Walawi 12 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 12:1-8

Utakaso Baada Ya Kuzaa Mtoto

1Bwana akamwambia Mose, 212:2 Law 15:19; 18:19; Isa 64:6; Eze 18:6; 22:10; 36:17“Waambie Waisraeli: ‘Mwanamke ambaye atapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada kwa siku saba, kama anavyokuwa najisi wakati wa siku zake za hedhi. 312:3 Kut 22:30; Mwa 17:10-12; Lk 1:59; 2:21; 2:2; Yn 7:22-23Mvulana atatahiriwa siku ya nane. 4Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri kwa siku thelathini na tatu, ndipo atakaswe kutoka damu kwake. Hataruhusiwa kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kuingia mahali patakatifu, mpaka siku za kutakaswa kwake zimetimia. 5Kama akimzaa mtoto wa kike, mwanamke huyo atakuwa najisi kwa majuma mawili, kama wakati wake wa hedhi. Kisha atasubiri kwa siku sitini na sita, ndipo atatakaswa kutoka damu kwake.

612:6 Lk 2:22; Kut 29:38; Law 5:7; 23:12; Hes 6:12-14; 7:15; Ufu 5:6-8; 7:14“ ‘Siku zake za utakaso kwa ajili ya mwana au binti zitakapotimia, mwanamke huyo atamletea kuhani kwenye ingilio la Hema la Kukutania mwana-kondoo mwenye umri wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au hua kwa ajili ya sadaka ya dhambi. 712:7 Ebr 9:9-28; 10:1-12Atavitoa mbele za Bwana ili kufanya upatanisho kwa ajili yake, na kisha atakuwa safi kwa desturi ya ibada kutokana na kutokwa damu kwake.

“ ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya mwanamke atakayezaa mtoto wa kiume au wa kike. 812:8 Mwa 15:9; Law 4:26; 14:22; 5:7; Lk 2:22-24; Law 4:26; 2Kor 8:9Kama huyo mwanamke hana uwezo wa kumpata mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa, moja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Kwa njia hii, kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’ ”

Bibelen på hverdagsdansk

3. Mosebog 12:1-8

Regler for renselse efter en fødsel

1Herren befalede Moses at give Israels folk følgende instrukser:

2„Efter at en kvinde har født en dreng, skal hun regnes for uren i syv dage ligesom under hendes menstruation. 3Når drengen er en uge gammel, skal han omskæres. 4Derefter har moderen en periode på 33 dage, hvor hun ikke må røre noget, som er helligt, og hun må ikke gå hen til åbenbaringsteltet.

5En kvinde, der føder en pige, skal regnes for uren ligesom under hendes menstruation, men dobbelt så længe, altså i 14 dage. Og derefter må hun ikke komme i nærheden af noget helligt i 66 dage.

6Følgende regler gælder, hvad enten barnet er en dreng eller en pige: Når perioden på de 40 eller 80 dage efter fødslen er overstået, skal moderen tage et etårs lam som brændoffer og en ung due eller en turteldue som syndoffer og bringe dem til præsten ved indgangen til åbenbaringsteltet. 7Han skal så ofre dem til Herren som forsoning, og derefter er hun fuldstændig renset efter sin fødsel.

8Men hvis kvinden er fattig og ikke har råd til at ofre et lam, skal hun bringe to turtelduer eller to unge duer. Den ene due skal bruges til brændofferet og den anden til syndofferet.”