11:1 Yer 26:18; 2Pet 1:21; 1Nya 3:12-13; Hos 1:1; Isa 1:1Neno la Bwana lilimjia Mika, Mmoreshethi, wakati wa utawala wa Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda; ufunuo aliouona kuhusu Samaria na Yerusalemu.
21:2 Kum 4:26; 32:1; Yer 6:19; Mwa 31:50; Za 11:4; Isa 1:2Sikieni, enyi mataifa, enyi nyote,
sikilizeni, ee dunia na wote mliomo ndani yake,
ili Bwana Mwenyezi ashuhudie dhidi yenu,
Bwana kutoka Hekalu lake takatifu.
Hukumu Dhidi Ya Samaria Na Yerusalemu
31:3 Isa 18:4; 64:1; 26:21; Eze 3:12; Ebr 12:18, 19; Amo 4:13Tazama! Bwana anakuja kutoka mahali pake;
anashuka na kukanyaga
mahali palipoinuka juu pa dunia.
41:4 Za 46:2-6; Hes 16:31; Nah 1:5Milima inayeyuka chini yake
na mabonde yanagawanyika
kama nta mbele ya moto,
kama maji yatiririkayo kasi
kwenye mteremko.
51:5 Amo 8:14; Hos 5:5; Yer 2:18-19Yote haya ni kwa sababu ya kosa la Yakobo,
ni kwa sababu ya dhambi za nyumba ya Israeli.
Kosa la Yakobo ni lipi?
Je, sio Samaria?
Je, mahali pa juu pa Yuda pa kuabudia miungu ni nini?
Je, sio Yerusalemu?
61:6 Kum 20:6; Amo 5:11“Kwa hiyo nitaufanya Samaria kuwa lundo la kokoto,
mahali pa kuotesha mizabibu.
Nitayamwaga mawe yake katika bonde
na kuacha wazi misingi yake.
71:7 Eze 6:6; Kut 32:20; Kum 9:21; 23:17-18Sanamu zake zote
zitavunjwa vipande vipande;
zawadi zake zote za Hekalu
zitachomwa kwa moto;
nitaharibu vinyago vyake vyote.
Kwa kuwa alikusanya zawadi zake
kutokana na ujira wa kahaba,
nazo zitatumika tena
kulipa mishahara ya kahaba.”
Kulia Na Kuomboleza
81:8 Isa 15:3; 20:2Kwa ajili ya hili nitalia na kuomboleza;
nitatembea bila viatu na tena uchi.
Nitabweka kama mbweha
na kuomboleza kama bundi.
91:9 Yer 46:11; 10:19; 2Fal 18:13; Isa 3:26Kwa sababu jeraha lake halitibiki;
limekuja Yuda.
Limefika hasa kwenye lango la watu wangu,
hata Yerusalemu kwenyewe.
10Usiliseme hili huko Gathi;
usilie hata kidogo.
Huko Beth-le-Afra
gaagaa mavumbini.
111:11 Eze 23:29Piteni mkiwa uchi na wenye aibu,
ninyi mkaao Shafiri.
Wale waishio Saanani
hawatatoka nje.
Beth-Eseli iko katika maombolezo;
kinga yake imeondolewa kwako.
121:12 Yer 14:19; 40:2Wale waishio Marothi wanagaagaa kwa maumivu
wakingoja msaada,
kwa sababu maangamizi yamekuja
kutoka kwa Bwana,
hata katika lango la Yerusalemu.
131:13 Yos 10:3; Za 9:14Enyi mkaao Lakishi,
fungeni farasi kwenye magari ya vita.
Mlikuwa chanzo cha dhambi
kwa Binti Sayuni,
kwa kuwa makosa ya Israeli
yalikutwa kwako.
141:14 2Fal 16:8; Yos 15:44; Yer 15:18Kwa hiyo utaipa Moresheth-Gathi
zawadi za kuagana.
Mji wa Akzibu utaonyesha wazi udanganyifu
kwa wafalme wa Israeli.
151:15 Yos 15:44; 12:15Nitawaleteeni atakayewashinda
ninyi mnaoishi Maresha.
Yeye aliye utukufu wa Israeli
atakuja Adulamu.
161:16 Law 13:40; Ay 1:20; 2Fal 18:13; Amo 5:27; Kum 4:27Nyoeni nywele zenu katika kuomboleza
kwa ajili ya watoto wenu mnaowafurahia;
jifanyieni upara kama tai,
kwa kuwa watawaacha
na kwenda uhamishoni.
1Esta es la palabra que el Señor dirigió a Miqueas de Moréset, durante los reinados de Jotán, Acaz y Ezequías, reyes de Judá. Esta es la visión que tuvo acerca de Samaria y de Jerusalén.
La venida del Señor
2Escuchen, pueblos todos;
presten atención la tierra y todo lo que hay en ella.
Desde su santo templo
el Señor, el Señor y Dios,
será testigo en contra de ustedes.
3¡Miren! Ya sale el Señor de su morada;
ya baja y se encamina
hacia las alturas de la tierra.
4A su paso se derriten los montes
como la cera junto al fuego;
se agrietan los valles
como partidos por el agua de un torrente.
5Y todo esto por la transgresión de Jacob,
por los pecados del pueblo de Israel.
¿Acaso no representa Samaria
la transgresión de Jacob?
¿Y no es acaso en Jerusalén
donde están los altares paganos de Judá?
6Dejaré a Samaria hecha un montón de ruinas:
¡convertida en campo arado para viñedos!
Arrojaré sus piedras al valle
y pondré al descubierto sus cimientos.
7Todos sus ídolos serán hechos pedazos;
y todo tu pago será arrojado al fuego.
Yo destrozaré todas sus imágenes.
Lo que ganó como prostituta,
en paga de prostituta se convertirá.
Lamento de Miqueas
8Por eso lloraré y gritaré de dolor
y andaré descalzo y desnudo.
Aullaré como chacal
y gemiré como avestruz.
9Porque la herida de Samaria es incurable:
ha llegado hasta Judá.
Se ha extendido hasta mi pueblo,
¡hasta la entrada misma de Jerusalén!
10No lo anuncien en Gat,1:10 En hebreo, Gat suena como el verbo que significa anuncien.
no se entreguen al llanto.
En Bet Leafrá,1:10 En hebreo, Bet Leafrá significa casa de polvo.
revuélquense en el polvo.
11Habitantes de Safir,1:11 En hebreo, Safir significa placentero.
emigren desnudos y humillados.
Los habitantes de Zanán1:11 En hebreo, Zanán suena como el verbo que significa salir.
no se atrevieron a salir.
Bet Ésel está gimiendo,
y va a retirarles su apoyo.
12Se retuercen esperando el bien,
los habitantes de Marot;1:12 En hebreo, Marot suena como la palabra que significa amargura.
el Señor ha enviado el mal
hasta la entrada misma de Jerusalén.
13Habitantes de Laquis,1:13 En hebreo, Laquis suena como la palabra que significa corceles.
¡enganchen al carro los corceles!
Con ustedes comenzó el pecado de la hija de Sión;
en ustedes se hallaron los delitos de Israel.
14Por tanto, despídanse
de Moréset Gat.
Los edificios de la ciudad de Aczib1:14 En hebreo, Aczib significa engaño.
son una trampa para los reyes de Israel.
15Habitantes de Maresá,1:15 En hebreo, Maresá suena como la palabra que significa conquistador.
yo enviaré contra ustedes un conquistador
y hasta Adulán irán a parar
los nobles de Israel.
16Así que rasúrate la barba y rápate la cabeza;
haz duelo por tus amados hijos.
Agranda tu calva como la del buitre,
pues irán al exilio lejos de ti.