Isaya 29 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 29:1-24

Ole Wa Mji Wa Daudi

129:1 Isa 22:12-13; 1:14; 2Sam 5:7; Isa 28:1Ole wako, wewe Arieli, Arieli,

mji alimokaa Daudi!

Ongezeni mwaka kwa mwaka,

na mzunguko wa sikukuu zenu uendelee.

229:2 Mao 2:5; Isa 3:26; Eze 43:15Hata hivyo nitauzunguka Arieli kwa jeshi,

utalia na kuomboleza,

utakuwa kwangu kama mahali

pa kuwashia moto madhabahuni.

329:3 Lk 19:43-44; 2Fal 25:1Nitapiga kambi pande zote dhidi yako,

nitakuzunguka kwa minara

na kupanga mazingirwa yangu dhidi yako.

429:4 Isa 8:19; 47:1; 52:2; 26:16; Law 19:31Utakaposhushwa, utanena kutoka ardhini,

utamumunya maneno yako kutoka mavumbini.

Sauti yako itatoka katika nchi kama vile ya mzimu,

utanongʼona maneno yako toka mavumbini.

529:5 Isa 17:13; 1The 5:3; Za 55:15; Kum 9:21; Za 78:39; Isa 51:12; Za 103:15Lakini adui zako wengi watakuwa kama vumbi laini,

kundi la wakatili watakuwa

kama makapi yapeperushwayo.

Naam, ghafula, mara moja,

629:6 Mk 13:8; Ufu 6:12; Isa 26:21; Zek 14:1-5; Kut 19:16; Mt 24:7; Za 83:13-15Bwana Mwenye Nguvu Zote atakuja

na ngurumo, tetemeko la ardhi, na kwa sauti kuu,

atakuja na dhoruba, tufani na miali ya moto iteketezayo.

729:7 Mik 4:11-12; Zek 12:9; Ay 20:8Kisha makundi ya mataifa yote yale yapiganayo dhidi ya Arieli,

yale yanayomshambulia yeye na ngome zake, na kumzunguka kwa jeshi,

watakuwa kama ilivyo ndoto,

kama maono wakati wa usiku:

829:8 Za 73:20; Yer 30:16; Isa 17:12-14; Zek 12:3; Isa 54:17kama vile mtu aliye na njaa aotavyo kuwa anakula,

lakini huamka, bado njaa yake ingalipo,

kama vile mtu mwenye kiu aotavyo kuwa anakunywa maji,

lakini huamka akiwa anazimia, akiwa bado angali ana kiu.

Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa makundi yote ya mataifa

yanayopigana dhidi ya Mlima Sayuni.

929:9 Yer 13:13; Isa 63:9; Law 10:9; Yer 4:9; Isa 6:10; 63:6; Za 60:3; Yer 13:13; Isa 51:22Duwaeni na kushangaa,

jifanyeni vipofu wenyewe na msione,

leweni, lakini si kwa mvinyo,

pepesukeni lakini si kwa kileo.

1029:10 2The 2:9-11; Za 69:23; Mik 3:6; Amu 4:21; Isa 44:18; 6:9-10; Rum 11:8Bwana amewaleteeni usingizi mzito:

Ameziba macho yenu (ninyi manabii);

amefunika vichwa vyenu (ninyi waonaji).

1129:11 Dan 8:26; Mt 13:11; Isa 28:7; Ufu 5:1-2; Isa 8:16; Dan 12:9Kwa maana kwenu ninyi, maono haya yote si kitu ila maneno yaliyotiwa lakiri katika kitabu. Kama mkimpa mtu yeyote awezaye kusoma kitabu hiki, nanyi mkamwambia, “Tafadhali kisome,” yeye atajibu, “Mimi siwezi, kwa kuwa kimetiwa lakiri.” 12Au kama mkimpa mtu yeyote kitabu hiki asiyeweza kusoma na kumwambia, “Tafadhali kisome,” atajibu, “Mimi sijui kusoma.”

1329:13 Yer 12:2; Kol 2:22; Eze 33:31; Mt 15:8-9; Mk 7:6-7; Isa 58:2; Za 119:70; Yer 14:11Bwana anasema:

“Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyao

na kuniheshimu kwa midomo yao,

lakini mioyo yao iko mbali nami.

Ibada yao kwangu inatokana na maagizo

waliyofundishwa na wanadamu.

1429:14 Yer 49:7; Ay 10:16; 5:13; Isa 6:9-10; 1Kor 1:19; Yer 8:9; Isa 6:9-10Kwa hiyo mara nyingine tena nitawashangaza watu hawa,

kwa ajabu juu ya ajabu.

Hekima ya wenye hekima itapotea,

nayo akili ya wenye akili itatoweka.”

1529:15 Ay 22:13-14; Eze 8:12; 2Fal 21:16; Ay 22:13; Isa 28:15; Ay 8:3; Za 10:11-13Ole kwa wale wanaokwenda kwenye vilindi virefu

kumficha Bwana mipango yao,

wafanyao kazi zao gizani na kufikiri,

“Ni nani anayetuona? Ni nani atakayejua?”

1629:16 Yer 18:6; Rum 9:20-21; Za 94:9; Ay 10:9; Isa 10:15; 45:9; Ay 9:12; Yer 18:6; Mwa 2:7Mnapindua mambo juu chini,

kana kwamba mfinyanzi aweza kufikiriwa kuwa kama udongo wa mfinyanzi!

Je, kile kilichofinyangwa chaweza kumwambia yule aliyekifinyanga,

“Wewe hukunifinyanga mimi?”

Je, chungu kinaweza kumwambia mfinyanzi,

“Wewe hujui chochote?”

1729:17 Za 84:6; Isa 32:15; 10:25; 2:13; Za 107:33Kwa muda mfupi sana, je, Lebanoni haitageuzwa kuwa shamba lenye rutuba,

na shamba lenye rutuba liwe kama msitu?

1829:18 Mk 7:37; Za 146:8; Mt 11:5; Lk 7:22; Isa 32:3; Za 107:14Katika siku ile viziwi watasikia maneno ya kitabu,

na katika utusitusi na giza

macho ya kipofu yataona.

1929:19 Za 72:4; 25:9; Isa 5:19; 12:6; 3:15; Yak 2:5; Mt 5:5; 11:29; Mwa 42:26Mara nyingine tena wanyenyekevu watafurahi katika Bwana,

wahitaji watafurahi katika yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

2029:20 2Nya 36:16; Isa 28:22; Eze 11:2; Isa 13:11; 59:4; Ay 15:35; Za 7:14Wakatili watatoweka na wenye kudhihaki watatokomea,

nao wote wenye jicho la uovu watakatiliwa mbali,

2129:21 Amo 5:10-15; Isa 5:23; Hab 1:4; Mit 21:28wale ambao kwa neno humfanya mtu kuwa mwenye hatia,

wamtegeao mtego mtetezi katika mahakama,

na kwa ushuhuda wa uongo humnyima haki

yeye asiye na hatia.

2229:22 Mwa 11:16; Yoe 2:26; Yos 24:3; Sef 3:11; Kut 6:6; Mwa 17:16; Isa 41:8; 51:2Kwa hiyo hili ndilo Bwana, aliyemkomboa Abrahamu, analosema kwa nyumba ya Yakobo:

“Yakobo hataaibishwa tena,

wala nyuso zao hazitabadilika sura tena.

2329:23 Isa 53:10; 54:1-4; 19:25; 49:20-26; 5:19; Mt 6:9Wakati watakapoona watoto wao miongoni mwao,

kazi ya mikono yangu,

watalitakasa Jina langu takatifu;

wataukubali utakatifu wa yeye Aliye Mtakatifu wa Yakobo,

nao watamcha Mungu wa Israeli.

2429:24 Mit 12:8; Ebr 5:2; Isa 60:16; 42:16; Za 95:10; Isa 28:7; 32:4Wale wanaopotoka rohoni watapata ufahamu,

nao wale wanaolalamika watayakubali mafundisho.”

La Bible du Semeur

Esaïe 29:1-24

Malheur à la cité de David

1Malheur à la cité-Autel29.1 Nom donné à Jérusalem, en hébreu Ariel, mot qui pourrait signifier « lion de Dieu », mais, d’après le v. 2 et Ez 43.15-16, ce terme désigne l’autel des sacrifices ou le foyer de cet autel., ╵à la cité-Autel

contre laquelle ╵David a installé son campement.

Elle a beau maintenir, ╵année après année,

tout le cycle des fêtes,

2j’assiégerai la ville-Autel,

elle ne sera plus ╵que plaintes et gémissements.

Oui, je ferai de toi ╵comme un autel.

3J’établirai mon campement ╵en cercle autour de toi29.3 Deux manuscrits hébreux et l’ancienne version grecque ont : contre toi comme David.

et je t’assiégerai ╵avec des ouvrages de siège29.3 Autre traduction : je t’entourerai de postes militaires.,

élevant contre toi ╵des tours pour t’attaquer.

4Tu seras abaissée

et c’est depuis la terre ╵que montera ta voix,

oui, c’est de la poussière ╵que sourdra ta parole.

Ta voix sortira de la terre ╵comme celle d’un revenant,

et ta parole montera ╵du sein de la poussière ╵tout comme un sifflement.

5La foule de tes ennemis ╵sera comme une fine poudre,

la multitude des tyrans ╵comme la paille qui s’envole.

Cela se produira ╵soudain, en un instant.

6Le Seigneur des armées célestes ╵interviendra pour toi

avec le fracas du tonnerre, ╵des tremblements de terre, ╵et un bruit formidable,

la tempête et le tourbillon,

la flamme d’un feu dévorant.

7Comme il en est d’un songe, ╵d’une vision nocturne,

ainsi en sera-t-il ╵de tous les nombreux peuples

qui attaquaient la ville-Autel,

qui combattaient contre elle

et contre ses remparts,

qui l’assiégeaient.

8Il en sera comme d’un homme ╵qui serait affamé ╵et rêverait qu’il mange,

mais lorsqu’il se réveille, ╵il a le ventre creux,

ou comme un assoiffé ╵qui rêverait qu’il boit,

et lorsqu’il se réveille, ╵il se sent épuisé, ╵il a la gorge sèche.

Ainsi en sera-t-il ╵de tous ces nombreux peuples

qui combattent contre le mont Sion.

Des voyants aveugles et ivres

9Attendez donc ╵et soyez stupéfaits !

Aveuglez-vous, ╵et restez aveuglés !

Soyez tous ivres, ╵mais pas de vin,

et chancelez, ╵mais non d’avoir trop bu !

10Car l’Eternel ╵a répandu sur vous

un esprit de torpeur29.10 Voir 6.10. Cité en Rm 11.8.,

il a bouché vos yeux, ╵vous, les prophètes ;

il a voilé vos têtes, ╵vous qui recevez des révélations.

11Toute cette révélation est devenue pour vous comme les mots écrits sur un rouleau scellé. Donnez-le à un homme qui a appris à lire en lui disant : « Lis cela, s’il te plaît », et il vous répondra : « Je ne peux pas le lire, le rouleau est scellé. » 12Donnez-le à quelqu’un qui n’a jamais appris à lire en lui disant : « Lis cela, s’il te plaît », et il vous répondra : « Moi, je ne sais pas lire. »

De surprise en surprise

13Le Seigneur dit encore : ╵Ce peuple se tourne vers moi,

mais ce n’est qu’en paroles, ╵et il me rend hommage, ╵mais c’est du bout des lèvres :

car au fond de son cœur, ╵il est bien loin de moi,

et la crainte ╵qu’il a de moi

n’est faite que de règles ╵que des hommes lui ont enseignées29.13 Cité en Mt 15.8-9 ; Mc 7.6-7..

14A cause de cela, ╵j’étonnerai ce peuple

par de nouveaux prodiges, ╵des actes extraordinaires ;

la sagesse des sages ╵sera anéantie,

l’intelligence ╵fera défaut ╵à ses intelligents29.14 Cité en 1 Co 1.19, d’après l’ancienne version grecque..

Où est Dieu

15Malheur à ceux ╵qui vont dans les lieux les plus reculés

pour cacher leurs desseins à l’Eternel

et dont les entreprises ╵se font dans les ténèbres,

à ceux qui disent : ╵« Qui peut nous voir ? ╵Qui nous remarque ? »

16Allez-vous inverser les rôles ?

Allez-vous prendre ╵le potier pour l’argile,

pour que l’ouvrage dise ╵à celui qui l’a fait :

« Je ne suis pas ton œuvre »,

et que le pot affirme ╵au potier qui l’a façonné : ╵« Tu ne sais pas ce que tu fais29.16 Voir Rm 9.20. » ?

Tout est changé

17Encore un peu de temps,

et le Liban ╵sera transformé en verger,

et le verger sera ╵semblable à la forêt.

18En ce jour-là, ╵les sourds même entendront ╵les paroles du livre

et, sortant des ténèbres ╵et de l’obscurité,

les yeux des aveugles verront.

19Oui, grâce à l’Eternel, ╵les humbles se réjouiront ╵de plus en plus.

Les plus déshérités des hommes

exulteront de joie ╵grâce au Saint d’Israël.

20Car les tyrans ╵auront tous disparu,

et les moqueurs ne seront plus,

et tous ceux qui sont aux aguets ╵pour commettre le mal

seront éliminés,

21ceux qui condamnent ╵les gens par leur parole,

ceux qui tendent des pièges ╵aux juges dans les tribunaux,

ceux qui perdent le juste ╵sans aucune raison, ╵oui, tous disparaîtront.

22C’est pourquoi l’Eternel

qui a délivré Abraham,

dit à la communauté de Jacob :

Jacob n’aura plus honte, désormais,

et son visage ╵n’aura plus à pâlir.

23Lorsqu’ils verront

tout ce que j’aurai accompli ╵au milieu d’eux,

ils me reconnaîtront pour Dieu,

ils me vénéreront, ╵comme étant le Saint de Jacob,

ils me redouteront, ╵moi, le Dieu d’Israël.

24Ceux dont l’esprit s’égare ╵apprendront le discernement,

et les contestataires ╵recevront instruction.