Kutoka 38 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 38:1-31

Madhabahu Ya Sadaka Ya Kuteketezwa

(Kutoka 27:1-8)

138:1 Kut 27:1; 2Nya 29:23, 24; Za 51:15-19; Isa 61:8; Eze 44:11; 45:17; Ebr 9:14; 13:10Akatengeneza madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa mbao za mti wa mshita, kimo chake dhiraa tatu;38:1 Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35. nayo ilikuwa mraba, urefu wake dhiraa tano, na upana wa dhiraa tano38:1 Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25. 238:2 2Nya 1:5; 1Fal 7:45Akatengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu zikawa zimeungana, akafunika madhabahu kwa shaba. 338:3 Kut 31:9; 35:16Akatengeneza vyombo vyake vyote kwa shaba: vyungu vyake vya kuondolea majivu, masepetu, mabakuli ya kunyunyizia, uma za nyama na vyombo vya kuchukulia moto. 4Akatengeneza wavu wa shaba chini ya ukingo wa madhabahu ili ufikie nusu ya kimo cha madhabahu. 5Akasubu pete za shaba za kushikilia ile mipiko kwa ajili ya zile pembe nne za huo wavu wa shaba. 6Akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuifunika kwa shaba. 7Akaiingiza ile mipiko kwenye zile pete, ili iwe pande mbili za madhabahu kwa ajili ya kuibeba. Akaitengeneza madhabahu yenye uvungu ndani yake akitumia mbao.

Sinia La Kunawia

(Kutoka 30:18)

838:8 Kut 30:18; 40:7; Kum 23:17; 1Sam 2:22; 1Fal 14:24; 2Fal 16:17; 2Nya 4:2; Za 26:6; Zek 13:1; Eze 36:25; 2Kor 7:1; Ebr 10:22; 1Yn 5:6Akatengeneza sinia la shaba lenye kitako cha shaba kutoka kwa vioo vya shaba vilivyotolewa na wanawake waliohudumu pale ingilio la Hema la Kukutania.

Ua Wa Hema La Kukutania

(Kutoka 27:9-19)

938:9 Kut 27:9; Za 84:2; 92:13Kisha akatengeneza ua. Upande wa kusini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja,38:9 Dhiraa 100 ni sawa na mita 45. na ulikuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri, 10pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo. 11Upande wa kaskazini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja, pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

12Upande wa mwisho wa magharibi ulikuwa na upana wa dhiraa hamsini38:12 Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5. na ulikuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo. 13Upande wa mwisho wa mashariki jua linakochomoza, pia ulikuwa na upana wa dhiraa hamsini. 14Mapazia yenye urefu wa dhiraa kumi na tano38:14 Dhiraa 15 ni sawa na mita 6.75. yalikuwa upande mmoja wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu. 15Mapazia yenye urefu wa dhiraa kumi na tano yalikuwa upande mwingine wa ingilio la ua, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu. 16Mapazia yote yaliyozunguka ua yalikuwa ya kitani iliyosokotwa vizuri. 17Vitako vya nguzo vilikuwa vya shaba. Kulabu na tepe juu ya nguzo zilikuwa za fedha, na ncha zake zilifunikwa kwa fedha. Kwa hiyo nguzo zote za ua zilikuwa na tepe za fedha.

1838:18 2Nya 3:14Pazia la ingilio la ua lilikuwa la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. Pazia hilo lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini kama zile za kwenye ua, na kimo chake kilikuwa dhiraa tano, 19likiwa na nguzo nne na vitako vinne vya shaba. Kulabu zake na tepe zake zilikuwa za fedha, na ncha zake zilikuwa zimefunikwa kwa fedha. 2038:20 Kut 35:18; 38:20; 27:10; 2Nya 3:9; Ezr 9:8; Isa 22:23; Efe 2:21, 22Vigingi vyote vya maskani na vya ua ulioizunguka vilikuwa vya shaba.

Vifaa Vilivyotumika

2138:21 Hes 1:50-53; 8:24; 9:15; 10:11; 17:7; 1Nya 23:32; 2Nya 24:6; Mdo 7:44; Ufu 15:5; Hes 4:28-33Ifuatayo ni orodha ya vifaa vilivyotumika kwa ajili ya ujenzi wa maskani, maskani ya Ushuhuda, ambavyo vilitayarishwa na Walawi kama alivyoagiza Mose, chini ya usimamizi wa Ithamari, mwana wa kuhani Aroni. 2238:22 Kut 31:2(Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda, alifanya kila kitu Bwana alichomwamuru Mose, 2338:23 Kut 31:6akiwa pamoja na Oholiabu mwana wa Ahisamaki, wa kabila la Dani, fundi stadi wa kutia nakshi, kubuni michoro, mtarizi kwa rangi ya buluu, ya zambarau, nyekundu na kitani safi.) 2438:24 Kut 30:12-16; 12:37; Hes 3:47Jumla ya dhahabu iliyopatikana kutokana na sadaka ya kuinuliwa kwa ajili ya kazi ya mahali patakatifu ilikuwa na uzito wa talanta 29 na shekeli 730,38:24 Talanta 29 na shekeli 730 ni sawa na tani moja. kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.

2538:25 Kut 12:37; 30:12Fedha iliyopatikana kutokana na jumuiya ya watu waliohesabiwa ilikuwa yenye uzito wa talanta mia moja na shekeli 1,775,38:25 Talanta 100 na shekeli 1,775 za fedha ni sawa na tani 3.4. kulingana na shekeli ya mahali patakatifu. 2638:26 Kut 30:12-16; 12:36-37; Hes 1:46Kila mtu alitoa beka moja, ambayo ni sawa na nusu shekeli ya fedha, kwa kazi ya mahali patakatifu, kutoka kwa kila mtu aliyekuwa amehesabiwa mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi, ambao jumla yao walikuwa wanaume 603,550. 2738:27 Kut 26:19Talanta hizo 100 za fedha zilitumika kusubu vile vitako mia moja kwa ajili ya mahali patakatifu na pazia: vitako mia moja kwa talanta mia, yaani, talanta moja kwa kila kitako. 28Akatumia zile shekeli hizo 1,775 kutengeneza kulabu za nguzo, kufunika ncha za nguzo na kutengeneza vitanzi vyake.

29Shaba iliyopatikana kutokana na sadaka ya kuinuliwa ilikuwa na uzito wa talanta 70 na shekeli 2,400.38:29 Talanta 70 na shekeli 2,400 ni sawa na tani 2.4. 30Akaitumia hiyo shaba kutengeneza vitako vya ingilio la Hema la Kukutania, madhabahu ya shaba pamoja na ule wavu wake na vyombo vyake vyote, 3138:31 Kut 27:19; 2Nya 3:9; Ezr 9:8; Isa 22:23; Efe 2:21, 22vile vitako vya ule ua uliozunguka na vile vya ingilio, na vigingi vyote vya Maskani pamoja na ule ua uliozunguka.

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Исход 38:1-31

Жертвенник для всесожжений

(Исх. 27:1-8)

1Бецалил сделал из акации жертвенник для всесожжений. Он был квадратным: два с четвертью метра в длину, два с четвертью метра в ширину, а в высоту он был один метр тридцать пять сантиметров38:1 Букв.: «пять… три локтя».. 2Ещё сделал по рогу на каждом из его четырёх углов так, что рога и жертвенник составляли одно целое, и покрыл жертвенник бронзой. 3Из бронзы сделал всю его утварь: горшки, лопатки, кропильные чаши, вилки для мяса и противни. 4Он сделал для него решётку – бронзовую сетку – вровень с краями жертвенника, на середине его высоты, 5отлил бронзовые кольца для шестов на четырёх углах бронзовой решётки. 6Потом из акации сделал шесты и покрыл их бронзой. 7Он вложил шесты в кольца так, чтобы они были по обеим сторонам, чтобы можно было носить жертвенник из досок, который был полым внутри.

Бронзовый умывальник

(Исх. 30:18)

8Бецалил сделал бронзовый умывальник с бронзовым основанием из зеркал женщин, служащих при входе в шатёр встречи.

Двор священного шатра

(Исх. 27:9-19)

9Затем Бецалил сделал двор. Южная сторона была сорок пять метров38:9 Букв.: «сто локтей»; также в ст. 11. в длину, отделённая завесами из кручёного льна 10с двадцатью столбами на бронзовых основаниях и с серебряными крюками и соединениями на столбах. 11Северная сторона также была сорок пять метров в длину с двадцатью столбами на бронзовых основаниях и с серебряными крюками и соединениями на столбах.

12Западная сторона была двадцать два с половиной метра38:12 Букв.: «пятьдесят локтей»; также в ст. 13. в ширину, отгороженная завесами с десятью столбами на основаниях и с серебряными крюками и соединениями на столбах. 13Восточная сторона также была двадцать два с половиной метра в ширину. 14-15На каждой стороне от входа были завесы по шесть метров семьдесят пять сантиметров38:14-15 Букв.: «пятнадцать локтей». в длину с тремя столбами на основаниях. 16Все завесы вокруг двора были из кручёного льна. 17Основания для столбов были бронзовыми, крюки и соединения на столбах – серебряными, а их верхушки – посеребрёнными. Все столбы двора имели серебряные связки.

18Завеса к входу во двор была из голубой, пурпурной и алой пряжи и кручёного льна, украшенная шитьём. Она была девять метров в ширину и два с четвертью метра38:18 Букв.: «двадцать… пять локтей». в высоту, вровень с завесами двора, 19и для неё четыре столба на бронзовых основаниях. Крюки и соединения столбов были серебряными, а верхушки посеребрёнными. 20Все колья для священного шатра и окружающего двора были бронзовыми.

Опись материалов

21Вот опись того, что было израсходовано на постройку священного шатра – шатра соглашения, – составленная по повелению Мусы левитами под началом Итамара, сына священнослужителя Харуна. 22(Бецалил, сын Ури, внук Хура, из рода Иуды, сделал всё, как повелел Мусе Вечный; 23с ним был Ахолиав, сын Ахисамаха, из рода Дана – ремесленник, художник и вышивальщик по голубой, пурпурной и алой ткани и тонкому льну.) 24Золота, принесённого в дар на работы в святилище, было более тонны38:24 Букв.: «двадцать девять талантов и семьсот тридцать шекелей, шекелей святилища»..

25Серебра от членов общества, прошедших перепись, было более трёх с половиной тонн38:25 Букв.: «сто талантов и тысяча семьсот семьдесят пять шекелей, шекелей святилища».. 26Со всех мужчин от двадцати лет и старше, кто прошёл перепись (всего шестьсот три тысячи пятьсот пятьдесят мужчин), было собрано по шесть граммов серебра с человека38:26 Букв.: «одна бека с человека, то есть половина шекеля, шекеля святилища».. 27Три тонны шестьсот килограммов серебра пошли на литьё оснований для святилища и завесы: по тридцать шесть килограммов38:27 Букв.: «сто талантов… один талант». серебра на каждое из ста оснований. 28А оставшиеся двадцать с половиной килограммов38:28 Букв.: «тысяча семьсот семьдесят пять шекелей». серебра ушло на то, чтобы сделать крюки для столбов, покрыть верхушки столбов и сделать их соединения.

29Пожертвованной бронзы было более двух с половиной тонн38:29 Букв.: «семьдесят талантов и две тысячи четыреста шекелей».. 30Она пошла на основания для входа в шатёр встречи, бронзовый жертвенник с бронзовой решёткой и всю его утварь, 31на основания для двора и для входа в него и на все колья для священного шатра и двора.