Walawi 11 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 11:1-47

Vyakula Najisi Na Visivyo Najisi

(Kumbukumbu 14:3-21)

1Bwana akawaambia Mose na Aroni, 211:2 Mdo 10:12-14; Kum 14:4; Eze 4:4; Mt 15:11; Rum 14:2; 1Kor 8:8; Kol 2:16; Ebr 9:10“Waambieni Waisraeli: ‘Kati ya wanyama wote waishio juu ya nchi, hawa ndio mtakaowala: 3Mwaweza kula mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika sehemu mbili na ambaye hucheua.

4“ ‘Kuna wanyama wengine ambao hucheua tu au wenye kwato zilizogawanyika tu, lakini hao kamwe msiwale. Ngamia ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; kwa kawaida ya ibada hiyo ni najisi kwenu. 5Pelele ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu. 611:6 1Tim 4:4-5Sungura ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu. 711:7 Isa 65:4; 66:3, 17Naye nguruwe ingawa anazo kwato zilizogawanyika sehemu mbili, hacheui; huyo ni najisi kwenu. 811:8 Isa 52:11; Law 5:2; Ebr 9:10; Mt 15:11, 20; Mdo 10:14-15; 15:29; Rum 14:14-17; 1Kor 8:8Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu.

9“ ‘Kuhusu viumbe wote wanaoishi ndani ya maji ya bahari na vijito, mtakula wale wote wenye mapezi na magamba. 1011:10 Law 7:18; Kum 14:3Lakini viumbe wote ndani ya bahari au vijito wasio na mapezi na magamba, wakiwa miongoni mwa makundi au viumbe wote ndani ya maji, hao ni machukizo kwenu. 1111:11 Law 5:2Nao watakuwa machukizo kwenu. Msile nyama yao, nayo mizoga yao itakuwa machukizo. 12Chochote kinachoishi ndani ya maji ambacho hakina mapezi na magamba kitakuwa chukizo kwenu.

1311:13 Kum 14:12; Rum 14:1-23“ ‘Wafuatao ndio ndege watakaokuwa machukizo kwenu, hivyo msiwale kwa sababu ni chukizo: tai, furukombe, kipungu, 1411:14 Mwa 1:11mwewe mwekundu, aina zote za mwewe mweusi, 1511:15 Mwa 8:7aina zote za kunguru, 16mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga, shakwe, aina zote za kipanga, 17bundi, mnandi, bundi mkubwa, 1811:18 Isa 13:21; 14:23; 34:11-14; Sef 2:14mumbi, mwari, nderi, 1911:19 Zek 5:9; Mwa 1:11; Isa 2:20korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.

2011:20 Mdo 10:14; 11:22; Mt 3:4; Mk 1:6“ ‘Wadudu wote warukao ambao hutembea kwa miguu minne watakuwa chukizo kwenu. 21Lakini wako viumbe wenye mabawa ambao hutembea kwa miguu minne mtakaowala: wale wenye vifundo katika miguu yao ya kurukaruka juu ya ardhi. 22Miongoni mwa hawa, mtakula nzige wa aina zote, senene, parare au panzi. 23Lakini viumbe wengine wote wenye mabawa na wenye miguu minne ni machukizo kwenu.

Wanyama Ambao Ni Najisi

2411:24 Law 5:2; 13:3; 14:46; 15:5; 22:6; Hes 19:7, 19; Amu 6:5; Yer 46:23; Nah 3:17“ ‘Mtajinajisi kwa wanyama hawa. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni. 2511:25 Kut 19:10; Law 13:6, 34; 14:8; 15:5; 16:26; Hes 8:7; 19:7-8; 31:24Yeyote atakayebeba mizoga ya viumbe hawa ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

26“ ‘Kila mnyama mwenye ukwato ulioachana lakini haukugawanyika kabisa, au yule asiyecheua, huyo ni najisi kwenu; yeyote agusaye mzoga wowote wa hao atakuwa najisi. 27Miongoni mwa wanyama wote watembeao kwa miguu minne, wale watembeao kwa vitanga vyao ni najisi kwenu; yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni. 2811:28 Ebr 9:10; 11:29; Isa 66:17; Ebr 9:10; Isa 66:17Yeyote atakayebeba mizoga yao ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Wanyama hawa ni najisi kwenu.

29“ ‘Kuhusu wanyama watambaao juu ya ardhi, hawa ni najisi kwenu: kicheche, panya, aina yoyote ya mijusi mikubwa, 3011:30 Za 58:8; Isa 2:20guruguru, kenge, mijusi ya ukutani, goromoe na kinyonga. 31Hao wote watambaao juu ya ardhi ni najisi kwenu. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni. 3211:32 Law 15:12; Hes 19:18; 31:20Ikiwa mmoja wao atakufa na kuangukia juu ya kitu fulani, chombo hicho, hata kikiwa cha matumizi gani, kitakuwa najisi, kiwe kimetengenezwa kwa mti, nguo, ngozi au gunia. Kiweke ndani ya maji; kitakuwa najisi mpaka jioni, kisha kitakuwa safi tena. 3311:33 Law 6:28; 15:12Ikiwa mmoja wa wanyama aliyekufa ataangukia ndani ya chungu, kila kilichomo katika chungu hicho kitakuwa najisi, nawe ni lazima uvunje chungu hicho. 34Chakula chochote ambacho chaweza kuliwa lakini kikawa kimeingia maji kutoka kwenye chungu hicho ni najisi, na kitu chochote cha majimaji ambacho chaweza kunyweka kutoka kwenye chungu hicho ni najisi. 35Chochote ambacho mzoga wa mmojawapo utaangukia kitakuwa najisi. Jiko au chungu cha kupikia ni lazima kivunjwe. Ni najisi, nawe ni lazima uvihesabu kuwa najisi. 36Lakini chemchemi au kisima, mahali pa kuchota maji, patakuwa safi, lakini yeyote atakayegusa moja ya mizoga hii ni najisi. 37Kama mzoga ukianguka juu ya mbegu zozote ambazo ni za kupanda, zinabaki safi. 38Lakini kama mbegu imetiwa maji na mzoga ukaanguka juu yake, hiyo mbegu ni najisi kwenu.

3911:39 Law 17:15; 22:4, 8; Kum 14:21; Eze 4:14; 44:31; Hes 19:11“ ‘Kama mnyama ambaye mnaruhusiwa kumla akifa, yeyote atakayeugusa mzoga wake atakuwa najisi mpaka jioni. 4011:40 Law 14:8; 17:15; 22:8; Eze 44:31; Ebr 9:10Yeyote atakayekula sehemu ya mzoga huo ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Yeyote atakayebeba mzoga huo ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

41“ ‘Kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi ni chukizo; kisiliwe. 42Msile kiumbe chochote kitambaacho juu ya ardhi, kiwe kitambaacho kwa tumbo lake, au kitambaacho kwa miguu minne au kwa miguu mingi; ni chukizo. 4311:43 Law 20:5; 22:5Msijitie unajisi kwa chochote katika viumbe hivi. Msijitie unajisi kwa viumbe hivyo au kutiwa unajisi navyo. 4411:44 Kut 6:2, 7; 19:10; 20:2; 22:31; 31:13; Isa 43:3; 51:15; Eze 20:5; Law 19:2; 20:7; Hes 15:40; Yos 3:5; 7:13; 24:19; 1Nya 15:12; 2Nya 29:5; 35:6; Kum 14:2; 1Sam 2:2; Ay 6:10; Za 99:3; Efe 1:4; 1The 4:7; 1Pet 1:15-16Mimi ndimi Bwana Mungu wenu; jitakaseni mwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu. Msijitie unajisi wenyewe kwa kiumbe chochote kile kiendacho juu ya ardhi. 4511:45 Law 25:38, 55; Mwa 17:7; Kut 6:7; 19:6; 1Pet 1:16; Rum 14:17; 1Kor 6:11Mimi ndimi Bwana niliyewapandisha mtoke Misri ili niwe Mungu wenu. Kwa hiyo kuweni watakatifu kwa sababu Mimi ni mtakatifu.

46“ ‘Haya ndiyo masharti kuhusu wanyama, ndege, kila kiumbe hai kiendacho ndani ya maji, na kila kiumbe kiendacho juu ya ardhi. 4711:47 Law 10:10; Yer 15:19; Eze 22:26; 44:23Ni lazima mpambanue kati ya kilicho najisi na kilicho safi, kati ya viumbe hai vinavyoweza kuliwa na vile visivyoweza kuliwa.’ ”

Bibelen på hverdagsdansk

3. Mosebog 11:1-47

Regler for rene og urene dyr

1Derefter sagde Herren til Moses og Aron: 2-3„Sig til Israels folk, at de dyr på landjorden, som må spises, indbefatter alle drøvtyggere med spaltede klove. 4Det vil sige, at følgende dyr regnes for urene, og de må ikke spises: Kamelen, som ganske vist tygger drøv, men ikke har spaltede klove, 5klippegrævlingen, som tygger drøv, men heller ikke har spaltede klove, 6haren, som tygger drøv, men som heller ikke har spaltede klove, 7svinet, som godt nok har spaltede klove, men ikke tygger drøv. 8I må ikke spise kød af disse dyr, eller røre dem, efter at de er døde, for I skal regne dem for urene.

9Med hensyn til fisk må I spise alt, hvad der har både finner og skæl, uanset om I fanger dem i floderne eller i havet. 10Men alle andre dyr, der lever i vandet, skal I regne for urene. 11I må hverken spise deres kød eller røre ved dem, når de er døde. 12Jeg gentager: Alle dyr, der lever i vandet, og som ikke har både finner og skæl, skal I regne for urene, og de må ikke spises.

13-19I må ikke spise følgende fugle: Ørne, gribbe, fiskeørne, de forskellige falke- og høgearter, krager og ravne, strudse, hornugler, måger, skarver, ibiser, rørhøns, ørkenugler, storke, de forskellige hejrearter og hærfugle.11,13-19 Betydningen af nogle af de hebraiske navne for fuglearter kendes ikke med sikkerhed. Flagermus er også urene og må ikke spises.

20-22I må ikke spise insekter, undtagen de forskellige arter af græshopper. 23Alle andre insekter skal I regne for urene.

24Alle, der kommer i berøring med et dødt, urent dyr, bliver selv urene. 25De skal vaske deres tøj med det samme og regnes for urene indtil samme aften.

26Det samme gælder for alle, der rører ved dyr, der ikke er drøvtyggere eller har spaltede klove: de er urene indtil om aftenen. 27Dyr med poter må I heller ikke spise. Hvis nogen rører et sådant dyr, når det er dødt, er de urene indtil aften. 28Hvis nogen bliver nødt til bære på et sådant dødt dyr, skal de straks vaske deres tøj, og de er så urene til om aftenen.

29-30Følgende smådyr skal I regne for urene: muldvarpe, mus, firben, gekkoer og kamæleoner.

31Enhver, der rører ved døde dyr af den slags, er uren indtil aften. 32Det samme gælder for ting, der kommer i berøring med sådanne døde dyr. De bliver urene. Hvis det drejer sig om en brugsgenstand af træ, tøj, skind eller sækkelærred, skal genstanden lægges i vand og regnes for uren indtil aften, men derefter kan den tages i brug igen. 33Hvis et sådant urent, dødt dyr falder ned i en lerkrukke med vand, skal vandet regnes for urent, og krukken skal knuses. 34Hvis noget af vandet sprøjter ud på nogle madvarer eller drikkevarer, skal de også regnes for urene.

35Hvis et sådant dødt dyr kommer i berøring med en lerovn eller et ildsted af ler, skal de rives ned, for de er blevet urene. 36Hvis dyret falder ned i en kilde eller et vandreservoir, bliver vandet ikke urent, men den, der fisker dyret op, bliver uren. 37Hvis det døde dyr kommer i berøring med såsæd, bliver sæden ikke uren derved, 38men hvis sæden er våd, og dyret falder ned i den, bliver sæden uren.

39Alle selvdøde dyr er urene, også de dyr, som ellers ikke er urene. Hvis nogen rører ved et selvdødt dyr, vil de være urene indtil aften. 40Hvis nogen spiser af dyrets kød eller bærer det døde dyr væk, skal de vaske deres tøj, og de er urene indtil om aftenen.

41-42Dyr, som kravler på jorden, er urene og må ikke spises. Det indbefatter alle krybdyr, som glider på deres bug, såvel som krybdyr med ben. Intet dyr, som kravler på fire eller flere ben, må spises, for et sådant dyr er urent. 43I må ikke engang røre ved et sådant dyr. Hvis I gør det, bliver I urene.

44-45Jeg er Herren, jeres Gud, som førte jer ud af Egypten. Gør ikke jer selv urene med disse ting, men vær hellige, for jeg er hellig. 46Disse love gælder jeres forhold til dyr og fugle inklusive alt, hvad der svømmer i vandet eller kravler på landjorden. 47Når I kender disse love, kan I skelne imellem, hvilke dyr, der er rene og kan spises, og hvilke dyr, der er urene og derfor ikke må spises.”