Ezra 10 – NEN & PCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezra 10:1-44

Toba Ya Watu

110:1 2Nya 20:9; Dan 9:20Wakati Ezra alipokuwa anaomba na kuungama, huku akilia na kujitupa chini mbele ya nyumba ya Mungu, umati mkubwa wa Waisraeli, wanaume, wanawake na watoto walikusanyika kumzunguka. Nao pia wakalia sana. 210:2 Ezr 9:2; Kut 34:13; Neh 13:27; Kum 30:8-10Kisha Shekania mwana wa Yehieli, mmoja wa wazao wa Elamu, akamwambia Ezra, “Tumekosa uaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni kutoka mataifa yanayotuzunguka. Lakini pamoja na hili, bado liko tumaini kwa ajili ya Israeli. 310:3 2Fal 11:17; 2Nya 34:31; Kut 34:16; Kum 7:2-3; Ezr 9:4; Za 119:53, 120; Isa 66:2Sasa na tufanye agano mbele za Mungu wetu kuwafukuza hawa wanawake wote pamoja na watoto wao, kulingana na maonyo ya bwana wangu pamoja na wale ambao wanaogopa amri za Mungu wetu. Hili na lifanyike sawasawa na hii Sheria. 410:4 1Nya 28:10; Isa 35:3-4Inuka, suala hili lipo mikononi mwako. Sisi tutaungana nawe, uwe na ujasiri ukatende hili.”

510:5 Neh 5:12; 13:25Basi Ezra akainuka na kuwaapisha makuhani viongozi, Walawi na Israeli yote kufanya lile lililokuwa limependekezwa. Nao wakaapa. 610:6 Kum 9:18; Yn 3:7; Za 102:4Ndipo Ezra akaondoka hapo mbele ya nyumba ya Mungu akaenda kwenye chumba cha Yehohanani mwana wa Eliashibu. Wakati alipokuwa hapo, hakula chakula wala hakunywa maji, kwa sababu aliendelea kuomboleza kuhusu kukosa uaminifu kwa watu wa uhamishoni.

7Ndipo lilipotolewa tangazo Yuda yote na Yerusalemu kwa watu wote waliokuwa uhamishoni kukusanyika Yerusalemu. 810:8 Law 27:28; Yos 6:19Yeyote ambaye hangejitokeza kwa muda wa siku tatu angepoteza mali yake yote, kulingana na uamuzi wa maafisa na wazee, naye mtu huyo angefukuzwa kutoka kusanyiko la watu waliokuwa uhamishoni.

910:9 1Sam 12:18; Ezr 1:5Katika muda wa siku tatu, watu wote wa Yuda na Benyamini wakawa wamekusanyika huko Yerusalemu. Kwenye siku ya ishirini ya mwezi wa tisa, watu wote walikuwa wameketi ndani ya uwanja mbele ya nyumba ya Mungu, wakiwa na majonzi mno kwa tukio hilo na kwa sababu ya mvua kubwa. 10Ndipo Kuhani Ezra aliposimama akawaambia, “Mmekosa uaminifu, mmeoa wanawake wa kigeni, mkaongezea hatia ya Israeli. 1110:11 Kum 24:1; Mit 28:13; Mal 2:10-16; Yer 3:13; Isa 1:16-17; Rum 12:2Sasa tubuni kwa Bwana, Mungu wa baba zenu mkafanye mapenzi yake. Jitengeni na mataifa wanaowazunguka na wake zenu wa kigeni.”

1210:12 Yos 6:5Kusanyiko lote likajibu kwa sauti kubwa: “Uko sawa kabisa! Ni lazima tufanye kama unavyosema. 13Lakini hapa pana watu wengi na ni wakati wa mvua, hivyo hatuwezi kusimama nje. Hata hivyo, shauri hili haliwezi kumalizika kwa siku moja au mbili, kwa sababu tumefanya dhambi kubwa katika jambo hili. 1410:14 Kum 16:18; Hes 25:4; 2Nya 30:8; 2Fal 23:26; 2Nya 28:11-13; 29:10; 30:8; Za 78:38; Isa 12:1Maafisa wetu na wafanye kwa niaba ya kusanyiko lote. Kisha kila mmoja katika miji yetu ambaye ameoa mwanamke wa kigeni aje kwa wakati uliopangwa, akiwa pamoja na wazee na waamuzi wa kila mji, hadi hasira kali ya Mungu wetu katika shauri hili itakapoondolewa kwetu.” 1510:15 Neh 11:16Yonathani mwana wa Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa peke yao, wakiungwa mkono na Meshulamu na Shabethai Mlawi, ndio waliopinga jambo hili.

16Basi watu wa uhamishoni wakafanya kama ilivyokuwa imependekezwa. Kuhani Ezra akachagua wanaume waliokuwa viongozi wa jamaa, mmoja kutoka kila mgawanyo wa jamaa, nao wote wakachaguliwa kwa majina. Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi waliketi kuchunguza mashauri hayo. 17Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kushughulikia wanaume wote waliokuwa wameoa wanawake wa kigeni.

Wenye Hatia Ya Kuoa Wake Wa Kigeni

1810:18 Ezr 5:2; Amu 3:6; Zek 6:1Miongoni mwa wazao wa makuhani, wafuatao walikuwa wameoa wanawake wa kigeni:

Kutoka wazao wa Yeshua mwana wa Yosadaki na ndugu zake: Maaseya, Eliezeri, Yaribu na Gedalia. 1910:19 2Fal 10:15; Law 5:15; 6:4-6; 1Nya 29:24; 2Nya 30:8; Gal 2:9; Mit 22:26(Wote walitoa nadhiri kwa kuandika kwa mikono yao kuwafukuza wake zao, kwa hatia yao, kila mmoja akatoa kondoo dume kutoka kundini mwake kama sadaka ya hatia.)

2010:20 1Nya 24:14Kutoka wazao wa Imeri:

Hanani na Zebadia.

2110:21 1Nya 24:8Kutoka wazao wa Harimu:

Maaseya, Eliya, Shemaya, Yehieli na Uzia.

2210:22 1Nya 9:12Kutoka wazao wa Pashuri:

Elioenai, Maaseya, Ishmaeli, Nethaneli, Yozabadi na Elasa.

2310:23 Neh 8:7; 9:4Miongoni mwa Walawi:

Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.

2410:24 Neh 3:1; 12:10Kutoka waimbaji:

Eliashibu.

Kutoka mabawabu:

Shalumu, Telemu na Uri.

2510:25 Ezr 3:2; 8:3; Neh 7:13Miongoni mwa Waisraeli wengine:

Kutoka wazao wa Paroshi:

Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.

26Kutoka wazao wa Elamu:

Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Eliya.

27Kutoka wazao wa Zatu:

Elioenai, Eliashibu, Matania, Yeremothi, Zabadi na Aziza.

28Kutoka uzao wa Bebai:

Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.

29Kutoka wazao wa Bani:

Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.

30Kutoka wazao wa Pahath-Moabu:

Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Bezaleli, Binui na Manase.

31Kutoka wazao wa Harimu:

Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni, 32Benyamini, Maluki, na Shemaria.

33Kutoka wazao wa Hashumu:

Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.

34Kutoka wazao wa Bani:

Maadai, Amramu, Ueli, 35Benaya, Bedeya, Keluhi, 36Vania, Meremothi, Eliashibu, 37Matania, Matenai na Yaasu.

38Kutoka wazao wa Binui:

Shimei, 39Shelemia, Nathani, Adaya, 40Maknadebai, Shashai, Sharai, 41Azareli, Shelemia, Shemaria, 42Shalumu, Amaria na Yosefu.

4310:43 Ezr 2:29; Hes 32:38Kutoka wazao wa Nebo:

Yeieli, Matithia, Zabadi, Zebina, Yadai, Yoeli na Benaya.

4410:44 Mwa 6:2-5; Kut 23:2; Kum 7:3Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni, na baadhi yao walikuwa wamezaa nao watoto.

Persian Contemporary Bible

عزرا 10:1-44

جدايی از زنان غيريهودی

1همانطور كه عزرا در مقابل خانهٔ خدا روی بر زمين نهاده بود و گريه‌كنان دعا و اعتراف می‌كرد، عده زيادی از مردان و زنان و اطفال اسرائيلی نيز دورش جمع شدند و با او گريه كردند.

2سپس شكنيا پسر يحی‌ئيل كه از طايفهٔ عيلام بود به عزرا گفت: «ما اعتراف می‌كنيم كه نسبت به خدای خود گناه ورزيده‌ايم، چون با زنان غيريهودی ازدواج كرده‌ايم. ولی با وجود اين، باز اميدی برای بنی‌اسرائيل باقی است. 3اينک در حضور خدای خويش قول می‌دهيم كه از زنان خود جدا شويم و آنها را با فرزندانشان از اين سرزمين دور كنيم. ما در اين مورد از دستور تو و آنانی كه از خدا می‌ترسند پيروی می‌كنيم، و طبق شريعت عمل می‌نماييم. 4حال برخيز و به ما بگو چه كنيم. ما از تو پشتيبانی خواهيم كرد، پس نااميد نباش و آنچه لازم است انجام بده.»

5آنگاه عزرا بلند شد و از سران كاهنان و لاويان و تمام بنی‌اسرائيل خواست تا قسم بخورند كه هر چه شكنيا گفته است انجام دهند؛ و همه قسم خوردند. 6سپس عزرا از برابر خانهٔ خدا برخاست و به اتاق يهوحانان (پسر الياشيب) رفت و شب در آنجا ماند، ولی نه نان خورد و نه آب نوشيد، چون به سبب گناه قوم ماتم گرفته بود.

7‏-8پس در سراسر يهودا و اورشليم اعلام شد كه تمام قوم بايد در عرض سه روز در اورشليم جمع شوند و اگر كسی از آمدن خودداری كند طبق تصميم سران و بزرگان قوم اموال او ضبط خواهد گرديد و خود او هم از ميان قوم اسرائيل طرد خواهد شد. 9پس از سه روز كه روز بيستم ماه نهم بود، تمام مردان يهودا و بنيامين در اورشليم جمع شدند و در ميدان جلو خانهٔ خدا نشستند. آنها به سبب اهميت موضوع و به خاطر باران شديدی كه می‌باريد، می‌لرزيدند. 10سپس عزرای كاهن بلند شد و به ايشان چنين گفت: «شما مرتكب گناه شده‌ايد، چون با زنان غيريهودی ازدواج كرده‌ايد و با اين كارتان به گناهان بنی‌اسرائيل افزوده‌ايد. 11حال در حضور خداوند، خدای اجدادتان به گناهان خود اعتراف كنيد و خواست او را به جا آوريد. خود را از قومهايی كه در اطراف شما هستند دور نگه دارید و از اين زنان بيگانه جدا شويد.»

12همه با صدای بلند جواب دادند: «آنچه گفته‌ای انجام می‌دهيم. 13ولی اين كار يكی دو روز نيست. چون عدهٔ كسانی كه به چنين گناهی آلوده شده‌اند زياد است. در ضمن باران هم به شدت می‌بارد و بيش از اين نمی‌توانيم در اينجا بايستيم. 14بگذار سران ما در اورشليم بمانند و به اين كار رسيدگی كنند. سپس هر كس كه زن غيريهودی دارد، در وقت تعيين شده با بزرگان و قضات شهر خود بيايد تا به وضعش رسيدگی شود و خشم خدای ما از ما برگردد.» 15كسی با اين پيشنهاد مخالفت نكرد، جز يوناتان (پسر عسائيل) و يحزيا (پسر تقوه) كه از پشتيبانی مشلام و شبتای لاوی برخوردار بودند.

16قوم اين روش را پذيرفتند و عزرای كاهن چند نفر از سران طايفه‌ها را انتخاب كرد و اسامی‌شان را نوشت. اين گروه، روز اول ماه دهم تحقيق خود را شروع كردند، 17و در عرض سه ماه به وضع مردانی كه همسران بيگانه داشتند رسيدگی نمودند.

اسامی مردانی كه زنان بيگانه داشتند

18اين است اسامی مردانی كه زنان بيگانه داشتند:

از كاهنان:

از طايفه يهوشع پسر يهوصادق و برادرانش: معسيا، اليعزر، ياريب، جدليا. 19اين مردان قول دادند كه از همسران بيگانهٔ خود جدا شوند و هر يک برای بخشيده شدن گناهش، يک قوچ برای قربانی تقديم كرد.

20از طايفهٔ امير: حنانی و زبديا.

21از طايفه حاريم: معسيا، ايليا، شمعيا، يحی‌ئيل، عزيا.

22از طايفه فشحور: اليوعينای، معسيا، اسماعيل، نتن‌ئيل، يوزاباد، العاسه.

23از لاويان:

يوزاباد، شمعی، قلايا (معروف به قليطا)، فتحيا، يهودا، اليعزر.

24از نوازندگان:

الياشيب.

از نگهبانان خانه خدا:

شلوم، طالم، اوری.

25از بقيه قوم:

از طايفه فرعوش: رميا، يزيا، ملكيا، ميامين، العازار، ملكيا، بنايا.

26از طايفه عيلام: متنيا، زكريا، يحی‌ئيل، عبدی، يريموت، ايليا.

27از طايفه زتو: اليوعينای، الياشيب، متنيا، يريموت، زاباد، عزيزا.

28از طايفه ببای: يهوحانان، حننيا، زبای، عتلای.

29از طايفهٔ بانی: مشلام، ملوک، عدايا، ياشوب، شآل، راموت.

30از طايفهٔ فحت موآب: عدنا، كلال، بنايا، معسيا، متنيا، بصل‌ئيل، بنوی، منسی.

31‏-32از طايفهٔ حاريم: اليعزر، اشياء، ملكيا، شمعيا، شمعون، بنيامين، ملوک، شمريا.

33از طايفهٔ حاشوم: متنای، متاته، زاباد، اليفلط، يريمای، منسی، شمعی.

34‏-37از طايفه بانی: معدای، عمرام، اوئيل، بنايا، بيديا، كلوهی، ونيا، مريموت، الياشيب، متنيا، متنای، يعسو.

38‏-42از طايفهٔ بنوی: شمعی، شلميا، ناتان، عدايا، مكندبای، شاشای، شارای، عزرئيل، شلميا، شمريا، شلوم، امريا، يوسف.

43از طايفه نبو: يعی‌ئيل، متتيا، زاباد، زبينا، يدو، يوئيل، بنايا.

44همهٔ اين مردان، زنان بيگانه گرفته بودند و بعضی از ايشان از اين زنان صاحب فرزندانی شده بودند.