Amosi 9 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Amosi 9:1-15

Israeli Kuangamizwa

19:1 Za 68:21; Yer 11:11Nilimwona Bwana akiwa amesimama kando ya madhabahu, naye akasema:

“Piga vichwa vya nguzo

ili vizingiti vitikisike.

Viangushe juu ya vichwa vya watu wote;

na wale watakaosalia nitawaua kwa upanga.

Hakuna awaye yote atakayekimbia,

hakuna atakayetoroka.

29:2 Za 139:8-10; Ay 20:6; 7:9; Yer 51:33; Oba 1:4; Eze 26:20Wajapojichimbia chini mpaka kwenye vina vya kuzimu,

kutoka huko mkono wangu utawatoa.

Wajapopanda juu hadi kwenye mbingu,

kutoka huko nitawashusha.

39:3 Yer 23:24; 6:16-17; Za 139:8-10; 68:22; Mwa 49:17; Ay 11:20Wajapojificha juu ya kilele cha Karmeli,

huko nitawawinda na kuwakamata.

Wajapojificha kutoka kwenye uso wangu

katika vilindi vya bahari,

huko nako nitaamuru joka kuwauma.

49:4 Law 26:33; 17:10; Eze 5:12; 15:7; Kum 28:65; Yer 39:16; 21:10; 44:11Wajapopelekwa uhamishoni na adui zao,

huko nako nitaamuru upanga uwaue.

Nitawakazia macho yangu kwa mabaya

wala si kwa mazuri.”

59:5 Za 46:2; Amo 8:8; Mik 1:4Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote,

yeye agusaye dunia nayo ikayeyuka,

na wote wakaao ndani mwake wakaomboleza:

nayo nchi yote huinuka kama Naili,

kisha hushuka kama mto wa Misri;

69:6 Za 104:1-3, 5-13; Amo 5:8; Yer 43:9yeye ambaye hujenga jumba lake la kifalme katika mbingu

na kuisimika misingi yake juu ya dunia,

yeye aitaye maji ya bahari

na kuyamwaga juu ya uso wa nchi:

Bwana ndilo jina lake.

79:7 2Nya 12:3; Kum 2:23; Isa 43:3; 22:6; 2Fal 16:9; Yer 47:4; Amo 1:5; Mwa 10:14“Je, Waisraeli,

ninyi si sawa kwangu kama Wakushi?”

asema Bwana.

“Je, sikuleta Israeli kutoka Misri,

Wafilisti kutoka Kaftori,9:7 Yaani Krete.

na Washamu kutoka Kiri?

89:8 Yer 30:11; 44:27; Za 11:4“Hakika macho ya Bwana Mwenyezi

yako juu ya ufalme wenye dhambi.

Nami nitauangamiza

kutoka kwenye uso wa dunia:

hata hivyo sitaiangamiza kabisa

nyumba ya Yakobo,”

asema Bwana.

99:9 Lk 22:31; Isa 30:28; Yer 31:36; Dan 9:7“Kwa kuwa nitatoa amri,

na nitaipepeta nyumba ya Israeli

miongoni mwa mataifa yote,

kama vile nafaka ipepetwavyo katika ungo,

na hakuna hata punje moja itakayoanguka chini.

109:10 Yer 5:12; 23:17; 49:37; Eze 20:38; Amo 6:3Watenda dhambi wote miongoni mwa watu wangu

watauawa kwa upanga,

wale wote wasemao,

‘Maafa hayatatupata wala kutukuta.’

Kurejezwa Kwa Israeli

119:11 Mdo 15:16; Mik 7:8-11; Zek 12:7; Isa 7:2; 49:8; Mwa 26:22; Eze 17:24“Katika siku ile nitaisimamisha

hema ya Daudi iliyoanguka.

Nitakarabati mahali palipobomoka

na kujenga upya magofu yake,

na kuijenga kama ilivyokuwa awali,

129:12 Hes 24:18; Isa 43:7; Oba 1:19; Yer 25:29; Mdo 15:16-17ili wapate kuyamiliki mabaki ya Edomu,

na mataifa yote yale yanayobeba Jina langu,”

asema Bwana ambaye atafanya mambo haya.

139:13 Law 26:5; Amu 9:27; Yoe 3:18; 2:24; Yer 31:38; 33:14; Rut 2:3“Siku zinakuja,” asema Bwana,

“wakati mvunaji atatanguliwa na mkulima,

naye mpanzi atatanguliwa na yeye akamuaye zabibu.

Divai mpya itadondoka kutoka milimani,

na kutiririka kutoka vilima vyote.

149:14 Isa 32:18; 49:8; 62:9; 61:4; Eze 34:13-14; Yer 29:14; 33:7; 30:18Nitawarejesha tena watu wangu Israeli waliohamishwa;

wataijenga tena miji iliyoachwa magofu,

nao wataishi ndani mwake.

Watapanda mizabibu na kunywa divai yake;

watalima bustani na kula matunda yake.

159:15 Kut 15:17; Isa 60:21; 65:9; Yer 18:9; 23:8; 3:18; 24:6; 32:15; Eze 28:26; 34:28; Yoe 3:20Nitaipanda Israeli katika nchi yao wenyewe,

hawatangʼolewa tena

kutoka nchi ambayo nimewapa,”

asema Bwana Mungu wenu.

Bibelen på hverdagsdansk

Amosʼ Bog 9:1-15

Israel rammes af Guds straf, men en rest bliver reddet

1Derpå så jeg i et syn Herren stå ved siden af alteret og give følgende befaling: „Slå på søjlehovederne, så afgudstemplet styrter sammen og murbrokkerne knuser alle i nærheden. Resten vil falde i krig. Ingen slipper bort. 2Hvis de kunne flygte ned i dødsriget, kunne jeg stadig hente dem op. Hvis de kunne stige op til himlen, kunne jeg stadig hente dem ned. 3Hvis de prøver at gemme sig i Karmelbjergets klippehuler, skal jeg nok finde dem. Hvis de kunne søge tilflugt på havets bund, ville jeg befale havuhyret at fortære dem. 4Selv hvis de føres i eksil, vil jeg give befaling om, at de skal dræbes dér. Jeg holder øje med dem overalt, men det er for at straffe dem, ikke for at redde dem.”

5Når Herren, den Almægtige, sender et jordskælv, vil alle, som bor i landet, fyldes af rædsel. Jorden vil hæve sig og synke ned igen som Egyptens flod. 6Herrens bolig har sit fundament på jorden, men den rækker ind i Himlen. Han opsamler vandet fra havet og lader det falde ned på jorden. Herren er hans navn.

7Han siger: „Israels folk, tror I, at I er bedre end kushitterne? Jeg førte jer ud af Egypten, men jeg førte også filistrene ud af Kaftor og aramæerne ud af Kir.

8Jeg har fæstet blikket på denne oprørske nation og vil fjerne den fra jordens overflade. Dog vil jeg ikke fuldstændigt udrydde Jakobs efterkommere. 9Jeg har besluttet at sigte Israels folk i deres eksil og fjerne alt det værdiløse. 10Alle selvsikre syndere skal falde for sværdet.

Davids rige skal genrejses

11Til sin tid vil jeg genopbygge Davids rige. Jeg vil udbedre skaderne, genopbygge det, som blev revet ned, og få det op at stå igen, så det bliver som før. 12Derefter skal Israels folk overtage resterne af Edom og de andre folkeslag, som også tilhører mig.” Det er Herren, der siger det, og han vil gøre det.

13Herren siger: „Engang bliver der igen fremgang og frugtbarhed, så man ikke bliver færdig med at høste, før det er tid til at pløje, og så man ikke bliver færdig med at presse druerne, før det er tid til at plante. Bjergskråningerne vil dryppe af druernes saft. 14Jeg vil sætte mit folk, Israel, fri af fangenskabet. Da skal de genopbygge deres ødelagte byer og flytte ind i dem. De skal plante vingårde og drikke vinen derfra. De skal anlægge haver og nyde frugten deraf. 15Jeg planter dem tilbage i deres land. Aldrig mere skal de rykkes op fra det land, jeg har givet dem.” Herren, Israels Gud, har talt!