Onyo Dhidi Ya Mwanamke Mzinzi
17:1 Mt 1:8Mwanangu, shika maneno yangu
na kuzihifadhi amri zangu ndani yako.
27:2 Mit 4:4; Law 18:5; Kum 32:10Shika amri zangu nawe utaishi;
linda mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.
37:3 Kum 6:8; Mit 3:3; Isa 30:8; 2Kor 3:3Yafunge katika vidole vyako;
yaandike katika kibao cha moyo wako.
4Mwambie hekima, “Wewe ni dada yangu,”
uite ufahamu jamaa yako;
57:5 Ay 31:9; Mit 2:16watakuepusha na mwanamke mzinzi,
kutokana na mwanamke mpotovu
na maneno yake ya kubembeleza.
6Kwenye dirisha la nyumba yangu
nilitazama nje kupitia upenyo
kwenye mwimo wa dirisha.
77:7 Mit 6:32Niliona miongoni mwa wajinga,
nikagundua miongoni mwa wanaume vijana,
kijana asiye na akili.
8Alikuwa akishuka njiani karibu na pembe ya kwake,
akielekea kwenye nyumba ya huyo mwanamke
97:9 Ay 24:15wakati wa machweo, jua likipungua nuru yake,
giza la usiku lilipokuwa likiingia.
107:10 1Tim 2:9Ndipo huyo mwanamke akatoka kumlaki,
hali amevaa kama kahaba akiwa na nia ya udanganyifu.
117:11 Mit 9:13; 1Tim 5:13(Ni mwanamke mwenye makelele na mkaidi,
miguu yake haitulii nyumbani;
127:12 Mit 8:1-36; 23:26-28mara kwenye barabara za mji,
mara kwenye viwanja vikubwa,
kwenye kila pembe huvizia.)
137:13 Mwa 39:12; Mit 1:20Huyo mwanamke alimkumbatia kijana na kumbusu,
na kwa uso usio na haya akamwambia:
147:14 Law 7:11-18“Nina sadaka za amani nyumbani;
leo nimetimiza nadhiri zangu.
15Kwa hiyo nimetoka nje kukulaki;
nimekutafuta na nimekupata!
167:16 Isa 19:9Nimetandika kitanda changu
kwa kitani za rangi kutoka Misri.
177:17 Amo 6:4; Mwa 37:25Nimetia manukato kitanda changu
kwa manemane, udi na mdalasini.
187:18 Mwa 39:7Njoo, tuzame katika mapenzi mpaka asubuhi;
tujifurahishe wenyewe kwa mapenzi!
19Mume wangu hayupo nyumbani;
amekwenda safari ya mbali.
20Amechukua mkoba uliojazwa fedha
na hatakuwepo nyumbani karibuni.”
217:21 Mit 1:8-9; 8:32Kwa maneno laini yule mwanamke akampotosha;
alimshawishi kwa maneno yake laini.
227:22 Ay 18:10Mara huyo kijana alimfuata yule mwanamke
kama fahali aendaye machinjoni,
kama kulungu aingiaye kwenye kitanzi,
237:23 Ay 15:22; 16:13; Mit 6:26; Mhu 9:12mpaka mshale umchome ini lake,
kama ndege anayenaswa kwenye mtego,
bila kujua itamgharimu maisha yake.
247:24 Mit 1:8-9; 8:32Sasa basi wanangu, nisikilizeni;
sikilizeni kwa makini nisemalo.
257:25 Mit 5:7-8Usiruhusu moyo wako ugeukie njia za huyo mwanamke,
wala usitangetange katika mapito yake.
267:26 Neh 13:26Aliowaangusha ni wengi;
aliowachinja ni kundi kubwa.
277:27 Amu 16:19; Ufu 22:15Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini,7:27 Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
ielekeayo chini kwenye vyumba vya mauti.
要遠離淫婦
1孩子啊,你要遵從我的吩咐,
把我的誡命珍藏在心中。
2遵守我的誡命,你便存活。
要愛護我的訓言,
如愛護眼中的瞳人。
3要繫在你的指頭上,
刻在你的心版上。
4你要把智慧當作姊妹,
將悟性視為親人。
5她們能使你遠離淫婦,
遠離妓女的甜言蜜語。
6我曾在家裡的窗前,
透過窗櫺往外觀看,
7只見在愚昧的青年人中,
有個無知的青年,
8他穿過靠近淫婦的巷口,
朝她的家門走去,
9趁著日暮黃昏,
藉著夜色昏暗。
10看啊!一個妓女打扮、
心術不正的女子出來迎接他。
11她喧嚷放蕩,不安分守家,
12有時在街上,有時在廣場,
或在各巷口守候。
13她纏著那青年,與他親吻,
厚顏無恥地說:
14「我今天剛獻祭還了願,
家裡有平安祭肉7·14 按猶太律法規定,還願之後所得的祭肉要在第二天吃完。參考利未記7·16。,
15因此我出來四處尋找你,
終於找到了你!
16我已經鋪好了床,
鋪上了埃及的繡花布,
17又用沒藥、沉香、肉桂薰了床。
18來吧,讓我們通宵暢飲愛情,
讓我們盡情歡愛!
19因為我丈夫不在家,出遠門了。
20他帶著錢囊去了,月底才回來。」
21淫婦花言巧語勾引他,
用諂媚的話語誘惑他。
22那青年立刻隨她而去,
像走向屠宰場的公牛,
又像掉入陷阱的雄鹿,
23直等到利箭射穿他的肝。
他像隻自投網羅的飛鳥,
渾然不知要賠上性命!
24孩子們啊,你們要聽從我的話,
留意我口中的訓言,
25別讓你的心偏向淫婦的道,
步入她的歧途。
26因為她使許多人喪命,
被她殺害的數目眾多。
27她的家是通往陰間的路,
引人墜入死亡的殿。