över till kaldéerna!”

14”Det är inte sant”, svarade Jeremia. ”Jag vill inte gå över till kaldéerna.” Men Jiria ville inte höra på honom, utan grep honom och förde honom till furstarna. 15Furstarna blev rasande på Jeremia, piskade honom och satte honom i arrest i sekreteraren Jonatans hus, som hade byggts om till fängelse. 16Jeremia hamnade så i en fängelsehåla, i valven, och där fick han stanna länge.

17Men sedan skickade kung Sidkia bud efter honom och lät föra honom till sitt palats. I enrum frågade han honom om det kommit något budskap från Herren. ”Ja”, svarade Jeremia. ”Du ska överlämnas åt den babyloniske kungen.”

18Sedan frågade Jeremia kung Sidkia: ”På vilket sätt har jag syndat mot dig eller mot dina tjänare eller mot detta folk, eftersom ni har satt mig i fängelse? 19Var är nu era profeter som profeterade för er att kungen av Babylonien inte skulle anfalla er eller detta land? 20Hör mig nu, min herre och min kung! Jag vädjar till dig, skicka inte tillbaka mig till sekreteraren Jonatans hus, för då kommer jag att dö där.”

21Då befallde kung Sidkia att Jeremia skulle sättas i förvar på vaktgården. Man gav honom en brödkaka från bagarnas gata varje dag, så länge det fanns något bröd kvar i staden. Så blev Jeremia kvar på vaktgården.