2 Samweli 2 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 2:1-32

Daudi Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme Wa Yuda

12:1 1Sam 23:2, 11-12; Mwa 13:18; 23:19; 1Sam 30:31; Hes 27:21; 1Sam 23:2-9; 1Fal 2:11Ikawa baada ya mambo haya, Daudi akamuuliza Bwana, “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya miji ya Yuda?”

Bwana akasema, “Panda.”

Daudi akauliza, “Je, niende wapi?”

Bwana akajibu, “Nenda Hebroni.”

22:2 1Sam 25:42-43; 30:5Basi Daudi akakwea kwenda huko pamoja na wake zake wawili, Ahinoamu wa Yezreeli na Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli. 32:3 1Sam 27:2; 1Nya 12:22; Mwa 13:18; 23:2; 37:14Pia Daudi akawachukua watu waliokuwa pamoja naye, kila mmoja na jamaa yake, nao wakaishi huko Hebroni na miji yake. 42:4 1Sam 30:31; 2:35; 2Sam 5:3-5; 1Nya 12:23-40; Amu 21:8; 1Sam 11:1; 31:11-13Ndipo watu wa Yuda wakaja Hebroni, huko wakamtia Daudi mafuta awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda.

Daudi alipoambiwa kuwa ni watu wa Yabeshi-Gileadi waliomzika Sauli, 52:5 Amu 17:2; 1Sam 23:21; 2Tim 1:16; Za 115:15akatuma wajumbe kwa watu wa Yabeshi-Gileadi kuwaambia, “Bwana awabariki kwa kuonyesha wema huu kwa kumzika Sauli bwana wenu. 62:6 Kut 34:6; 2Tim 1:16; Mt 5:44Sasa Bwana na awaonyeshe wema na uaminifu, nami pia nitawaonyesha wema ule ule kwa kuwa mmefanya jambo hili. 72:7 Yos 1:6; Amu 5:21Sasa basi, kuweni hodari na mashujaa, kwa maana bwana wenu Sauli amekufa, nayo nyumba ya Yuda imenitia mafuta niwe mfalme juu yao.”

Vita Kati Ya Nyumba Ya Daudi Na Sauli

82:8 1Sam 14:50; 2Sam 3:27; 4:5; 1Nya 8:33; 9:36-39; Mwa 32:2; 1Sam 17:55; 2Sam 17:27Wakati huo Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Sauli, alikuwa amemchukua Ish-Boshethi mwana wa Sauli na kumleta hadi Mahanaimu. 92:9 Hes 32:26; Yos 19:24-31; 1Nya 12:29; Amu 1:32Akamweka awe mfalme juu ya nchi ya Gileadi, Waasheri,2:9 Waasheri hapa ni kabila moja la Israeli. Yezreeli, Efraimu, Benyamini na Israeli yote.

10Ish-Boshethi2:10 Ish-Boshethi maana yake Mtu wa Aibu, pia anaitwa Esh-Baali maana yake Mtu wa Baali (1Nya 8:33; 9:39). mwana wa Sauli alikuwa na umri wa miaka arobaini alipoanza kutawala Israeli, naye akatawala miaka miwili. Hata hivyo, nyumba ya Yuda ikamfuata Daudi. 112:11 2Sam 5:5Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ilikuwa miaka saba na miezi sita.

122:12 Yos 9:3; 18:25; Isa 28:21Abneri mwana wa Neri, pamoja na watu wa Ish-Boshethi mwana wa Sauli, wakatoka Mahanaimu kwenda Gibeoni. 132:13 2Sam 8:16; 19:13; 1Fal 1:17; 1Nya 2:16; 22:6; 27:34; Yer 41:12Yoabu mwana wa Seruya na watu wa Daudi wakatoka na kukutana nao kwenye bwawa la Gibeoni. Kikundi kimoja kiliketi upande mmoja wa bwawa, na kikundi kingine upande wa pili.

142:14 Mit 10:23; 13:10Ndipo Abneri akamwambia Yoabu, “Tuwaweke baadhi ya vijana wasimame na wapigane ana kwa ana mbele yetu.”

Yoabu akasema, “Sawa, na wafanye hivyo.”

15Kwa hiyo vijana wakasimama, wakahesabiwa: watu wa Benyamini na wa Ish-Boshethi mwana wa Sauli kumi na wawili, na upande wa Daudi kumi na wawili. 162:16 Amu 3:21Kisha kila mtu akakamatana na mpinzani wake kichwani na kuchomana kwa upanga, nao wakaanguka chini pamoja. Kwa hiyo mahali pale katika Gibeoni pakaitwa Helkath-Hasurimu.2:16 Helkath-Hasurimu maana yake Uwanja wa Mapambano.

172:17 2Sam 3:1; 1Sam 17:8; 1Fal 20:11Siku hiyo vita vilikuwa vikali sana, naye Abneri na watu wa Israeli wakashindwa na watu wa Daudi.

182:18 2Sam 3:39; 16:10; 19:22; 3:30; 10:7; 11:1; 14:1; 18:14; 20:8; 24:3; 1Fal 1:7; 2:5, 34; 1Sam 26:6; 2Sam 23:24; 2Nya 2:16; 1Nya 11:26; 27:1; 12:8; Za 6:5; Wim 2:9Wana watatu wa Seruya walikuwako huko: nao ni Yoabu, Abishai na Asaheli. Basi huyo Asaheli alikuwa na mbio kama paa. 19Asaheli akamfukuza Abneri, pasipo kugeuka kulia wala kushoto wakati akimfuata. 20Abneri akaangalia nyuma na kumuuliza, “Ni wewe, Asaheli?”

Akamjibu, “Ndiyo.”

212:21 1Sam 17:42Ndipo Abneri akamwambia, “Geuka upande wa kulia au kushoto. Mchukue mmoja wa vijana wa kiume na umvue silaha zake.” Lakini Asaheli hakuacha kumfukuza.

222:22 2Sam 3:27Abneri akamwonya tena Asaheli akimwambia, “Acha kunifukuza! Kwa nini nikuue? Je, nitawezaje kumtazama ndugu yako Yoabu usoni?”

232:23 2Sam 3:27; 4:6; 20:17Lakini Asaheli alikataa kuacha kumfuatia, kwa hiyo Abneri akamchoma Asaheli tumboni kwa ncha butu ya mkuki wake, mkuki ukamtoboa ukatokea mgongoni mwake. Akaanguka na kufa papo hapo. Ikawa kila mtu alisimama alipofika mahali pale Asaheli alipoanguka na kufa.

242:24 Yos 9:3; 10:2Lakini Yoabu na Abishai walimfuata Abneri, na jua lilipokuwa linatua, wakafika kwenye kilima cha Ama, karibu na Gia kwenye njia ya kuelekea kwenye nyika ya Gibeoni. 25Ndipo watu wa kabila la Benyamini wakakusanyika tena nyuma ya Abneri. Wakaunda kikosi na kujiimarisha juu ya kilima.

262:26 Kum 32:42; Yer 46:10, 14; Nah 2:13; 3:15; Ay 18:2; 19:2; Za 4:2; Mdo 7:16Abneri akamwita Yoabu, akamwambia, “Je, ni lazima upanga uendelee kuangamiza milele? Hutambui kwamba jambo hili litaishia katika uchungu? Utaacha kuwaagiza watu wako waache kuwafuatilia ndugu zao hata lini?”

272:27 Mit 17:14; 20:18; Lk 14:31-32Yoabu akajibu, “Hakika kama aishivyo Mungu, kama hukusema, hawa watu wangeendelea kuwafuatia ndugu zao mpaka asubuhi.”

282:28 2Sam 18:16; 20:23; Amu 3:27Basi Yoabu akapiga tarumbeta, nao watu wote wakasimama, hawakuwafuata Israeli tena, wala hawakuwapiga tena.

292:29 Kum 3:17; Mwa 32:2; Wim 2:17; Yos 21:38; 2Sam 17:24Usiku ule wote Abneri na watu wake wakatembea kupitia Araba. Wakavuka Mto Yordani, wakaendelea wakipitia nchi yote ya Bithroni wakafika Mahanaimu.

30Basi Yoabu akarudi kutoka kumfuatia Abneri, na kuwakusanya watu wake wote. Pamoja na Asaheli, watu kumi na tisa wa Daudi walikuwa wamepotea. 31Lakini watu wa Daudi walikuwa wamewaua watu wa kabila la Benyamini 360 waliokuwa pamoja na Abneri. 322:32 Mwa 49:29; 47:29-30; Amu 8:32; 2Sam 17:24Wakamchukua Asaheli, wakamzika katika kaburi la baba yake huko Bethlehemu. Kisha Yoabu na watu wake wakatembea usiku kucha na kufika huko Hebroni wakati wa mapambazuko.

La Bible du Semeur

2 Samuel 2:1-32

David devient roi de Juda à Hébron

1Après ces événements, David consulta l’Eternel et lui demanda s’il devait aller s’installer dans l’une des villes de Juda. L’Eternel lui répondit : Oui.

– Dans laquelle dois-je aller ?

– A Hébron.

2David s’y rendit donc avec ses deux femmes Ahinoam de Jizréel et Abigaïl, veuve de Nabal, de Karmel. 3Il emmena aussi ses compagnons et leurs familles, et ils s’établirent dans les localités aux alentours d’Hébron. 4Les dirigeants de la tribu de Juda vinrent à Hébron pour y établir David roi de leur tribu en lui conférant l’onction d’huile.

On vint informer David que les hommes de Yabesh en Galaad avaient enterré Saül. 5David leur envoya des messagers pour leur dire : Que l’Eternel vous bénisse pour avoir accompli cet acte de bonté envers votre seigneur Saül en l’ensevelissant dans un tombeau. 6A présent, que l’Eternel vous témoigne à son tour sa grande bonté. Et moi-même, je veux aussi agir envers vous avec la même bonté que la vôtre. 7Alors maintenant, soyez forts et montrez-vous vaillants ! Votre seigneur Saül est mort ; mais sachez que les gens de Juda m’ont établi roi sur eux par l’onction.

Ish-Bosheth est proclamé roi d’Israël

8Cependant Abner, fils de Ner2.8 Abner, cousin de Saül (1 S 14.50), sera le principal défenseur de la dynastie du roi défunt., général en chef de l’armée de Saül, avait emmené Ish-Bosheth, un des fils de Saül à Mahanaïm 9et l’avait fait proclamer roi sur Galaad, sur les Ashourites2.9 C’est-à-dire sur les membres de la tribu d’Aser. La version syriaque a : Asser., sur Jizréel, sur Ephraïm, sur Benjamin et sur tout Israël. 10Ish-Bosheth, fils de Saül, avait quarante ans quand il devint roi sur Israël et il régna deux ans. Mais la tribu de Juda se rallia à David 11qui régna sept ans et six mois à Hébron sur cette tribu.

La guerre civile

12Abner, fils de Ner, et les hommes d’Ish-Bosheth, fils de Saül, quittèrent Mahanaïm pour marcher sur Gabaon2.12 A 10 kilomètres au nord-ouest de Jérusalem (voir Jos 9.3). Abner veut empêcher David d’étendre son influence au nord de Juda.. 13Joab, fils de Tserouya2.13 Joab, comme Abishaï et Asaël (v. 18), était un neveu de David, fils de sa sœur., et les hommes de David se mirent aussi en marche. Les deux troupes se rejoignirent près de l’étang de Gabaon, et elles prirent position l’une en face de l’autre, de part et d’autre de cet étang. 14Abner proposa à Joab : Que quelques-uns de nos jeunes hommes se mesurent en combat singulier devant nous !

– D’accord, répondit Joab.

15Douze soldats se présentèrent pour Benjamin et pour Ish-Bosheth, fils de Saül, et douze parmi les hommes de David. 16Chaque soldat saisit son adversaire par la tête et lui plongea son épée dans le côté, si bien qu’ils tombèrent tous ensemble. On appela cet endroit près de Gabaon : le champ des Rocs2.16 En hébreu, le mot signifiant roc désigne aussi le tranchant d’une épée..

17Alors s’engagea un combat extrêmement violent. Abner et les hommes d’Israël furent battus ce jour-là par les hommes de David. 18Parmi les combattants se trouvaient les trois fils de Tserouya : Joab, Abishaï et Asaël. Asaël était agile comme une gazelle sauvage. 19Il se lança à la poursuite d’Abner et le suivit sans dévier ni à droite ni à gauche. 20Abner se retourna et demanda : Est-ce toi, Asaël ?

– Oui, c’est moi !

21– Passe à droite ou à gauche, lui dit Abner, attaque l’un de ces jeunes soldats et empare-toi de son équipement !

Mais Asaël ne voulut pas le laisser échapper. 22Abner insista : Cesse de me poursuivre. Pourquoi m’obligerais-tu à t’abattre ? Comment oserais-je ensuite regarder ton frère Joab en face ?

23Mais Asaël refusa de le lâcher. Alors Abner lui enfonça la pointe de sa lance dans le ventre et l’arme ressortit par le dos. Asaël s’affaissa sur place et mourut là. Tous ceux qui arrivèrent à l’endroit où Asaël était mort, s’arrêtèrent là.

24Joab et Abishaï continuèrent à poursuivre Abner. Le soleil se couchait quand ils atteignirent la colline d’Amma en face de Guiah, sur le chemin du désert de Gabaon. 25Alors les Benjaminites se rassemblèrent autour d’Abner en formation serrée et occupèrent le sommet d’une colline. 26Abner cria en direction de Joab : N’allons-nous pas cesser de nous combattre par l’épée ? Ne comprends-tu pas que tout cela finira par beaucoup d’amertume ? Quand est-ce que tu diras à tes hommes de ne plus poursuivre leurs compatriotes ?

27Joab répondit : Aussi vrai que Dieu est vivant, je t’assure que si tu n’avais pas parlé ainsi, mes gens vous auraient pourchassés jusqu’à demain matin.

28Puis Joab sonna du cor2.28 Marquait le début comme la fin des combats (18.16 ; 20.22)., et toute la troupe s’arrêta et cessa de poursuivre et de combattre Israël.

29Abner et ses hommes marchèrent toute la nuit dans la vallée du Jourdain, puis ils franchirent le Jourdain et traversèrent le Bitrôn2.29 Autres traductions : le ravin ou toute la matinée. pour arriver à Mahanaïm. 30Joab revint de la poursuite d’Abner et rassembla toute sa troupe ; en plus d’Asaël, dix-neuf hommes de David manquaient à l’appel. 31Mais les hommes de David en avaient tué trois cent soixante parmi les Benjaminites et les hommes d’Abner. 32Ils emportèrent le corps d’Asaël et l’enterrèrent dans le sépulcre de son père à Bethléhem2.32 Patrie de David et de sa famille (1 S 16.1).. Joab et ses hommes marchèrent toute la nuit et atteignirent Hébron au point du jour.