Isaya 25 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 25:1-12

Msifuni Bwana

125:1 Hes 23:19; Za 40:5; Yoe 2:21-26; Isa 7:13; 14:24; 37:26; Efe 1:11Ee Bwana, wewe ni Mungu wangu,

nitakutukuza na kulisifu jina lako,

kwa maana katika ukamilifu wa uaminifu

umetenda mambo ya ajabu,

mambo yaliyokusudiwa tangu zamani.

225:2 Isa 37:26; Yer 51:37; Isa 17:3; 13:22; Kum 13:16; Ay 12:14Umeufanya mji kuwa lundo la kifusi,

mji wenye ngome kuwa magofu,

ngome imara ya wageni kuwa si mji tena,

wala hautajengwa tena kamwe.

325:3 Kut 6:2; Za 22:23; Isa 11:14; 13:11; Ufu 11:13Kwa hiyo mataifa yenye nguvu yatakuheshimu,

miji ya mataifa katili itakuheshimu wewe.

425:4 Yoe 3:16; Isa 33:16; Za 46:1-11; Isa 49:25; 2Sam 22:3; Za 118:8; Isa 3:14Umekuwa kimbilio la watu maskini,

kimbilio la mhitaji katika taabu yake,

hifadhi wakati wa dhoruba

na kivuli wakati wa hari.

Kwa maana pumzi ya wakatili

ni kama dhoruba ipigayo ukuta

525:5 Yer 51:25; Za 18:44; Isa 13:11na kama joto la jangwani.

Wewe wanyamazisha makelele ya wageni;

kama vile hari ipunguzwavyo na kivuli cha wingu,

ndivyo wimbo wa wakatili unyamazishwavyo.

625:6 Mt 22:4; Mit 9:2; Dan 7:14; Mwa 29:22; Za 36:8Juu ya mlima huu Bwana Mwenye Nguvu Zote ataandaa

karamu ya vinono kwa mataifa yote,

karamu ya mvinyo wa zamani,

nyama nzuri sana na divai zilizo bora sana.

725:7 2Kor 3:15-16; Efe 4:8; 1:17; Ay 4:9Juu ya mlima huu ataharibu

sitara ihifadhiyo mataifa yote,

kile kifuniko kifunikacho mataifa yote,

825:8 Hos 13:14; 1Kor 15:54-55; Yer 31:16; Ufu 7:14-17; Ebr 2:14; Isa 26:19yeye atameza mauti milele.

Bwana Mwenyezi atafuta machozi katika nyuso zote;

ataondoa aibu ya watu wake duniani kote.

Bwana amesema hili.

925:9 Isa 40:9; Yer 14:8; Za 20:5; Kum 32:43; Isa 2:11; 49:25-26; Za 145:19Katika siku ile watasema,

“Hakika huyu ndiye Mungu wetu;

tulimtumaini, naye akatuokoa.

Huyu ndiye Bwana, tuliyemtumaini;

sisi tushangilie na kufurahia katika wokovu wake.”

1025:10 Mwa 19:37; Hes 21:29; Kum 23:6; Isa 11:14; Amo 2:1-2Mkono wa Bwana utatulia juu ya mlima huu,

bali Moabu atakanyagwa chini

kama majani makavu yakanyagwavyo kwenye shimo la mbolea.

1125:11 Isa 5:25; 14:26; Law 26:19; Ay 40:12; Isa 2:10-17; 16:14Watakunjua mikono yao katikati yake,

kama vile mwogeleaji akunjuavyo mikono yake ili aogelee.

Mungu atashusha kiburi chao

licha ya ujanja wa mikono yao.

1225:12 Ay 40:11; Isa 26:5; Yer 51:44; Isa 2:15Atabomoa kuta ndefu za maboma yako

na kuziangusha chini,

atazishusha chini ardhini,

mpaka mavumbini kabisa.

Japanese Contemporary Bible

イザヤ書 25:1-12

25

主への賛美

1主よ、私はあなたをあがめ、御名をたたえます。

あなたは私の神であり、

すばらしいことをする方だからです。

あなたはずっと昔から計画しておられたことを、

そのとおり実現しました。

2大都市を廃墟とし、

難攻不落を誇っていた要塞を瓦礫の山にしました。

外国人の建てた美しい宮殿は影も形もなくなり、

再建のあてさえありません。

3どんなに強い国でも、

神の前に出たら、怖くてひざが震えます。

どんなに血も涙もない冷酷な国でも、

神に服従し、御名をあがめます。

4しかし主は、貧しい者にとっては、

嵐を避ける隠れ家、暑さをしのぐ木陰、

土塀をくずす激しい雨のように

非情な人間からかくまう避け所です。

5乾燥し熱しきった地が、

上空を覆う雲でほてりを静めるように、

神は血も涙もない国々の思い上がりを冷まします。

6天の軍勢の主は、エルサレムにあるシオンの山で、

全世界の人々のために豪華な宴会を催します。

おいしいごちそうと、熟成したぶどう酒、

それに脂肪ののった肉が出ます。

7その時、神は、地表を覆っている

死の雲を取り除き、

8永久にのみ尽くします。

神である主は、すべての涙をぬぐい、

ご自分の国と国民に対するいっさいの侮辱と

さげすみとを、永久に取り除きます。

主がそう語ったのですから、

必ずそのとおりになります。

9その日、人々は、

「このお方こそ、私たちが信頼し、

長い間待ち続けた神だ。

とうとう、おいでになったのだ」と大声で叫びます。

なんと喜びにあふれた日でしょう。

10主の恵みの御手はエルサレムにとどまり、

一方、モアブは御足の下でわらのように

踏みにじられ、腐ってしまうのです。

11泳ぐ人が水をかくように、

モアブも必死に手を伸ばしますが、

神は彼らを押さえつけます。

彼らの思い上がりと、

いっさいの悪を終わらせるのです。

12モアブの高い城壁はくずれ落ち、

ただの土くれになります。