2 Samweli 23 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 23:1-39

Maneno Ya Mwisho Ya Daudi

123:1 Kut 11:3; Za 78:70-71; 89:27; 1Sam 2:10, 35; Za 18:50; 20:6; 84:9; Isa 45:1; Hab 3:13; 1Sam 16:12-13Haya ni maneno ya mwisho ya Daudi:

“Neno la Daudi mwana wa Yese,

neno la mtu aliyeinuliwa na Aliye Juu Sana,

mtu aliyepakwa mafuta na Mungu wa Yakobo,

mwimbaji wa nyimbo wa Israeli:

223:2 Mt 22:43; Mk 12:36; 2Pet 1:21“Roho wa Bwana alinena kupitia kwangu,

neno lake lilikuwa ulimini mwangu.

323:3 Kum 32:4; 1Sam 2:2; Za 18:31; 72:3; Mwa 42:18; Isa 11:1-5; 2Nya 19:7-9; Kut 18:21Mungu wa Israeli alinena,

mwamba wa Israeli akaniambia:

‘Mtu anatawala watu kwa haki,

wakati anapotawala

akiwa na hofu ya Mungu,

423:4 Yon 1:5; Za 119:147; 130:6; Mit 4:18; Amu 5:31; Mt 13:43; Kum 32:2yeye ni kama mwanga wa asubuhi jua lichomozapo

asubuhi isiyo na mawingu,

kama mwanga baada ya mvua

uchipuzao majani kutoka ardhini.’

523:5 Mwa 9:16; Za 89:29; Isa 55:3“Je, si hivyo ilivyo nyumba yangu

mbele za Mungu?

Je, hajafanya Agano la milele nami,

lililopangwa na kuimarishwa

kila sehemu?

Je, hatanifanya niufurahie wokovu wangu

na kunijalia matakwa yangu yote?

623:6 Isa 5:6; 9:18; 10:17; 27:4; 33:12; Mik 7:4; Nah 1:10; Mt 13:40-41Lakini watu waovu wote

watatupwa kando kama miiba,

ambayo haikusanywi kwa mkono.

7Yeyote agusaye miiba

hutumia chombo cha chuma

au mpini wa mkuki,

nayo huchomwa pale ilipo.”

Mashujaa Wa Daudi

(1 Nyakati 11:10-41)

823:8 2Sam 17:10; 1Nya 27:2Haya ndiyo majina ya mashujaa wa Daudi:

Yosheb-Bashebethi,23:8 Yosheb-Bashebethi au Yashobeamu (1Nya 11:11). Mtahkemoni, alikuwa kiongozi wa wale Watatu; yeye aliinua mkuki wake dhidi ya watu 800, ambao aliwaua katika pambano moja.

923:9 1Nya 27:4; 8:4; 11:12Wa pili wake alikuwa Eleazari mwana wa Dodai,23:9 Dodai tafsiri nyingine zinamwita Dodo. Mwahohi. Akiwa mmojawapo wa wale mashujaa watatu, alikuwa pamoja na Daudi wakati waliwadhihaki Wafilisti waliokuwa wamekusanyika huko Pas-Damimu kwa ajili ya vita. Kisha watu wa Israeli wakarudi nyuma, 10lakini yeye alisimama imara akawaua Wafilisti hadi mkono wake ukachoka na ukagandamana na upanga. Bwana akawapa ushindi mkubwa siku ile. Vikosi vikarudi kwa Eleazari, kuteka tu nyara za waliokufa.

11Aliyefuata alikuwa Shama mwana wa Agee, Mharari. Wafilisti walipokusanyika pamoja mahali palipokuwa shamba lililojaa dengu, vikosi vya Israeli viliwakimbia. 12Lakini Shama akasimama imara katikati ya lile shamba. Akalitetea na kuwaua Wafilisti, naye Bwana akawapa ushindi mkubwa.

1323:13 Mwa 38:1; Yos 12:15; 17:18; 1Sam 22:1; 2Sam 5:18; 1Nya 11:15; 14:9; Kum 33:29; 1Nya 29:11; 2Nya 11:14; 25:8; Za 3:8; 46:1; Rum 8:31; Isa 17:5Wakati wa mavuno, viongozi watatu kati ya viongozi thelathini walishuka, wakamwendea Daudi katika pango la Adulamu, wakati kikundi cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika Bonde la Warefai. 1423:14 1Sam 22:4-5; 2Sam 5:17; Rut 1:19; 1Nya 12:16Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome, na kambi ya Wafilisti ilikuwa huko Bethlehemu. 15Daudi akatamani maji, akasema, “Laiti mtu angenipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu!” 1623:16 Mwa 35:14Basi mashujaa hao watatu wakapenya katikati ya Wafilisti, wakaenda kuchota maji kutoka kwa kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu, wakamletea Daudi. Lakini Daudi akakataa kuyanywa. Badala yake, aliyamimina mbele za Bwana. 1723:17 Law 17:10-1223:17 Law 17:10Akasema, “Iwe mbali nami, Ee Bwana, kufanya kitu hiki. Je, hii si damu ya watu ambao walikwenda kwa kuhatarisha maisha yao?” Naye Daudi hakuyanywa.

Haya yalifanywa na hao mashujaa watatu.

1823:18 1Sam 26:6; 1Nya 11:20; 2Sam 2:18Abishai ndugu yake Yoabu mwana wa Seruya ndiye alikuwa kiongozi wa hao Watatu. Aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300 ambao aliwaua, kwa hiyo naye akawa na sifa kama hao Watatu. 19Je, hakupata heshima kubwa zaidi kuliko hao Watatu? Alikuwa jemadari wao, ingawa hakuhesabiwa miongoni mwao.

2023:20 2Sam 8:18; 1Nya 27:5; Yos 15:21; Kut 15:15Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mpiganaji hodari kutoka Kabseeli ambaye alifanya mambo makubwa ya ujasiri. Aliwaua mashujaa wawili waliokuwa hodari kuliko wote wa Moabu. Pia alishuka shimoni kulipokuwa na theluji na kumuua simba. 2123:21 1Nya 11:23Pia alimuua Mmisri mrefu mkubwa. Ingawa Mmisri alikuwa na mkuki mkononi mwake, Benaya alimwendea akiwa na rungu. Alipokonya mkuki kutoka mkononi mwa Mmisri na kumuua kwa mkuki wake mwenyewe. 22Haya yalikuwa mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa Yehoyada; naye pia alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu. 2323:23 2Sam 8:18Yeye aliheshimiwa zaidi ya wale Thelathini, lakini hakujumuishwa miongoni mwa wale Watatu. Daudi akamweka kuwa kiongozi wa walinzi wake.

2423:24 2Sam 2:18Miongoni mwa wale Thelathini walikuwepo:

Asaheli ndugu wa Yoabu;

Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu;

2523:25 Amu 7:1; 1Nya 11:27Shama, Mharodi;

Elika, Mharodi;

2623:26 1Nya 27:9-10Helesi, Mpalti;

Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa;

27Abiezeri kutoka Anathothi;

Mebunai, Mhushathi;

2823:28 1Nya 27:13; 2Fal 25:23; Ezr 2:22; Neh 7:26; Yer 40:8Salmoni, Mwahohi;

Maharai, Mnetofathi;

2923:29 1Nya 27:15; Yos 15:57Heledi mwana wa Baana, Mnetofathi;

Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini;

3023:30 Amu 12:13; Yos 24:30; Amu 2:9Benaya Mpirathoni;

Hidai kutoka mabonde ya Gaashi;

3123:31 2Sam 3:16Abi-Alboni, Mwaribathi;

Azmawethi, Mbarhumi;

32Eliaba, Mshaalboni;

wana wa Yasheni;

Yonathani 33mwana wa Shama, Mharari;

Ahiamu mwana wa Sharari, Mharari;

3423:34 Kum 3:14; 2Sam 11:3; 15:12Elifeleti mwana wa Ahasbai, Mmaakathi;

Eliamu mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;

3523:35 Yos 12:22Hezro, Mkarmeli;

Paarai, Mwarbi;

3623:36 1Sam 14:47Igali mwana wa Nathani kutoka Soba;

Bani, Mgadi;

3723:37 Yos 9:17Seleki, Mwamoni;

Naharai, Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha za Yoabu mwana wa Seruya;

3823:38 1Nya 2:53; 2Sam 20:26; Yos 15:48Ira, Mwithiri;

Garebu, Mwithiri;

3923:39 2Sam 11:3na Uria, Mhiti.

Jumla yao wote walikuwa watu thelathini na saba.

Bibelen på hverdagsdansk

2. Samuelsbog 23:1-39

Davids sidste ord

1Det følgende er Davids sidste ord:

„Et budskab fra David, Isajs søn,

et budskab fra en, som Gud har gjort stor,

som Jakobs Gud har salvet til konge,

helten som Israel synger om.23,1 Eller: „elsket af Israels Stærke”. Oversættelsen er usikker.

2Herrens Ånd talte gennem mig,

hans ord lå på min tunge.

3Israels Gud talte,

Israels beskytter sagde til mig:

‚Den, der regerer retfærdigt,

den, der hersker i ærefrygt for Gud,

4stråler som morgenens lys,

skinner som solen fra en skyfri himmel,

som lysglimt i det våde græs,

der lokker urter frem af jorden.’

5Står min slægt ikke ret ind for Gud?

Har Gud ikke oprettet en evig pagt med mig?

En nøje beregnet og bevaret pagt.

Alt, hvad jeg har brug for til frelse,

mine behov og det, jeg længes efter,

dem får han til at spire frem.

6Men onde mennesker er som tjørne, der fejes bort,

ingen vil røre ved dem.

7Med en jernstang eller et spydskaft bliver de samlet i bunke;

bagefter brændes de op.”

Davids krigshelte

8Blandt Davids mægtige mænd var der tre store helte: Den største var takmonitten Josheb-Bashebet. Med sit spyd dræbte han engang 800 modstandere i ét slag.

9Den næste af de tre store var Elazar, en søn af ahohitten Dodo. Han var sammen med David, da de triumferede over filistrene i slaget ved Pas-Dammim. Den israelitiske hær flygtede, 10men Elazar holdt stand og huggede filistre ned, indtil hans hånd blev så stiv, at han ikke kunne slippe sværdskæftet. Den dag gav Herren ham en stor sejr, så da de andre mænd kom tilbage igen, var der ikke andet for dem at lave end at samle krigsbyttet.

11-12Den sidste af de tre store helte var Shamma, Ages søn af Harar-slægten. Engang, da filistrene angreb ham og hans mænd i en linsemark, flygtede alle mændene, men Shamma blev stående midt i marken og slog ene mand filistrene på flugt. Ved den lejlighed gav Gud ham en stor sejr.

13Foruden de tre store helte var der en større gruppe tapre krigere, som blev kaldt „De Tredive”. Engang i høsttiden kom tre af dem hen til David, som opholdt sig ved Adullams hule, mens filistrene havde slået lejr i Refaimdalen. 14David var i klippeborgen, mens en af filistrenes garnisoner havde besat Betlehem, som lå i nærheden. 15David var tørstig og sagde henkastet: „Det kunne være skønt med et krus vand fra brønden ved byporten hjemme i Betlehem!” 16Da sneg de tre mænd sig gennem filistrenes lejr, øste vand fra brønden ved byporten og bragte det til David. Men han kunne ikke få sig selv til at drikke det. I stedet hældte han det ud på jorden som et offer til Herren. 17„Gud forbyde, at jeg skulle drikke det!” udbrød han. „Det ville jo være som at drikke de tre mænds blod, der satte livet på spil for at hente det!” Derfor drak han det ikke. Det er blot ét eksempel på de tre heltes vovemod.

18-19Abishaj, Joabs bror, var anfører for „De Tredive”. Engang dræbte han 300 fjendtlige soldater med sit spyd. Det var på grund af sådanne heltegerninger, at „De Tredive” så op til ham som deres anfører, men han kom ikke på højde med de tre store helte.

20Benaja, Jojadas søn fra Kabtze’el, var en anden heltemodig kriger. Det var ham, der dræbte Ariels to sønner, kæmperne fra Moab. Det var også ham, der kravlede ned i en cisterne og dræbte en løve en dag, hvor det sneede. 21Ved en anden lejlighed gik han løs på en egyptisk kæmpe, der havde et enormt spyd. Benaja slog spyddet ud af hånden på ham med sin stok og dræbte ham med det. 22Det var den slags heltegerninger, som gjorde Benaja lige så berømt som de tre store helte, 23selv om han ikke regnedes blandt dem. Men „De Tredive” så op til ham, og David udnævnte ham til chef for sin livvagt.

24-39Her følger en liste over de heltemodige krigere, der blev kaldt „De Tredive”: Asael, Joabs bror; Elhanan, Dodos søn fra Betlehem; Shamma fra Harod; Elika fra Harod; Heletz fra Palti; Ira, Ikkesh’ søn fra Tekoa; Abiezer fra Anatot; Sibbekaj fra Husha; Zalmon fra Ahoa; Maharaj fra Netofa; Heled, Ba’anas søn fra Netofa; Ittaj, Ribajs søn fra Gibea i Benjamins land; Benaja fra Piraton; Hiddaj fra Ga’ash kløften; Abi-Albon fra Arba; Azmavet fra Bahurim; Eljahba fra Sha’albon; Jashens sønner; Jonatan, Shammas søn fra Harar; Ahiam, Sharars søn fra Harar; Elifelet, Ahasbajs søn fra Bet-Ma’aka; Eliam, Ahitofels søn fra Gilo; Hetzro fra Karmel; Pa’araj fra Arab; Jigal, Natans søn fra Zoba; Bani fra Gad; Zelek fra Ammon; Nahraj, Joabs våbendrager, fra Be’erot; Ira fra Jattir; Gareb fra Jattir; hittitten Urias. I alt 37 heltemodige mænd.