Hesabu 4 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 4:1-49

Wakohathi

1Bwana akawaambia Mose na Aroni, 24:2 Kut 30:12“Wahesabu Wakohathi walio sehemu ya Walawi kwa koo zao na jamaa zao. 34:3 Hes 1:46; 8:25; 1Nya 23:3, 24-27; Mwa 41:46; Ezr 3:8; Lk 3:23Wahesabu wanaume wote wenye umri wa miaka thelathini hadi hamsini wanaokuja kutumika katika kazi ya Hema la Kukutania.

44:4 Hes 3:28; 7:9“Hii ndiyo kazi ya Wakohathi katika Hema la Kukutania: Watatunza vitu vilivyo vitakatifu sana. 54:5 Kut 25:10, 16; 26:31-33; 1Nya 23:26; Law 16:2; 2Nya 3:14; Mt 27:51Wakati kambi inapohamishwa, Aroni na wanawe wataingia ndani na kushusha lile pazia la kuzuilia na kufunika nalo Sanduku la Ushuhuda. 64:6 Kut 25:5, 13-15; 1Fal 8:7; 2Nya 5:8Kisha watafunika juu yake na ngozi za pomboo,4:6 Pomboo hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. na kutandaza juu yake kitambaa cha rangi ya buluu iliyokolea na kuingiza mipiko mahali pake.

74:7 Law 24:6; Kut 25:30; 39:36; Yer 52:19“Juu ya meza ya mikate ya Wonyesho watatandaza kitambaa cha buluu na waweke sahani juu yake, masinia, bakuli na magudulia kwa ajili ya sadaka za kinywaji; mkate ule ambao upo hapa daima utabaki juu yake. 84:8 Kut 26:26-28Juu ya hivyo vitu watatandaza kitambaa chekundu na kufunika kwa ngozi za pomboo na kuweka mipiko yake mahali pake.

94:9 Kut 25:38“Watachukua kitambaa cha buluu na kufunika kinara cha taa kilicho kwa ajili ya nuru, pamoja na taa zake, mikasi yake, sinia zake, magudulia yake yote yaliyotumika kuwekea mafuta. 10Kisha watakisokotea pamoja na vifaa vyake vyote katika ngozi za pomboo na kukiweka kwenye jukwaa lake.

114:11 Kut 30:1-4“Juu ya madhabahu ya dhahabu watatandaza kitambaa cha buluu na kukifunika kwa ngozi za pomboo na kuweka mipiko yake mahali pake.

124:12 Hes 3:31“Watavichukua vyombo vyote vinavyotumika kuhudumia mahali patakatifu, watavisokotea kwenye kitambaa cha buluu na kufunika kwa ngozi za pomboo, na kuviweka juu ya miti ya kuchukulia.

134:13 Law 1:16; Kut 27:1-8; Hes 3:31“Wataondoa majivu kutoka madhabahu ya shaba na kutandaza kitambaa cha zambarau juu yake. 144:14 Kut 31:9; 27:3, 6; 1Nya 28:17; 2Nya 4:8, 11-16; Hes 7:84; Yer 52:6Kisha wataweka vyombo vyote juu yake vinavyotumika kwa kuhudumia madhabahuni pamoja na vyombo vya kutolea moto, nyuma, miiko na mabakuli ya kunyunyizia. Juu yake watatandaza ngozi za pomboo ya kufunika, na kuweka mipiko mahali pake.

154:15 Hes 3:27; 7:9; Kut 28:43; Hes 1:51; 2Sam 6:6, 7; Kum 31:9; 2Sam 6:6-7, 13; 1Nya 28:12-13“Baada ya Aroni na wanawe kumaliza kazi ya kufunika samani takatifu na vyombo vyake vyote, watu watakapokuwa tayari kungʼoa kambi, Wakohathi watakuja kufanya kazi ya kubeba. Lakini wasije wakagusa vitu vitakatifu la sivyo watakufa. Wakohathi ndio watakaobeba vile vitu vilivyomo katika Hema la Kukutania.

164:16 Law 6:14-23; 10:6; Hes 3:32; Kut 25:6; 29:41“Eleazari mwana wa Aroni, kuhani, ndiye atakayesimamia mafuta kwa ajili ya taa, uvumba wenye harufu nzuri, sadaka za kila siku za nafaka na mafuta ya upako. Ndiye atakayekuwa msimamizi wa maskani yote ya Bwana na kila kitu kilichomo ndani mwake pamoja na samani takatifu na vyombo vyake.”

17Bwana akawaambia Mose na Aroni, 18“Hakikisheni kwamba koo za kabila la Wakohathi hawatengwi kutoka Walawi. 194:19 Hes 3:32Ili wapate kuishi wala wasife wanapokaribia vitu vitakatifu sana, uwafanyie hivi: Aroni na wanawe watakwenda mahali patakatifu na kumgawia kila mtu kazi yake, na kwamba ni nini atakachochukua. 204:20 Kut 19:21; 1Sam 6:19Lakini Wakohathi hawaruhusiwi kuingia ndani ili kuangalia vitu vitakatifu, hata kwa kitambo kidogo, la sivyo watakufa.”

Wagershoni

21Bwana akamwambia Mose, 22“Wahesabu pia Wagershoni kwa jamaa zao na koo zao. 234:23 Hes 4:3; 1Nya 23:3; 24:27Wahesabu wanaume wote wenye umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao huja kutumika katika Hema la Kukutania.

24“Hii ndiyo huduma ya koo za Wagershoni wakati wanapofanya kazi na kubeba mizigo. 254:25 Kut 26:14; 27:10-18; Hes 3:25Watabeba mapazia ya maskani. Hema la Kukutania, kifuniko chake na kifuniko cha nje cha ngozi za pomboo, mapazia ya maingilio ya Hema la Kukutania, 264:26 Kut 27:9, 16; Hes 3:26mapazia ya ua unaozunguka Maskani na madhabahu, pazia la maingilio, kamba na vifaa vyote vinavyotumika katika huduma yake. Wagershoni watafanya yote yatakiwayo kufanyika na vitu hivi. 27Utumishi wao wote ukiwa ni kuchukua au wa kufanya kazi nyingine, utafanyika chini ya maelekezo ya Aroni na wanawe. Mtawapangia kama wajibu wao yote watakayoyafanya. 284:28 Hes 7:7; Kut 6:23Hii ndiyo huduma ya koo za Wagershoni katika Hema la Kukutania. Wajibu wao utakuwa chini ya maelekezo ya Ithamari mwana wa kuhani Aroni.

Wamerari

294:29 Kut 30:12; Mwa 46:11“Wahesabu Wamerari kwa koo zao na jamaa zao. 30Wahesabu wanaume wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao watakuja kutumika katika Hema la Kukutania. 314:31 Hes 3:36; Kut 26:15; 27:9-19Huu ndio wajibu wao wanapofanya huduma katika Hema la Kukutania: kubeba miimo ya Maskani, mataruma yake, nguzo na vitako, 324:32 Hes 3:37; Kut 25:9; 1Nya 9:29; Ezr 8:24-30nguzo za ua unaozunguka pamoja na vitako vyake, vigingi vya hema, kamba, vifaa vyake vyote na kila kitu kinachohusiana na matumizi yake. Kila mtu mpangie vitu maalum vya kubeba. 334:33 Kut 28:21Huu ndio utumishi wa koo za Merari kama watakavyofanya kazi katika Hema la Kukutania, chini ya maelekezo ya Ithamari mwana wa kuhani, Aroni.”

Kuhesabiwa Kwa Koo Za Walawi

344:34 Hes 4:35-40; 1Kor 12:8-12; Kum 33:25Mose, Aroni na viongozi wa jumuiya wakawahesabu Wakohathi kwa koo zao na jamaa zao. 35Wanaume wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao walikuja kutumika katika Hema la Kukutania, 36waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 2,750. 374:37 Hes 3:27Hii ilikuwa ndiyo jumla ya wote wale wa koo za Wakohathi ambao walitumika katika Hema la Kukutania. Mose na Aroni waliwahesabu kufuatana na amri ya Bwana kupitia kwa Mose.

384:38 Mwa 46:11Wagershoni walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao. 39Watu wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao walikuja kutumika katika Hema la Kukutania, 40waliohesabiwa kwa koo zao na jamaa zao, walikuwa 2,630. 41Hii ilikuwa ndiyo jumla ya wale wa koo za Gershoni ambao walitumika katika Hema la Kukutania. Mose na Aroni waliwahesabu kufuatana na amri ya Bwana.

42Wamerari walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao. 43Wanaume wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini ambao walikuja kutumika katika Hema la Kukutania, 44waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 3,200. 45Hii ilikuwa ndiyo jumla ya wale wa koo za Wamerari. Mose na Aroni waliwahesabu kufuatia amri ya Bwana kupitia kwa Mose.

46Hivyo Mose, Aroni na viongozi wa Israeli waliwahesabu Walawi wote kwa koo zao na jamaa zao. 474:47 Rum 12:6-8Wanaume wote wenye umri kuanzia miaka thelathini hadi hamsini waliokuja kufanya kazi ya kuhudumu na kubeba Hema la Kukutania 484:48 Hes 3:39walikuwa watu 8,580. 494:49 Hes 1:47; Rum 12:6-8Kwa amri ya Bwana kupitia Mose, kila mmoja aligawiwa kazi yake na kuambiwa kitu cha kubeba.

Hivyo ndivyo walivyohesabiwa kama Bwana alivyomwamuru Mose.

New International Reader’s Version

Numbers 4:1-49

The Families of Kohath

1The Lord said to Moses and Aaron, 2“Count the Levites who belong to the families of Kohath. Make a list of them family by family. 3Count all the men 30 to 50 years old. Those are the men who must come and serve at the tent of meeting.

4“Here is the work the men of Kohath must do at the tent of meeting. They must take care of the things that are very holy. 5When the camp is ready to move, Aaron and his sons must go into the tent. They must take down the curtain that hides the ark where the tablets of the covenant law are kept. They must cover the ark with the curtain. 6Then they must cover that with strong leather. They must spread a solid blue cloth over the leather. And they must put the poles in place.

7“They must spread a blue cloth over the table for the holy bread. They must put the plates, dishes and bowls on the cloth. They must also put the jars for drink offerings on it. The bread that is always kept there must remain on it. 8They must spread a bright red cloth over everything. Then they must cover that with the strong leather. And they must put the poles of the table in place.

9“They must get a blue cloth. With it they must cover the lampstand that gives light. They must also cover its lamps, trays and wick cutters. And they must cover all its jars. The jars are for the olive oil used in the lampstand. 10Then Aaron and his sons must wrap the lampstand and all the things used with it. They must cover it with the strong leather. And they must put it on a frame to carry it.

11“They must spread a blue cloth over the gold altar for burning incense. They must cover that with the strong leather. And they must put the poles of the altar in place.

12“They must get all the things used for serving in the sacred tent. They must wrap them in a blue cloth. They must cover that with the strong leather. Then they must put those things on a frame to carry them.

13“They must remove the ashes from the bronze altar for burnt offerings. They must spread a purple cloth over it. 14Then they must place all the tools on it. The tools are used for serving at the altar. They include the pans for carrying ashes. They also include the meat forks, shovels and sprinkling bowls. Aaron and his sons must cover the altar with the strong leather. And they must put its poles in place.

15“Aaron and his sons must cover all the holy things that belong to the holy tent. Only then are the men of Kohath to come and carry everything. They must do so only when the camp is ready to move. But they must not touch the holy things. If they do, they will die. The men of Kohath must carry everything in the tent of meeting.

16“Eleazar the priest will be in charge of the olive oil for the light. He is the son of Aaron. Eleazar will be in charge of the sweet-smelling incense. He will be in charge of the regular grain offering and the anointing oil. He will be in charge of the entire holy tent. He will also be in charge of everything in it. That includes all the things that belong to the tent.”

17The Lord spoke to Moses and Aaron. He said, 18“Make sure that the Kohath families are not destroyed from among the Levites. 19I want them to live and not die when they come near the very holy things. So here is what you must do for them. Aaron and his sons must go into the sacred tent and tell each man what to do. They must tell each man what to carry. 20But the men of Kohath must not go in and look at the holy things. They must not look at them even for a moment. If they do, they will die.”

The Families of Gershon

21The Lord said to Moses, 22“Count the families of Gershon. Make a list of them family by family. 23Count all the men 30 to 50 years old. Those are the men who must come and serve at the tent of meeting.

24“Here is how the families of Gershon must serve. They must carry things. 25They must carry the curtains of the holy tent of meeting. They must carry its covering and the outside covering of strong leather. They must carry the curtains that cover the entrance to the tent of meeting. 26They must carry the curtains of the courtyard. The courtyard is all around the holy tent and altar. They must carry the curtain for the entrance. They must carry the ropes. They must also carry all the supplies used for any purpose in the tent. The families of Gershon must do everything that needs to be done with those things. 27All their work must be done under the direction of Aaron and his sons. That includes carrying and everything else they do. Aaron and his sons must tell them what to carry. And that will be their work. 28It is what the families of Gershon must do at the tent of meeting. They must work under the direction of Ithamar the priest. He is the son of Aaron.

The Families of Merari

29“Count the families of Merari. Count them family by family. 30Count all the men 30 to 50 years old. Those are the men who must come and serve at the tent of meeting. 31Here is the work they must do at the tent of meeting. They must carry the frames of the holy tent. They must carry its crossbars, posts and bases. 32They must also carry the posts of the courtyard. The courtyard is all around the holy tent. And they must carry the bases for the posts as well as their tent stakes and ropes. They must also carry all the supplies and everything connected with their use. Tell each man exactly what to carry. 33That is the work the families of Merari must do at the tent of meeting. They must work under the direction of Ithamar the priest. He is the son of Aaron.”

Counting the Families of the Levites

34Moses, Aaron and the leaders of the community counted the men of Kohath. They counted them family by family.

35They counted all the men from 30 to 50 years old. They were the men who came and served at the tent of meeting. 36There were 2,750 men. They were counted family by family. 37That was the total of all the men in the families of Kohath who served at the tent of meeting. Moses and Aaron counted them. They did just as the Lord had commanded through Moses.

38The men of Gershon were counted family by family.

39All the men from 30 to 50 years old were counted. They were the men who came and served at the tent of meeting. 40There were 2,630 men. They were counted family by family. 41That was the total of the men in the families of Gershon who served at the tent of meeting. Moses and Aaron counted them. They did just as the Lord had commanded.

42The men of Merari were counted family by family.

43All the men from 30 to 50 years old were counted. They were the men who came and served at the tent of meeting. 44There were 3,200 men. They were counted family by family. 45That was the total of the men in the families of Merari. Moses and Aaron counted them. They did just as the Lord had commanded through Moses.

46So Moses and Aaron counted all the Levites. The leaders of Israel helped them. They counted the Levites family by family. 47All the men from 30 to 50 years old were counted. They were the men who came and served at the tent of meeting. They were also supposed to carry it. 48The total number of men was 8,580. 49Everything was done as the Lord had commanded through Moses. Each man was given his work. And each one was told what to carry.

So they were counted, just as the Lord had commanded Moses.