Isaya 28 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 28:1-29

Ole Wa Efraimu

128:1 Isa 7:2; Law 10:9; Amo 6:6; Isa 10:5; 9:9; Hos 7:5; Isa 5:11; 8:7Ole kwa lile taji la maua, kiburi cha walevi wa Efraimu,

kwa ua linalosinyaa, uzuri wa utukufu wake,

uliowekwa kwenye kichwa cha bonde lenye rutuba:

kwa ule mji, kiburi cha wale walioshushwa na mvinyo!

228:2 Isa 30:30; 40:10; Yos 10:11; Eze 13:11; Isa 29:6; 8:7; Dan 9:26Tazama, Bwana anaye mmoja aliye na uwezo na nguvu.

Kama dhoruba ya mvua ya mawe na upepo uharibuo,

kama mvua inyeshayo kwa nguvu na mafuriko yashukayo,

atakiangusha chini kwa nguvu.

328:3 Ay 40:12; Isa 5:5Lile taji la maua, kiburi cha walevi cha Efraimu,

kitakanyagwa chini ya nyayo.

428:4 Wim 2:13; Nah 3:12; Hos 9:10Lile ua linalosinyaa, uzuri wa utukufu wake,

uliowekwa kwenye kichwa cha bonde lenye rutuba,

litakuwa kama tini iliyoiva kabla ya mavuno:

mara mtu aionapo, huichuma na kuila.

528:5 Zek 9:16; Eze 21:26; Isa 10:20; 1:9; 29:18; Yer 13:18; Eze 16:12; Isa 62:3Katika siku ile, Bwana Mwenye Nguvu Zote

atakuwa taji la utukufu,

taji zuri la maua

kwa mabaki ya watu wake.

628:6 Amu 9:44-45; 2Sam 14:20; 2Nya 32:8; Yn 5:30; Isa 11:2-4Atakuwa roho ya haki

kwa yeye aketiye katika kiti cha hukumu,

chanzo cha nguvu

kwa wale wazuiao vita langoni.

728:7 Law 10:9; Isa 56:10-12; Efe 5:18; Za 107:27; Isa 24:2; 3:12; 22:13; 9:15Hawa pia wanapepesuka kwa sababu ya mvinyo,

wanayumbayumba kwa sababu ya kileo:

Makuhani na manabii wanapepesuka kwa sababu ya kileo,

wanachanganyikiwa kwa sababu ya mvinyo;

wanapepesuka wanapoona maono,

wanajikwaa wanapotoa maamuzi.

828:8 Yer 48:26Meza zote zimejawa na matapishi

wala hakuna sehemu hata ndogo

isiyokuwa na uchafu.

928:9 Yer 6:10; 1Pet 2:2; Za 32:8; Ebr 5:12-13; Yer 31:34; Isa 30:20; 48:17; 54:13“Yeye anajaribu kumfundisha nani?

Yeye anamwelezea nani ujumbe wake?

Je, ni kwa watoto walioachishwa kunyonya?

Je, ni wale ambao ndipo tu wametolewa matitini?

1028:10 Isa 29:13Kwa maana ni:

Amri juu ya amri, amri juu ya amri,

kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni;

hapa kidogo, kule kidogo.”

1128:11 Yer 5:15; 1Kor 14:21; Mwa 11:7; Eze 3:5; Isa 33:19Sawa kabisa, kwa midomo migeni

na kwa lugha ngeni,

Mungu atasema na watu hawa,

1228:12 Yos 1:13; Mt 11:28-29; 2Nya 14:7; Kut 14:14; Ay 11:18; Isa 11:10wale ambao aliwaambia,

“Hapa ni mahali pa kupumzika,

waliochoka na wapumzike,”

na, “Hapa ni mahali pa mapumziko,”

lakini hawakutaka kusikiliza.

1328:13 Mt 21:44; Isa 8:14-15Hivyo basi, neno la Bwana kwao litakuwa:

Amri juu ya amri, amri juu ya amri,

kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni,

hapa kidogo, kule kidogo:

ili waende na kuanguka chali,

wakijeruhiwa, wakinaswa na kukamatwa.

1428:14 Isa 1:10; 2Nya 36:16Kwa hiyo sikieni neno la Bwana, enyi watu wenye dharau

mnaotawala watu hawa wa Yerusalemu.

1528:15 Dan 11:22; Isa 9:15; 10:26; Ay 5:23; Isa 8:19; Amu 9:35; Isa 29:15; Yer 23:24Ninyi mnajisifu, “Tumefanya agano na mauti,

tumefanya mapatano na kuzimu.

Wakati pigo lifurikalo litakapopita,

haliwezi kutugusa sisi,

kwa kuwa tumefanya uongo kuwa kimbilio letu

na miungu ya uongo kuwa mahali petu pa kujificha.”

1628:16 Zek 12:3; Efe 2:20; Rum 9:33; 1Pet 2:6; Isa 54:4; 14:32; Za 118:22; Isa 8:14-15; Dan 2:34-45; Mdo 4:11; Yer 51:26; 1Kor 3:11Kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenyezi asemavyo:

“Tazama, ninaweka jiwe katika Sayuni,

jiwe lililojaribiwa,

jiwe la pembeni la thamani kwa ajili ya msingi thabiti.

Yeye atumainiye kamwe hatatiwa hofu.

1728:17 Isa 5:16; Za 11:7; 2Fal 21:13; Yos 10:11Nitaifanya haki kuwa kamba ya kupimia

na uadilifu kuwa timazi;

mvua ya mawe itafagia kimbilio lenu, huo uongo,

nayo maji yatafurikia mahali penu pa kujificha.

1828:18 Isa 63:18; Dan 8:13; Isa 7:7Agano lenu na kifo litabatilishwa,

patano lenu na kuzimu halitasimama.

Wakati pigo lifurikalo litakapowakumba,

litawaangusha chini.

1928:19 2Fal 24:2; Ay 18:11; Za 5:3Kila mara lijapo litawachukua,

asubuhi baada ya asubuhi,

wakati wa mchana na wakati wa usiku,

litawakumba tangu mwanzo hadi mwisho.”

Kuuelewa ujumbe huu

utaleta hofu tupu.

2028:20 Isa 59:6Kitanda ni kifupi mno kujinyoosha juu yake,

nguo ya kujifunikia ni nyembamba mno

mtu hawezi kujifunikia.

2128:21 2Sam 5:20; Mwa 38:29; 1Nya 14:11-16; Lk 19:41-44; Yos 9:3; Isa 65:7Bwana atainuka kama alivyofanya kwenye Mlima Perasimu,

ataghadhibika kama alivyofanya katika Bonde la Gibeoni:

ili kufanya kazi yake, kazi yake ya ajabu,

ili kutimiza kazi yake, kazi yake ngeni.

2228:22 Isa 10:22; Yer 29:18; 2Nya 36:16; Mao 2:15; Sef 2:15Sasa acheni dharau zenu,

la sivyo minyororo yenu itakuwa mizito zaidi.

Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, ameniambia

habari za maangamizi yaliyoamriwa dhidi ya nchi yote.

2328:23 Isa 32:9Sikilizeni msikie sauti yangu,

tegeni masikio na msikie niyasemayo.

2428:24 Mhu 3:2Wakati mkulima alimapo ili apande,

je, hulima siku zote?

Je, huendelea kubomoa ardhi

na kusawazisha udongo?

2528:25 Kut 9:32; Mt 23:23; Eze 4:9Akiisha kusawazisha shamba,

je, hatapanyi mbegu za bizari na kutawanya jira?

Je, hapandi ngano katika sehemu yake,

shayiri katika eneo lake,

na nafaka nyingine katika shamba lake?

2628:26 Za 94:10Mungu wake humwelekeza

na kumfundisha njia iliyo sahihi.

2728:27 Isa 21:10; Ay 41:30; Isa 10:5Iliki haipurwi kwa nyundo,

wala gurudumu la gari halivingirishwi juu ya jira;

iliki hupurwa kwa fimbo,

na jira kwa ufito.

2828:28 Isa 21:10Nafaka lazima isagwe ili kutengeneza mkate,

kwa hiyo mtu haendelei kuipura daima.

Ingawa huendesha magurudumu ya gari lake la kupuria juu yake,

farasi wake hawasagi.

2928:29 Yer 32:19; Za 92:5; Rum 11:33; Isa 9:5Haya yote pia hutoka kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote,

mwenye mashauri ya ajabu, na anayepita wote kwa hekima.

La Bible du Semeur

Esaïe 28:1-29

Le livre des malheurs

Malheur à Ephraïm

1Malheur au diadème28.1 Il s’agit de Samarie, située sur un mont qui domine une riche plaine. ╵qui fait l’orgueil ╵des buveurs d’Ephraïm,

à cette fleur fanée, ╵qui orne sa parure,

et qui est située sur les sommets ╵qui dominent la vallée plantureuse,

oui, malheur à cette cité ╵des hommes qui s’enivrent.

2Car voici : le Seigneur ╵a pour lui un héraut ╵puissant et vigoureux28.2 Le roi d’Assyrie qui s’est emparé de Samarie en 722 av. J.-C.

qui viendra attaquer ╵comme une tempête de grêle, ╵comme un ouragan destructeur,

comme des trombes d’eaux impétueuses, ╵provoquant des inondations.

Par l’action de sa force, ╵il précipitera la ville à terre.

3On foulera aux pieds

le diadème ╵qui fait l’orgueil ╵des buveurs d’Ephraïm.

4Quant à la fleur fanée, ╵qui orne sa parure,

et qui est située sur les sommets ╵qui dominent la vallée plantureuse,

elle sera comme une figue ╵mûrie avant l’été :

celui qui l’aperçoit ╵la cueille sans tarder ╵et l’avale aussitôt.

5En ce jour-là, ╵le Seigneur des armées célestes

sera le diadème magnifique ╵et la couronne

qui ornera ╵le reste de son peuple.

6Il insufflera la justice ╵à qui rend la justice,

et il sera la force ╵de celui qui repousse ╵l’ennemi jusqu’aux portes.

Les juges ivrognes

7En voici d’autres ╵qui sont égarés par le vin

et que les boissons fortes ╵font tituber.

Oui, prêtres et prophètes, ╵les boissons fortes les égarent,

le vin les étourdit

et ils titubent sous l’effet ╵des boissons fortes,

ils s’égarent dans leurs visions

et ils vacillent ╵en rendant la justice.

8Toutes les tables sont couvertes ╵de leurs vomissements infects

et pas un coin n’est resté propre.

9« Qui Esaïe ╵prétend-il enseigner ? ╵s’exclament-ils.

Et à qui donc veut-il ╵expliquer son message ?

Son discours convient juste ╵à de petits enfants ╵que l’on vient de sevrer,

d’éloigner du sein maternel ?

10Car c’est ordre sur ordre, ╵ordre sur ordre,

et c’est règle sur règle, ╵règle sur règle :

un peu par ci, ╵un peu par là28.10 En hébreu, très certainement une suite d’onomatopées.. »

11Eh bien, c’est par des hommes ╵aux propos inintelligibles

à la langue barbare,

que l’Eternel parlera à ce peuple28.11 Pour les v. 11-12, voir 33.19. Cité en 1 Co 14.21.

12auquel il avait dit : ╵« C’est ici le repos,

laissez se reposer ╵ceux qui sont fatigués ;

voici l’apaisement. »

Mais ils n’ont pas voulu ╵écouter l’Eternel.

13C’est pourquoi la parole ╵de l’Eternel sera pour eux :

ordre sur ordre, ╵ordre sur ordre,

règle sur règle, ╵règle sur règle,

un peu par ci, ╵un peu par là,

de sorte qu’en marchant, ╵ils tombent en arrière ╵et se cassent les reins,

qu’ils soient pris au filet ╵et qu’ils soient capturés.

Le bon fondement

14C’est pourquoi, écoutez ╵ce que dit l’Eternel, ╵vous, les moqueurs,

vous, les chefs de ce peuple ╵qui habite à Jérusalem.

15Voici ce que vous dites : ╵« Nous avons fait ╵alliance avec la mort

et, avec le séjour des morts, ╵nous avons fait un pacte :

quand le flot débordant déferlera,

il ne viendra pas jusqu’à nous,

car nous nous sommes fait ╵du mensonge un abri,

et la duplicité ╵sera notre refuge. »

16C’est pourquoi, ainsi parle ╵le Seigneur, l’Eternel :

Je vais placer ╵en Sion, une pierre ╵servant de fondation,

une pierre éprouvée, ╵une pierre angulaire28.16 Voir Ps 118.22-23 ; Za 3.9 ; 4.7, 10 ; Rm 9.33 ; 10.11 ; 1 P 2.6. ╵d’une grande valeur, ╵servant de fondement solide :

celui qui la prend pour appui ╵ne sera pas réduit à fuir.

17J’aurai le droit pour règle,

j’emploierai la justice ╵comme mon fil à plomb.

La grêle balaiera ╵votre abri de mensonge,

les eaux emporteront ╵votre refuge.

Le mauvais fondement

18L’alliance avec la mort ╵que vous avez conclue ╵sera anéantie,

et votre pacte ╵fait avec le séjour des morts ╵ne subsistera pas.

Quand le flot débordant déferlera,

il vous écrasera.

19Aussi souvent qu’il passera, ╵il vous emportera,

car il repassera ╵matin après matin, ╵de jour comme de nuit.

Ce sera la terreur ╵que d’en comprendre le message.

20Vous serez comme un homme ╵dont le lit est trop court ╵pour pouvoir s’y étendre

et dont la couverture ╵est beaucoup trop étroite ╵pour qu’il s’en enveloppe.

21Car l’Eternel se lèvera ╵comme au mont Peratsim28.21 Voir 2 S 5.20.

et il s’indignera ╵comme il s’est indigné ╵dans la plaine de Gabaon28.21 Voir 1 Ch 14.16 ou Jos 10.10-12.

pour accomplir son œuvre ;

mais quelle œuvre insolite,

pour faire son travail,

mais quelle tâche étrange !

22Et maintenant, ╵cessez de vous moquer,

de peur que l’on resserre ╵les chaînes qui vous lient.

Car j’ai appris de l’Eternel, ╵le Seigneur des armées célestes,

que la destruction de tout le pays ╵a été décidée.

La sagesse infinie

23De toutes vos oreilles, ╵écoutez-moi !

Ecoutez ma parole ╵bien attentivement :

24Quel laboureur ╵laboure la terre en tout temps ╵pour y semer ?

Passe-t-il tout son temps ╵à tracer des sillons ╵et à herser le sol ?

25Après avoir aplani la surface,

il y répand l’aneth ╵et sème le cumin,

il met le blé en lignes,

puis l’orge au bon endroit,

l’épeautre enfin à la lisière.

26C’est son Dieu qui l’instruit ╵des règles qu’il doit suivre

et c’est lui qui l’enseigne.

27Car on ne foule pas l’aneth ╵à l’aide d’un rouleau,

on ne fait pas non plus passer ╵une roue de chariot ╵par-dessus le cumin,

mais on bat l’aneth au bâton,

on bat le cumin au fléau.

28Il est vrai qu’on broie le froment ╵pour en faire du pain,

mais on ne le bat pas sans fin.

On fait passer dessus ╵la roue et le traîneau,

mais les chevaux ╵n’écrasent pas le grain ╵sous leurs sabots.

29Tout cela vient de l’Eternel, ╵le Seigneur des armées célestes.

Son plan est merveilleux,

sa sagesse est immense.