2 Samweli 1 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 1:1-27

Daudi Afahamishwa Kifo Cha Sauli

11:1 1Sam 26:10; 1Nya 10:13; Yos 22:8; 1Sam 30:17; Mwa 14:7; Hes 13:29; 1Sam 11:11; 1Fal 20:29-30Baada ya kifo cha Sauli, Daudi alipokuwa amerudi kutoka kuwashinda Waamaleki, Daudi alikaa siku mbili huko Siklagi. 21:2 2Sam 4:10; Ay 2:12; Eze 27:30; 1Sam 20:41; Mwa 37:7; 37:29; 44:13; Hes 14:6; Yos 7:6; Ay 1:20; Mdo 14:14Siku ya tatu akaja mtu mwenye nguo zilizoraruka na mavumbi kichwani mwake kutoka kwenye kambi ya Sauli. Alipomjia Daudi, akajitupa chini ili kumpa heshima.

3Daudi akamuuliza, “Wewe umetoka wapi?”

Akamjibu, “Nimetoroka kutoka kambi ya Waisraeli.”

41:4 1Sam 4:16Daudi akamuuliza, “Ni nini kilichotokea? Niambie.”

Akasema, “Watu walikimbia kutoka vitani. Wengi wao walianguka na kufa. Naye Sauli na Yonathani mwanawe wamekufa.”

5Ndipo Daudi akamwambia huyo kijana aliyemletea taarifa, “Je, umefahamuje kwamba Sauli na Yonathani mwanawe wamekufa?”

61:6 1Sam 28:4; 31:2-4; 1Nya 10:1-3Yule kijana akasema, “Nilijipata huko Mlima Gilboa, naye Sauli alikuwa huko akiegemea mkuki wake, na magari ya vita na wapanda farasi wa upande wa adui wakawa wamemkaribia sana. 7Alipogeuka na kuniona, akaniita, nami nikasema, ‘Je, nifanye nini?’

81:8 1Sam 15:2; 27:8; 30:13, 17“Akaniuliza, ‘Wewe ni nani?’

“Nikamjibu, ‘Mimi ni Mwamaleki.’

91:9 Amu 9:54“Kisha akaniambia, ‘Nikaribie mimi na uniue! Niko katika maumivu makali ya kifo, lakini bado ningali hai.’

101:10 Amu 9:54; 2Fal 11:12“Kwa hiyo nikamkaribia nikamuua, kwa sababu nilijua kwamba baada ya kuanguka hangeweza kupona. Nami nikachukua lile taji lililokuwa kichwani mwake na utepe uliokuwa mkononi mwake nami nimevileta hapa kwa bwana wangu.”

111:11 Mwa 37:29; Hes 14:6; Yos 7:6; 2Sam 3:31; 13:31; Ezr 9:3; 2Nya 34:27; Yoe 2:13Ndipo Daudi pamoja na watu wote waliokuwa pamoja naye wakazishika nguo zao na kuzirarua. 12Wakaomboleza, wakalia pia na kufunga mpaka jioni kwa ajili ya Sauli na Yonathani mwanawe, kwa ajili ya jeshi la Bwana na nyumba ya Israeli, kwa sababu wameanguka kwa upanga.

131:13 1Sam 14:48Daudi akamwambia yule kijana aliyemletea taarifa, “Wewe ni mwenyeji wa wapi?”

Akamjibu, “Mimi ni mwana wa mgeni, Mwamaleki.”

141:14 1Sam 12:3; 26:9; 24:6; Hes 12:8; Za 105:15Daudi akamuuliza, “Kwa nini hukuogopa kuinua mkono wako ili kumwangamiza mpakwa mafuta wa Bwana?”

151:15 2Sam 4:10-12; Amu 8:20; 1Sam 22:17-18; 1Fal 2:25, 34, 46Kisha Daudi akamwita mmoja wa watu wake na kumwambia, “Nenda ukamuue!” Kwa hiyo akampiga, naye akafa. 161:16 Law 20:9; Mt 27; 24:25; Mdo 18:6; 1Sam 26:9; Lk 19:22Kwa maana Daudi alikuwa amemwambia, “Damu yako iwe juu ya kichwa chako mwenyewe. Kinywa chako mwenyewe kimeshuhudia dhidi yako uliposema, ‘Nilimuua mpakwa mafuta wa Bwana.’ ”

Ombolezo La Daudi Kwa Ajili Ya Sauli Na Yonathani

171:17 Mwa 50:10; Eze 32:2; 2Nya 35:25Daudi akafanya maombolezo haya kuhusu Sauli na Yonathani mwanawe, 181:18 Yos 10:13; 1Sam 31:3naye akaagiza kwamba watu wa Yuda wafundishwe ombolezo hili la upinde (ambalo limeandikwa katika Kitabu cha Yashari):

191:19 2Sam 23:8; Za 29:1; 45:3; 2Sam 3:38“Walio fahari yako, ee Israeli, wameuawa juu ya mahali pako palipoinuka.

Jinsi wenye nguvu walivyoanguka!

201:20 Mik 1:10; Yos 13:3; 1Sam 31:8; 18:6; Amu 16:23; Kut 15:20; Amu 11:34“Msilisimulie hili katika Gathi,

msilitangaze hili katika

barabara za Ashkeloni,

binti za Wafilisti wasije wakafurahia,

binti za hao wasiotahiriwa

wasije wakashangilia.

211:21 Mwa 27:28; Isa 18:4; Kum 11:17; 1Fal 8:35; 17:1; 18:1; 2Nya 6:26; Ay 36:27; 38:28; Za 65:10; 147:8; Isa 5:6; Yer 5:24; 14:4; 12:4; Eze 31:5; Isa 21:5“Enyi milima ya Gilboa,

msipate umande wala mvua,

wala mashamba yazaayo sadaka ya nafaka.

Kwa maana huko ndiko ngao ya mwenye nguvu iliponajisiwa,

ngao ya Sauli haitapakwa tena mafuta.

221:22 Isa 34:3, 7; 49:26; Kum 32:42; 1Sam 18:4Kutokana na damu ya waliouawa,

kutokana na miili ya wenye nguvu,

ule upinde wa Yonathani haukugeuka nyuma.

Upanga wa Sauli haukurudi bure.

231:23 Kum 28:49; Amu 14:18; Yer 4:13“Sauli na Yonathani,

maishani walipendwa na kuneemeka,

na katika kifo hawakutengana.

Walikuwa wepesi kuliko tai,

walikuwa na nguvu kuliko simba.

241:24 Amu 5:30“Enyi binti za Israeli,

lieni kwa ajili ya Sauli,

ambaye aliwavika nguo

nyekundu na maridadi,

ambaye aliremba mavazi yenu

kwa mapambo ya dhahabu.

25“Tazama jinsi mashujaa

walivyoanguka vitani!

Yonathani ameuawa

mahali pako palipoinuka.

261:26 Yer 22:18; 34:5; 1Sam 20:42; 18:1; 19:2; 20:17Nahuzunika kwa ajili yako,

Yonathani ndugu yangu,

kwangu ulikuwa mpendwa sana.

Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu,

wa ajabu zaidi kuliko ule wa wanawake.

271:27 1Sam 2:4“Tazama jinsi mashujaa walivyoanguka!

Silaha za vita zimeangamia!”

La Bible du Semeur

2 Samuel 1:1-27

Le règne de David

David apprend la mort de Saül et de Jonathan

1Saül était déjà mort quand, après avoir battu les Amalécites, David rentra à Tsiqlag. Il y passa deux jours, 2et le troisième jour, un homme arriva du camp de Saül, les habits déchirés et la tête couverte de poussière en signe de deuil. Lorsqu’il fut arrivé auprès de David, il se jeta à terre pour se prosterner devant lui. 3David lui demanda : D’où viens-tu ?

– Je me suis sauvé du camp d’Israël, dit-il.

(1 S 31.1-13 ; 1 Ch 10.1-12)

4– Qu’est-il arrivé ? poursuivit David, raconte-le-moi, je t’en prie.

– L’armée d’Israël s’est enfuie du champ de bataille, beaucoup d’hommes ont été tués. Même Saül et Jonathan son fils sont morts.

5David demanda au jeune homme qui lui faisait ce rapport : Comment sais-tu que Saül et son fils Jonathan sont morts ?

6Le jeune homme lui dit : Je me trouvais justement sur le mont Guilboa ; Saül était appuyé sur sa lance, tandis que les chars et les cavaliers allaient l’atteindre. 7S’étant retourné, il m’a aperçu et m’a appelé. J’ai répondu : « Oui, je viens ! » 8Alors il m’a demandé : « Qui es-tu ? » J’ai dit : « Je suis un Amalécite. » 9Alors il m’a ordonné : « Approche-toi et donne-moi la mort, car je suis pris d’un malaise bien que je sois encore plein de vie. » 10Je me suis approché de lui et je lui ai donné un coup mortel parce que je savais qu’il ne survivrait pas à sa défaite. Puis j’ai enlevé la couronne de sa tête et le bracelet qu’il avait au bras. Les voici, je te les apporte, mon seigneur.

11Alors David saisit ses vêtements et les déchira en signe de deuil, et tous ses hommes firent comme lui. 12Ils prirent le deuil, se lamentèrent et jeûnèrent jusqu’au soir à cause de Saül, de son fils Jonathan et de toute l’armée de l’Eternel et du peuple d’Israël qui avaient péri par l’épée.

13David dit encore au jeune homme qui lui avait apporté ces nouvelles : D’où es-tu ?

– Je suis le fils d’un immigré amalécite.

14Et David lui dit : Comment as-tu osé tuer de ta main celui à qui l’Eternel avait conféré l’onction ?

15Alors David appela l’un de ses hommes, et lui dit : Viens et tue-le !

Le soldat le frappa et il mourut.

16David lui dit : Tu es toi-même responsable de ta mort, car tu as toi-même déposé contre toi lorsque tu as dit : « C’est moi qui ai mis à mort l’oint de l’Eternel. »

Elégie sur Saül et Jonathan

17David composa cette complainte sur Saül et son fils Jonathan.

18Il ordonna de l’enseigner aux descendants de Juda ; c’est la complainte de l’Arc qui est consignée dans le livre du Juste1.18 Livre mentionné en Jos 10.13..

19Ton élite, Israël, ╵a été transpercée ╵là-bas sur tes collines.

Hélas, ils sont tombés ╵tous les guerriers !

20N’allez pas publier ╵cette nouvelle à Gath,

et ne l’annoncez pas ╵dans les rues d’Ashkelôn1.20 Gath et Ashkelôn étaient deux métropoles philistines, l’une la plus proche des frontières d’Israël, l’autre la plus éloignée. Elles représentent donc toute la Philistie. :

les filles philistines ╵se mettraient à chanter,

les filles des incirconcis ╵en sauteraient de joie.

21O monts de Guilboa,

qu’il n’y ait ni rosée ╵ni pluie tombant sur vous,

qu’il n’y ait sur vos pentes ╵plus de champs plantureux ╵d’où viennent des offrandes,

là furent avilis ╵les boucliers des braves

et celui de Saül

que l’on n’enduira plus jamais ╵avec de l’huile1.21 Les boucliers, faits de cuir, étaient enduits d’huile, ce qui les entretenait et faisait glisser les flèches ennemies. Ces boucliers, souillés par le sang des braves, ne serviront jamais plus..

22Ah ! l’arc de Jonathan ╵ne reculait jamais

sans avoir fait couler ╵le sang de ses victimes, ╵sans avoir transpercé ╵la graisse des guerriers,

et l’épée de Saül ╵ne revenait jamais ╵sans avoir accompli ╵sa tâche avec succès.

23Saül et Jonathan, ╵aimés et estimés ╵pendant toute leur vie,

n’ont pas été séparés dans leur mort.

Oui, vous étiez tous deux ╵plus légers que les aigles

et plus forts que les lions.

24O filles d’Israël, ╵pleurez, pleurez Saül

qui vous a revêtues ╵de pourpre et de parures ╵et comblées de délices,

qui ornait vos habits

d’une parure d’or.

25Hélas, ils sont tombés ces braves ╵au milieu du combat !

Oui ! Hélas, Jonathan ! ╵Il a été frappé ╵à mort sur les collines !

26Ah ! Jonathan, mon frère,

je suis dans la détresse ╵à cause de ta mort,

toi, mon meilleur ami, ╵qui m’as été si cher !

Ton affection pour moi ╵m’a été plus précieuse

que l’amour d’une femme !

27Hélas, ils sont tombés ╵tous ces guerriers !

Hélas, ils ont péri ╵ces hommes de combat !