Isaya 37 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 37:1-38

Kuokolewa Kwa Yerusalemu Kunatabiriwa

(2 Wafalme 19:1-7)

137:1 2Nya 34:19; Mwa 37:34; 1Fal 8:33; Mt 21:13Mfalme Hezekia aliposikia haya, akararua nguo zake na kuvaa nguo ya gunia, naye akaenda katika Hekalu la Bwana. 237:2 2Fal 22:14; Isa 13:1; 36:3; 2Fal 18:18Akawatuma Eliakimu msimamizi wa nyumba ya mfalme, Shebna mwandishi, na viongozi wa makuhani, wote wakiwa wamevaa nguo za magunia, waende kwa nabii Isaya mwana wa Amozi. 337:3 Isa 66:9; Hos 13:13; 2Fal 19:3; Amu 6:2; Isa 5:30; 26:18Wakamwambia, “Hili ndilo asemalo Hezekia: Siku hii ni siku ya dhiki, ya kukaripiwa na ya aibu, kama wakati watoto wanapofikia karibu kuzaliwa na kumbe hakuna nguvu ya kuwazaa. 437:4 Yak 5:14-15; Isa 36:13, 18-20; Amo 7:2; 2Nya 32:17; Yos 3:10; 1Sam 7:8Yamkini Bwana, Mungu wako atayasikia maneno ya jemadari wa jeshi, ambaye bwana wake, mfalme wa Ashuru, amemtuma kumdhihaki Mungu aliye hai, tena kwamba atamkemea kwa maneno ambayo Bwana, Mungu wako ameyasikia. Kwa hiyo omba kwa ajili ya mabaki ambao bado wako.”

5Maafisa wa Mfalme Hezekia walipofika kwa Isaya, 637:6 Yos 1:9; Isa 7:4; Hes 15:30Isaya akawaambia, “Mwambieni bwana wenu, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Usiogope kwa hayo uliyoyasikia, yale maneno ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana nayo. 737:7 Isa 31:8; 1Nya 5:26Sikiliza! Nitatia roho fulani ndani yake ili kwamba atakaposikia taarifa fulani, atarudi nchi yake mwenyewe, nami huko nitafanya auawe kwa upanga.’ ”

837:8 Hes 33:20; Neh 11:30; Yer 34:7; Yos 10:3Jemadari wa jeshi aliposikia kwamba mfalme wa Ashuru ameondoka Lakishi, alirudi, akamkuta mfalme akipigana na Libna.

937:9 2Nya 32:11; Isa 20:3Basi Senakeribu akapata taarifa kwamba Tirhaka, Mkushi mfalme wa Misri, alikuwa anaenda kupigana naye. Aliposikia jambo hili akatuma wajumbe kwa Hezekia na neno hili: 1037:10 2Nya 32:11, 15; Isa 36:15“Mwambieni Hezekia mfalme wa Yuda: Usikubali huyo Mungu unayemtumainia akudanganye wakati anaposema, ‘Yerusalemu haitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.’ 1137:11 Isa 36:18-20Hakika umesikia yale ambayo wafalme wa Ashuru wametenda kwa nchi zote, wakiwaangamiza kabisa. Je, wewe utaokolewa? 1237:12 Mwa 12:1-4; Mdo 7:2; 2Fal 18:11Je, miungu ya mataifa ambayo yaliangamizwa na baba zangu iliweza kuwaokoa? Yaani miungu ya Gozani, Harani, Resefu, na ya watu wa Edeni waliokuwa Telasari? 1337:13 Isa 10:9; 2Fal 17:24; Isa 36:20Yuko wapi mfalme wa Hamathi, mfalme wa Arpadi, mfalme wa mji wa Sefarvaimu, au wa Hena au wa Iva?”

Maombi Ya Hezekia

1437:14 2Nya 32:17; 1Fal 8:33Hezekia akapokea barua kutoka kwa wale wajumbe naye akaisoma. Kisha akapanda katika Hekalu la Bwana, akaikunjua mbele za Bwana. 1537:15 2Nya 32:20Naye Hezekia akamwomba Bwana akisema: 1637:16 Kum 10:17; Za 46:10; Kut 25:22; Mwa 3:24; Za 86:10; Dan 4:34; Mdo 4:24“Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, uketiye juu ya kiti cha enzi kati ya makerubi, wewe peke yako ndiwe Mungu juu ya falme zote za dunia. Wewe umeumba mbingu na nchi. 1737:17 Dan 9:18; Yer 25:29; 2Nya 6:40; 1Fal 8:29; 2Nya 32:17Tega sikio, Ee Bwana, usikie; fungua macho yako, Ee Bwana, uone; sikiliza maneno yote ambayo Senakeribu ametuma kumtukana Mungu aliye hai.

1837:18 2Fal 15:29; Nah 2:11-12“Ni kweli, Ee Bwana, kwamba wafalme wa Ashuru wameyaangamiza mataifa haya yote pamoja na nchi zao. 1937:19 Isa 36:20; Yer 2:11; Gal 4:8; Yos 7:15; Isa 26:14; 2Nya 13:9; Isa 40:18-20; 44:9-11Wameitupa miungu yao kwenye moto na kuiangamiza, kwa kuwa haikuwa miungu, bali miti na mawe tu, iliyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu. 2037:20 1Sam 17:46; Za 46:10; Mit 20:22; Yos 4:24Sasa basi, Ee Bwana Mungu wetu, tuokoe kutoka mkononi mwake, ili kwamba falme zote duniani zipate kujua kwamba wewe peke yako, Ee Bwana, ndiwe Mungu.”

Kuanguka Kwa Senakeribu

(2 Wafalme 19:20-37)

2137:21 Isa 37:2Kisha Isaya mwana wa Amozi akapeleka ujumbe kwa Hezekia, akasema: “Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: Kwa sababu umeniomba kuhusu Senakeribu mfalme wa Ashuru, 2237:22 Isa 23:12; 10:32; Ay 16:4hili ndilo neno ambalo Bwana amelisema dhidi yake:

“Bikira binti Sayuni anakudharau na kukudhihaki.

Binti Yerusalemu anatikisa kichwa chake unapokimbia.

2337:23 Hes 15:30; Dan 7:25; Isa 2:11; 52:5; Eze 36:20-23; Ay 15:25; Isa 12:6Ni nani uliyemtukana na kumkufuru?

Ni nani uliyeinua sauti yako dhidi yake,

na kumwinulia macho yako kwa kiburi?

Ni dhidi ya yule Aliye Mtakatifu wa Israeli!

2437:24 Isa 14:8; 36:9; 1Fal 5:8-10; Isa 14:5, 13; 41:19; Hos 14:8Kupitia kwa wajumbe wako

umelundika matukano juu ya Bwana.

Nawe umesema,

‘Kwa magari yangu mengi ya vita,

nimepanda juu ya vilele vya milima,

vilele vya juu sana katika Lebanoni.

Nami nimeiangusha mierezi yake mirefu,

misunobari yake iliyo bora sana.

Nimefikia sehemu zake zilizoinuka juu sana,

misitu yake iliyo mizuri sana.

2537:25 Kum 11:10; Dan 4:30; Isa 19:6; 44:27; 10:14Nimechimba visima katika nchi za kigeni

na kunywa maji yake.

Kwa nyayo za miguu yangu

nimekausha vijito vyote vya Misri.’

2637:26 Mdo 4:27-28; 1Pet 2:8; Isa 25:1-2; Kum 13:16; Mdo 2:23; Isa 10:6“Je, hujasikia?

Zamani sana niliamuru hili.

Siku za kale nilipanga hili;

sasa nimelifanya litokee,

kwamba umegeuza miji yenye ngome

kuwa malundo ya mawe.

2737:27 Isa 15:6; Za 129:6Watu wa miji hiyo wameishiwa nguvu,

wanavunjika mioyo na kuaibishwa.

Wao ni kama mimea katika shamba,

kama machipukizi mororo ya kijani,

kama majani yachipuayo juu ya paa la nyumba,

ambayo hukauka kabla ya kukua.

2837:28 Za 139:1-3; 2:1“Lakini ninajua mahali ukaapo,

kutoka kwako na kuingia kwako,

na jinsi unavyoghadhibika dhidi yangu.

2937:29 Isa 10:12; Ay 41:2; 40:24; Eze 38:4; Amo 4:2; 2Nya 33:11Kwa sababu unaghadhibika na ufidhuli dhidi yangu,

na kwa sababu ufidhuli wako umefika masikioni mwangu,

nitaweka ndoana yangu puani mwako

na hatamu yangu kinywani mwako,

nami nitakufanya urudi kwa njia ile uliyoijia.

3037:30 Isa 20:3; 32:10; 16:14; Law 25:4; Yer 31:5; Za 107:37“Hii ndiyo itakuwa ishara kwako, ee Hezekia:

“Mwaka huu utakula kile kiotacho chenyewe,

na mwaka wa pili utakula kutoka machipukizi yake.

Lakini katika mwaka wa tatu panda na uvune,

panda mashamba ya mizabibu na ule matunda yake.

3137:31 Isa 27:6; 11:10Mara nyingine tena mabaki ya nyumba ya Yuda

wataeneza mizizi chini na kuzaa matunda juu.

3237:32 Isa 11:11; 1:9; 9:7Kwa kuwa kutoka Yerusalemu watakuja mabaki,

na kutoka Mlima Sayuni kundi la walionusurika.

Wivu wa Bwana Mwenye Nguvu Zote,

ndio utatimiza jambo hili.

3337:33 Isa 32:18; 2Sam 20:15“Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana kuhusu mfalme wa Ashuru:

“Hataingia katika mji huu

wala hatapiga mshale hapa.

Hatakuja mbele yake na ngao

wala kupanga majeshi kuuzingira.

3437:34 Isa 37:29Kwa njia ile aliyoijia ndiyo atakayorudi;

hataingia katika mji huu,”

asema Bwana.

3537:35 Isa 31:5; 38:6; Eze 48:9-11; 36:21-22; 2Fal 20:6; 1Nya 17:19“Nitaulinda mji huu na kuuokoa,

kwa ajili yangu mwenyewe,

na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu!”

3637:36 Kut 12:12, 23; Isa 10:12Ndipo malaika wa Bwana akaenda, akawaua wanajeshi 185,000 katika kambi ya Waashuru. Wenzao walipoamka asubuhi yake, walikuta maiti kila mahali! 3737:37 Mwa 10:11; Nah 1:1; 2Nya 32:1Basi Senakeribu mfalme wa Ashuru akavunja kambi na kuondoka. Akarudi Ninawi na kukaa huko.

3837:38 Mwa 8:4; Yer 51:27; 2Fal 17:24; Isa 14:25; 9:4; 10:26Siku moja, alipokuwa akiabudu katika hekalu la mungu wake Nisroki, wanawe Adrameleki na Shareza wakamuua kwa upanga, nao wakakimbilia nchi ya Ararati. Naye Esar-Hadoni mwanawe akawa mfalme badala yake.

Japanese Contemporary Bible

イザヤ書 37:1-38

37

エルサレム解放の預言

1王は会談の結果を聞いて王服を裂き、屈辱と嘆きを示して、目のあらい布を身にまといました。それから、祈るために神殿に行きました。 2一方、首相のエルヤキム、王の書記官シェブナ、それに年長の祭司たちにも同じような格好をさせ、アモツの子である預言者イザヤのところへ行かせたのです。 3彼らは王のことづけを伝えました。「今日は苦しみと懲らしめと侮辱の日です。女が子を産もうとしてひどく苦しんでいるのに、なかなか産み落とせないような日です。 4-5おそらくあなたの神である主は、アッシリヤの王の使者の、あの聞くに耐えないののしりをお聞きになったと思います。神がこのままで済ますはずはありません。あんな暴言を吐いたやつを責めるでしょう。お願いですから、ここに残っているわれわれのために祈ってください。」

6「わかりました。王様に神のおことばを取り次ぎなさい。アッシリヤの王の家来の脅しと暴言で取り乱してはいけない。 7アッシリヤから王のもとへ、帰国しなければならない急な知らせが届く。王は国へ帰り、そこで殺される。すべてわたしが手はずを整えたのだ。」

8-9アッシリヤの使者はエルサレムを離れ、ラキシュに続いてリブナを攻撃中の王と相談するため道を急ぎました。ところが、アッシリヤの王はちょうどこの時、エチオピヤの皇太子ティルハカが軍隊を率いて向かって来るとの知らせを受けたのです。これを聞くと、もう一度エルサレムへ使いをやり、ヒゼキヤに手紙を渡しました。 10「おまえは、エルサレムは私の手に渡さないとか、偉そうな口をたたいておるが、おまえの信じている神にごまかされるな。 11私の行く先々でどんなことが起こったかを思い出せ。刃向かう者は手当たりしだいに押しつぶしてきた。自分だけは例外だと思うのか。 12ゴザン、カラン、レツェフの町々、それにテラサルにいるエデンの住民が神々に救い出されたか。とんでもない! 彼らは皆殺しにされた。 13ハマテの王、アルパデの王、セファルワイム、ヘナ、イワの町々の王の最期がどうであったか、忘れないことだ。」

ヒゼキヤの祈り

14ヒゼキヤ王はこの手紙を読み終えると、すぐさま神殿に駆けつけ、主の前に手紙を広げ、 15こう祈りました。 16-17「天の軍勢の主、ケルビム(契約の箱を守る天使の像)の上におられるイスラエルの神よ。あなただけが世界でただひとりの神です。あなただけが天と地をお造りになりました。どうか今、私の願いをお聞きください。祈っている私に目を留めてください。ごらんください。これがセナケリブ王の手紙です。王は生きておられる神をあざけりました。 18手紙にもあるように、王が国々を滅ぼしたのは事実です。 19そして国々の神を火に投げ入れました。みな神とは名ばかりで、人間が木や石で造った偶像にすぎませんが。だからアッシリヤ人は、難なくこれらの神々の息の根を止めることができたのです。 20ああ神よ、世界中の国が、あなただけが神であることを知るためにも、どうか私たちをお救いください。」

セナケリブの敗北

21その時、アモツの子イザヤは使いをやり、ヒゼキヤ王にことづけを伝えました。「イスラエルの神、主のお告げがありました。主は、あなたがアッシリヤの王セナケリブのことで祈るのを、お聞きになりました。 22彼についてのお告げはこうです。

よるべのないシオンの処女の娘であるわたしの民は、おまえを軽蔑し、笑い者にし、さげすんで頭を振る。

23おまえがののしり、あざけった相手はだれか。

おまえはだれに毒づいたのか。

だれに高ぶり、言ってはならぬことを口にしたのか。

イスラエルの聖なる神、わたしにではないか。

24おまえは使いをよこして、わたしをあざけった。

そして得意になって語った。

『私は強力な軍勢を引き連れ、西の国々を攻めた。

そびえるレバノン杉と良質の糸杉を切り倒した。

高い山々を征服し、密林を踏みにじった』と。

25おまえは、征服した地に多くの井戸を掘ったことを自慢している。

エジプトが全軍をあげてかかっても、おまえには歯が立たない。

26だが、こうなるように昔から決めていたのは、このわたしだ。

まだそのことに気づかないのか。

大昔からこのような力を与えておいたのは、わたしだったのだ。

おまえが城壁に囲まれた町々を瓦礫の山にしたのは、わたしの計画で実現させたのだ。

27だからこそ、おまえが攻めた国々の住民は弱く、やすやすと餌食になったのだ。

彼らは草のように無力で、容易に踏みにじられる新芽のようにもろく、屋根の草のように、太陽に当たると黄色くしなびた。

28わたしはおまえをよく知っている。

あらゆる行動が手に取るようにわかる。

わたしに向かっていきりたったのも知っている。

29神にいどみかかるとは何事だ。

わたしは暴言を全部聞いた。

もう黙ってはいない。

おまえの鼻に鉤をかけ、口にはくつわをはめて、もと来た道を引き返させる。」

30続いて神は、ヒゼキヤに言いました。

「この都をアッシリヤの王から救い出すのはわたしであるという証拠を見せよう。

今年、彼は包囲を解く。

種をまくには遅すぎるので、今年の秋は落ち穂から生えたもので我慢しなければならない。

だが来年は、まずまずのところまで持ち直し、二年先には、以前のように豊かな暮らしができる。

31ユダにいるあなたがたはまた自分の土地に住み、繁栄し、増え広がる。

32生き残った者がエルサレムを出て再び定住するからだ。

わたしが、これらのことをみな実現する。

33アッシリヤ軍はエルサレムに侵入しない。

矢を放ち、城門の外に迫り、城壁沿いにとりでを築くこともしない。

34もと来た道を引き返す。

この都に入ることは絶対にない。

35わたしの名誉にかけて、また、わたしの忠実なしもべダビデのためにも必ずここを守る。」

36その夜、主の使いがアッシリヤ軍の陣営に出て行って、十八万五千人の兵士を打ちました。翌朝、何も知らずに目を覚ました者たちの前には死体が累々と横たわっていました。 37アッシリヤの王セナケリブは、自分の国のニネベへ逃げ帰りました。 38そののち、彼が守護神ニスロクの神殿で拝んでいた時、息子のアデラメレクとサルエツェルが、いきなり剣を抜いて切りかかって彼を殺しました。二人はアララテの地へ逃げました。こうして、別の息子エサル・ハドンが王になったのです。