Ezra 9 – NEN & PCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezra 9:1-15

Maombi Ya Ezra Kuhusu Kuoa Wake Wa Kigeni

19:1 Neh 9:2; Mwa 19:38; Kum 20:17; Amu 3:5; Kum 12:30Baada ya mambo haya kutendeka, viongozi walinijia na kusema, “Watu wa Israeli, wakiwemo makuhani na Walawi, hawakujitenga na majirani zao katika kufanya machukizo, kama yale ya Wakanaani, Wahiti, Waperizi, Wayebusi, Waamoni, Wamoabu, Wamisri na Waamori. 29:2 Law 27:30; Ezr 10:2; 2Kor 6:14; Kut 22:31; Kum 7:3Wamewaoa baadhi ya binti zao kuwa wake zao na wake za wana wao, nao wamechanganya taifa takatifu na watu waliowazunguka. Nao viongozi na maafisa wamekuwa mstari wa mbele katika njia hii potovu.”

39:3 Isa 15:2; Za 143:4Niliposikia jambo hili nilirarua koti langu na joho langu, nikazingʼoa nywele za kichwa changu na ndevu zangu na kuketi nikishangaa. 49:4 Za 119:120; Isa 66:2-59:4 Ezr 10:3; Kut 29:39Kisha kila mmoja aliyetetemeshwa na maneno ya Mungu wa Israeli alikusanyika kunizunguka kwa sababu ya upotovu huu wa hao watu waliorudi kutoka utumwani. Nami niliketi pale nikishangaa mpaka wakati wa dhabihu ya jioni.

59:5 Kut 9:29; 29:41Ndipo wakati wa kutoa dhabihu ya jioni nikainuka kutoka kujidhili kwangu nikiwa na koti na joho langu lililoraruka, nikapiga magoti mikono yangu ikiwa imeinuliwa kwa Bwana Mungu wangu. 69:6 Ufu 18:5; Dan 9:7; Isa 59:12Nami nikaomba:

“Ee Mungu wangu, natahayari na kuona aibu kukuinulia uso wangu Mungu wangu, kwa sababu dhambi zetu zimejikusanya hata kupita juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imefika mbinguni. 79:7 2Nya 29:6; Eze 21:1-32; Kum 28:36-64; Za 106:6; 2Nya 19:2; Mwa 18:19Tokea siku za babu zetu mpaka sasa, hatia yetu imekuwa kubwa. Kwa sababu ya dhambi zetu, sisi na wafalme wetu na makuhani wetu tumekabiliwa na vita, utumwa, kutekwa na kudhiliwa katika mikono ya wafalme wa kigeni, kama ilivyo leo.

89:8 Isa 33:2; Za 13:3; Mhu 12:11; Mwa 45:7; Isa 22:23; Za 19:8“Lakini sasa, kwa muda mfupi, Bwana Mungu wetu amekuwa na neema kwa kutuachia mabaki na kutupa mahali imara katika mahali pake patakatifu, hivyo Mungu wetu atupa mwanga machoni petu na unafuu katika utumwa wetu. 99:9 Neh 9:36; Kut 1:14; 2Fal 25:28; Zek 1:16-17; Ezr 7:28Ingawa tu watumwa, Mungu wetu hajatuacha katika kufungwa kwetu. Ametuonyesha huruma mbele ya wafalme wa Uajemi: Ametujalia maisha mapya kwa kujenga upya nyumba ya Mungu wetu na kukarabati magofu yake, naye ametupa ukuta wa ulinzi katika Yuda na Yerusalemu.

109:10 Kum 11:8; Isa 1:19-20“Lakini sasa, Ee Mungu wetu, tunaweza kusema nini baada ya hili? Kwa maana tumedharau maagizo 119:11 Law 18:25-28; Kum 18:9; 1Fal 14:24uliyoyatoa kupitia watumishi wako manabii uliposema: ‘Nchi mnayoiingia kuimiliki ni nchi iliyochafuliwa na uovu wa watu wake. Kwa matendo yao ya machukizo wameijaza nchi kwa unajisi wao kutoka mwisho mmoja hadi mwingine. 129:12 Kut 34:15; Kum 7:39:12 Mit 13:22; Kut 23:32-33; Amu 2:2; 2Pet 2:20; 2Kor 6:14Kwa hiyo, msiwaoze binti zenu kwa wana wao wala binti zao kwa wana wenu. Msitafute mkataba wa urafiki nao kwa wakati wowote. Ndipo mtakapofanikiwa na kula mema ya nchi na kuwaachia watoto wenu nchi hiyo kama urithi wao wa milele.’

139:13 Ay 15:5; Za 103:10“Yale yaliyotupata ni matokeo ya matendo yetu mabaya, pia hatia yetu kubwa. Hata hivyo, wewe Mungu wetu, umetuadhibu kidogo kuliko dhambi zetu zilivyostahili na umetupa mabaki kama haya. 149:14 Kum 9:8-14; Neh 13:27; Yn 5:14Je, tutavunja maagizo yako tena na kuoana na watu ambao hufanya mambo ya machukizo? Je, hutakuwa na hasira ya kutosha juu yetu na kutuangamiza, bila kutuachia mabaki wala atakayenusurika? 159:15 Neh 9:33; Za 51:4; Rum 3:19; Isa 24:16; 1Fal 8:47; Dan 9:14; Za 130:3Ee Bwana, Mungu wa Israeli, wewe ni mwenye haki! Leo hii tumeachwa kama mabaki. Tupo hapa mbele zako na hatia yetu, ingawa katika hali hii hakuna hata mmoja wetu anayeweza kusimama mbele zako.”

Persian Contemporary Bible

عزرا 9:1-15

دعای عزرا

1پس از پايان اين امور، سران قوم اسرائيل پيش من آمدند و گفتند كه قوم و كاهنان و لاويان خود را از قومهای بت‌پرست ساكن اين ديار جدا نكرده‌اند و از اعمال قبيح كنعانی‌ها، حيتی‌ها، فرزی‌ها، يبوسی‌ها، عمونی‌ها، موآبی‌ها، مصری‌ها و اموری‌ها پيروی می‌كنند. 2مردان يهودی از دختران اين قومها برای خود و پسرانشان زنان گرفته‌اند و به اين وسيله قوم مقدس را با قومهای بت‌پرست در هم آميخته‌اند. در اين فساد، سران و بزرگان قوم پيشقدم بوده‌اند.

3وقتی اين خبر را شنيدم، جامه خود را دريدم، موی سر و ريش خود را كندم و متحير نشستم. 4سپس گروهی از كسانی كه به خاطر اين گناه قوم از خدای اسرائيل می‌ترسيدند نزد من جمع شدند و من تا وقت تقديم قربانی عصر، همانطور نشسته ماندم.

5در هنگام قربانی عصر از جای خود بلند شدم و با همان جامهٔ دريده زانو زدم و دستهای خود را به حضور خداوند، خدايم بلند كرده، 6گفتم: «خدايا در نزد تو شرمسارم و خجالت می‌كشم كه در حضورت سر بلند كنم، چون گناهان ما از سر ما گذشته و خطاهای ما سر به فلک كشيده است. 7قوم ما از زمانهای گذشته تا به حال مرتكب گناهان زيادی شده‌اند؛ به همين دليل است كه ما و پادشاهان و كاهنانمان به دست پادشاهان ديگر كشته و اسير و غارت و رسوا شده‌ايم، و اين رسوايی تا امروز هم باقی است. 8و حال مدتی است كه لطف تو ای خداوند، خدای ما، شامل حال ما شده و تو عده‌ای از ما را از اسارت بيرون آورده در اين مكان مقدس مستقر ساخته‌ای و به ما شادی و حيات تازه بخشيده‌ای. 9ما اسير و برده بوديم، ولی تو ما را در حالت بردگی ترک نكردی، بلكه ما را مورد لطف پادشاهان پارس قرار دادی. تو به ما حيات تازه بخشيده‌ای تا بتوانيم خانهٔ تو را بازسازی كنيم و در سرزمين يهودا و شهر اورشليم در امان باشيم.

10‏-11«و حال ای خدای ما، پس از اين همه لطف، چه می‌توانيم بگوييم؟ در حالی که بار ديگر از دستورات تو كه توسط انبيايت به ما داده بودی، سرپيچی كرده‌ايم. آنها به ما گفته بودند كه سرزمينی كه بزودی آن را به تصرف خود در خواهيم آورد زمينی است كه بر اثر اعمال قبيح ساكنان بت‌پرست آن نجس شده است و سراسر آن پر از فساد و پليدی است. 12به ما فرمودند كه دختران خود را به پسران اهالی آنجا ندهيم و نگذاريم پسران ما با دختران ايشان ازدواج كنند و نيز هرگز به آن قومها كمک نكنيم تا بتوانيم از آن سرزمين حاصلخيز بهره‌مند شويم و آن را برای فرزندانمان تا ابد به ارث بگذاريم. 13اما ما مرتكب اعمال زشت و گناهان بزرگی شديم و تو ما را تنبيه كردی. ولی می‌دانيم كمتر از آنچه كه سزاوار بوديم ما را تنبيه نمودی و گذاشتی از اسارت آزاد شويم. 14با وجود اين، باز از دستورات تو سرپيچی نموده‌ايم و با اين قومهای فاسد وصلت كرده‌ايم. حال، بدون شک مورد خشم تو قرار خواهيم گرفت و حتی يكنفر از ما نيز زنده باقی نخواهد ماند. 15ای خداوند، خدای اسرائيل، تو خدايی عادل هستی. ما بازماندگان قوم اسرائيل در حضور تو به گناه خود اعتراف می‌كنيم، هر چند به سبب اين گناه شايسته نيستيم در حضورت بايستيم.»