1 Nyakati 24 – NEN & KJV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 24:1-31

Migawanyo Ya Makuhani

124:1 2Nya 5:11; Ezr 6:18; Kut 6:23; Hes 3:2-4; 26:60Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Aroni:

Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari. 224:2 Law 10:1-2; Hes 3:4; 26:61Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao, nao hawakuwa na wana; kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari wakahudumu kama makuhani. 324:3 2Sam 8:17Akisaidiwa na Sadoki mwana wa Eleazari na Ahimeleki mwana wa Ithamari, Daudi aliwapanga wazao wa Aroni katika migawanyo kufuatana na wajibu wa huduma zao. 4Idadi kubwa ya viongozi walipatikana miongoni mwa wazao wa Eleazari, kuliko miongoni mwa wazao wa Ithamari, nao waligawanywa kwa uwiano: Viongozi kumi na sita kutoka jamaa ya wazao wa Eleazari na viongozi wanane kutoka jamaa ya wazao wa Ithamari. 524:5 1Nya 26:13; Mdo 1:26; Yos 18:10; Mit 16:33; 18:18Waliwagawanya bila upendeleo kwa kupiga kura, kwa kuwa kulikuwa na maafisa wa mahali patakatifu na maafisa wa Mungu miongoni mwa wazao wale wa Eleazari na wale wa Ithamari.

624:6 1Nya 18:16; Neh 8:4; 1Fal 4:3Mwandishi Shemaya mwana wa Nethaneli, Mlawi, aliorodhesha majina yao mbele ya Mfalme Daudi na maafisa: Kuhani Sadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa jamaa za makuhani na za Walawi: jamaa moja ikitoka upande wa Eleazari na nyingine upande wa Ithamari.

724:7 Ezr 2:36; Neh 7:39; 12:6Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu,

ya pili Yedaya,

824:8 Ezr 10:21; Neh 12:4-6ya tatu Harimu,

ya nne Seorimu,

9ya tano Malkiya,

ya sita Miyamini,

1024:10 Neh 12:4, 17; Lk 1:5ya saba Hakosi,

ya nane Abiya,

11ya tisa Yeshua,

ya kumi Shekania,

12ya kumi na moja Eliashibu,

ya kumi na mbili Yakimu,

13ya kumi na tatu Hupa,

ya kumi na nne Yeshebeabu,

1424:14 Ezr 2:37; Yer 20:1ya kumi na tano Bilga,

ya kumi na sita Imeri,

1524:15 Neh 10:20ya kumi na saba Heziri,

ya kumi na nane Hapisesi,

16ya kumi na tisa Pethahia,

ya ishirini Yehezkeli,

17ya ishirini na moja Yakini,

ya ishirini na mbili Gamuli,

18ya ishirini na tatu Delaya,

ya ishirini na nne Maazia.

1924:19 1Nya 9:25; Hes 4:49; 2Fal 5:7; Lk 1:18-23Huu ulikuwa ndio utaratibu wao uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika Hekalu la Bwana kulingana na masharti waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama Bwana, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.

Walawi Waliobaki

2024:20 1Nya 23:6-17Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki:

Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli;

kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya.

21Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe:

Ishia alikuwa wa kwanza.

22Kutoka kwa Waishari: alikuwa Shelomithi,

kutoka kwa wana wa Shelomithi: alikuwa Yahathi.

2324:23 1Nya 23:19; 15:9Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.

24Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika;

kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri.

2524:25 1Nya 22:9Ndugu yake Mika: alikuwa Ishia;

na kutoka kwa wana wa Ishia: alikuwa Zekaria.

2624:26 1Nya 6:19; 23:21; Hes 3:20; Kut 6:19Wana wa Merari: walikuwa Mahli na Mushi.

Mwana wa Yaazia: alikuwa Beno.

27Wana wa Merari:

kutoka kwa Yaazia: ni Beno, Shohamu, Zakuri na Ibri.

2824:28 1Nya 23:22Kutoka kwa Mahli: alikuwa Eleazari, ambaye hakuwa na wana.

29Kutoka kwa Kishi: mwana wa Kishi:

alikuwa Yerameeli.

3024:30 1Nya 23:23Nao wana wa Mushi: walikuwa Mahli, Ederi na Yeremothi.

Hawa walikuwa Walawi kulingana na jamaa zao. 31Pia walipiga kura kama vile ndugu zao wazao wa Aroni walivyofanya, mbele ya Mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na mbele ya viongozi wa jamaa ya makuhani na ya Walawi. Jamaa za ndugu wakubwa zilitendewa sawasawa na zile za ndugu wadogo.

King James Version

1 Chronicles 24:1-31

1Now these are the divisions of the sons of Aaron. The sons of Aaron; Nadab, and Abihu, Eleazar, and Ithamar. 2But Nadab and Abihu died before their father, and had no children: therefore Eleazar and Ithamar executed the priest’s office. 3And David distributed them, both Zadok of the sons of Eleazar, and Ahimelech of the sons of Ithamar, according to their offices in their service. 4And there were more chief men found of the sons of Eleazar than of the sons of Ithamar; and thus were they divided. Among the sons of Eleazar there were sixteen chief men of the house of their fathers, and eight among the sons of Ithamar according to the house of their fathers. 5Thus were they divided by lot, one sort with another; for the governors of the sanctuary, and governors of the house of God, were of the sons of Eleazar, and of the sons of Ithamar. 6And Shemaiah the son of Nethaneel the scribe, one of the Levites, wrote them before the king, and the princes, and Zadok the priest, and Ahimelech the son of Abiathar, and before the chief of the fathers of the priests and Levites: one principal household being taken for Eleazar, and one taken for Ithamar.24.6 principal…: Heb. house of the father 7Now the first lot came forth to Jehoiarib, the second to Jedaiah, 8The third to Harim, the fourth to Seorim, 9The fifth to Malchijah, the sixth to Mijamin, 10The seventh to Hakkoz, the eighth to Abijah, 11The ninth to Jeshua, the tenth to Shecaniah, 12The eleventh to Eliashib, the twelfth to Jakim, 13The thirteenth to Huppah, the fourteenth to Jeshebeab, 14The fifteenth to Bilgah, the sixteenth to Immer, 15The seventeenth to Hezir, the eighteenth to Aphses, 16The nineteenth to Pethahiah, the twentieth to Jehezekel, 17The one and twentieth to Jachin, the two and twentieth to Gamul, 18The three and twentieth to Delaiah, the four and twentieth to Maaziah. 19These were the orderings of them in their service to come into the house of the LORD, according to their manner, under Aaron their father, as the LORD God of Israel had commanded him.

20¶ And the rest of the sons of Levi were these: Of the sons of Amram; Shubael: of the sons of Shubael; Jehdeiah.24.20 Shubael: also called, Shebuel 21Concerning Rehabiah: of the sons of Rehabiah, the first was Isshiah. 22Of the Izharites; Shelomoth: of the sons of Shelomoth; Jahath.24.22 Shelomoth: also called, Shelomith 23And the sons of Hebron; Jeriah the first, Amariah the second, Jahaziel the third, Jekameam the fourth. 24Of the sons of Uzziel; Michah: of the sons of Michah; Shamir. 25The brother of Michah was Isshiah: of the sons of Isshiah; Zechariah. 26The sons of Merari were Mahli and Mushi: the sons of Jaaziah; Beno.

27¶ The sons of Merari by Jaaziah; Beno, and Shoham, and Zaccur, and Ibri. 28Of Mahli came Eleazar, who had no sons. 29Concerning Kish: the son of Kish was Jerahmeel. 30The sons also of Mushi; Mahli, and Eder, and Jerimoth. These were the sons of the Levites after the house of their fathers. 31These likewise cast lots over against their brethren the sons of Aaron in the presence of David the king, and Zadok, and Ahimelech, and the chief of the fathers of the priests and Levites, even the principal fathers over against their younger brethren.