Hotuba Ya Tisa Ya Ayubu
Ayubu Anajibu: Utukufu Wa Mungu Hauchunguziki
1Kisha Ayubu akajibu:
226:2 Ay 6:12; 4:3; Za 71:9; Mit 25:11“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!
Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
326:3 Ay 34:35Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?
Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
426:4 1Fal 22:24Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?
Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
526:5 Za 88:10; Isa 14:9“Wafu wako katika maumivu makuu,
wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
626:6 Za 139:8; Mit 15:11; Ebr 4:13; Amo 9:2Mauti26:6 Yaani Kuzimu; Kiebrania ni Sheol. iko wazi mbele za Mungu;
Uharibifu26:6 Kwa Kiebrania ni Abadon. haukufunikwa.
726:7 Ay 9:826:7 Ay 8:22; 31:35Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;
naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
826:8 Mit 30:4; Za 147:8Huyafungia maji kwenye mawingu yake,
hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
926:9 2Sam 22:10; Za 97:2Huufunika uso wa mwezi mpevu,
akitandaza mawingu juu yake.
1026:10 Mit 8:27; Isa 40:22; Ay 28:3Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,
ameweka mpaka wa nuru na giza.
1126:11 2Sam 22:8Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,
zinatishika anapozikemea.
1226:12 Isa 51:15; Kut 14:21; Yer 31:35; Ay 12:13; Kut 14:21; Ay 12:13; 9:13Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;
kwa hekima yake alimkata Rahabu26:12 Rahabu hapa ni fumbo la kumaanisha Lewiathani, mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. vipande vipande.
1326:13 Za 33:6; Isa 27:1Aliisafisha anga kwa pumzi yake;
kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
1426:14 Ay 9:6; 36:29Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake;
tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu!
Ni nani basi awezaye kuelewa
ngurumo za nguvu zake?”
Ответ Аюба
1Тогда Аюб ответил:
2– О, как бессильному ты помог!
Как дух слабого поддержал!
3Как посоветовал ты немудрому!
И как во всей полноте явил знание!
4Кто помог тебе сказать эти слова?
Чей дух говорил твоими устами?
5Духов умерших охватила дрожь,
трепещут подземные воды и их обитатели.
6Мир мёртвых обнажён перед Всевышним,
и покрова нет царству смерти.
7Распростёр Он север над пустотой,
ни на чём Он подвесил землю.
8Заключает Он воду в тучи Свои,
но тучи под её весом не рвутся.
9Он закрывает престол Свой,
застлав его облаком Своим.
10Начертил Он горизонт над гладью вод,
как границу света и тьмы.
11Столпы небес дрожат,
они в ужасе перед Его грозой.
12Силой Своей Он волнует море,
разумом Своим Он разит Рахава26:12 Рахав – мифическое морское чудовище, символизирующее силы зла и разрушения..
13От Его дыхания ясны небеса,
и скользящую змею пронзает Его рука.
14И это лишь часть Его дел;
только слабый шёпот о Нём мы слышим!
А гром Его мощи кто уяснит?