Kutoka 37 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 37:1-29

Sanduku La Agano

(Kutoka 25:10-22)

137:1 Kut 31:2; 30:6; 39:35; Kum 10:3; Kut 35:30; 25:10Bezaleli akatengeneza Sanduku la mbao za mshita: urefu wake ulikuwa dhiraa mbili na nusu,37:1 Dhiraa moja na nusu ni sawa na mita 1.13. upana wake dhiraa moja na nusu, na kimo chake dhiraa moja na nusu. 2Akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulizungushia ukingo wa dhahabu. 3Akasubu pete nne za dhahabu na kuzifungia kwenye miguu yake minne, pete mbili kwa upande mmoja na pete mbili kwa upande mwingine. 437:4 Hes 4:6Kisha akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu. 537:5 Hes 1:50; 2Sam 6:3Akaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba.

637:6 Kut 26:34; 31:7; Ebr 9:5; Kut 25:17Akatengeneza kifuniko cha upatanisho kwa dhahabu safi: urefu wake ulikuwa dhiraa mbili na nusu, na upana wake dhiraa moja na nusu. 737:7 Eze 41:18Kisha akatengeneza makerubi wawili wa dhahabu iliyofuliwa katika miisho ya hicho kifuniko. 8Akatengeneza kerubi mmoja kwenye mwisho mmoja, na kerubi mwingine kwenye mwisho mwingine; akawatengeneza kuwa kitu kimoja na hicho kifuniko katika miisho hiyo miwili. 937:9 Ebr 9:5; Kum 10:3; Mwa 3:24; Kut 25:22; 1Fal 6:23; 2Nya 3:10; Za 80:1; Eze 1:5-28; 10:1; Yn 1:51; Flp 2:10; 1Tim 3:16; 1Pet 1:12Makerubi hao walikuwa wametandaza mabawa kuelekea juu, wakitia kivuli hicho kifuniko. Makerubi hao walielekeana, wakitazama hicho kifuniko.

Meza

(Kutoka 25:23-30)

1037:10 Kum 31:8; Ebr 9:2; Kut 15:23; Mal 1:7, 12Akatengeneza meza ya mbao za mshita yenye urefu wa dhiraa mbili,37:10 Dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90. upana wa dhiraa moja,37:10 Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45. na kimo cha dhiraa moja na nusu. 11Kisha akaifunika kwa dhahabu safi, na kuitengenezea ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote. 12Pia akatengeneza upapi wenye upana wa nyanda nne,37:12 Nyanda nne ni sawa na sentimita 8. na kuufanyia ule upapi ukingo wa dhahabu kuuzunguka pande zote. 13Akasubu pete nne za dhahabu kwa ajili ya meza hiyo, na kuzifungia kwenye pembe nne, pale penye miguu yake minne. 1437:14 Ebr 9:4Pete hizo ziliwekwa karibu na ukingo ule ili kuishikilia ile mipiko iliyotumika kuibebea hiyo meza. 15Mipiko hiyo ya kubebea meza ilitengenezwa kwa mti wa mshita, na ilikuwa imefunikwa kwa dhahabu. 1637:16 Kut 25:29Vyombo vyote vya mezani vilitengenezwa kwa dhahabu safi: yaani sahani zake, masinia, na bakuli na bilauri zake kwa ajili ya kumiminia sadaka za vinywaji.

Kinara Cha Taa

(Kutoka 25:31-40)

1737:17 Ebr 9:2; Ufu 1:12; Kut 25:31; Law 24:4; 1Nya 28:15; Zek 4:2; Mt 5:15, 16; Yn 5:35; Flp 2:15; 1Pet 2:9; Ufu 1:20Akatengeneza kinara cha taa cha dhahabu safi iliyofuliwa vizuri katika kitako chake na ufito wake; vikombe vyake vilivyofanana na ua, matovu na maua vilikuwa kitu kimoja. 18Matawi sita yalitokeza kuanzia ule ufito wa katikati wa kinara cha taa: matawi matatu upande mmoja na matatu upande mwingine. 19Vikombe vitatu vya mfano wa maua ya mlozi yenye matovu na maua vilikuwa katika tawi moja, vikombe vitatu katika tawi jingine, na vivyo hivyo kwa matawi yote sita yaliyotokeza kwenye kile kinara cha taa. 2037:20 Hes 17:8; Yer 1:11Juu ya kinara chenyewe kulikuwepo na vikombe vinne vya mfano wa maua ya mlozi yakiwa na matovu yake na maua yake. 21Tovu moja lilikuwa chini ya jozi ya kwanza ya matawi yaliyotokeza kwenye kinara cha taa, tovu la pili chini ya jozi ya pili, nalo tovu la tatu chini ya jozi ya tatu, yaani, matawi sita kwa jumla. 2237:22 Hes 8:4Matovu na matawi yote yalikuwa kitu kimoja na kile kinara cha taa, yakiwa yamefuliwa kwa dhahabu safi.

2337:23 Kut 40:4, 25; Ufu 1:20; 4:5Akatengeneza taa zake saba, na pia mikasi ya kusawazishia tambi, pamoja na masinia, zote kwa dhahabu safi. 24Akatengeneza kinara hicho cha taa pamoja na vifaa vyake vyote kutumia talanta37:24 Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34. moja ya dhahabu safi.

Madhabahu Ya Kufukizia Uvumba

(Kutoka 30:1-5)

2537:25 Kut 30:34-36; Lk 1:11; Ebr 9:4; Ufu 8:3; Kut 27:2; Ufu 9:13; 1Fal 9:25; 1Nya 29:6, 7; Isa 60:6; Mal 1:11; 1Pet 2:5Akatengeneza madhabahu ya kufukizia uvumba kwa mbao za mshita. Ilikuwa ya mraba, urefu na upana wake dhiraa moja, na kimo cha dhiraa mbili, nazo pembe zake zilikuwa kitu kimoja nayo. 26Akafunika hayo madhabahu juu na pande zote na pia zile pembe zake kwa dhahabu safi, na akayafanyizia ukingo wa dhahabu kuizunguka. 27Akatengeneza pete mbili za dhahabu kwa ajili ya madhabahu chini ya huo ukingo, zikiwa mbili kila upande, za kushikilia hiyo mipiko iliyotumika kuyabebea madhabahu. 2837:28 Kut 25:13Akatengeneza mipiko kwa miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.

2937:29 Kut 31:11; 30:1, 25; 39:38; Isa 61:1; 11:2; Za 133:2; 1Yn 2:20; Za 141:2; Wim 4:14; Mal 1:11; Ebr 5:7; 7:25; Ufu 5:8; 8:3, 4Pia akatengeneza mafuta matakatifu ya upako, na uvumba safi wenye harufu nzuri, kazi ya mtengeneza manukato.

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Исход 37:1-29

Сундук соглашения

(Исх. 25:10-22)

1Бецалил сделал сундук из акации, сто двенадцать сантиметров длиной и по семьдесят сантиметров37:1 Букв.: «два с половиной… полтора локтя»; также в ст. 6. шириной и высотой. 2Он покрыл его чистым золотом внутри и снаружи и сделал вокруг него золотой ободок; 3отлил для него четыре золотых кольца и укрепил их на его нижних углах, по два с каждой стороны. 4Ещё сделал из акации шесты, позолотил их 5и вложил в кольца на обеих сторонах сундука, чтобы можно было его носить.

6Также сделал крышку искупления из чистого золота, сто двенадцать сантиметров длиной и семьдесят сантиметров шириной. 7Затем сделал двух золотых херувимов кованой работы по краям крышки: 8одного херувима на одном краю, а второго – на другом. Он соединил их с крышкой на обоих её краях так, что они образовали одно целое. 9Херувимы простирали крылья вверх, закрывая ими крышку искупления, и были обращены друг к другу, лицом к крышке.

Стол для священного хлеба

(Исх. 25:23-30)

10Бецалил сделал из акации стол, девяносто сантиметров длиной, сорок пять сантиметров шириной и семьдесят сантиметров37:10 Букв.: «два… один… полтора локтя». высотой. 11Покрыл его чистым золотом и сделал вокруг него золотой ободок. 12Сделал по его краям стенку высотой восемь сантиметров37:12 Букв.: «одна ладонь». и обвёл её золотым ободком. 13Для стола отлил четыре золотых кольца и укрепил их на углах, у ножек. 14Кольца были близко к краям, чтобы можно было держать шесты для переноски стола. 15Шесты для переноски были сделаны из акации и позолочены. 16Ещё он сделал из чистого золота утварь стола: тарелки и блюда, чаши и кувшины для жертвенных возлияний.

Золотой светильник

(Исх. 25:31-40)

17Бецалил сделал светильник из чистого золота: выковал его, его основание и ножку, а его чашечки, бутоны и лепестки составляли с ним одно целое. 18Шесть ветвей выходили по бокам светильника: три на одну сторону и три – на другую. 19Три чашечки в виде цветов миндаля с бутонами и лепестками были на одной ветке, три – на другой, и так было на всех шести ветвях светильника. 20На самом светильнике были четыре чашечки в виде цветов миндаля с бутонами и лепестками. 21Один бутон был под первой парой ветвей, что выходили из светильника, второй – под второй парой, третий – под третьей парой, и так под всеми шестью ветвями. 22Бутоны и ветви, выкованные из чистого золота, составляли одно целое со светильником.

23Он сделал семь лампад, щипцы для фитилей, лотки из чистого золота 24и светильник. На всю его утварь ушло тридцать шесть килограммов37:24 Букв.: «один талант». чистого золота.

Жертвенник для возжигания благовоний

(Исх. 30:1-5, 22-38)

25Бецалил сделал из акации жертвенник для возжигания благовоний. Он был квадратным: по сорок пять сантиметров в длину и ширину, а в высоту он был девяносто сантиметров37:25 Букв.: «один… один… два локтя».. Его рога составляли с ним одно целое. 26Он покрыл чистым золотом его верхушку, стороны и рога и сделал золотой ободок вокруг жертвенника. 27Под ободком с двух противоположных сторон сделал два золотых кольца, чтобы держать шесты, на которых его будут носить. 28Шесты были сделаны из акации и позолочены.

29Ещё он сделал священное масло для помазания и чистый искусно приготовленный благовонный состав.