Wimbo 6 – NEN & NIVUK

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wimbo 6:1-13

Marafiki

16:1 Wim 1:8; 5:6Mpenzi wako amekwenda wapi,

ewe mzuri kupita wanawake wote?

Mpenzi wako amegeukia njia ipi,

tupate kumtafuta pamoja nawe?

Mpendwa

26:2 Sef 3:17; Isa 40:11; Wim 4:12; 5:13; 5:6Mpenzi wangu amekwenda bustanini mwake,

kwenye vitalu vya vikolezo,

kujilisha bustanini

na kukusanya yungiyungi.

36:3 Wim 7:10; 2:16Mimi ni wake mpenzi wangu,

na mpenzi wangu ni wangu;

yeye hujilisha katikati ya yungiyungi.

Shairi La Tano

Mpenzi

46:4 2Kor 10:4; 1Fal 15:33; Yos 12; 24; Za 48:2; Hes 1:52; Za 50:2Wewe ni mzuri, mpenzi wangu, kama Tirsa,

upendezaye kama Yerusalemu,

umetukuka kama jeshi lenye bendera.

5Uyageuze macho yako mbali nami,

yananigharikisha.

Nywele zako ni kama kundi la mbuzi

wanaoteremka kutoka Gileadi.

6Meno yako ni kama kundi la kondoo

watokao kuogeshwa.

Kila mmoja ana pacha lake,

hakuna hata mmoja aliye peke yake.

76:7 Mwa 24:65; Wim 4:3Mashavu yako nyuma ya shela yako

ni kama vipande viwili vya komamanga.

86:8 Za 45:9; Mwa 22:24; Es 2:14Panaweza kuwepo malkia sitini,

masuria themanini

na mabikira wasiohesabika;

96:9 Wim 1:15; 5:2; 3:4lakini hua wangu, mkamilifu wangu,

ni wa namna ya pekee,

binti pekee kwa mama yake,

kipenzi cha yeye aliyemzaa.

Wanawali walimwona na kumwita aliyebarikiwa;

malkia na masuria walimsifu.

Marafiki

10Ni nani huyu atokeaye kama mapambazuko,

mzuri kama mwezi, mwangavu kama jua,

ametukuka kama nyota zifuatanazo?

Mpenzi

116:11 Wim 7:12Niliteremka kwenye bustani ya miti ya milozi

ili kutazama machipuko ya bondeni,

kuona kama mizabibu imechipua

au kama mikomamanga imechanua maua.

12Kabla sijangʼamua,

shauku yangu iliniweka

katikati ya magari ya kifalme ya kukokotwa na farasi ya watu wangu.

Marafiki

136:13 Kut 15:20Rudi, rudi, ee Mshulami;

rudi, rudi ili tupate kukutazama!

Mpenzi

Kwa nini kumtazama Mshulami,

kama kutazama ngoma ya Mahanaimu?6:13 Mahanaimu hapa ina maana ya majeshi mawili.

New International Version – UK

Song of Songs 6:1-13

Friends

1Where has your beloved gone,

most beautiful of women?

Which way did your beloved turn,

that we may look for him with you?

She

2My beloved has gone down to his garden,

to the beds of spices,

to browse in the gardens

and to gather lilies.

3I am my beloved’s and my beloved is mine;

he browses among the lilies.

He

4You are as beautiful as Tirzah, my darling,

as lovely as Jerusalem,

as majestic as troops with banners.

5Turn your eyes from me;

they overwhelm me.

Your hair is like a flock of goats

descending from Gilead.

6Your teeth are like a flock of sheep

coming up from the washing.

Each has its twin,

not one of them is missing.

7Your temples behind your veil

are like the halves of a pomegranate.

8Sixty queens there may be,

and eighty concubines,

and virgins beyond number;

9but my dove, my perfect one, is unique,

the only daughter of her mother,

the favourite of the one who bore her.

The young women saw her and called her blessed;

the queens and concubines praised her.

Friends

10Who is this that appears like the dawn,

fair as the moon, bright as the sun,

majestic as the stars in procession?

He

11I went down to the grove of nut trees

to look at the new growth in the valley,

to see if the vines had budded

or the pomegranates were in bloom.

12Before I realised it,

my desire set me among the royal chariots of my people.6:12 Or among the chariots of Amminadab; or among the chariots of the people of the prince

Friends

13Come back, come back, O Shulammite;

come back, come back, that we may gaze on you!

He

Why would you gaze on the Shulammite

as on the dance of Mahanaim?6:13 In Hebrew texts this verse (6:13) is numbered 7:1.