Ayubu 34 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 34:1-37

Elihu Anatangaza Haki Ya Mungu

1Kisha Elihu akasema:

234:2 Ay 32:10“Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima;

nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.

334:3 Ay 12:11Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno

kama vile ulimi uonjavyo chakula.

434:4 1The 5:21Tujichagulie wenyewe yaliyo sawa,

nasi tujifunze pamoja yaliyo mema.

534:5 Ay 33:9; 6:29; 27:2; 9; 17“Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia,

lakini Mungu ameninyima haki yangu.

634:6 Yer 10:19; Ay 10:3Ingawa niko sawa,

ninaonekana mwongo;

nami ingawa sina kosa,

kidonda changu hakiponi.’

734:7 Ay 9:21; 15:16Ni mtu gani aliye kama Ayubu,

anywaye dharau kama maji?

834:8 Ay 22:15; Za 50:18Ashirikianaye na watenda mabaya

na kuchangamana na watu waovu.

934:9 Ay 9:29-31Kwa kuwa anasema, ‘Haimfaidi mwanadamu kitu chochote

anapojitahidi kumpendeza Mungu.’

1034:10 Mwa 18:25; Za 92:15; Rum 3:5“Hivyo nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye ufahamu.

Kamwe Mungu hatendi uovu,

Mwenyezi hafanyi kosa.

1134:11 Ay 21:31; 2Kor 5:10; Yer 17:10; Eze 33; 20; Mit 24:12Humlipa mwanadamu kwa ajili ya lile alilotenda;

huleta juu yake kile ambacho matendo yake yanastahili.

1234:12 Za 9:16; Kol 3:25Ni jambo lisiloweza kufikiriwa kwamba Mungu angefanya makosa,

kwamba Mwenyezi angepotosha hukumu.

1334:13 Ay 36:23; Isa 40:14Je, ni nani aliyemtawaza juu ya dunia?

Ni nani aliyemweka kuwa mwangalizi wa ulimwengu wote?

1434:14 Hes 16:22; Za 104:29; Mhu 12:7Kama lilikuwa kusudi la Mungu,

naye akaiondoa Roho yake na pumzi yake,

1534:15 Za 90:10; Mwa 2:7wanadamu wote wangeliangamia kwa pamoja,

na mtu angerudi mavumbini.

1634:16 Ay 32:10; 34:30“Kama ninyi mnaufahamu, sikieni hili;

sikilizeni hili nisemalo.

1734:17 Mwa 18:23; 2Sam 23:3-4; Mit 20:8; Rum 3:5-7; Ay 10:7Je, yeye aichukiaye haki aweza kutawala?

Je, utamhukumu mwenye haki, Aliye na Nguvu Zote?

1834:18 Kut 22:28; Isa 40:24Je, si ni yeye awaambiaye wafalme, ‘Ninyi hamfai kitu,’

nao watu mashuhuri, ‘Ninyi ni waovu,’

1934:19 Kum 10:17; Mdo 10:34; Law 19:15; Yak 2:5yeye asiyependelea wakuu,

wala haonyeshi upendeleo kwa matajiri kuliko maskini,

kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake?

2034:20 Kut 11:4; 12:29; Ay 12:19Wanakufa ghafula, usiku wa manane;

watu wanatikiswa nao hupita;

wenye nguvu huondolewa

bila mkono wa mwanadamu.

2134:21 Mit 15:3; Ebr 4:13“Macho yake yanazitazama njia za wanadamu;

anaona kila hatua yao.

2234:22 Za 74:20; Ay 3:5; Amo 9:2-3Hakuna mahali penye giza nene, wala uvuli mkubwa,

ambapo watenda mabaya wanaweza kujificha.

2334:23 Ay 11:11; Ezr 9:13Mungu hana haja ya kumchunguza mtu sana,

ili apate kuja mbele zake kwa hukumu.

2434:24 Ay 12:19; Dan 2:21Bila kuuliza huwapondaponda wenye nguvu nyingi

na kuwaweka wengine mahali pao.

2534:25 Ay 11:11; Mit 5:21-23Kwa sababu huyaangalia matendo yao yote,

huwaondoa usiku, nao wakaangamia.

2634:26 Mwa 6:5; Ay 8:22; 28:24; Za 9:5; Yer 44:5Anawaadhibu kwa ajili ya uovu wao

mahali ambapo kila mmoja ataweza kuwaona,

2734:27 Za 14:3; Isa 5:12; 1Sam 15:11kwa sababu wameacha kumfuata Mungu,

nao hawakuiheshimu njia yake hata moja.

2834:28 Kut 22:23; Yak 5:4; Mhu 5:8Wamesababisha kilio cha maskini kifike mbele zake,

hivyo akasikia kilio cha wahitaji.

2934:29 Za 28:1; 83:1; 109:1; Rum 8:34; Za 13:1; 97:9; 83:18Lakini kama akinyamaza kimya,

ni nani awezaye kumhukumu?

Kama akiuficha uso wake,

ni nani awezaye kumwona?

Ikiwa ni taifa au mtu mmoja, kwake ni sawa,

3034:30 Za 25:15; Mit 29:2-12; 1Fal 12:28-30ili kumzuia mtu mwovu kutawala,

au wale ambao huwategea watu mitego.

31“Kama mwanadamu akimwambia Mungu,

‘Nimekosa lakini sitatenda dhambi tena.

3234:32 Kut 33:13; Za 27:11; Lk 19:8; Ay 33:27Nifundishe nisichoweza kuona;

kama nimekukosea, sitafanya hivyo tena.’

3334:33 Mit 17:23; Yn 3:8Je basi, Mungu atakulipa kwa masharti yako,

wakati wewe umekataa kutubu?

Yakupasa wewe uamue, wala si mimi;

sasa niambie lile ulijualo.

34“Wanadamu wenye ufahamu husema,

wenye hekima wanaonisikia huniambia,

3534:35 Ay 35:16; 38:2; 42:3; 26:3‘Ayubu huongea bila maarifa;

maneno yake hayana busara.’

3634:36 Ay 6:29; 22:15Laiti Ayubu angejaribiwa hadi kikomo cha mwisho,

kwa sababu anajibu kama mtu mwovu!

37Kwenye dhambi yake huongeza uasi;

kwa dharau hupiga makofi miongoni mwetu,

na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

约伯记 34:1-37

1以利户又说:

2“各位智者,请听我言;

明达之士,要侧耳听我的话。

3因为耳朵辨别话语,

正如舌头品尝食物。

4我们来鉴别何为正,

一起来认识何为善。

5约伯曾说,‘我是清白的,

上帝却夺去我的公道。

6我虽然有理,却被认为是撒谎者;

我虽然无过,却受到致命的创伤。’

7有谁像约伯

他肆意嘲讽,

8与恶者为伍,

同坏人作伴。

9因为他说,‘人取悦上帝毫无益处。’

10“所以明智的人啊,请听我言,

上帝绝不会作恶,

全能者绝无不义。

11祂按人所行的对待人,

照人所做的报应人。

12上帝绝不会作恶,

全能者不会颠倒是非。

13谁曾派祂治理大地,

让祂掌管整个世界呢?

14上帝若决定收回自己的灵和气,

15所有生灵将一同灭亡,

世人也将归回尘土。

16“你若明理,请听我言,

侧耳听我说。

17憎恶正义的岂可掌权?

你要谴责公义的大能者吗?

18祂可以称君王为废物,

称权贵为恶徒。

19祂不偏袒王侯,

也不轻贫重富,

因为他们都是祂亲手造的。

20他们夜间转瞬死去,

百姓震颤,继而消逝,

权贵也被铲除,非借人手。

21上帝鉴察世人的道路,

观看他们的脚步。

22没有黑暗和阴影可供作恶者藏身。

23祂不必再三察验,

把人召到面前审判。

24祂击垮权贵无需审查,

另立他人取而代之。

25祂知道他们的行为,

祂使他们在夜间倾覆、灭亡。

26祂当众击打他们,

正如击打恶人。

27因为他们离弃祂,

无视祂的正道,

28以致穷人的呼求传到祂那里,

祂也听见了困苦者的呼求。

29但祂若保持缄默,谁能定祂有罪?

祂若掩起脸来,谁能看得见祂?

个人和国家都靠祂垂顾,

30以免不敬虔者做王,

祸国殃民。

31“有谁对上帝说,

‘我受了管教,不会再犯罪;

32我不明白的事,求你指教我;

我若行了恶事,必不再行’?

33难道因为你拒绝接受,

上帝就要迎合你的要求吗?

要做抉择的是你,而非我,

请说说你的高见。

34明达的人和听我发言的智者都会说,

35约伯所言毫无知识,

他的话没有智慧。’

36约伯被试炼到底,

因为他的回答如恶人之言。

37他的叛逆使他罪上加罪,

他在我们中间拍手讥笑,

用许多话亵渎上帝。”