Marafiki
16:1 Wim 1:8; 5:6Mpenzi wako amekwenda wapi,
ewe mzuri kupita wanawake wote?
Mpenzi wako amegeukia njia ipi,
tupate kumtafuta pamoja nawe?
Mpendwa
26:2 Sef 3:17; Isa 40:11; Wim 4:12; 5:13; 5:6Mpenzi wangu amekwenda bustanini mwake,
kwenye vitalu vya vikolezo,
kujilisha bustanini
na kukusanya yungiyungi.
36:3 Wim 7:10; 2:16Mimi ni wake mpenzi wangu,
na mpenzi wangu ni wangu;
yeye hujilisha katikati ya yungiyungi.
Shairi La Tano
Mpenzi
46:4 2Kor 10:4; 1Fal 15:33; Yos 12; 24; Za 48:2; Hes 1:52; Za 50:2Wewe ni mzuri, mpenzi wangu, kama Tirsa,
upendezaye kama Yerusalemu,
umetukuka kama jeshi lenye bendera.
5Uyageuze macho yako mbali nami,
yananigharikisha.
Nywele zako ni kama kundi la mbuzi
wanaoteremka kutoka Gileadi.
6Meno yako ni kama kundi la kondoo
watokao kuogeshwa.
Kila mmoja ana pacha lake,
hakuna hata mmoja aliye peke yake.
76:7 Mwa 24:65; Wim 4:3Mashavu yako nyuma ya shela yako
ni kama vipande viwili vya komamanga.
86:8 Za 45:9; Mwa 22:24; Es 2:14Panaweza kuwepo malkia sitini,
masuria themanini
na mabikira wasiohesabika;
96:9 Wim 1:15; 5:2; 3:4lakini hua wangu, mkamilifu wangu,
ni wa namna ya pekee,
binti pekee kwa mama yake,
kipenzi cha yeye aliyemzaa.
Wanawali walimwona na kumwita aliyebarikiwa;
malkia na masuria walimsifu.
Marafiki
10Ni nani huyu atokeaye kama mapambazuko,
mzuri kama mwezi, mwangavu kama jua,
ametukuka kama nyota zifuatanazo?
Mpenzi
116:11 Wim 7:12Niliteremka kwenye bustani ya miti ya milozi
ili kutazama machipuko ya bondeni,
kuona kama mizabibu imechipua
au kama mikomamanga imechanua maua.
12Kabla sijangʼamua,
shauku yangu iliniweka
katikati ya magari ya kifalme ya kukokotwa na farasi ya watu wangu.
Marafiki
136:13 Kut 15:20Rudi, rudi, ee Mshulami;
rudi, rudi ili tupate kukutazama!
Mpenzi
Kwa nini kumtazama Mshulami,
kama kutazama ngoma ya Mahanaimu?6:13 Mahanaimu hapa ina maana ya majeshi mawili.
Friends
1Where has your beloved gone,
most beautiful of women?
Which way did your beloved turn,
that we may look for him with you?
She
2My beloved has gone down to his garden,
to the beds of spices,
to browse in the gardens
and to gather lilies.
3I am my beloved’s and my beloved is mine;
he browses among the lilies.
He
4You are as beautiful as Tirzah, my darling,
as lovely as Jerusalem,
as majestic as troops with banners.
5Turn your eyes from me;
they overwhelm me.
Your hair is like a flock of goats
descending from Gilead.
6Your teeth are like a flock of sheep
coming up from the washing.
Each has its twin,
not one of them is missing.
7Your temples behind your veil
are like the halves of a pomegranate.
8Sixty queens there may be,
and eighty concubines,
and virgins beyond number;
9but my dove, my perfect one, is unique,
the only daughter of her mother,
the favourite of the one who bore her.
The young women saw her and called her blessed;
the queens and concubines praised her.
Friends
10Who is this that appears like the dawn,
fair as the moon, bright as the sun,
majestic as the stars in procession?
He
11I went down to the grove of nut trees
to look at the new growth in the valley,
to see if the vines had budded
or the pomegranates were in bloom.
12Before I realised it,
my desire set me among the royal chariots of my people.6:12 Or among the chariots of Amminadab; or among the chariots of the people of the prince
Friends
13Come back, come back, O Shulammite;
come back, come back, that we may gaze on you!
He
Why would you gaze on the Shulammite
as on the dance of Mahanaim?6:13 In Hebrew texts this verse (6:13) is numbered 7:1.