Isaya 26 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 26:1-21

Wimbo Wa Ushindi

126:1 Isa 14:32; Zek 2:5; Isa 10:20; 30:29; 32:18; Zek 9:8; Za 48:13Katika siku ile, wimbo huu utaimbwa katika nchi ya Yuda:

Tuna mji ulio na nguvu,

Mungu huufanya wokovu kuwa kuta zake na maboma yake.

226:2 Isa 58:8; 62:2; Ufu 21:13; Za 24:4-7; 83:13; Isa 1:26; 50:8Fungua malango ili taifa lenye haki lipate kuingia,

taifa lile lidumishalo imani.

326:3 Ay 22:21; Flp 4:7; Isa 9:6-7; 1Nya 5:20; Za 28:7; 22:5Utamlinda katika amani kamilifu

yeye ambaye moyo wake ni thabiti

kwa sababu anakutumaini wewe.

426:4 Isa 12:2; 50:10; Za 62:8; Mwa 49:24Mtumaini Bwana milele,

kwa kuwa Bwana, Bwana, ni Mwamba wa milele.

526:5 Isa 25:12; 25:5; Eze 26:11Huwashusha wale wajikwezao,

huushusha chini mji wenye kiburi,

huushusha hadi ardhini

na kuutupa chini mavumbini.

626:6 Isa 5:5; 49:26; 3:15; 14:30Miguu huukanyaga chini,

miguu ya hao walioonewa,

hatua za hao maskini.

726:7 Kum 32:4; Kut 14:19; Isa 42:16; Za 26:12; 25:8; Isa 40:4Mapito ya wenye haki yamenyooka.

Ewe uliye Mwenye Haki,

waisawazisha njia ya mtu mnyofu.

826:8 Za 18:22; 145:2; Isa 12:4; Kum 18:18; Isa 65:5; Za 37:9Naam, Bwana, tukienenda katika sheria zako,

twakungojea wewe,

jina lako na sifa zako

ndizo shauku za mioyo yetu.

926:9 Za 42:1-2; Mt 6:33; Za 63:6; 119:55; 1Nya 16:14; Za 78:34Nafsi yangu yakutamani wakati wa usiku,

wakati wa asubuhi roho yangu yakuonea shauku.

Wakati hukumu zako zinapokuja juu ya dunia,

watu wa ulimwengu hujifunza haki.

1026:10 Isa 32:6; 1Sam 12:24; Rum 2:4; Mhu 8:12; Mt 5:45; Isa 22:12-13; Yer 2:19; Yn 5:38Ingawa neema yaonyeshwa kwa waovu,

hawajifunzi haki,

hata katika nchi ya unyofu huendelea kutenda mabaya

wala hawazingatii utukufu wa Bwana.

1126:11 Ay 34:27; Isa 18:3; 44:9, 18; Ebr 10:27; Za 10:12; Yoe 2:18; Zek 1:14; Mik 7:16Ee Bwana, mkono wako umeinuliwa juu,

lakini hawauoni.

Wao na waone wivu wako kwa ajili ya watu wako tena waaibishwe,

moto uliowekwa akiba kwa ajili ya adui zako na uwateketeze.

1226:12 Za 119:165; Isa 9:6; Za 68:28Bwana, unaamuru amani kwa ajili yetu,

yale yote tuliyoweza kuyakamilisha ni wewe uliyetenda kwa ajili yetu.

1326:13 Za 66:12; Isa 42:8; 2:8; 63:7Ee Bwana, Mungu wetu, mabwana wengine zaidi ya wewe wametutawala,

lakini jina lako pekee ndilo tunaloliheshimu.

1426:14 Kum 4:28; Za 9:5; Isa 10:3; Ay 28:5Wao sasa wamekufa, wala hawako tena hai,

roho za waliokufa hazitarudi tena.

Uliwaadhibu na kuwaangamiza,

umefuta kumbukumbu lao lote.

1526:15 Isa 33:17; 14:2; Ay 12:23Umeliongeza hilo taifa, Ee Bwana,

umeliongeza hilo taifa.

Umejipatia utukufu kwa ajili yako mwenyewe,

umepanua mipaka yote ya nchi.

1626:16 Amu 6:2; Hos 5:15; Isa 5:30; Za 39:11; Isa 29:4Bwana, walikujia katika taabu yao,

wewe ulipowarudi,

waliweza kuomba kwa kunongʼona tu.

1726:17 Isa 21:3; Ufu 12:2; Yn 16:21Kama mwanamke mwenye mimba aliyekaribia kuzaa

anavyogaagaa na kulia kwa ajili ya maumivu yake,

ndivyo tulivyokuwa mbele zako, Ee Bwana.

1826:18 Isa 59:4; Mwa 49:10; Za 17:14; Isa 42:6; 49:6; 51:4; Yer 12:16Tulikuwa na mimba, tuligaagaa kwa maumivu,

lakini tulizaa upepo.

Hatukuleta wokovu duniani,

hatujazaa watu katika ulimwengu huu.

1926:19 Hos 13:14; Efe 5:14; Isa 25:8; Eze 37:1-14; Dan 12:2; Isa 18:4; Mwa 27:28; Za 22:29Lakini wafu wenu wataishi,

nayo miili yao itafufuka.

Ninyi mnaokaa katika mavumbi,

amkeni mkapige kelele kwa furaha.

Umande wenu ni kama umande wa asubuhi,

dunia itawazaa wafu wake.

2026:20 Kut 12:23; Za 30:5; Ay 14:13; 2Kor 4:17; Isa 10:25; 30:27Nendeni, watu wangu, ingieni vyumbani mwenu

na mfunge milango nyuma yenu,

jificheni kwa kitambo kidogo

mpaka ghadhabu yake ipite.

2126:21 Yud 14; Mik 1:3; Ay 16:18; Isa 29:6; 18:4; Lk 11:50-51; Isa 30:12-14Tazama, Bwana anakuja kutoka makao yake

ili kuwaadhibu watu wa dunia kwa ajili ya dhambi zao.

Dunia itadhihirisha umwagaji damu juu yake,

wala haitaendelea kuwaficha watu wake waliouawa.

Japanese Contemporary Bible

イザヤ書 26:1-21

26

賛美の歌

1ユダの民の歌う声を聞きなさい。

その日、国中にこのような歌が流れます。

「私たちの町はびくともしない。

神の救いの城壁で囲まれているからだ。」

2門を開けて、自由に入らせなさい。

神を愛する人なら、だれでも中に入れます。

3神を信頼し、いつも主のことに思いをはせる者を、

神は何の心配もないように守ってくださいます。

4どんなときでも、神である主に信頼しなさい。

あなたの永遠の力は主のうちにあるからです。

5主は思い上がった者を辱め、

横柄な町をひざまずかせ、城壁をくずします。

6神はそれを、貧しい人や困っている人に与えます。

7正しい人の道は、息の切れる坂や、

歩きにくいでこぼこ道ではありません。

神が道をならし、平らにするのです。

8主よ、私たちは、神がお喜びになることを

行いたいと思っています。

私たちの心からの願いは、

御名を高らかにたたえることです。

9私は夜通し神を探し求めます。真剣に尋ねます。

あなたがさばきの神として地上に下り、

罰を加えなければ、

人々は悪を離れ、正しいことを行わないからです。

10あなたがどんなに親切にしても、

悪者は善人になりません。

彼らは悪事を働くだけで、

あなたの偉大さやすばらしさを心に留めないのです。

11神の警告を聞いても、いっこうに気にかけず、

振り上げられたこぶしを見ようともしません。

どうか、イスラエルをどんなに愛しているかを、

はっきり示してください。

そうすれば彼らも恥じ入るでしょう。

神の敵のために取っておいた火で、

彼らを焼き尽くしてください。

12主よ、私たちに平和を与えてください。

私たちが今持っているもの、私たちの今の境遇は、

みなあなたから頂いたものばかりです。

13私たちの神、主よ。

私たちは以前、ほかの神々を拝んでいましたが、

今はあなただけを礼拝しています。

14私たちが仕えた神々は死んで姿を消し、

もう息を吹き返しません。

あなたが彼らに立ち向かい、滅ぼしたからです。

彼らはすっかり忘れ去られました。

15主はなんとすばらしい方でしょう。

私たちの国境を広げ、

私たちを偉大な民にしました。

16神よ、彼らは苦しいときに神を求めました。

神の罰が下った時、絶え入るような声で祈りました。

17神よ、私たちはなぜ、

あなたのもとから遠ざかったのでしょう。

そのため、苦しみもだえる産婦のように苦しみました。

18身もだえしてうめきました。

どんなに努力しても、自由の身になれませんでした。

19しかし私たちは、

神に従う者は必ず生き返ると確信しています。

そのような人の体はよみがえります。

ちりの中に住んでいる者は、やがて目を覚まし、

喜びの歌声を上げるはずです。

神のいのちの光が、露のように降ってくるからです。

20私の民よ、家へ帰って、戸に鍵をかけなさい。

敵に対する主の憤りが過ぎ去るまで、

ほんのしばらく隠れていなさい。

21主は、地に住む者の罪を罰するために、

天から下りて来ます。

地は、もはや人殺しをかくまいません。

一人一人の罪状が明らかになるのです。