1 Samweli 11 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Samweli 11:1-15

Sauli Aukomboa Mji Wa Yabeshi

111:1 Mwa 19:38; 1Sam 12:12; 31:11; 2Sam 10:2; 17:27; 2:4-5; 21:12; Kut 23:32; Yer 37:1; Eze 17:13; 1Nya 19:1; Amu 21:8Nahashi yule Mwamoni, akakwea kuuzunguka kwa jeshi mji wa Yabeshi-Gileadi. Watu wote wa Yabeshi wakamwambia, “Fanya mkataba na sisi, na tutakuwa chini yako.”

211:2 Mwa 34:15; Hes 16:14; 1Sam 17:26; 2Sam 17:26Lakini Nahashi yule Mwamoni akajibu, “Nitafanya mkataba na ninyi tu kwa sharti kwamba nitangʼoa jicho la kulia la kila mmoja wenu, na hivyo kuleta aibu juu ya Israeli yote.”

311:3 1Sam 8:4; Amu 2:16Viongozi wa Yabeshi wakamwambia, “Tupe siku saba ili tuweze kutuma wajumbe katika Israeli yote, kama hakuna hata mmoja anayekuja kutuokoa, tutajisalimisha kwako.”

411:4 1Sam 10:5; 15:34; Mwa 27:38; Hes 25:6; Amu 2:4; 21:2; 2Sam 21:6; Rum 12:15Wajumbe walipofika Gibea ya Sauli na kutoa taarifa juu ya masharti haya kwa watu, wote walilia kwa sauti kubwa. 5Wakati huo huo Sauli alikuwa anarudi kutoka mashambani, akiwa nyuma ya maksai wake, naye akauliza, “Watu wana nini? Mbona wanalia?” Ndipo wakamweleza jinsi watu wa Yabeshi walivyokuwa wamesema.

611:6 Amu 3:10; 6:34; 13:25; 1Sam 10:10; 16:13Sauli aliposikia maneno yao, Roho wa Mungu akaja juu yake kwa nguvu, naye akawaka hasira. 711:7 1Sam 6:14; Amu 19:29; 21:5; 20:1; Mwa 35:5; 1Nya 14:14; 17:10; Mit 14:26Akachukua jozi ya maksai na kuwakata vipande vipande, naye kuvituma hivyo vipande kupitia wajumbe katika Israeli yote, wakitangaza, “Hivi ndivyo itakavyofanyika kwa maksai wa kila mmoja ambaye hatamfuata Sauli na Samweli.” Kisha hofu ya Bwana ikawaangukia watu, nao wakatoka kama mtu mmoja. 811:8 Amu 20:2; 1:4; 2Sam 24:9Sauli alipowakusanya huko Bezeki, watu wa Israeli walikuwa 300,000 na watu wa Yuda 30,000.

9Wakawaambia wale wajumbe waliokuwa wamekuja, “Waambieni watu wa Yabeshi-Gileadi, ‘Kesho kabla jua halijawa kali, mtaokolewa.’ ” Wajumbe walipokwenda na kutoa taarifa hii kwa watu wa Yabeshi, wakafurahi. 10Wakawaambia Waamoni, “Kesho tutajisalimisha kwenu, nanyi mtaweza kututendea chochote mnachoona chema kwenu.”

1111:11 Amu 7:16; Mwa 19:38Kesho yake Sauli alitenganisha watu wake katika vikosi vitatu; wakati wa zamu ya mwisho ya usiku wakaingia katika kambi ya Waamoni na kuwachinja mpaka mchana. Wale walionusurika wakasambaa, kiasi kwamba hawakusalia watu wawili pamoja.

Sauli Athibitishwa Kuwa Mfalme

1211:12 Kum 13:13; Lk 19:27Kisha watu wakamwambia Samweli, “Ni nani yule aliyeuliza, ‘Je, Sauli atatawala juu yetu?’ Tuletee hawa watu, nasi tutawaua.”

1311:13 2Sam 19:22; 1Sam 19:5; 1Nya 11:14; Kut 14:13; Za 44:4-8; Ebr 2:3Lakini Sauli akasema, “Hakuna hata mmoja atakayeuawa leo, kwa kuwa siku hii Bwana ameokoa Israeli.”

1411:14 Yos 10:43; 1Sam 10:8; 10:25Ndipo Samweli akawaambia watu, “Njooni, twendeni Gilgali na huko tuthibitishe ufalme.” 1511:15 Yos 5:9; 2Sam 19:15; 1Sam 12:1Kwa hiyo watu wote wakaenda Gilgali na kumthibitisha Sauli kuwa mfalme mbele za Bwana. Huko wakatoa dhabihu za sadaka za amani mbele za Bwana, naye Sauli na Waisraeli wote wakafanya karamu kubwa.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

撒母耳記上 11:1-15

掃羅打敗亞捫人

1亞捫拿轄率軍上來圍困基列·雅比,城內的居民對拿轄說:「你與我們立約吧!我們願意服從你。」 2亞捫拿轄說:「好,但有一個條件,我要挖去你們每一個人的右眼作為對全體以色列人的羞辱。」 3雅比的長老說:「請寬限我們七天,我們好派遣使者去以色列全境。要是沒有人來營救我們,我們就向你投降。」 4雅比的使者來到掃羅的家鄉基比亞,把他們的情況告訴眾人,大家聽了放聲大哭。 5那時掃羅剛好趕著牛從田間回來,便問道:「發生了什麼事?為什麼大家都在哭?」百姓把雅比的情況告訴了他。 6掃羅聽後,上帝的靈降在他身上,他勃然大怒, 7牽來兩頭牛,把牠們切成碎塊,然後派使者把碎塊分發到以色列全境,並且宣佈:「誰拒絕跟隨掃羅撒母耳出戰,他的牛就要被砍成這樣。」上帝使百姓充滿恐懼,他們都同心合意地回應。 8掃羅比色統計以色列人,共有三十萬,從猶大來的有三萬。 9他們讓雅比的使者回去告訴基列·雅比人,說:「明天中午,你們必得拯救。」使者回去告訴雅比人,他們非常歡喜, 10便對亞捫人說:「明天我們會出來歸順你們,你們怎樣對待我們都可以。」 11第二天,掃羅以色列人分成三隊,在黎明時分突襲亞捫人的軍營,把他們殺得大敗,直到中午才收兵。亞捫人的殘兵四散奔逃。

12以色列人對撒母耳說:「是誰說掃羅不該做王?把他們帶來,我們要處死他們。」 13掃羅卻說:「今天不可殺人,因為今天耶和華拯救了以色列。」 14撒母耳對民眾說:「來吧,我們到吉甲去,在那裡重新立國。」 15於是,他們來到吉甲,在耶和華面前立掃羅為王,又向耶和華獻上平安祭。掃羅和全體以色列人都非常歡喜。