በእስራኤል ላይ የተጠሩ ምስክሮች
1የእስራኤል ልጆች ሆይ፤ እግዚአብሔር በእናንተ ከግብፅ ባወጣሁት ሕዝብ ሁሉ ላይ የተናገረውን ይህን ቃል ስሙ፤
2“ከምድር ወገን ሁሉ፣
እናንተን ብቻ መረጥሁ፤
ስለዚህ ስለ ሠራችሁት ኀጢአት ሁሉ፣
እኔ እቀጣችኋለሁ።”
3በውኑ ሁለት ሰዎች ሳይስማሙ፣
አብረው መጓዝ ይችላሉን?
4አንበሳ የሚበላውን ሳያገኝ፣
በጫካ ውስጥ ይጮኻልን?
ምንም ነገርስ ሳይዝ፣
በዋሻው ውስጥ ያገሣልን?
5ወጥመድ ሳይዘረጋ፣
ወፍ በምድር ላይ ይጠመዳልን?
የሚይዘው ነገር ሳይኖርስ፣
ወጥመዱ ከምድር ይፈነጠራልን?
6የመለከት ድምፅ በከተማ ውስጥ ሲሰማ፣
ሰዎች አይደነግጡምን?
ጥፋትስ በከተማ ላይ ቢደርስ፣
ያደረገው እግዚአብሔር አይደለምን?
7በእውነት ጌታ እግዚአብሔር ምስጢሩን
ለአገልጋዮቹ ለነቢያት ሳይገልጥ፣
ምንም ነገር አያደርግም።
8አንበሳ አገሣ፤
የማይፈራ ማን ነው?
ጌታ እግዚአብሔር ተናገረ፤
ትንቢት የማይናገር ማን ነው?
9ለአዛጦን ምሽግ፣
ለግብፅም ምሽግ እንዲህ ብላችሁ ዐውጁ፤
“በሰማርያ ተራሮች ላይ ተሰብሰቡ፤
በውስጧ ያለውን ታላቅ ሁከት፣
በሕዝቧም መካከል ያለውን ግፍ እዩ።”
10“ቅሚያንና ዝርፊያን በምሽጋቸው ውስጥ የሚያከማቹ፣
በጎ ነገር ማድረግን አያውቁም፤”
ይላል እግዚአብሔር።
11ስለዚህ ጌታ እግዚአብሔር እንዲህ ይላል፤
“ጠላት ምድሪቱን ይወርራል፤
ምሽጎቻችሁን ያፈርሳል፤ ድንኳኖቻችሁን
ይዘርፋል።”
12እግዚአብሔር እንዲህ ይላል፤
“እረኛ ከአንበሳ መንጋጋ፣
ሁለት የእግር ዐጥንት ወይም የጆሮ ቍራጭ እንደሚያድን፣
እንዲሁም በሰማርያ በዐልጋቸው3፥12 በዕብራይስጡ ለዚህ ዐረፍተ ነገር የተሰጠው ትርጕም አይታወቅም ጫፍ ላይ፣
በደማስቆም በምንጣፋቸው ላይ የተቀመጡ፣
እስራኤላውያን ይድናሉ።”
13“ይህን ስሙ፤ በያዕቆብም ቤት ላይ መስክሩ” ይላል ጌታ፣ ሁሉን የሚገዛ አምላክ እግዚአብሔር።
14“እስራኤልን ስለ ኀጢአቷ በምቀጣበት ቀን፣
የቤቴልን መሠዊያዎች አፈርሳለሁ፤
የመሠዊያው ቀንዶች ይቈረጣሉ፤
ወደ ምድርም ይወድቃሉ።
15የክረምቱን ቤት፣
ከበጋው ቤት ጋር እመታለሁ፤
በዝኆን ጥርስ ያጌጡ ቤቶችም ይደመሰሳሉ፤
ታላላቅ አዳራሾችም ይፈርሳሉ፤”
ይላል እግዚአብሔር።
Mashahidi Waitwa Dhidi Ya Israeli
13:1 Amo 2:10; Sef 2:5Sikilizeni neno hili alilosema Bwana dhidi yenu, enyi watu wa Israeli, dhidi ya jamaa nzima niliowapandisha toka Misri:
23:2 Kut 19:6; 1Pet 4:17; Lk 12:47; Mik 2:3; Eze 9:6; Dan 9:12; Mt 11:22; Rum 2:9; Kum 7:6; Yer 14:10“Ni ninyi tu niliowachagua
kati ya jamaa zote za dunia;
kwa hiyo nitawaadhibu
kwa ajili ya dhambi zenu zote.”
3Je, watu wawili hutembea pamoja
wasipokubaliana kufanya hivyo?
43:4 Za 104:21; Hos 5:14; Isa 42:13Je, simba hunguruma katika kichaka
wakati hana mawindo?
Aweza kuvuma katika pango
wakati ambao hajakamata chochote?
5Je, ndege aweza kuanguka kwenye mtego ulio ardhini
ambapo hajategewa chambo?
Je, mtego unaweza kufyatuka toka ardhini
wakati ambapo hakuna chochote cha kunasa?
63:6 Isa 14:24-27; 31:2; 45:7; Hes 10:2; Eze 33:3; Ay 39:24; Yer 4:21Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari,
watu hawatetemeki?
Mji upatwapo na maafa,
je, si Bwana amesababisha?
73:7 1Sam 3:7; Mwa 6:13; 18:17; Mit 3:32; Yn 15:15; Yer 23:22; Mit 3:32; Dan 9:22-27; Ufu 1:1, 19Hakika Bwana Mwenyezi hatafanya neno lolote
bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.
83:8 1Kor 9:16; Yn 3:1-3; Mdo 4:20; Isa 31:4; 42:13; Yer 20:9Simba amenguruma:
je, ni nani ambaye hataogopa?
Bwana Mwenyezi ametamka:
je, ni nani awezaye kukosa kutoa unabii?
93:9 Yos 13:3; 2Nya 26:6Tangazeni katika ngome za Ashdodi
na katika ngome za Misri:
“Kusanyikeni juu ya milima ya Samaria;
angalieni wingi wa wasiwasi ulio ndani yake,
na uonevu ulio miongoni mwa watu wake.”
103:10 Yer 4:22; Amo 6:12; 5:7; Mik 6:10; Hab 2:8Bwana asema: “Hawajui kutenda lililo jema,
wale ambao hujilundikia nyara
na vitu vilivyotekwa katika ngome zao.”
113:11 Amo 2:5; 6:14; 2Fal 17:6Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:
“Adui ataizingira nchi;
ataangusha chini ngome zenu
na kuteka nyara maboma yenu.”
123:12 1Sam 17:34; Es 1:6; Amo 6:4Hili ndilo asemalo Bwana:
“Kama vile mchungaji aokoavyo kinywani mwa simba
vipande viwili tu vya mfupa wa mguu
au kipande cha sikio,
hivyo ndivyo Waisraeli watakavyookolewa,
wale wakaao Samaria
kwenye kingo za vitanda vyao,
na katika Dameski
kwenye viti vyao vya fahari.”
13“Sikia hili na ushuhudie dhidi ya nyumba ya Yakobo,” asema Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote.
143:14 Mwa 12:8; Amo 5:5-6; Kut 27:2; Law 26:18“Siku nitakapomwadhibu Israeli kwa sababu ya dhambi zake,
nitaharibu madhabahu za Betheli;
pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali
na kuanguka chini.
153:15 Yer 36:22; Amu 3:20; 1Fal 22:39; Hos 10:5-8; Isa 34:5; Amo 5:11; 6:11Nitabomoa nyumba ya wakati wa masika,
pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi;
nyumba zilizonakshiwa kwa pembe za ndovu
na majumba makubwa ya fahari yatabomolewa,”
asema Bwana.