Mhubiri 12 – NEN & NASV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mhubiri 12:1-14

112:1 2Sam 19:35; Mhu 11:8Mkumbuke Muumba wako

siku za ujana wako,

kabla hazijaja siku za taabu,

wala haijakaribia miaka utakaposema,

“Mimi sifurahii hiyo”:

2kabla jua na nuru,

nao mwezi na nyota havijatiwa giza,

kabla ya kurudi mawingu baada ya mvua;

312:3 Mwa 27:1; Zek 8:4; Za 71:9siku ile walinzi wa nyumba watakapotetemeka,

nao watu wenye nguvu watakapojiinamisha,

wakati wasagao watakapokoma kwa sababu ya uchache,

nao wachunguliao madirishani kutiwa giza;

412:4 Yer 25:10; Mik 7:1wakati milango ya kuingia barabarani itakapofungwa

na sauti ya kusaga kufifia;

wakati watu wataamshwa kwa sauti ya ndege,

lakini nyimbo zao zote zikififia;

512:5 Ay 10:21; 17:13; Yer 9:17; Amo 5:16wakati watu watakapoogopa kilichoinuka juu

na hatari zitakazokuwepo barabarani;

wakati mlozi utakapochanua maua

na panzi kujikokota

nawe usiwe na shauku ya kitu chochote.

Ndipo mwanadamu aiendea nyumba yake ya milele

nao waombolezaji wakizunguka barabarani.

6Mkumbuke Muumba wako: kabla haijakatika kamba ya fedha,

au bakuli la dhahabu halijavunjika;

kabla mtungi kuvunjika kwenye chemchemi,

au gurudumu kuvunjika kisimani,

712:7 Mwa 2:7; Ay 20:8; 34:15; Mhu 3:21; Za 146:4nayo mavumbi kurudi ardhini yalikotoka,

na roho kurudi kwa Mungu aliyeitoa.

8Mhubiri asema, “Ubatili! Ubatili!

Kila kitu ni ubatili!”

Hitimisho La Mambo

912:9 1Fal 4:32Mhubiri hakuwa tu na hekima, bali aliwagawia watu maarifa pia. Alitafakari na kutafiti na akaweka katika utaratibu mithali nyingi. 1012:10 Mit 22:20-21Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.

1112:11 Ezr 9:8; Ay 6:25Maneno ya wenye hekima ni kama mchokoro, mithali zao zilizokusanywa pamoja ni kama misumari iliyogongomewa ikawa imara, yaliyotolewa na Mchungaji mmoja. 12Tena zaidi ya hayo, mwanangu, kubali maonyo, hakuna mwisho wa kutunga vitabu vingi, nako kusoma sana huuchosha mwili.

1312:13 Mik 6:8; Kum 4:2-6; 10:12; Kut 20:20; 1Sam 12:24; Ay 23:15; Za 19:9Hii ndiyo jumla ya maneno;

yote yamekwisha sikiwa:

Mche Mungu, nawe uzishike amri zake,

maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu.

1412:14 Mt 10:26; Ay 19:26; 34:21; Mhu 3:17; Za 19:12; Yer 16:17Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi,

pamoja na kila neno la siri,

likiwa jema au baya.

New Amharic Standard Version

መክብብ 12:1-14

1የጭንቀት ጊዜ ሳይመጣ፣

“ደስ አያሰኙኝም”

የምትላቸው ዓመታት ሳይደርሱ፣

በወጣትነትህ ጊዜ፣ ፈጣሪህን ዐስብ።

2ፀሓይና ብርሃን፣

ጨረቃና ከዋክብት ሳይጨልሙ፣

ደመናትም ከዝናብ በኋላ ሳይመለሱ፣

3ቤት ጠባቂዎች ሲርዱ፣

ብርቱዎች ሲጐብጡ፣

ጥቂት በመሆናቸው ፈጪታዎች ሲያቆሙ፣

በመስኮት የሚያዩትም ሲፈዝዙ፣

4ወደ አደባባይ የሚያወጡ በሮች ሲዘጉ፣

ወፍጮ ሟልጦ ድምፁ ሲላሽ፣

ሰው በወፍ ድምፅ ሲነሣ፣

ዝማሬው ሁሉ ሲዳከም፤

5ዳገት መውጣት ሲያርድ፣

መንገድም ሲያስፈራ፣

የለውዝ ዛፍ ሲያብብ፣

አንበጣም ራሱን ሲጐትት፣

ፍላጎት ሲጠፋ፤

በዚያም ጊዜ ሰው ወደ ዘላለማዊ ቤቱ ይሄዳል፤

አልቃሾችም በአደባባዮች ይዞራሉ።

6የብር ሰንሰለት ሳይበጠስ፣

የወርቅ ሳሕንም ሳይሰበር፣

የውሃ መቅጃው በምንጩ አጠገብ ሳይከሰከስ፣

ወይም መንኰራኵሩ በውሃ ጕድጓድ ላይ ሳይሰበር፣

7ዐፈር ወደ መጣበት መሬት ሳይመለስ፣

መንፈስም ወደ ሰጠው ወደ እግዚአብሔር ሳይመለስ፣

ፈጣሪህን ዐስብ።

8ሰባኪው12፥8 ወይም የጉባኤ መሪ እንዲሁም በ9 እና 10 “ከንቱ ከንቱ

ሁሉም ነገር ከንቱ ነው!” ይላል።

የነገሩ ፍጻሜ

9ሰባኪው ጥበበኛ ብቻ አልነበረም፤ ነገር ግን ለሕዝቡ ዕውቀትንም ያስተምር ነበር። እርሱም በጥልቅ ዐሰበ፤ ተመራመረም፤ ብዙ ምሳሌዎችንም በሥርዐት አዘጋጀ። 10ሰባኪው ትክክለኛውን ቃል ለማግኘት ተመራመረ፤ የጻፈውም ቅንና እውነት ነበረ።

11የጠቢባን ቃላት እንደ ሹል የከብት መንጃ ናቸው፤ የተሰበሰቡ አባባሎቹም እጅግ ተቀብቅበው እንደ ገቡ ችንካሮች ሲሆኑ፣ ከአንድ እረኛ የተሰጡ ናቸው። 12ልጄ ሆይ፤ ከዚህ ሁሉ በላይ በማንኛውም ነገር ተጠንቀቅ፤ አንዳችም አትጨምር።

ብዙ መጻሕፍትን መጻፍ ማብቂያ የለውም፤ ብዙ ማጥናትም ሰውነትን ያደክማል።

13እነሆ፤ ሁሉ ነገር ከተሰማ ዘንድ፣

የነገሩ ሁሉ ድምዳሜ ይህ ነው፤

እግዚአብሔርን ፍራ፤ ትእዛዞቹንም ጠብቅ፤

ይህ የሰው ሁለንተናዊ ተግባሩ ነውና።

14መልካምም ይሁን ክፉ፣

ስውር የሆነውን ነገር ሁሉ አንድ ሳይቀር፣

ማንኛውንም ሥራ እግዚአብሔር ወደ ፍርድ ያመጣዋልና።