2 Nyakati 17 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 17:1-19

Yehoshafati Mfalme Wa Yuda

1Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake na akajiimarisha dhidi ya Israeli. 217:2 2Nya 15:8; 11:11Akaweka jeshi katika miji yote ya Yuda yenye ngome na kuweka askari walinzi katika Yuda na katika miji ya Efraimu ile ambayo baba yake Asa alikuwa ameiteka.

317:3 Rum 8:31; 1Fal 22:43Bwana Mungu alikuwa na Yehoshafati kwa sababu katika miaka yake ya mwanzoni alienenda katika njia za Daudi baba yake. Hakutafuta Mabaali 417:4 1Fal 12:28; 2Nya 22:9bali alimtafuta Mungu wa baba yake na kuzifuata amri zake badala ya kufuata desturi za watu wa Israeli. 517:5 1Sam 10:27; 2Nya 18:1; 1Fal 10:25-27Kwa hiyo Bwana akauimarisha ufalme chini ya uongozi wake, nao Yuda wote wakamletea Yehoshafati zawadi, hivyo akawa na utajiri mwingi na heshima. 617:6 1Fal 8:61; 2Nya 14:3; 15:17Moyo wake ukawa hodari katika njia za Bwana na zaidi ya yote, akaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu na nguzo za Maashera katika Yuda.

717:7 Neh 8:7; Mal 2:7; 2Nya 15:3Katika mwaka wa tatu wa utawala wa akatuma maafisa wake ambao ni: Ben-Haili, Obadia, Zekaria, Nethaneli na Mikaya ili kufundisha katika miji ya Yuda. 817:8 Hos 4:6Pamoja nao walikuwepo Walawi fulani nao ni: Shemaya, Nethania, Zebadia, Asaheli, Shemiramothi, Yehonathani, Adoniya, Tobia, Tob-Adonia, pamoja nao walikuwepo makuhani Elishama na Yehoramu. 917:9 Kum 6:4-9; 28:61; Law 10:11; 2Nya 35:3; Neh 8:7; Mal 2:7Wakafundisha Yuda yote, wakiwa wamechukua Kitabu cha Sheria ya Bwana wakazunguka miji yote ya Yuda na kufundisha watu.

1017:10 Mwa 35:5; Kum 2:25; Kut 15:15; 2Nya 14:14Hofu ya Bwana ikawa juu ya falme zote za nchi zilizozunguka Yuda, hivyo hawakufanya vita na Yehoshafati. 1117:11 2Nya 9:14; 26:8; 21:16; 2Sam 8:2Baadhi ya Wafilisti wakamletea Yehoshafati zawadi na fedha kama ushuru, nao Waarabu wakamletea mifugo: kondoo dume 7,700 na mbuzi 7,700.

12Yehoshafati akaendelea kupata nguvu zaidi na zaidi, akajenga ngome na miji ya hazina katika Yuda 13na akawa na wingi mkubwa wa vitu katika miji ya Yuda. Pia aliweka askari wa vita wenye uzoefu huko Yerusalemu. 1417:14 2Sam 24:2Wakaandikishwa katika jamaa zao kama ifuatavyo:

Kutoka Yuda, majemadari wa vikosi vya elfu:

Jemadari Adna akiwa na askari wa vita 300,000;

15aliyefuata ni jemadari Yehohanani, akiwa na askari 280,000 walio tayari kwa vita;

1617:16 Amu 5:9; 1Nya 29:9-17; 2Kor 8:12; Za 110:3aliyefuata ni Amasia mwana wa Zikri, ambaye alijitolea kwa ajili ya kazi ya Bwana, akiwa na askari 200,000.

17Kutoka Benyamini:

Eliada, askari shujaa akiwa na watu 200,000 wenye silaha za nyuta na ngao;

18aliyefuata ni Yehozabadi, akiwa na askari 180,000 wenye silaha za vita.

1917:19 2Nya 25:5; 11:10Hawa ndio waliomtumikia mfalme, mbali na wale mfalme aliweka katika miji yenye ngome huko Yuda yote.

La Bible du Semeur

2 Chroniques 17:1-19

Le bon roi Josaphat

1Son fils Josaphat lui succéda sur le trône17.1 Josaphat régna de 872 à 848 av. J.-C., y compris trois années de corégence avec son père Asa, de 872 à 869 av. J.-C. (voir 20.31).. Il développa ses forces pour tenir tête au royaume d’Israël : 2il installa des garnisons dans toutes les villes fortifiées de Juda et il établit des postes militaires à travers tout le pays de Juda, ainsi que dans les villes d’Ephraïm que son père Asa avait conquises17.2 Voir 15.8.. 3L’Eternel fut avec Josaphat parce qu’il suivait, dans la première partie de sa vie, l’exemple laissé par son ancêtre David, et qu’il ne s’attacha pas aux Baals. 4Au contraire, il s’attacha au Dieu de ses ancêtres et vécut selon ses commandements, contrairement à ce que l’on faisait en Israël. 5Aussi l’Eternel affermit-il son pouvoir royal et tout Juda lui apportait des présents. Il fut comblé de richesses et de gloire. 6Il s’enhardit pour suivre les chemins prescrits par l’Eternel, de sorte qu’il supprima encore les hauts lieux et les poteaux sacrés d’Ashéra dans le pays de Juda.

7La troisième année de son règne17.7 A la fin de sa corégence avec son père Asa, en 869 av. J.-C., il envoya dans les villes de Juda quelques-uns de ses hauts fonctionnaires, Ben-Haïl, Abdias, Zacharie, Netanéel et Michée, pour enseigner les habitants. 8Ils étaient accompagnés des lévites Shemaya, Netania, Zebadia, Asaël, Shemiramoth, Jonathan, Adoniya, Tobiya et Tob-Adoniya ainsi que des prêtres Elishama et Yoram. 9Ils enseignèrent donc en Juda, ayant avec eux le livre de la Loi de l’Eternel. Ils parcoururent toutes les villes de Juda pour enseigner le peuple.

La puissance de Josaphat

10A cause de l’Eternel, une terreur s’empara de tous les royaumes environnant Juda, de sorte que personne n’osa faire la guerre à Josaphat. 11Des Philistins lui apportaient des présents et un tribut en argent. Les nomades arabes lui apportaient aussi du petit bétail : 7 700 béliers et 7 700 boucs. 12Josaphat devint de plus en plus puissant. Il construisit en Juda des citadelles et des villes-entrepôts.

13Il disposait de provisions abondantes dans les villes judéennes, et des guerriers valeureux étaient stationnés à Jérusalem. 14Ces derniers étaient répartis selon leurs groupes familiaux. Pour Juda, voici les chefs de « milliers » : le chef Adna, qui commandait 300 000 valeureux guerriers ; 15à ses côtés se trouvait le chef Yohanân qui commandait 280 000 hommes ; 16à ses côtés, Amasia, fils de Zikri, qui s’était volontairement engagé pour l’Eternel et qui commandait 200 000 valeureux guerriers. 17De Benjamin, il y avait : Elyada, un valeureux guerrier, qui commandait 200 000 hommes armés de l’arc et du bouclier ; 18à ses côtés Yehozabad qui commandait 180 000 hommes équipés pour la guerre. 19Tous ceux-ci étaient au service du roi, auxquels il faut ajouter ceux que le roi avait mis en garnison dans les villes fortifiées sur tout le territoire de Juda.