Obadia 1 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Obadia 1:1-21

11:1 Mwa 25:14; Isa 1:1; 21:11; Yoe 3:19; Mal 1:3; Eze 25:12-14; Yer 6:4-5; 49:7-22; Isa 11:14; 18:2; 34:11Maono ya Obadia.

Hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi kuhusu Edomu:

Tumesikia ujumbe kutoka kwa Bwana:

Mjumbe alitumwa kwa mataifa kusema,

“Inukeni, twendeni tukapigane vita dhidi yake.”

2“Angalieni, nitawafanya wadogo miongoni mwa mataifa,

mtadharauliwa kabisa.

31:3 Isa 14:13; 16:6; 2Fal 14:7; 2Nya 25:11-12; Ufu 18:7Kiburi cha moyo wako kimekudanganya,

wewe unayeishi katika majabali ya miamba

na kufanya makao yako juu,

wewe unayejiambia mwenyewe,

‘Ni nani awezaye kunishusha chini?’

41:4 Isa 10:14; 14:13; 14:14, 15; Ay 20:6; Amo 9:2; Yer 49:16; Hab 2:9Ingawa unapaa juu kama tai

na kufanya kiota chako kati ya nyota,

nitakushusha chini kutoka huko,”

asema Bwana.

51:5 Isa 24:13; Kum 4:27; 24:21“Ikiwa wevi wangekuja kwako,

ikiwa wanyangʼanyi wangekujia usiku:

Lo! Tazama ni maafa kiasi gani yangekuwa yanakungojea:

je, si wangeiba tu kiasi ambacho wangehitaji?

Kama wachuma zabibu wangekuja kwako,

je, wasingebakiza zabibu chache?

6Lakini tazama jinsi Esau atakavyotekwa,

jinsi hazina zake zilizofichwa zitatekwa nyara!

71:7 Yer 30:14; Za 41:9Wote ulioungana nao watakufukuza hadi mpakani,

rafiki zako watakudanganya na kukushinda,

wale wanaokula mkate wako watakutegea mtego,

lakini hutaweza kuugundua.

81:8 Ay 5:12; Isa 29:14“Katika siku hiyo,” asema Bwana,

“je, sitaangamiza watu wenye hekima wa Edomu,

watu wenye ufahamu katika milima ya Esau?

91:9 Mwa 36:11, 34; Amo 2:16; Za 76:5; Yer 49:22; Nah 3:13Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu,

kila mmoja katika milima ya Esau

ataangushwa chini kwa kuchinjwa.

101:10 Yoe 3:19; Amo 1:11-12; Za 137:7; Mwa 47:21; Eze 35:5, 15; Mal 1:4; Eze 25:12-14; 35:9Kwa sababu ya jeuri uliyofanya dhidi ya ndugu yako Yakobo,

aibu itakufunika;

utaangamizwa milele.

111:11 Ay 6:27; Nah 3:10; Eze 24:6Siku ile ulisimama mbali ukiangalia

wakati wageni walipojichukulia utajiri wake

na watu wa nchi nyingine walipoingia malango yake

wakipiga kura kwa ajili ya Yerusalemu,

ulikuwa kama mmoja wao.

121:12 Eze 25:6; 35:15; Mit 17:5; 24:17; Mik 4:11; Ay 31:29Usingemdharau ndugu yako

katika siku ya msiba wake,

wala kufurahia juu ya watu wa Yuda

katika siku ya maangamizi yao,

wala kujigamba sana

katika siku ya taabu yao.

131:13 Eze 35:5Usingeingia katika malango ya watu wangu

katika siku ya maafa yao,

wala kuwadharau katika janga lao

katika siku ya maafa yao,

wala kunyangʼanya mali zao

katika siku ya maafa yao.

14Usingengoja kwenye njia panda

na kuwaua wakimbizi wao,

wala kuwatoa watu wake waliosalia

katika siku ya shida yao.

151:15 Yer 46:10; 50:29; Hab 2:8; Amu 1:7; Za 137:8; Eze 35:15; Yoe 2:31; 3:7-8; Eze 30:3; Amo 5:8“Siku ya Bwana iko karibu

kwa mataifa yote.

Kama ulivyofanya, nawe utafanyiwa vivyo hivyo,

matendo yako yatakurudia juu ya kichwa chako.

161:16 Yer 25:15; 49:12; Mao 4:21-22; Isa 51:17; Kut 15:17; Eze 25:12-14Kama vile ulivyokunywa juu ya mlima wangu mtakatifu,

vivyo hivyo mataifa yote watakunywa mfululizo,

watakunywa na kunywa,

nao watatoweka kana kwamba hawajawahi kuwepo.

171:17 Za 69:35; 74:2; Isa 14:1-2; Amo 9:11-15; Zek 8:12Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwepo

na wale watakaookoka;

nao utakuwa mtakatifu,

nayo nyumba ya Yakobo

itamiliki urithi wake.

181:18 Zek 12:6; Yer 49:10; Isa 1:31Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,

na nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto;

nayo nyumba ya Esau itakuwa bua kavu,

nao wataiwasha moto na kuiteketeza.

Hakutakuwa na watakaosalimika

kutoka nyumba ya Esau.”

Bwana amesema.

191:19 Isa 11:14; Sef 2:7; Yer 31:5; Hes 1:36Watu kutoka nchi ya Negebu

wataikalia milima ya Esau,

na watu kutoka miteremko ya vilima

watamiliki nchi ya Wafilisti.

Watayakalia mashamba ya Efraimu na Samaria,

naye Benyamini atamiliki Gileadi.

201:20 Lk 4:26; Yer 33:13; 1Fal 17:9-10Kundi la Waisraeli walioko uhamishoni Kanaani

watarudi na kumiliki nchi mpaka Sarepta.

Walioko uhamishoni Sefaradi kutoka Yerusalemu

watamiliki miji ya Negebu.

211:21 Dan 2:24, 44; Ufu 11:15; Zek 14:9; Isa 19:20; Amu 3:9; Za 22:28; 47:9Waokoaji watakwea juu ya Mlima Sayuni

kutawala milima ya Esau.

Nao ufalme utakuwa wa Bwana.

Bibelen på hverdagsdansk

Obadiasʼ Bog 1:1-21

1Gud, den Almægtige, viste Obadias, hvad der i fremtiden vil ske med Edoms land.

Vi har hørt fra Herren, at han har sendt en budbringer til folkeslagene for at sige: „Gør jer klar til krig imod Edoms land!”

2Og til Edom siger Herren: „Jeg vil gøre dig til et lille og svagt land i de andre nationers øjne. Du vil blive foragtet af alle. 3Dit hovmodige hjerte har vildledt dig. ‚Hvem kan nå mig her?’ siger du selvbevidst, fordi du bor i klippefæstninger højt oppe i bjergene. 4Men om du så svævede så højt oppe som ørnen eller byggede din rede blandt stjernerne, ville du ikke være uden for min rækkevidde.

5-6Når tyve og røvere kommer om natten for at stjæle, nøjes de med at tage det, de kan bruge. Og når man høster druer, levner man lidt til de fattige. Men jeres fjender vil udrydde jer fuldstændigt, Esaus efterkommere. De vil ribbe landet for alt af værdi.

7Jeres allierede vil svigte jer og drive jer ud af landet. De folk, I troede, var jeres venner, vil lægge fælder for jer, uden at I opdager det. 8Til den tid vil jeg straffe Edom og udrydde alle de dygtige og kloge blandt Esaus efterkommere. 9Temans9 Teman er navnet på en af store klaner i Edom, der nedstammer fra en sønnesøn af Esau. Her er det et synonym for Edom. krigere bliver slået ned. Alle som bor i Edoms bjerge bliver dræbt.

10Det er straffen for jeres voldshandlinger mod jeres broderfolk, Israel. I skal udryddes for jeres skammelige handlinger. 11I svigtede Israel og gjorde intet, da fjenderne erobrede landet. Da de delte Jerusalem imellem sig ved lodkastning og drog af sted med deres krigsbytte, skulle man tro I holdt med fjenden. 12I nød jeres broderfolks nederlag, glædede jer over deres ulykke. 13I var med til at udplyndre dem og blev rige på deres bekostning. 14I stillede jer op ved passene og dræbte dem, der prøvede at flygte. I tog de overlevende til fange og udleverede dem til deres fjender.

15Dommen over alle folkeslag er nær. I vil få løn som forskyldt. Hvad I har gjort mod andre, vil blive gjort mod jer. 16I drak af voldens bæger på mit hellige bjerg, og det samme vil andre folkeslag gøre fremover. Derfor skal I også drikke af straffens bæger, ja tømme det til bunds, så I bliver helt udslettet.

17Men en rest af mit folk skal overleve, og Zions bjerg skal være et helligt sted. Jakobs efterkommere vil genindtage det land, som blev taget fra dem. 18Da vil Jakobs og Josefs efterkommere blive som en fortærende ild, mens Edom bliver som en stubmark. Alt bliver brændt. Ikke en eneste af Esaus efterkommere vil undslippe! Jeg, Herren, har talt.

19Den del af mit folk, som bor i Negev, skal indtage Edoms bjergland. De, som bor på Judas vestlige bakkeskråninger, skal erobre filistrenes sletter, og resten af judæerne skal overtage Efraims og Samarias agerland. Benjamins folk skal erobre Gilead. 20De soldater af Jakobs efterkommere, som blev taget til fange, vil vende hjem og overtage kyststrækningen helt op til Zarepta, og de indbyggere fra Jerusalem, som blev ført til Lilleasien,20 Teksten har stednavnet Sefarad, og det vides ikke med sikkerhed, hvor det er. skal vende hjem og overtage Negevs landsbyer. 21De befriede21 Oversat ud fra LXX, som giver bedre mening end den hebraiske tekst, der siger „befrierne”. vil tage til Zions bjerg for at regere over Esaus bjerge. Og så skal Herren være konge.”