2 Nyakati 16 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 16:1-14

Miaka Ya Mwisho Ya Mfalme Asa

(1 Wafalme 15:17-24)

116:1 Yer 41:9; 2Nya 15:9; 1Fal 15:17Katika mwaka wa thelathini na sita wa utawala wa Asa, Mfalme Baasha wa Israeli akashambulia Yuda na kuweka ngome mji wa Rama ili kumzuia yeyote asitoke wala kuingia nchi ya Mfalme Asa wa Yuda.

2Ndipo Asa akachukua fedha na dhahabu kutoka hazina ya Hekalu la Bwana na kutoka jumba lake mwenyewe la kifalme na kumpelekea Ben-Hadadi mfalme wa Aramu, ambaye alikuwa anatawala huko Dameski. 316:3 2Nya 20:35; 25:7Akasema, “Pawepo na mkataba kati yangu na wewe, kama ulivyokuwepo kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, nimekuletea fedha na dhahabu. Sasa vunja mkataba wako na Baasha mfalme wa Israeli ili aniondokee mimi.”

4Ben-Hadadi akakubaliana na Mfalme Asa na kutuma majemadari wa majeshi yake dhidi ya miji ya Israeli. Wakashinda Iyoni, Dani, Abel-Maimu na miji yote ya hazina ya Naftali. 5Baasha aliposikia jambo hili, akasimamisha kujenga Rama na kuacha kazi yake. 6Ndipo Mfalme Asa akawaleta watu wote wa Yuda, nao wakachukua mawe na miti ambayo Baasha alikuwa anavitumia huko Rama. Kwa vitu hivyo akajenga Geba na Mispa.

716:7 1Fal 16:1; 2Nya 19:2; 20:34; Za 146:3-6; Isa 31:1; Yer 17:5Ikawa wakati huo mwonaji Hanani akamjia Mfalme Asa wa Yuda na kumwambia: “Kwa sababu ulimtegemea mfalme wa Aramu nawe hukumtegemea Bwana Mungu wako, jeshi la mfalme wa Aramu limeponyoka mkononi mwako. 816:8 Mwa 10:6-9; 2Nya 13:16; 14:9; 12:3Je, hukumbuki lililotendeka kwa Wakushi na Walibia, hawakuwa jeshi lenye nguvu na magari mengi ya vita na wapanda farasi? Hata hivyo, ulipomtegemea Bwana yeye aliwatia mkononi mwako. 916:9 Ay 24:23; 1Sam 13:13; Za 33:13-15; Yer 5:21; 32:19; 1Kor 15:36; 2Nya 6:20; Ay 34:21; Yer 16:17; Zek 4:10; Ebr 4:13; 1Pet 3:12; 1Nya 21:8; Mt 5:22; 1Fal 15:32Kwa kuwa macho ya Bwana hukimbiakimbia duniani kote ili kujionyesha mwenye nguvu kwa ajili ya wale ambao mioyo yao inamtegemea kwa ukamilifu. Umefanya jambo la upumbavu na kuanzia sasa na kuendelea utakuwa na vita.”

1016:10 2Nya 18:26; Yer 20:2; Mt 14:3Asa akamkasirikia mwonaji kwa sababu ya jambo hili. Alikuwa ameghadhibika sana hata akamweka gerezani. Wakati huo huo Asa akaanza kuwatesa na kuwaonea baadhi ya watu kwa ukatili.

11Matukio ya utawala wa Asa, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli. 1216:12 Yer 17:5-6; Kum 28:22Katika mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wake, Asa alipatwa na ugonjwa kwenye miguu yake. Ingawa ugonjwa wake ulimzidia sana, hata katika kuugua kwake hakutafuta msaada kutoka kwa Bwana bali kwa matabibu tu. 13Katika mwaka wa arobaini na moja wa utawala wa Asa, alikufa na kulala na baba zake. 1416:14 Mwa 50:2; Yn 19:39-40; Mk 16:1; 2Nya 21:19; Yer 34:5Nao wakamzika katika kaburi lile alilokuwa amejichongea mwenyewe katika Mji wa Daudi. Wakamzika kwa jeneza lililowekwa vikolezi na mchanganyiko wa manukato ya aina mbalimbali yaliyotengenezwa kwa utaalamu wa mtengeneza marashi, nao wakawasha moto mkubwa kwa heshima yake.

La Bible du Semeur

2 Chroniques 16:1-14

Juda en guerre contre Israël

(1 R 15.17-22)

1La trente-sixième année du règne d’Asa16.1 Les précisions trente-cinquième année (15.19) et trente-sixième année du règne d’Asa ne s’accordent pas avec les autres données chronologiques des Rois (1 R 15.33 ; 16.8) et des Chroniques. Diverses hypothèses ont été avancées : le Chroniste daterait ces événements des 35e et 36e années après le schisme, ce qui correspondrait aux 15e et 16e années d’Asa ; ou il s’agirait d’une erreur de copiste, l’original pouvant être : 25e et 26e années. Mais aucune de ces solutions n’est satisfaisante., Baésha, roi d’Israël, vint attaquer le royaume de Juda. Il fortifia Rama pour empêcher qu’on pénètre sur le territoire d’Asa, roi de Juda, et qu’on en sorte16.1 Autre traduction : …Rama, pour barrer le passage à Asa, roi de Juda..

2Asa préleva une certaine quantité d’argent et d’or dans les trésors du temple de l’Eternel et du palais royal, pour la faire porter à Ben-Hadad, roi de Syrie, qui résidait à Damas. Il l’accompagna du message suivant : 3« Faisons une alliance comme il y en a eu une entre nos ancêtres respectifs. Voici que je t’envoie de l’argent et de l’or. Je te demande, en échange, de rompre ton alliance avec Baésha, roi d’Israël, afin qu’il cesse de me faire la guerre. »

4Ben-Hadad accepta la proposition du roi Asa ; il envoya ses chefs militaires attaquer les villes d’Israël et ceux-ci frappèrent les villes d’Iyôn, de Dan et d’Abel-Maïm16.4 Autre nom d’Abel Beth-Maaka (1 R 15.20)., ainsi que tous les entrepôts des villes de Nephtali16.4 Voir note 1 R 15.20.. 5Lorsque Baésha apprit cette nouvelle, il renonça à fortifier Rama et fit cesser ses travaux. 6Alors le roi Asa rassembla tous les Judéens pour enlever les pierres et le bois que Baésha avait rassemblés pour fortifier Rama, et il s’en servit pour fortifier les villes de Guéba et de Mitspa.

Un message prophétique mal reçu

7C’est alors que le prophète Hanani vint trouver Asa, roi de Juda, et lui dit : Tu t’es appuyé sur le roi de Syrie au lieu de t’appuyer sur l’Eternel ton Dieu ; à cause de cela, l’armée de ce roi t’échappera. 8Rappelle-toi que les Ethiopiens et les Libyens formaient une armée puissante dotée d’un très grand nombre de chars avec leurs équipages. Cependant l’Eternel t’a donné la victoire sur eux, parce que tu t’étais appuyé sur lui. 9Car l’Eternel parcourt toute la terre du regard pour soutenir ceux dont le cœur est tourné vers lui sans partage. Tu as agi comme un insensé, et à cause de cela, tu ne cesseras plus d’être en guerre.

10Asa fut irrité contre le prophète. Furieux contre lui à cause de cette intervention, il le fit jeter en prison, les fers aux pieds. A la même époque, Asa se mit à opprimer une partie du peuple.

La fin du règne d’Asa

(1 R 15.23-24)

11Les faits et gestes d’Asa, des premiers aux derniers, sont cités dans les livres des rois de Juda et d’Israël16.11 Non les livres bibliques des Rois mais des annales rédigées par les secrétaires royaux.. 12La trente-neuvième année de son règne, Asa tomba gravement malade et il souffrit grandement des pieds ; toutefois, même pendant sa maladie, il ne s’adressa pas à l’Eternel mais seulement aux guérisseurs.

13Asa rejoignit ses ancêtres décédés. Il mourut la quarante et unième année de son règne. 14On l’enterra dans l’une des tombes qu’il s’était fait creuser dans la Cité de David. On le déposa sur un lit garni d’aromates et de baumes parfumés préparés par des embaumeurs, et l’on fit un immense brasier en son honneur.