Hosea 7 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hosea 7:1-16

17:1 Eze 24:13; Hos 4:2; 6:4; Kut 22:2; Sef 2:7; Za 126:1kila mara nilipotaka kumponya Israeli,

dhambi za Efraimu zinafichuliwa

na maovu ya Samaria yanafunuliwa.

Wanafanya udanganyifu,

wevi huvunja nyumba,

maharamia hunyangʼanya barabarani,

27:2 Yer 14:10; 44:21; Mit 5:22; Yer 2:19; 4:18; Hos 8:13; Ay 35:15lakini hawafahamu kwamba

ninakumbuka matendo yao yote mabaya.

Dhambi zao zimewameza,

ziko mbele zangu siku zote.

37:3 Rum 1:32; Yer 28:1-4; Mik 7:3; Hos 4:2; 10:13“Wanamfurahisha sana mfalme kwa maovu yao,

wakuu wao kwa uongo wao.

47:4 Yer 9:2Wote ni wazinzi,

wanawaka kama tanuru

ambayo moto wake mwokaji hana haja ya kuuchochea

kuanzia kukanda unga

hadi umekwisha kuumuka.

57:5 Isa 28:1, 7; Za 1:1Katika sikukuu ya mfalme wetu

wakuu wanawaka kwa mvinyo,

naye anawaunga mkono wenye mizaha.

67:6 Za 21:9Mioyo yao ni kama tanuru,

wanamwendea kwa hila.

Hasira yao inafoka moshi usiku kucha,

wakati wa asubuhi inalipuka

kama miali ya moto.

77:7 Za 14:4; Sef 1:6; Isa 9:13; Hos 13:10Wote ni moto kama tanuru;

wanawaangamiza watawala wao.

Wafalme wake wote wanaanguka,

wala hakuna yeyote kati yao aniitaye mimi.

87:8 Za 106:35; Hos 5:13; 7:11“Efraimu anajichanganya na mataifa;

Efraimu ni mkate ambao haukuiva.

97:9 Isa 1:7; Hos 8:7Wageni wananyonya nguvu zake,

lakini hafahamu hilo.

Nywele zake zina mvi hapa na pale,

lakini hana habari.

107:10 Hos 5:5; Isa 9:13Kiburi cha Israeli kinashuhudia dhidi yake,

lakini pamoja na haya yote

harudi kwa Bwana Mungu wake

wala kumtafuta.

117:11 Mwa 8:8; Hos 9:3; 11:11; Mao 5:6; Yer 2:18“Efraimu ni kama hua,

hudanganywa kwa urahisi na hana akili:

mara anaita Misri,

mara anageukia Ashuru.

127:12 Eze 12:13; 32:3; Law 26:14Wakati watakapokwenda,

nitatupa wavu wangu juu yao;

nitawavuta chini waanguke

kama ndege wa angani.

Nitakaposikia wakikusanyika pamoja,

nitawanasa.

137:13 Hos 9:12, 17; Yer 14:10; 51:9; Eze 34:4-6; Mt 23:37; Za 116:11Ole wao, kwa sababu

wamepotoka kutoka kwangu!

Maangamizi ni yao

kwa sababu wameniasi!

Ninatamani kuwakomboa,

lakini wanasema uongo dhidi yangu.

147:14 Ay 35:9; Yer 3:10; Hos 4:10; 13:16; Za 78:34-37; Amo 2:8Hawanililii mimi kutoka mioyoni mwao,

bali wanaomboleza vitandani mwao.

Hukusanyika pamoja kwa ajili ya nafaka na divai mpya,

lakini hugeukia mbali nami.

157:15 Za 2:1; 140:2; Nah 1:9; Hos 11:3Niliwafundisha na kuwatia nguvu,

lakini wanapanga mabaya dhidi yangu.

167:16 Za 78:57; Eze 23:32; Hos 9:3; 11:5; Mal 3:14Hawamgeukii Yeye Aliye Juu Sana,

wako kama upinde wenye kasoro.

Viongozi wao wataanguka kwa upanga

kwa sababu ya maneno yao ya jeuri.

Kwa ajili ya hili watadhihakiwa

katika nchi ya Misri.

Nueva Versión Internacional

Oseas 7:1-16

1y cuando yo sane a Israel,

la perversidad de Efraín y la maldad de Samaria

quedarán al descubierto.

Porque ellos cometen fraudes;

mientras el ladrón se mete en las casas,

una banda de salteadores roba en las calles.

2No consideran en sus corazones7:2 corazones. En la Biblia, corazón se usa para designar el asiento de las emociones, pensamientos y voluntad, es decir, el proceso de toma de decisiones del ser humano.

que yo recuerdo todas sus maldades.

Sus malas acciones los tienen cercados,

siempre las tengo presentes.

3»Con su maldad alegran al rey;

con sus mentiras, a los príncipes.

4¡Todos ellos son adúlteros!

Parecen un horno encendido

cuyo fuego no hace falta atizar

desde que el panadero prepara la harina hasta que la masa fermenta.

5En el día de fiesta de nuestro rey,

los príncipes se encienden con el vino

y el rey da la mano a los burladores.

6Sus corazones son como un horno,

mientras se acercan con intrigas.

Su ira se adormece por la noche,

pero se reaviva por la mañana.

7Todos ellos arden como un horno

y devoran a sus gobernantes.

Caen todos sus reyes,

pero ninguno de ellos me invoca.

8»Efraín se mezcla con las naciones;

parece una torta cocida de un solo lado.

9Los extranjeros minan sus fuerzas,

pero él ni cuenta se da.

Su pelo se ha encanecido,

pero él ni cuenta se da.

10La arrogancia de Israel testifica en su contra,

pero él no se vuelve al Señor su Dios;

a pesar de todo esto,

no lo busca.

11»Efraín es como una paloma

torpe y sin entendimiento,

que unas veces pide ayuda a Egipto

y otras, recurre a Asiria.

12Cuando vayan, lanzaré mi red sobre ellos;

los derribaré como a las aves del cielo

y cuando escuche que están juntos,

los atraparé.

13¡Ay de ellos,

que de mí se alejaron!

¡Destrucción vendrá sobre ellos

por rebelarse contra mí!

Yo bien podría redimirlos,

pero ellos mienten sobre mí.

14No me invocan de corazón,

sino que se lamentan echados en sus camas.

Para obtener grano y vino nuevo

se laceran7:14 se laceran (mss. hebreos y LXX); residen como extranjeros (TM).

y se ponen en mi contra.

15Yo adiestré y fortalecí sus brazos,

pero ellos maquinan maldades contra mí.

16No se vuelven al Altísimo;

son como un arco engañoso.

Sus líderes caerán a filo de espada

por sus palabras insolentes.

Y en la tierra de Egipto

se burlarán de ellos.