2 Samweli 22 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 22:1-51

Wimbo Wa Daudi Wa Sifa

(Zaburi 18)

122:1 Kut 15:1; Amu 5:1; Za 18:2-50Daudi alimwimbia Bwana maneno ya wimbo huu wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. 222:2 1Sam 2:2; Za 31:3; 91:2; 71:3; 144:2; Kum 32:4; Za 18:2; Mit 18:10; Mt 18:10Akasema:

Bwana ni mwamba wangu,

ngome yangu na mwokozi wangu,

322:3 Mit 10:29; Yoe 3:16; Kum 23:15; 32:37; Za 14:6; 31:2; 59:16; 71:7; 91:2; 94:22; Isa 25:4; Yer 16:19; Mwa 15:1; Kum 33:17; Lk 1:69; Za 9:9; 52:7Mungu wangu ni mwamba wangu,

ambaye kwake ninakimbilia,

ngao yangu na pembe ya wokovu wangu.

Yeye ni ngome yangu, kimbilio langu

na mwokozi wangu,

huniokoa kutoka kwa watu wenye jeuri.

422:4 Za 48:1; 96:4; 145:3Ninamwita Bwana, anayestahili kusifiwa,

nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.

522:5 Za 69:14-15; Yon 2:3“Mawimbi ya mauti yalinizunguka,

mafuriko ya maangamizi yalinilemea.

622:6 Za 116:3; Mdo 2:24Kamba za kuzimu22:6 Kuzimu kwa Kiebrania ni Sheol, maana yake ni Shimo lisilo na mwisho. zilinizunguka,

mitego ya mauti ilinikabili.

722:7 Mwa 35:3; Amu 2:15; 2Nya 15:4; Za 4:1; 77:2; 120:1; Isa 26:16; Za 34:15; 116:4; 116:4; Kut 3:7Katika shida yangu nalimwita Bwana,

nilimlilia Mungu wangu.

Kutoka Hekaluni mwake alisikia sauti yangu,

kilio changu kikafika masikioni mwake.

822:8 Amu 5:4; Za 97:4; Kut 19:18; Za 68:8; 77:18; Yer 10:10; Ay 9:6; 26:11; Za 75:3“Dunia ilitetemeka na kutikisika,

misingi ya mbingu ikatikisika,

vilitetemeka kwa sababu

alikuwa amekasirika.

922:9 Za 50:3; 97:3; Ebr 12:29; Ufu 11:5; Isa 6:6; Eze 1:13; 10:2; Hab 3:5Moshi ukapanda kutoka puani mwake,

moto uteketezao ukatoka kinywani mwake,

makaa ya moto yawakayo

yakatoka ndani mwake.

1022:10 Kut 19:9; Law 16:2; Kum 33:26; 1Fal 8:12; Ay 26:9; Za 104:3; Isa 19:1; Yer 4:13; Nah 1:3; Isa 64:1Akazipasua mbingu akashuka chini,

mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.

1122:11 Mwa 3:24; Kut 25:22; Za 104:3Alipanda juu ya kerubi akaruka,

akapaa juu kwa mbawa za upepo.

1222:12 Kut 19:9Alifanya giza hema lake la kujifunika:

mawingu meusi ya mvua ya angani.

1322:13 Ay 37:3; Za 77:18Kutokana na mwanga wa uwepo wake

mawingu yalisogea,

ikanyesha mvua ya mawe

na umeme wa radi.

1422:14 1Sam 2:10; Isa 30:30Bwana alinguruma kutoka mbinguni,

sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.

1522:15 Kum 32:23; Za 7:13; 77:7; Hab 3:11Aliipiga mishale na kutawanya adui,

umeme wa radi na kuwafukuza.

1622:16 Za 6:1; 50:8, 21; 106:9; Nah 1:4; Isa 30:33; 40:24; Kut 14:21Mabonde ya bahari yalifunuliwa,

na misingi ya dunia ikawa wazi

kwa kukaripia kwake Bwana,

kwa uvumi wa pumzi kutoka puani mwake.

1722:17 Za 144:7; Kut 2; 10“Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika;

alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.

1822:18 Lk 1:71Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi,

kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.

1922:19 Za 23:4Walinikabili siku ya msiba wangu,

lakini Bwana alikuwa msaada wangu.

2022:20 Ay 36:16; Za 31:8; 118:5; 22:8; Isa 42:1; Mt 12:18; 2Sam 15:26Alinileta nje mahali penye nafasi tele,

akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.

2122:21 1Sam 26:23; Za 26:6; Ay 17:9; 22:30; 42:7-8; Za 24:4Bwana alinitendea sawasawa na uadilifu wangu;

sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.

2222:22 Mwa 18:19; Za 128:1; Mit 8:32Kwa maana nimezishika njia za Bwana;

sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.

2322:23 Kum 6:4-9; Za 119:30-32, 102; Kum 7:12Sheria zake zote zi mbele yangu,

wala sijayaacha maagizo yake.

2422:24 Mwa 6:9; Efe 1:4; Yn 1:47Nimekuwa sina hatia mbele zake,

nami nimejilinda nisitende dhambi.

2522:25 1Sam 26:23Bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu,

sawasawa na usafi wangu machoni pake.

2622:26 Mt 5:7“Kwa yeye aliye mwaminifu unajionyesha kuwa mwaminifu,

kwa asiye na hatia unajionyesha kutokuwa na hatia,

2722:27 Mt 5:8; Law 26:23-2422:27 1Nya 27:9-10kwa aliye mtakatifu unajionyesha kuwa mtakatifu,

lakini kwa aliyepotoka unajionyesha kuwa mkaidi.

2822:28 Kut 3:8; 1Sam 2:8-9; Za 72:12-13; Mit 30:13; Dan 4:31; Sef 3:11; Isa 2:12-17; 5:15; Za 12:5; Mt 5:3Wewe huwaokoa wanyenyekevu,

lakini macho yako ni juu ya wenye kiburi

ili uwashushe.

2922:29 Za 27:1; Isa 2:5; Mik 7:8; Ufu 21:23; 22:5Wewe ni taa yangu, Ee Bwana.

Bwana hulifanya giza langu

kuwa mwanga.

30Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi,

nikiwa pamoja na Mungu wangu

nitaweza kuruka ukuta.

3122:31 Kum 32:4; Mt 5:48; Za 12:6; 119:140; Mit 30:5-6; Mwa 15:1; Dan 4:37; Ufu 15:3“Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu;

neno la Bwana halina dosari.

Yeye ni ngao kwa wote

wanaokimbilia kwake.

3222:32 Kut 32:31; 1Sam 2:2; Isa 45:5-6Kwa maana ni nani aliye Mungu

zaidi ya Bwana?

Ni nani aliye Mwamba

isipokuwa Mungu wetu?

3322:33 1Sam 2:2; 2Sam 7:22; Za 27:1; Kum 18:13Mungu ndiye anivikaye nguvu

na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.

3422:34 Isa 35:6; Hab 3:19; Kum 32:13Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu,

huniwezesha kusimama mahali palipo juu.

3522:35 Za 144:1; 7:12; 11:2; Zek 9:13Huifundisha mikono yangu kupigana vita;

mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.

3622:36 Efe 6:16Hunipa ngao yako ya ushindi,

unajishusha chini ili kuniinua.

3722:37 Mit 4:11Huyapanua mapito yangu,

ili miguu yangu isiteleze.

38“Niliwafuatia adui zangu na nikawaseta,

sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.

3922:39 Za 44:5; 110:6; Mal 4:3Niliwaseta kabisa, nao hawakuweza kuinuka tena;

walianguka chini ya miguu yangu.

4022:40 Yos 10:24; 1Fal 5:3; Za 44:5Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita;

uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.

4122:41 Kut 23:27Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia,

nami nikawaangamiza adui zangu.

4222:42 Isa 1:15; Za 50:22; 1Sam 14:37; 28:6; Ay 27:6; Mit 1:28Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa;

walimlilia Bwana, lakini hakuwajibu.

4322:43 1Fal 20:10; 2Fal 13:7; Isa 41:2; Amo 1:3; Za 7:5; Isa 41:25; Mik 7:10; Zek 10:5; Isa 5:25; 10:6; 22:5Niliwaponda kama mavumbi ya nchi;

niliwaponda na kuwakanyaga kama tope barabarani.

4422:44 Kut 11:3; 2Sam 3:1; 8:1-14; Isa 55:3-5; Kum 28:13“Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu wangu;

umenihifadhi mimi kama kiongozi wa mataifa.

Watu ambao sikuwajua wananitumikia,

4522:45 Za 66:3; 81:15; Kum 33:29nao wageni huja wakininyenyekea,

mara wanisikiapo, hunitii.

4622:46 Mik 7:17Wote wanalegea,

wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.

4722:47 Kut 15:2; Kum 32:15; Za 18:31; 89:26; 95:1Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!

Atukuzwe Mungu,

Mwamba, Mwokozi wangu!

4822:48 Hes 31:3; Za 144:2; 1Sam 25:39; Za 94:1Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi,

ayawekaye mataifa chini yangu,

4922:49 Za 140:1; 27:6aniwekaye huru toka kwa adui zangu.

Uliniinua juu ya adui zangu;

uliniokoa toka kwa watu wajeuri.

5022:50 Za 9:11; 47:6; 68:4; Rum 15:9Kwa hiyo nitakusifu, Ee Bwana,

katikati ya mataifa;

nitaliimbia sifa jina lako.

5122:51 Za 21:1; 144:9-10; 1Sam 16; 13; Za 89:20; Mdo 13:23; 2Sam 7:13; Za 89:24, 29Humpa mfalme wake ushindi mkuu;

huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake,

kwa Daudi na wazao wake milele.”

Bibelen på hverdagsdansk

2. Samuelsbog 22:1-51

Davids sejrssang

Salme 18

1Da Herren havde reddet David fra Saul og hans øvrige fjender, sang David følgende lovsang til Herren:

2Herren er min Klippeborg

og min Beskytter.

3Han er mit Skjul,

hos ham søger jeg tilflugt.

Han er mit Skjold,

min Frelse og min Fæstning.

Jeg søger ly hos min Frelser,

som redder mig af mine fjenders vold.

4Jeg kalder på Herren, den Højlovede,

og frelses fra mine fjender.

5Dødens brænding omsluttede mig,

undergangens bølger væltede ind over mig,

6dødsriget strammede sit greb om mig,

jeg sad fast i dødens fælde.

7I min fortvivlelse råbte jeg til Herren,

jeg bad til min Gud om hjælp.

Han hørte mig fra sin helligdom,

mit skrig nåede hans ører.

8Da rystede jorden og skælvede,

verdens grundvolde bævede,

for Herrens vrede var blusset op.

9Røg væltede ud af hans næsebor,

fortærende ild skød ud af hans mund,

glødende kul sprang frem fra ham.

10Han skubbede himlens forhæng til side

og trådte ud på de mørke stormskyer.

11Han steg op på en kerub og fløj,

svævede på vindens vinger.

12Han svøbte sig i sorte skyer,

der var tykke af tætte vanddampe.

13Lynene glimtede foran ham,

og haglene faldt fra skyerne.

14Herren tordnede fra himlen,

den højeste Gud lod sin røst høre.

15Han skød sine pile,

sendte fjenderne på flugt.

Han sendte sine lyn af sted,

så fjenderne spredtes for alle vinde.

16Herren fnyste i sin harme,

så Jordens vande blev pisket op,

og havets bund kom til syne.

17Fra det høje rakte han hånden ud,

trak mig op af det dybe vand.

18Han frelste mig fra mine fjender,

de hadede mig og var mig for stærke.

19Da jeg var svag, overfaldt de mig,

men Herren holdt mig fast

20og førte mig i sikkerhed.

Han frelste mig, fordi han elsker mig.

21Herren belønnede mig for mit retsind,

tog hensyn til min uskyld,

22for jeg har holdt mig til hans veje.

Jeg har ikke i ondskab vendt mig fra min Gud.

23Altid har jeg hans bud i tanke,

aldrig har jeg vendt ryggen til hans love.

24Jeg har adlydt ham til punkt og prikke

og holdt mig borte fra synden.

25Herren har belønnet min retfærd,

han kender min pletfri levevis.

26Herre, du er trofast mod dem, der er trofaste mod dig,

retskaffen overfor de retskafne.

27Du handler uskyldsrent med de uskyldige,

men er snu mod de snedige.

28Du ophøjer de ydmyge,

men ydmyger de hovmodige.

29Herre, du er mit lys og mit håb,

du tænder dit lys i mørket.

30Ved din hjælp kan jeg springe over mure

og forcere enhver forhindring.

31Guds veje er fuldkomne,

hans løfter er sande.

Han er et skjold for dem,

der søger ly hos ham.

32Hvor findes der en gud som Herren?

Hvor findes en klippe som ham?

33Han giver mig styrke,

han jævner vejen foran mig.

34Han gør mine skridt sikre som hjortens,

han giver mig fodfæste på bjergene.

35Han træner mine arme til kamp,

så jeg kan spænde kobberbuen.

36Herre, du giver mig din frelse som et skjold,

din hjælp giver mig styrke.

37Du udjævner stien foran mig,

så jeg ikke snubler og falder.

38Jeg forfulgte mine fjender og gjorde det af med dem,

jeg holdt ikke inde, før de alle var besejret.

39Jeg huggede dem ned, så de ikke kunne rejse sig,

de ligger faldne ved mine fødder.

40Du gav mig styrke til kampen,

du tvang mine modstandere i knæ,

41du slog mine fjender på flugt,

jeg gjorde det af med dem, som hadede mig.

42De søgte efter hjælp,

men ingen kom til undsætning.

De råbte til dig, Herre,

men du ville ikke høre.

43Jeg knuste dem til støv,

jeg trådte dem ned som snavs på gaden.

44Du hjalp mig i kampen mod fjendtlige hære,

gav mig sejr over fremmede folkeslag,

som nu er blevet mig underlagt.

45De kom krybende hen til mig,

straks de hørte min røst, adlød de.

46De tabte fuldstændigt modet,

kom skælvende frem fra deres skjul.

47Herren lever!

Lovet være min redningsmand.

Ære være min Gud, som frelste mig,

48den Gud, som besejrede mine fjender,

som gjorde mig til hersker over fremmede folkeslag.

49Herre, du befriede mig fra mine fjender.

Du førte mig i sikkerhed

og frelste mig fra voldens mænd.

50Derfor vil jeg lovprise dig blandt folkeslagene, Herre.

Jeg vil synge om din storhed.

51Du giver din konge en mægtig sejr,

du viser nåde mod din salvede konge,

mod mig og mine efterkommere til evig tid.