Mika 4 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mika 4:1-13

Mlima Wa Bwana

(Isaya 2:2-4)

14:1 Za 48:1; 86:9; Zek 8:3; Isa 2:2; Dan 2:35; 2:44; Eze 17:22; Yer 3:17; 31:12Katika siku za mwisho

mlima wa Hekalu la Bwana utaimarishwa

kama mlima mkuu miongoni mwa milima yote;

utainuliwa juu ya vilima,

na watu wa mataifa watamiminika humo.

24:2 Yer 31:6; Yn 6:45; Eze 20:40; Zek 2:11; 14:16; Isa 54:13; Za 25:8-9; 119:171Mataifa mengi yatakuja na kusema,

“Njooni, twendeni mlimani mwa Bwana,

kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo.

Atatufundisha njia zake,

ili tuweze kuenenda katika mapito yake.”

Sheria itatoka Sayuni,

neno la Bwana litatoka Yerusalemu.

34:3 Isa 2:4; 11:4; Yoe 3:10; Hos 2:18; Za 72:7; Zek 8:20-22; 9:10; Za 46:9Atahukumu kati ya mataifa mengi,

na ataamua migogoro ya mataifa

yenye nguvu na yaliyo mbali.

Watafua panga zao ziwe majembe,

na mikuki yao kuwa miundu ya kukata matawi.

Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa jingine,

wala hawatajifunza vita tena.

44:4 1Fal 4:25; Law 26:6; Eze 39:26; Isa 1:20; 36:16; Yer 31:10; Zek 3:10Kila mtu ataketi chini ya mzabibu wake

na chini ya mtini wake,

wala hakuna mtu atakayewaogopesha,

kwa kuwa Bwana Mwenye Nguvu Zote amesema.

54:5 2Fal 17:29; Mdo 14:16; Yos 24:14-15; Isa 26:8; Yer 2:11; Zek 10:12Mataifa yote yanaweza kutembea

katika jina la miungu yao;

sisi tutatembea katika jina la Bwana

Mungu wetu milele na milele.

Mpango Wa Bwana

64:6 Yer 31:8; Isa 56:8; Za 147:2; 106:47; Eze 34:13, 16; 37:21; Sef 3:19“Katika siku hiyo,” asema Bwana,

“nitawakusanya walemavu;

nitawakusanya walio uhamishoni

na wale niliowahuzunisha.

74:7 Yoe 2:32; Mik 2:12; Isa 9:6; Mwa 12:2; Dan 2:44; 7:14; Ufu 11:15; Lk 1:33Nitawafanya walemavu kuwa mabaki,

wale waliofukuzwa kuwa taifa lenye nguvu.

Bwana atatawala juu yao katika Mlima Sayuni

kuanzia siku hiyo na hata milele.

84:8 Isa 1:26; Zek 9:9Lakini kuhusu wewe, ee mnara wa ulinzi wa kundi,

ee ngome ya Binti Sayuni,

milki ya awali itarudishwa kwako,

ufalme utakuja kwa Binti Yerusalemu.”

94:9 Yer 8:19; 30:6; 48:41; Mwa 3:16Kwa nini sasa unalia kwa nguvu:

kwani huna mfalme?

Je, mshauri wako amekufa, hata maumivu yakukamate

kama ya mwanamke

aliye na utungu wa kuzaa?

104:10 Kum 21:10; 2Fal 20:18; Isa 43:14; 48:20Gaagaa kwa utungu, ee Binti Sayuni,

kama mwanamke mwenye utungu wa kuzaa,

kwa kuwa sasa ni lazima uuache mji

ukapige kambi uwanjani.

Utakwenda Babeli;

huko utaokolewa.

Huko Bwana atakukomboa

kutoka mikononi mwa adui zako.

114:11 Mao 2:16; Oba 1:12; Mik 7:8Lakini sasa mataifa mengi

yamekusanyika dhidi yako.

Wanasema, “Mwache anajisiwe,

macho yetu na yatazame Sayuni kwa furaha!”

124:12 Mwa 50:20; Isa 55:8; Rum 11:33-34Lakini hawayajui

mawazo ya Bwana;

hawauelewi mpango wake,

yeye awakusanyaye kama miganda

kwenye sakafu ya kupuria.

134:13 Isa 21:10; 23:18; 45:1; Ufu 21:24; Dan 2:44“Inuka upure, ee Binti Sayuni,

kwa kuwa nitakupa pembe za chuma;

nitakupa kwato za shaba

na utavunja vipande vipande mataifa mengi.”

Utatoa mapato yao waliopata kwa udanganyifu kwa Bwana,

utajiri wao kwa Bwana wa dunia yote.

Japanese Contemporary Bible

ミカ書 4:1-13

4

主の山

1しかし、終わりの日に、

シオンは世界中の山々で最も名を知られるようになり、

世界のすべての国々から称賛され、

世界中から巡礼が訪れる。

2彼らは互いに言う。

「さあ、主の山へ行き、

イスラエルの神の神殿を見よう。

神は、私たちがどうしたらよいか教えてくださる。

そうしたら、そのとおりにしよう。」

その日には、

主がエルサレムから全世界を支配する。

エルサレムから主の教えが発せられ、

主のことばが告げられる。

3主は諸国の間を仲裁し、遠く離れた強国に指令を下す。

彼らは剣を鋤に、槍を鎌に打ち直し、

国々はもう争うことがない。

すべての戦争が終わるからだ。

平和が実現し、軍の士官学校や訓練場は閉鎖される。

4彼らはみな自分の家で、豊かで落ち着いた生活を営む。

恐れるものが何もないからだ。

主ご自身がそう約束している。

5それゆえ、たとえ回りの国々が偶像を拝んでも、

私たちの神、主に従おう。

神の計画

6やがてくるその日に、主は次のようにすると言います。

罰せられたご自分の民、すなわち、病弱な者、

足の悪い者、貧しい者を連れ戻し、

7彼らの地で再び強くし、強力な国とし、

主ご自身が永久に王となり、

シオンの山から支配すると。

8エルサレム、神の民の見張り塔よ。

あなたの王権と力は、以前のように回復される。

9だが、今は違う。

あなたはおびえて金切り声を上げる。

あなたを導く王はどこにいるか。

彼は死んだ。

賢い者たちはどこにいるか。

みないなくなった。

産みの苦しみをしている女のように、

苦痛があなたを捕らえて放さない。

10シオンの娘よ、激しい苦痛に、身もだえしてうめけ。

あなたはこの町を出て、野宿しなければならない。

遠くバビロンへ追放されるのだ。

だが、そこでわたしはあなたを救い出し、

敵の手から解放しよう。

11今、多くの国があなたに敵対して集まり、

あなたの血を求め、

滅ぼそうとやっきになっている。

12だが、彼らは主の考えを知らず、

主の計画を理解してもいない。

主がご自分の民の敵を、

脱穀される麦束のように寄せ集める時がくる。

イスラエルに対して、彼らは全く無力となる。

13シオンの娘よ、立って麦を打て。

わたしが鉄の角と青銅のひづめを与える。

多くの国々を踏みつけ、粉々にせよ。

そして彼らの富を、全地の主の主に、

ささげ物としてささげるのだ。