Hesabu 33 – NEN & CARST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 33:1-56

Vituo Katika Safari Ya Waisraeli

133:1 Kut 17:1; 40:36; Hes 1:1; Kut 4:16; 6:26Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni. 233:2 Kut 17:4Kwa agizo la Bwana, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:

333:3 Hes 10:2; Mwa 47:11; Yos 5:10; Kut 14:8; 1:11; 12:37; 12:2; 13:4; Za 105:38; Isa 52:12; Kut 14:8Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote, 433:4 Kut 4:23; 2Nya 24:24; Yer 15:3; Eze 14:21; Kut 12:12; Isa 19:1; Sef 2:11; Ufu 12:8waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao Bwana alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa Bwana alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.

533:5 Kut 12:37Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.

633:6 Kut 13:20; Mwa 33:17; Yos 13:27; Za 60:6Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.

733:7 Kut 13:17, 18; 14:2, 9Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.

833:8 Kut 14:2; 14:22; 15:23Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.

933:9 Kut 15:27Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.

1033:10 Kut 16:1Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.

1133:11 Kut 16:1; 17:1Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.

12Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.

13Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.

1433:14 Kut 15:22; 17:2Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.

1533:15 Kut 17:1; 19:1Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.

1633:16 Hes 11:34Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.

1733:17 Hes 11; 35; Kum 9:22Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.

1833:18 Hes 12:16; Kum 1:1Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.

19Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.

2033:20 Yos 10:29; 12:15; 15:42; 21:13; 2Fal 8:22; 19:8; 23:31; 1Nya 6:57; 2Nya 21:10; Isa 37:8; Yer 52:1Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.

21Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.

22Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.

23Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.

24Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.

25Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.

26Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.

27Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.

28Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.

29Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.

3033:30 Kum 10:6Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.

3133:31 Kum 10:6Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.

3233:32 Mwa 36:27; Kum 10:6; 1Nya 1:42Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.

3333:33 Kum 10:7Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.

34Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.

3533:35 Kum 2:8; 1Fal 9:26; 22:48Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.

3633:36 Hes 13:21; 20:1; Kum 32:51; Yos 15:1Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.

3733:37 Hes 20:22; Mwa 36:16; Hes 20:16Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu. 3833:38 Hes 27:13; Kut 16:35; Hes 20:25-28; Kum 10:6; 32:50Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri. 39Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.

4033:40 Mwa 10:18; Hes 21:1; Mwa 12:9; Amu 1:16Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.

41Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.

42Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.

4333:43 Hes 21:10Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.

4433:44 Hes 21:11Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.

4533:45 Hes 32:34Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.

4633:46 Yer 48:22; Eze 6:14Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.

4733:47 Hes 27:12; 32:3; Kum 32:49Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.

4833:48 Hes 27:12; 26:3; Mwa 13:10; Hes 22:1; Yos 12:9Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko. 4933:49 Yos 12:3; 13:20; Eze 25:9; Hes 21:16Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.

5033:50 Hes 33:48; 34:2Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, Bwana akamwambia Mose, 5133:51 Kum 7:1; 9:1; Yos 3:17“Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani, 5233:52 Law 26:1; Za 106:34-36; Kut 23:24; 34:12-17; Kum 7:2-5, 25, 26; Yos 11:12; 23:7; Amu 2:2wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada. 5333:53 Kum 11:31; 17:14; Yos 1:11; 21:43; Za 24:1; Ay 14:11; Dan 4:35Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki. 5433:54 Law 16:8; Hes 36:2; 26:54; 35:8; Yos 18:10Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.

5533:55 Yos 23:13; Amu 2:3; Za 106:36; Isa 55:13; Eze 2:6; 28:24; Mik 7:4; 2Kor 12:7; Kut 23:33; Mwa 17:8; Kum 1:7; Za 78:55; 105:11“ ‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi. 5633:56 Hes 14:28Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’ ”

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Числа 33:1-56

Лагеря исроильтян

1Вот лагеря на пути исроильтян, когда они вышли из Египта по воинствам их, под началом Мусо и Хоруна. 2По повелению Вечного Мусо записал лагеря на их пути. Вот их путь по лагерям.

3Исроильтяне тронулись в путь из Раамсеса в пятнадцатый день первого месяца (ранней весной), в день после праздника Освобождения. Они выступили смело33:3 Букв.: «под высокой рукою», т. е. под защитой Вечного. на виду у египтян, 4хоронивших первенцев, которых умертвил Вечный. Так Вечный совершил суд над их богами.

5Исроильтяне покинули Раамсес и остановились в Суккоте.

6Они покинули Суккот и остановились в Етаме, на краю пустыни.

7Они покинули Етам, повернули к Пи-Хахироту, что на востоке от Баал-Цефона, и остановились рядом с Мигдолом.

8Они покинули Пи-Хахирот, прошли через море в пустыню и, пройдя три дня по пустыне Етам, остановились в Маре.

9Они покинули Мару и пришли в Елим, где были двенадцать источников и семьдесят пальм, и остановились здесь.

10Они покинули Елим и остановились у Тростникового моря.

11Они покинули Тростниковое море и остановились в пустыне Син.

12Они покинули пустыню Син и остановились в Дофке.

13Они покинули Дофку и остановились в Алуше.

14Они покинули Алуш и остановились в Рефидиме, где у народа не было воды, чтобы утолить жажду.

15Они покинули Рефидим и остановились в Синайской пустыне.

16Они покинули Синайскую пустыню и остановились в Киврот-Хатааве.

17Они покинули Киврот-Хатааву и остановились в Хацероте.

18Они покинули Хацерот и остановились в Ритме.

19Они покинули Ритму и остановились в Риммон-Фареце.

20Они покинули Риммон-Фарец и остановились в Ливне.

21Они покинули Ливну и остановились в Риссе.

22Они покинули Риссу и остановились в Кеелате.

23Они покинули Кеелат и остановились у горы Шафер.

24Они покинули гору Шафер и остановились в Хараде.

25Они покинули Хараду и остановились в Макелоте.

26Они покинули Макелот и остановились в Тахате.

27Они покинули Тахат и остановились в Терахе.

28Они покинули Терах и остановились в Митеке.

29Они покинули Митеку и остановились в Хашмоне.

30Они покинули Хашмону и остановились в Мосероте.

31Они покинули Мосерот и остановились в Бене-Яакане.

32Они покинули Бене-Яакан и остановились в Хор-Хаггидгаде.

33Они покинули Хор-Хаггидгад и остановились в Иотвате.

34Они покинули Иотват и остановились в Авроне.

35Они покинули Аврон и остановились в Эцион-Гевере.

36Они покинули Эцион-Гевер и остановились в Кадеше, в пустыне Цин.

37Они покинули Кадеш и остановились у горы Ор, на границе Эдома. 38По повелению Вечного священнослужитель Хорун поднялся на гору Ор и умер там в первый день пятого месяца (в середине лета), в сороковой год после того, как исроильтяне ушли из Египта. 39Хоруну было сто двадцать три года, когда он умер на горе Ор.

40Ханонский царь Арада, расположенного в Негеве ханонском, услышал, что идут исроильтяне.

41Они покинули гору Ор и остановились в Салмоне. 42Они покинули Салмону и остановились в Пуноне.

43Они покинули Пунон и остановились в Овоте.

44Они покинули Овот и остановились в Ийе-Авариме, на землях Моава.

45Они покинули Ийе-Аварим и остановились в Дивон-Гаде.

46Они покинули Дивон-Гад и остановились в Алмон-Дивлатаиме.

47Они покинули Алмон-Дивлатаим и остановились в горах Аварим, рядом с Нево.

48Они покинули горы Аварим и остановились на равнинах Моава у реки Иордан напротив города Иерихона. 49На равнинах Моава они остановились вдоль Иордана от Бет-Иешимота до Авель-Шиттима.

50На равнинах Моава у реки Иордан, напротив города Иерихона, Вечный сказал Мусо:

51– Говори с исроильтянами и скажи им: «Когда вы перейдёте через Иордан в Ханон, 52то прогоните всех жителей этой земли. Сокрушите их каменных и литых идолов и разорите их капища на возвышенностях. 53Завладейте этой землёй и поселитесь в ней, потому что Вечный отдал эту землю вам во владение. 54Разделите землю по жребию между кланами. Большему клану дайте больший надел, а меньшему – меньший. Что выпадет им по жребию, то и будет их. Разделите землю между родами. 55Если вы не прогоните обитателей этой земли, то те, кому вы дадите остаться, станут у вас как шипы в глазах и колючки в боку. Они лишат вас покоя на этой земле, в которой вы будете жить. 56Тогда Я сделаю с вами то, что собираюсь сделать с ними».