Israeli Asiye Na Toba
16:1 Ay 16:9; Kum 32:39; Mao 3:11; Ay 5:18; Isa 10:20; 19:22; Hes 12:13; Yer 3:22; 30:17; Hos 14:4“Njooni, tumrudie Bwana.
Ameturarua vipande vipande
lakini atatuponya;
ametujeruhi lakini
atatufunga majeraha yetu.
26:2 Mit 2:1-9; Za 80:18; 30:5; Mt 16:21Baada ya siku mbili atatufufua;
katika siku ya tatu atatuinua,
ili tuweze kuishi mbele zake.
36:3 Ay 4:3; 29:23; Yoe 2:23; Hos 12:6; Za 72:6; Hos 11:10Tumkubali Bwana,
tukaze kumkubali yeye.
Kutokea kwake ni hakika kama vile
kuchomoza kwa jua;
atatujia kama mvua za masika,
kama vile mvua za vuli
ziinyweshavyo nchi.”
46:4 Hos 11:8; 7:1; 13:3“Nifanye nini nawe, Efraimu?
Nifanye nini nawe, Yuda?
Upendo wako ni kama ukungu wa asubuhi,
kama umande wa alfajiri utowekao.
56:5 Yer 5:14; 23:29; Ebr 4:12; Yer 1:9-10Kwa hiyo ninawakata ninyi vipande vipande
kwa kutumia manabii wangu;
nimewaua ninyi kwa maneno ya kinywa changu,
hukumu zangu zinawaka
kama umeme juu yenu.
66:6 1Sam 15:22; Mk 12:33; Yer 4:22; Hos 2:20; Mit 21:3; Mt 12:7; Za 40:6Kwa maana nataka rehema, wala si dhabihu,
kumkubali Mungu zaidi
kuliko sadaka za kuteketezwa.
76:7 Mwa 9:11; Yer 11:10; Hos 5:7; 8:1Wamevunja Agano kama Adamu:
huko hawakuwa waaminifu kwangu.
86:8 Hos 12:11Gileadi ni mji wenye watu waovu,
umetiwa madoa kwa nyayo za damu.
96:9 Yer 5:30-31; Eze 22:9; Za 10:8; Hos 4:2; Yer 7:9-10Kama wanyangʼanyi wamviziavyo mtu,
ndivyo magenge ya makuhani wafanyavyo;
wanaulia watu kwenye njia iendayo Shekemu,
wakifanya uhalifu wa aibu.
106:10 Yer 5:31; Eze 23:7; Yer 23:14; Hos 5:3Nimeona jambo la kutisha
katika nyumba ya Israeli.
Huko Efraimu amejitolea kwa ukahaba
na Israeli amenajisika.
116:11 Yoe 3:12-13; Yer 51:33“Pia kwa ajili yako, Yuda,
mavuno yameamriwa.
“Wakati wowote ningerejesha neema ya watu wangu,
Impenitencia de Israel
1¡Vengan, volvámonos al Señor!
Él nos ha despedazado,
pero nos sanará;
nos ha herido,
pero nos vendará.
2Después de dos días nos dará vida nuevamente;
al tercer día nos levantará,
y así viviremos en su presencia.
3Conozcamos al Señor;
esforcémonos por conocerlo.
Tan cierto como que sale el sol,
él habrá de manifestarse;
vendrá a nosotros como la lluvia de invierno,
como la lluvia de primavera que riega la tierra.
4«¿Qué voy a hacer contigo, Efraín?
¿Qué voy a hacer contigo, Judá?
El amor de ustedes es como nube matutina,
como rocío que temprano se evapora.
5Por eso los hice pedazos por medio de los profetas;
los herí con las palabras de mi boca.
¡Mis juicios brillan como la luz!
6Lo que pido de ustedes es misericordia y no sacrificios,
conocimiento de Dios en lugar de holocaustos.
7Pero ellos, como Adán han quebrantado el pacto,
¡me han traicionado!
8Galaad es una ciudad de malhechores;
sus pisadas dejan huellas de sangre.
9Una pandilla de sacerdotes
está al acecho en el camino a Siquén
y, como banda de salteadores,
comete toda clase de infamias.
10En el reino de Israel he visto algo horrible:
se ha prostituido a Efraín
e Israel se ha contaminado.
11»¡A ti también, Judá,
te espera la cosecha de tu maldad!
»Cuando yo restaure la fortuna de mi pueblo