Isaya 16 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 16:1-14

Hali Ya Kukata Tamaa Ya Moabu

116:1 Isa 10:32; Amu 1:36; 2Fal 14:7; 2Nya 32:23; 2Fal 3:4; Oba 1:3Pelekeni wana-kondoo kama ushuru

kwa mtawala wa nchi,

Kutoka Sela, kupitia jangwani,

hadi mlima wa Binti Sayuni.

216:2 Mit 27:8; Hes 21:13-14; Yer 48:40; Hes 21:29Kama ndege wanaopapatika

waliofukuzwa kutoka kwenye kiota,

ndivyo walivyo wanawake wa Moabu

kwenye vivuko vya Arnoni.

316:3 1Fal 18:4“Tupeni shauri,

toeni uamuzi.

Wakati wa adhuhuri,

fanyeni kivuli chenu kama usiku.

Waficheni watoro,

msisaliti wakimbizi.

416:4 Isa 55:7; 9:4; 2:2-4Waacheni watoro wa Moabu wakae pamoja nanyi;

kuweni mahali pao pa salama ili kuepuka mharabu.”

Mtesi atafikia mwisho na maangamizi yatakoma,

aletaye vita atatoweka kutoka nchi.

516:5 1Sam 13:14; Mik 4:7; Isa 7:2; Dan 7:14; Mit 20:28; Isa 9:7; Lk 1:32Kwa upendo kiti cha enzi kitaimarishwa,

kwa uaminifu mtu ataketi juu yake,

yeye atokaye nyumba ya Daudi:

yeye ambaye katika kuhukumu hutafuta haki,

na huhimiza njia ya haki.

616:6 Eze 25:8; Yer 25:21; Law 26:19; Ay 20:6; Sef 2:8; Yer 49:16; Amo 2:1Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu:

kiburi chake cha kujivuna na udanganyifu,

kiburi chake na ufidhuli wake,

lakini majivuno yake si kitu.

716:7 1Nya 16:3; 2Fal 3:25; Yer 48:20; 49:3; Isa 13:6Kwa hiyo Wamoabu wanaomboleza,

wanaiombolezea Moabu kwa pamoja.

Wanaomboleza na kuhuzunika

kwa ajili ya watu wa Kir-Haresethi.

816:8 Ay 8:16; Hes 21:32; 21:25; Isa 15:6; 5:2; Ay 8:16; Za 80:11Mashamba ya Heshboni yananyauka,

pia na mizabibu ya Sibma.

Watawala wa mataifa

wamekanyaga mizabibu iliyo mizuri sana,

ambayo ilipata kufika Yazeri

na kuenea kuelekea jangwani.

Machipukizi yake yalienea

yakafika hadi baharini.

916:9 Isa 15:3; Eze 27:31; Yer 40:12; Ay 7:3; Hes 32:3; Ezr 3:13Hivyo ninalia kama Yazeri aliavyo,

kwa ajili ya mizabibu ya Sibma.

Ee Heshboni, ee Eleale,

ninakulowesha kwa machozi!

Kelele za furaha kwa ajili ya tunda lako lililoiva

na kwa ajili ya mavuno zimekomeshwa.

1016:10 Isa 24:7-8; Amu 9:27; Ay 24:11; Yer 25:30; Isa 5:2Furaha na shangwe zimeondolewa

kutoka mashamba ya matunda;

hakuna yeyote aimbaye wala apazaye sauti

katika mashamba ya mizabibu;

hakuna yeyote akanyagaye zabibu shinikizoni,

kwa kuwa nimekomesha makelele.

1116:11 Isa 15:5; Hos 11:8; Flp 2:1; Ay 30:31; Isa 63:15Moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama kinubi,

nafsi yangu yote kwa ajili ya Kir-Haresethi.

1216:12 Za 115:4-7; 1Kor 8:4; Hes 22:4; Isa 15:2; 1Fal 11:7; 18:29Wakati Moabu anapojitokeza mahali pake pa juu,

anajichosha mwenyewe tu;

anapokwenda mahali pake pa kuabudia miungu ili kuomba,

haitamfaidi lolote.

13Hili ndilo neno ambalo Bwana ameshasema kuhusu Moabu. 1416:14 Isa 25:10; Yer 48:42; Kum 15:18; 13:16; Isa 20:3; 37:30; Law 19:13Lakini sasa Bwana anasema: “Katika miaka mitatu, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, fahari ya Moabu na watu wake wengi watadharauliwa, nao walionusurika watakuwa wachache sana, tena wanyonge.”

Bibelen på hverdagsdansk

Esajasʼ Bog 16:1-14

1I, som er ledere blandt flygtningene i Sela,16,1 Hovedstaden i Edoms land, syd for Moab. send vædderlam gennem ørkenen til Jerusalem som en gave til Judas konge med følgende bøn: 2„Vores opskræmte folk er ved Arnonflodens vadesteder som flaksende fugle og hjemløse fugleunger. 3Hjælp os, giv os ly for vores fjender. Vær med til at skjule de flygtende, og udlever os ikke til vores fjender. 4Tillad vores hjemløse flygtninge at bo iblandt jer, og skjul dem for fjenden.”

Når undertrykkelsen og ødelæggelsen er forbi, når den fjende, som trampede på os, er forsvundet, 5vil der komme en ny konge fra Davids slægt, en oprigtig og barmhjertig konge, som altid vil handle retfærdigt.

6Moab var kendt for sin stolthed, sit store hovmod og tomme praleri. 7Men nu jamrer Moabs befolkning, og mange jamrer over, hvad der er sket med dem. Fortvivlet sørger de over tabet af Kir-Haresets rosinkager,16,7 Måske har der oprindeligt stået: „Kir-Heres’ mænd” som i parallelstedet i Jer. 48,31. 8over Heshbons afsvedne vinmarker og Sibmas forladte vinstokke, hvis druer kunne få landenes herskere til at gå i gulvet.16,8 Eller: „Sibmas vinmarker, som landenes herskere har nedtrampet.” Den vin var kendt helt ud til Jazer, langt ind i ørkenen og hinsides havet. 9Derfor græder jeg, som Jazer græder over Sibmas vinmarker. Mine tårer flyder ved tanken om Heshbon og Elale, for deres frugthøst og afgrøder blev ødelagt under fjendens sejrsråb. 10Glæden er borte, fryden forstummet. Høstfolkenes festlige sang høres ikke mere i vinmarkerne. Ingen træder druer i persekarrene. De muntre råb er ophørt.

11Mit hjerte skælver af sorg over Moab, som strengene på den sørgmodige harpe. Min sorg over Kir-Heres er stor. 12Moabs folk opsøger deres helligdomme og mødes på offerhøjene for at bønfalde deres afguder, men det nytter intet. 13Det er, hvad Herren tidligere har sagt om Moab, 14men nu tilføjer han: „Om nøjagtig tre år er Moabs storhedstid forbi, og kun en ganske lille rest bliver tilbage i landet.”