이사야 20 – KLB & NEN

Korean Living Bible

이사야 20:1-6

이집트와 에티오피아에 대한 예언

1앗시리아의 사르곤황제가 자기 군대의 총사령관을 보내 아스돗을 공 격하여 점령할 당시

2여호와께서 아모스의 아들 이사야에게 “네 삼베 옷과 신발을 벗어라” 하고 말씀하셨다. 그래서 그는 순종하여 벌거벗고 맨발로 다녔다.

3그러자 여호와께서 이렇게 말씀하셨다. “내 종 이사야는 지난 3년 동안 벌거벗고 맨발로 다녔는데 이것은 앞으로 이집트와 에티오피아가 당할 일의 상징이다.

4이와 같이 이집트 사람들과 에티오피아 사람들이 앗시리아 황제에게 포로로 잡혀갈 때 젊은 사람, 늙은 사람 할 것 없이 다 옷을 벗은 채 엉덩이를 드러내 놓고 맨발로 끌려갈 것이며 이것이 이집트의 수치가 될 것이다.

5에티오피아를 의지하고 이집트를 자랑하던 자들이 당황하고 부끄러워할 것이며

6그 날에 블레셋 해안 지역에 사는 자들이 이렇게 말할 것이다. ‘앗시리아 왕에게서 우리를 보호해 줄 것으로 믿었던 자들이 당한 일을 보아라. 이제 어떻게 하면 우리가 살아 남을 수 있단 말인가?’ ”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 20:1-6

Unabii Dhidi Ya Misri Na Kushi

120:1 2Fal 18:17; Yos 11:22; 13:3Katika mwaka ule ambao jemadari mkuu alitumwa na Mfalme Sargoni wa Ashuru, naye akaja mpaka Ashdodi, akaushambulia na kuuteka, 220:2 Zek 13:4; Mt 3:4; Isa 3:24; Eze 4:1-12; 24:17, 23; 1Sam 19:24; Isa 13:1; 1Fal 1:8; Mik 1:8wakati ule Bwana alisema kwa kinywa cha Isaya mwana wa Amozi. Akamwambia, “Vua nguo ya gunia kutoka mwilini mwako na viatu kutoka miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea huku na huko uchi, bila viatu.

320:3 Kut 3:12; Yer 7:25; Isa 8:18; 22:20; 41:8-9; Mwa 10:6; Mdo 21:11Kisha Bwana akasema, “Kama vile mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na bila viatu kwa miaka mitatu, kama ishara na dalili mbaya dhidi ya nchi ya Misri na Kushi, 420:4 Yer 13:22-26; Isa 19:4; 47:3; Nah 3:5; Yer 46:19; 2Sam 10:4; Ay 12:17vivyo hivyo mfalme wa Ashuru atawaongoza mateka wa Wamisri, na watu wa uhamisho wa Kushi, uchi na bila viatu, vijana hata wazee, wakiwa matako wazi, kwa aibu ya Wamisri. 520:5 2Fal 18:21; Isa 31:1-3; 8:12; 30:5; Eze 29:16Wale waliotegemea Kushi na kujivunia Misri wataogopa na kuaibika. 620:6 Isa 10:3; 2:11Katika siku ile watu wanaoishi katika pwani hii watasema, ‘Tazama lililowapata wale tuliowategemea, wale tuliowakimbilia kwa msaada na wokovu kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru! Tutawezaje basi kupona?’ ”