Isaya 17 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 17:1-14

Neno Dhidi Ya Dameski

117:1 Yer 49:23; Mdo 9:2; Kum 13:16; Zek 9:1; Mwa 14:15; Isa 25:2Neno kuhusu Dameski:

“Tazama, Dameski haitakuwa tena mji

bali itakuwa lundo la magofu.

217:2 Yer 7:33; Mik 4:4; Isa 5:17; 2Fal 10:33; Isa 7:21; 27:10; Eze 25:5; Law 26:6Miji ya Aroeri itaachwa

na itaachiwa mifugo ambayo italala huko,

bila yeyote wa kuyaogopesha.

317:3 Isa 7:8, 16; 21:16; Hos 9:11; Isa 8:4; Hos 10:14; Isa 25:2, 12Mji wenye ngome utatoweka kutoka Efraimu,

nao uweza wa ufalme kutoka Dameski;

mabaki ya Aramu yatakuwa

kama utukufu wa Waisraeli,”

asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

417:4 Isa 2:11; 10:16“Katika siku ile utukufu wa Yakobo utafifia,

unono wa mwili wake utadhoofika.

517:5 Yoe 3:13; Mt 13:30; Ufu 14:15-19; Isa 33:4; Yer 51:33; Ay 24:24; Yos 17:1517:5 Yos 17:15; 1Nya 11:15Itakuwa kama mvunaji akusanyavyo nafaka

na kuvuna nafaka kwa mikono yake,

kama wakati mtu aokotapo masazo ya masuke

katika Bonde la Warefai.

617:6 Kum 4:24; Isa 10:19; 27:12; 24:3Hata hivyo baadhi ya masazo yatabaki,

kama vile mti wa mzeituni unavyopigwa,

kukiachwa zeituni mbili au tatu juu ya matawi kileleni,

nne au tano katika matawi yazaayo sana,”

asema Bwana, Mungu wa Israeli.

717:7 Isa 9:13; 12:6; Zek 12:10; Mik 7:7; Isa 2:12; 10:20; Za 95:6Katika siku ile watu watamwangalia Muumba wao,

na kuelekeza macho yao kwa yule Aliye Mtakatifu wa Israeli.

817:8 2Nya 32:19; Ufu 9:20; 2Fal 17:10Hawataziangalia tena madhabahu,

kazi za mikono yao,

nao hawataheshimu nguzo za Ashera,17:8 Ashera hapa maana yake ni mungu mke aliyekuwa akiabudiwa pamoja na Baali.

na madhabahu za kufukizia uvumba zilizofanywa kwa mikono yao.

917:9 Isa 7:19Katika siku ile miji yao iliyo imara, ambayo waliihama kwa sababu ya Waisraeli, itakuwa kama mahali palipoachwa pa vichaka na magugu. Nayo yote itakuwa ukiwa.

1017:10 Eze 22:12; Hos 8:14; Za 68:19; Kum 6:12; Yer 2:32; Za 50:22Mmemsahau Mungu Mwokozi wenu,

hamkumkumbuka Mwamba aliye ngome yenu.

Kwa hiyo, hata ingawa mlipandikiza mimea iliyo mizuri sana

na kuotesha mizabibu ya kigeni,

1117:11 Za 90:6; Ay 4:8; Kum 28:39; Yer 10:19; 30:12; Law 26:30hata kama siku ile unapoipandikiza, unaifanya iote

na asubuhi ile ile unayoipanda, unaifanya ichipue,

hata hivyo mavuno yatakuwa kama si kitu

katika siku ile ya ugonjwa na maumivu yasiyoponyeka.

1217:12 Yer 6:23; Lk 21:25; Isa 41:11; Za 18:4; 46:6; Isa 8:7-9Lo! Ghadhabu ya mataifa mengi,

wanaghadhibika kama bahari iliyochafuka!

Lo! Makelele ya mataifa

wanavuma kama ngurumo za maji mengi!

1317:13 Kum 28:20; Isa 13:14; Ay 13:25; Dan 2:35; Za 65:7; 46:3; Ay 21:18Ingawa mataifa yanavuma kama ngurumo za maji yanayofanya mawimbi,

wakati anapoyakemea yanakimbia mbali,

yanafukuzwa mbele ya upepo kama makapi juu ya milima,

kama jani livingirishwapo na dhoruba.

1417:14 2Fal 19:35; Amu 5:31; Isa 29:5; 30:13; 33:18; 54:14Wakati wa jioni, hofu ya ghafula!

Kabla ya asubuhi, wametoweka!

Hili ndilo fungu la wale wanaotupora,

fungu la wale wanaotunyangʼanya mali zetu.

Bibelen på hverdagsdansk

Esajasʼ Bog 17:1-14

Guds dom over Aram og Nordriget

1Guds budskab om Damaskus: „Se, Damaskus vil forsvinde. Byen bliver en ruindynge. 2Aroers byer17,2 Sandsynligvis skulle der have stået „Arams byer”. Aram svarer til det nuværende Syrien. bliver forladte, så fåreflokkene kan græsse frit i gaderne. Ingen vil forstyrre dem. 3Nordrigets befæstede byer bliver også ødelagt, og Damaskus’ magt får ende. De få, som er tilbage i Aram, vil dele skæbne med Nordriget,” erklærer Herren, den Almægtige.

4„Da vil Nordrigets tidligere herlighed høre en tåget fortid til, for hungersnød sætter ind. 5Landet vil ligge øde hen som Refaimdalens stubmarker, efter at kornet er høstet. 6Kun enkelte indbyggere bliver tilbage, ligesom de få oliven, der endnu sidder på et oliventræ efter høsten, et par stykker i toppen og nogle enkelte på de yderste grene,” siger Herren, Israels Gud.

7Engang vil de erkende, at Herren er deres Skaber, og de vil vende tilbage til Israels hellige Gud. 8Da vil de ikke længere bede afguderne om hjælp, dyrke deres menneskeskabte guder, tilbede og ofre til Asherapælene eller brænde røgelse på deres afgudsaltre.

9Dine prægtige byer vil blive lagt i ruiner som en fældet skov på en bakketop,17,9 Teksten er uklar, og LXX taler om amoritter og hivvitter. akkurat som byerne blev lagt i ruiner, dengang israelitterne først indtog landet. Alt skal ligge øde hen. 10Hvorfor? Fordi du har forladt den Gud, som kan frelse dig, og ikke ænser Klippen, hvor du kunne have søgt tilflugt. Du kan plante de bedste vinsorter,17,10 Teksten er uklar. 11og selv om de skulle spire og blomstre, når du planter dem, så kommer du aldrig til at plukke druer fra dem. Du vil kun høste sorg og bitter smerte.

12Hør larmen fra folkeslagenes hære. De larmer som havets oprørte bølger. 13Men Gud truer ad dem, så de flygter langt bort. De jages som avner af bjergvinden, som tidselfrø for slettens hvirvelvind. 14Aftenen er mættet af frygt, men før morgenen kommer, er fjenden borte. Sådan går det dem, der vil plyndre og gå på rov hos os.