Mwanzo 22 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 22:1-24

Kujua Uthabiti Wa Abrahamu

122:1 Kut 15:25; 16:4; 20:20; Kum 8:2, 16; 13:3; Amu 2:22; 3:1; 2Nya 32:31; Za 66:10; Ebr 11:17; Yak 1:12-13; Mwa 31:11; 46:2; 1Sam 3:4-8; Isa 6:8Baadaye Mungu akamjaribu Abrahamu. Akamwambia, “Abrahamu!”

Abrahamu akajibu, “Mimi hapa.”

222:2 Yn 3:16; Ebr 11:17; 1Yn 4:9; Mwa 8:20Kisha Mungu akamwambia, “Umchukue mwanao, mwana wako wa pekee, Isaki umpendaye, uende katika nchi ya Moria. Mtoe huko kama sadaka ya kuteketezwa juu ya mlima mmojawapo nitakaokuambia.”

322:3 Yos 8:10Abrahamu akaamka asubuhi na mapema siku iliyofuata, akamtayarisha punda wake. Akawachukua watumishi wake wawili pamoja na Isaki mwanawe. Baada ya kuchanja kuni za kutosha kwa ajili ya hiyo sadaka ya kuteketezwa, akaondoka kuelekea mahali Mungu alipokuwa amemwambia. 4Siku ya tatu Abrahamu akainua macho, akapaona mahali pale kwa mbali. 522:5 Kut 24:14Akawaambia watumishi wake, “Kaeni hapa pamoja na punda, wakati mimi na kijana tunakwenda kule. Tutakwenda kuabudu na kisha tutawarudia.”

622:6 Yn 19:17; Amu 19:29Abrahamu akachukua kuni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, akamtwika Isaki mwanawe, yeye mwenyewe akachukua moto na kisu. Walipokuwa wakienda pamoja, 722:7 Kut 29:38-42; Law 1:10; Ufu 13:8Isaki akanena akamwambia Abrahamu baba yake, “Baba yangu!”

Abrahamu akaitika, “Mimi hapa, mwanangu.”

Isaki akasema, “Moto na kuni zipo, Je, yuko wapi mwana-kondoo kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa?”

822:8 Yn 1:29Abrahamu akajibu, “Mwanangu, Mungu mwenyewe atajipatia mwana-kondoo kwa ajili ya hiyo sadaka ya kuteketezwa.” Nao hawa wawili wakaendelea mbele pamoja.

922:9 Mwa 4:26; 8:20; Law 1:7; 1Fal 18:33; Ebr 11:17-19; Yak 2:21Walipofika mahali pale alipokuwa ameambiwa na Mungu, Abrahamu akajenga madhabahu hapo, akaziweka kuni juu yake. Akamfunga Isaki mwanawe na akamlaza kwenye madhabahu, juu ya zile kuni. 1022:10 Mwa 18:19Kisha akanyoosha mkono wake na akachukua kisu ili amchinje mwanawe. 1122:11 Mwa 16:7; 21:17; 46:2Lakini malaika wa Bwana akamwita kutoka mbinguni, akamwambia, “Abrahamu! Abrahamu!”

Akajibu, “Mimi hapa.”

1222:12 Mwa 18:19; 42:18; Kut 18:21; 1Sam 15:22; Ay 1:1; 37:24; Mit 8:13; Yak 2:21-23; Yn 3:16; 1Yn 4:9Akamwambia, “Usimdhuru kijana, wala usimtendee jambo lolote. Sasa ninajua kwamba unamcha Mungu, kwa sababu hukunizuilia mwanao, mwana wako wa pekee.”

1322:13 Mwa 8:20; Rum 8:32Abrahamu akainua macho yake, akaona kondoo dume amenaswa pembe zake nyuma yake katika kichaka. Akaenda akamchukua huyo kondoo dume, akamtoa awe sadaka ya kuteketezwa badala ya mwanawe. 1422:14 Kut 17:15; Amu 6:24; Isa 30:29Abrahamu akapaita mahali pale Yehova-Yire.22:14 Yehova-Yire maana yake Bwana atatupa. Mpaka siku ya leo inasemekana, “Katika mlima wa Bwana itapatikana.”

1522:15 Mwa 21:17Basi malaika wa Bwana akamwita Abrahamu kutoka mbinguni mara ya pili, 1622:16 Kut 13:11; 32:13; 33:1; Isa 45:23; 62:8; Yer 22:5; 44:26; 49:13; 51:14; Amo 6:8; Ebr 6:13; Lk 1:73akasema, “Ninaapa kwa nafsi yangu, asema Bwana, kwamba kwa sababu umefanya jambo hili na hukunizuilia mwanao, mwana wako wa pekee, 1722:17 Mwa 12:2; 15:5; 26:24; 24:60; Ebr 6:14; Kut 32:13; Kum 7:7; 28:62; Hos 1:10; Rum 9:27; Ebr 11:12; Es 9:2hakika nitakubariki, na nitauzidisha uzao wako kama nyota za angani na kama mchanga ulioko pwani. Wazao wako watamiliki miji ya adui zao, 1822:18 Mwa 12:2-3; 17:2, 9; Mdo 3:25; Gal 3:8; Za 105:9na kupitia uzao wako mataifa yote duniani yatabarikiwa, kwa sababu umenitii.”

1922:19 Mwa 21:14; 26:23; 28:10Ndipo Abrahamu akawarudia watumishi wake, wakaondoka wakaenda wote pamoja mpaka Beer-Sheba. Abrahamu akaishi huko Beer-Sheba.

Wana Wa Nahori

2022:20 Mwa 11:29Baada ya muda, Abrahamu akaambiwa, “Milka pia amepata watoto, amemzalia ndugu yako Nahori wana: 2122:21 Mwa 10:23; Ay 32:2; Yer 25:23Usi mzaliwa wake wa kwanza, Buzi nduguye, Kemueli (baba wa Aramu), 2222:22 Mwa 24:15, 47; 25:20Kesedi, Hazo, Pildashi, Yidlafu na Bethueli.” 2322:23 Mwa 24:15; 11:29Bethueli akamzaa Rebeka. Milka alimzalia Nahori nduguye Abrahamu hao wana wanane. 2422:24 Mwa 25:6; 35:22; 36:12; Amu 8:31; 2Sam 3:7; 1Fal 2:22; 11:3; 1Nya 1:32; Wim 6:8Suria wake Nahori aliyeitwa Reuma pia alikuwa na wana: Teba, Gahamu, Tahashi na Maaka.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

创世记 22:1-24

上帝考验亚伯拉罕

1这些事以后,上帝要考验亚伯拉罕,就呼唤他:“亚伯拉罕!”他回答说:“我在这里。” 2上帝说:“带着你的儿子,你的独生子,你疼爱的以撒前往摩利亚,在我指示你的山上把他献为燔祭。” 3亚伯拉罕清早起来,准备好驴,劈好献燔祭用的柴,带着两个仆人和儿子以撒动身前往上帝指示他的地方。 4到了第三天,亚伯拉罕远远看见那地方, 5就对仆人说:“你们和驴在这里等着,我和孩子到那边敬拜上帝,然后便回来。”

6于是,亚伯拉罕把献燔祭用的柴放在儿子以撒肩上,自己手里拿着火种和刀。父子二人一同向前走。 7以撒说:“父亲。”亚伯拉罕说:“孩子,什么事?”以撒说:“你看,火种和柴都有了,但献燔祭用的羊羔在哪里呢?” 8亚伯拉罕说:“孩子,上帝自己会预备献燔祭的羊羔。”二人就继续向前走。

9他们到了上帝指示的地方,亚伯拉罕就筑起祭坛,把柴摆在上面,然后把以撒捆起来放在柴上。 10亚伯拉罕伸手拿起刀来,要杀他的儿子。 11耶和华的天使从天上呼唤他说:“亚伯拉罕亚伯拉罕!”他回答说:“我在这里。” 12天使说:“不要动孩子,不可伤害他!现在我知道你敬畏上帝,因为你不惜献上你的儿子——你的独生子。” 13这时亚伯拉罕抬起头来,突然看见有一只公绵羊两角卡在稠密的树丛中,于是把羊取来代替他的儿子献为燔祭。 14亚伯拉罕称那地方为“耶和华以勒22:14 耶和华以勒”或译“耶和华必预备”。。直到今天人们还说:“在耶和华的山上必有预备。”

15耶和华的天使再次从天上呼唤亚伯拉罕16对他说:“耶和华说,‘你既然愿意把你的儿子,你的独生子献给我,我凭自己向你起誓, 17我必赐福给你,使你的后裔多如天上的星和海边的沙。你的后裔必占领仇敌的城池, 18天下万国必因你的后裔而蒙福,因为你听从了我的话。’” 19于是,亚伯拉罕回到仆人等候的地方,他们一同返回亚伯拉罕居住的别示巴

拿鹤的后代

20后来,有人告诉亚伯拉罕:“密迦为你的兄弟拿鹤生了几个儿子, 21长子乌斯乌斯的弟弟布斯亚兰的父亲基姆利22基薛哈琐必达益拉利百加的父亲彼土利。” 23密迦亚伯拉罕的兄弟拿鹤生了八个儿子。 24拿鹤的妾流玛生了提八迦含他辖玛迦