አሞጽ 2 – NASV & NEN

New Amharic Standard Version

አሞጽ 2:1-16

1እግዚአብሔር እንዲህ ይላል፤

“ስለ ሦስቱ የሞዓብ ኀጢአት፣

ይልቁንም ስለ አራቱ፣ ቍጣዬን አልመልስም፤

የኤዶምን ንጉሥ ዐጥንት፣

ዐመድ እስኪሆን ድረስ አቃጥሏልና፤

2የቂርዮትን ምሽጎች2፥2 ወይም ከተሞቿ እንዲበላ፣

በሞዓብ ላይ እሳት እሰድዳለሁ፤

ሞዓብ በጦርነት ጩኸትና በመለከት ድምፅ መሐል፣

በታላቅ ሁካታ ውስጥ ይሞታል።

3ገዧን እደመስሳለሁ፣

አለቆቿንም ሁሉ ከንጉሧ ጋር እገድላለሁ፤”

ይላል እግዚአብሔር

4እግዚአብሔር እንዲህ ይላል፤

“ስለ ሦስቱ የይሁዳ ኀጢአት፣

ይልቁን ስለ አራቱ፣ ቍጣዬን አልመልስም፤

የእግዚአብሔርን ሕግ ንቀዋል፤

ትእዛዙንም አልጠበቁምና፤

አባቶቻቸው በተከተሏቸው2፥4 ወይም በውሸት አማልክት፣

በሐሰት2፥4 ወይም ውሸት አማልክት በመመራት ስተዋልና።

5የኢየሩሳሌምን ምሽጎች እንዲበላ፣

በይሁዳ ላይ እሳት እሰድዳለሁ።”

በእስራኤል ላይ የተሰጠ ፍርድ

6እግዚአብሔር እንዲህ ይላል፤

“ስለ ሦስቱ የእስራኤል ኀጢአት፣

ይልቁንም ስለ አራቱ፣ ቍጣዬን አልመልስም፤

ጻድቁን ስለ ጥሬ ብር፣

ችግረኛውንም ስለ ጥንድ ጫማ ይሸጡታልና።

7የድኾችን ራስ፣

በምድር ትቢያ ላይ ይረግጣሉ፤

ፍትሕንም ከጭቍኖች ይነጥቃሉ፤

አባትና ልጅ ከአንዲት ሴት ጋር ይተኛሉ፤

እንዲህም እያደረጉ ቅዱስ ስሜን ያረክሳሉ።

8በመያዣነት በተወሰደው ልብስ ላይ፣

በየመሠዊያው ሥር ይተኛሉ፤

በአምላካቸው ቤት፣

በመቀጫነት የተወሰደውን የወይን ጠጅ ይጠጣሉ።

9“ቁመቱ እንደ ዝግባ፣

ጥንካሬውም እንደ ባሉጥ ዛፍ የነበረ ቢሆንም፣

አሞራዊውን ከፊታቸው አጠፋሁት፣

ከላይ ፍሬውን፣

ከታችም ሥሩን አጠፋሁ።

10የአሞራውያንን ምድር ልሰጣችሁ፣

ከግብፅ አወጣኋችሁ፤

አርባ ዓመትም በምድረ በዳ መራኋችሁ።

11“ደግሞም ነቢያትን ከወንዶች ልጆቻችሁ መካከል፣

ናዝራውያንንም ከጕልማሶቻችሁ መካከል አስነሣሁ፤

የእስራኤል ሕዝብ ሆይ፤ ይህ እውነት አይደለምን?”

ይላል እግዚአብሔር

12“እናንተ ግን ናዝራውያኑን የወይን ጠጅ አጠጣችኋቸው፤

ነቢያቱንም ትንቢት እንዳይናገሩ አዘዛችኋቸው።

13“እነሆ፤ በእህል የተሞላ ጋሪ እንደሚያደቅቅ፣

እኔም አደቅቃችኋለሁ።

14ፈጣኑ አያመልጥም፤

ብርቱውንም ብርታቱ አይረዳውም፤

ኀያሉም ነፍሱን አያድንም።

15ቀስተኛው በቦታው ጸንቶ አይቆምም፤

ፈጣኑም ተዋጊ ሮጦ አያመልጥም፤

ፈረሰኛውም ነፍሱን አያድንም።

16ጐበዞቹ ተዋጊዎች እንኳ፣

በዚያ ቀን ዕራቁታቸውን ይሸሻሉ፤”

ይላል እግዚአብሔር

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Amosi 2:1-16

12:1 Eze 25:8; Sef 2:8; 2Fal 3:27; Isa 16:6; 33:2Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Moabu,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu alichoma mifupa ya mfalme wa Edomu,

ikawa kama chokaa.

22:2 Yer 48:7, 24; Ay 39:25; Yos 6:20Nitatuma moto juu ya Moabu

ambao utateketeza ngome za Keriothi.

Moabu ataanguka kwa ghasia kubwa

katikati ya vilio vya vita na mlio wa tarumbeta.

32:3 Hes 24:17; Za 2:10; Isa 40:23; Eze 25:8-11; Sef 2:8-9Nitamwangamiza mtawala wake

na kuwaua maafisa wake wote pamoja naye,”

asema Bwana.

42:4 Law 26:14; 2Sam 12:9, 10; 2Nya 36:14-17; Neh 1:7; Hos 12:2; Eze 9:11; Dan 9:11; 2Fal 17:19; Yer 6:19; 16:12; Isa 5:24; 9:16; 28:15; Kut 34:15Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Yuda,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu wameikataa sheria ya Bwana

na hawakuzishika amri zake,

kwa sababu wamepotoshwa na miungu ya uongo,

miungu ambayo babu zao waliifuata.

52:5 Yer 17:27; Hos 8:14; 2Fal 25:9; Amo 3:11; 2Nya 36:19Nitatuma moto juu ya Yuda

ambao utateketeza ngome za Yerusalemu.”

Hukumu Juu Ya Israeli

62:6 Isa 29:21; Yoe 3:3; Amo 5:11, 12; 8:6Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Israeli,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Wanawauza wenye haki kwa fedha,

na maskini kwa jozi ya viatu.

72:7 Eze 36:20; 22:11; Law 18:21; 20:3; Amo 8:4; 5:11-12; Rum 2:24; Isa 10:2Wanakanyaga juu ya vichwa vya maskini,

kama vile juu ya mavumbi ya nchi,

na kukataa haki kwa walioonewa.

Baba na mwanawe hushiriki msichana mmoja,

kwa hivyo hulinajisi Jina langu takatifu.

82:8 Kut 22:26; Hos 7:14; 1Kor 10:21; Hab 2:6; Amo 6:6; Kum 24:12-14Watu hulala kando ya kila madhabahu

juu ya nguo zilizowekwa rehani.

Katika nyumba ya mungu wao hunywa mvinyo

ulionunuliwa kwa fedha walizotozwa watu.

92:9 Hes 13:32; 21:23-26; Yos 10:12; Ay 18:16; Mal 4:1; Isa 10:33; Za 29:9“Nilimwangamiza Mwamori mbele yao,

ingawa alikuwa mrefu kama mierezi,

na mwenye nguvu kama mialoni.

Niliyaangamiza matunda yake juu

na mizizi yake chini.

102:10 Kut 6:6; 20:2; Hes 21:23; Yos 13:4; Amo 9:7; Kum 8:2; 2:7“Niliwapandisha toka Misri,

na nikawaongoza miaka arobaini jangwani

niwape nchi ya Waamori.

112:11 Kut 18:18; Yer 7:25; Hes 6:2-3; Amu 13:5Pia niliinua manabii kutoka miongoni mwa wana wenu

na Wanadhiri kutoka miongoni mwa vijana wenu.

Je, hii si kweli, enyi watu wa Israeli?”

asema Bwana.

122:12 Mdo 4:18; Isa 30:10; Yer 11:21; Amo 7:12-13; Mik 2:6“Lakini mliwafanya Wanadhiri kunywa mvinyo

na kuwaamuru manabii wasitoe unabii.

13“Sasa basi, nitawaponda

kama gari lipondavyo wakati limejazwa nafaka.

142:14 1Fal 20:11; Yer 9:23; Za 33:16; Ay 11:20; Isa 30:16-17Mkimbiaji hodari hatanusurika,

wenye nguvu wataishiwa nguvu zao,

na shujaa hataweza kuokoa maisha yake.

152:15 Eze 39:3; Kut 15:21; Zek 10:5; Mhu 9:11Mpiga upinde atakimbia,

askari wapiga mbio hawataweza kutoroka,

na mpanda farasi hataokoa maisha yake.

162:16 Yer 48:41Hata askari walio mashujaa sana

siku hiyo watakimbia uchi,”

asema Bwana.