1 Nyakati 25 – NEN & KJV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 25:1-31

Waimbaji

125:1 1Nya 6:31-39; 16:41-42; Neh 11:17; 1Sam 10:5; Ezr 3:10; 2Nya 5:12; 1Nya 12:28; 23:2; 15:17; Kut 15:20; Hes 11:25; Za 150:3-5; 1Kor 14:1; Ufu 15:2-4Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:

2Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa:

Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.

325:3 Mwa 4:21; Za 33:2Wana wa Yeduthuni walikuwa sita:

Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.

4Wana wa Hemani walikuwa:

Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi. 525:5 1Sam 9:9; 2Sam 24:11; Amo 7:12; 1Pet 4:11; Isa 3:18; 1Nya 21:9; 26:28; Mwa 33:5; 1Sam 1:17; 1Nya 28:5; Za 127:3; 128:3Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.

625:6 1Nya 15:16-19; 2Nya 23:18; 29:25Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme. 725:7 Efe 5:19; Kol 3:16; Yak 5:13Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288. 825:8 2Nya 23:13; 1Nya 26:13Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.

925:9 1Nya 6:36-39; 25:31; Ufu 5:8; 1Nya 9:33Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 1210Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 1211ya nne ikamwangukia Isri,25:11 Isri jina lingine ni Seri. wanawe na jamaa zake, 1212ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 1213ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 1214ya saba ikamwangukia Yesarela,25:14 Yesarela jina lingine ni Asarela. wanawe na jamaa zake, 1215ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 1216ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 1217ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 1218ya kumi na moja ikamwangukia Azareli,25:18 Azareli jina lingine ni Uzieli. wanawe na jamaa zake, 1219ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 1220ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 1221ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 1222ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 1223Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 1224ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 1225ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 1226ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 1227ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 1228ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 1229ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 1230ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 123125:31 Ufu 4:4; 5:8; 11:6ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.

King James Version

1 Chronicles 25:1-31

1Moreover David and the captains of the host separated to the service of the sons of Asaph, and of Heman, and of Jeduthun, who should prophesy with harps, with psalteries, and with cymbals: and the number of the workmen according to their service was: 2Of the sons of Asaph; Zaccur, and Joseph, and Nethaniah, and Asarelah, the sons of Asaph under the hands of Asaph, which prophesied according to the order of the king.25.2 Asarelah: otherwise called Jesharelah25.2 according…: Heb. by the hands of the king 3Of Jeduthun: the sons of Jeduthun; Gedaliah, and Zeri, and Jeshaiah, Hashabiah, and Mattithiah, six, under the hands of their father Jeduthun, who prophesied with a harp, to give thanks and to praise the LORD.25.3 Zeri: or, Izri 4Of Heman: the sons of Heman; Bukkiah, Mattaniah, Uzziel, Shebuel, and Jerimoth, Hananiah, Hanani, Eliathah, Giddalti, and Romamti-ezer, Joshbekashah, Mallothi, Hothir, and Mahazioth:25.4 Uzziel: also called, Azareel25.4 Shebuel: also called, Shubael 5All these were the sons of Heman the king’s seer in the words of God, to lift up the horn. And God gave to Heman fourteen sons and three daughters.25.5 words: or, matters 6All these were under the hands of their father for song in the house of the LORD, with cymbals, psalteries, and harps, for the service of the house of God, according to the king’s order to Asaph, Jeduthun, and Heman.25.6 according…: Heb. by the hands of the king 7So the number of them, with their brethren that were instructed in the songs of the LORD, even all that were cunning, was two hundred fourscore and eight.

8¶ And they cast lots, ward against ward, as well the small as the great, the teacher as the scholar. 9Now the first lot came forth for Asaph to Joseph: the second to Gedaliah, who with his brethren and sons were twelve: 10The third to Zaccur, he, his sons, and his brethren, were twelve: 11The fourth to Izri, he, his sons, and his brethren, were twelve: 12The fifth to Nethaniah, he, his sons, and his brethren, were twelve: 13The sixth to Bukkiah, he, his sons, and his brethren, were twelve: 14The seventh to Jesharelah, he, his sons, and his brethren, were twelve: 15The eighth to Jeshaiah, he, his sons, and his brethren, were twelve: 16The ninth to Mattaniah, he, his sons, and his brethren, were twelve: 17The tenth to Shimei, he, his sons, and his brethren, were twelve: 18The eleventh to Azareel, he, his sons, and his brethren, were twelve: 19The twelfth to Hashabiah, he, his sons, and his brethren, were twelve: 20The thirteenth to Shubael, he, his sons, and his brethren, were twelve: 21The fourteenth to Mattithiah, he, his sons, and his brethren, were twelve: 22The fifteenth to Jeremoth, he, his sons, and his brethren, were twelve: 23The sixteenth to Hananiah, he, his sons, and his brethren, were twelve: 24The seventeenth to Joshbekashah, he, his sons, and his brethren, were twelve: 25The eighteenth to Hanani, he, his sons, and his brethren, were twelve: 26The nineteenth to Mallothi, he, his sons, and his brethren, were twelve: 27The twentieth to Eliathah, he, his sons, and his brethren, were twelve: 28The one and twentieth to Hothir, he, his sons, and his brethren, were twelve: 29The two and twentieth to Giddalti, he, his sons, and his brethren, were twelve: 30The three and twentieth to Mahazioth, he, his sons, and his brethren, were twelve: 31The four and twentieth to Romamti-ezer, he, his sons, and his brethren, were twelve.