이사야 19 – KLB & NEN

Korean Living Bible

이사야 19:1-25

이집트에 대한 예언

1이것은 이집트에 대한 말씀이다: 여호와께서 빠른 구름을 타시고 이집트로 가실 것이니 이집트 우상들이 그 앞에서 떨 것이며 이집트 사람들이 19:1 또는 ‘마음이 그 속에서 녹으리로다’두려워서 새파랗게 질릴 것이다.

2여호와께서 말씀하신다. “내가 이집트 사람의 마음을 충동하여 형제가 형제를 치게 하고 이웃이 이웃을, 도시가 도시를, 나라가 나라를 서로 치게 할 것이다.

3내가 이집트 사람들의 계획을 좌절시키며 그들의 사기를 저하시킬 것이니 그들은 자기들의 우상에게 도움을 구하고 마술사와 영매와 무당을 찾아다닐 것이다.

4내가 이집트 사람들을 폭군과 같은 잔인한 왕의 손에 넘겨 줄 것이니 그가 이집트 사람들을 다스릴 것이다. 이것은 전능한 나 여호와의 말이다.”

5나일 강물이 점차 줄어 강바닥이 마를 것이며

6운하에서 악취가 나고 이집트의 시내가 다 마르며 갈대와 골풀이 썩고

7나일 강변의 푸른 것이 다 말라 없어질 것이며 그 일대의 모든 농작물이 시들어 없어질 것이다.

8나일강에서 고기를 잡아 생계를 유지하던 모든 사람들이 슬퍼하고 탄식할 것이니 낚시와 그물을 던지는 자들의 생활이 피곤할 것이다.

9삼과 무명이 없어서 베 짜는 자들이 낙심할 것이며

1019:10 또는 ‘애굽의 기둥이 부서지고’베 공장이 문을 닫고 모든 고용인들이 근심할 것이다.

11소안의 지도자들은 정말 어리석구나! 이집트의 가장 지혜로운 사람들도 어리석은 조언을 하는구나! 그들은 어떻게 바로에게 자기들이 지혜로운 자들의 자손이며 옛 왕들의 후손이라고 말할 수 있는가?

12이집트 왕이여, 너의 지혜로운 자들이 어디 있느냐? 그들이 만일 지혜롭다면 이집트에 대한 전능하신 여호와의 계획을 너에게 말하게 하라.

13소안의 지도자들은 어리석고 19:13 히 ‘놉’멤피스의 지도자들은 미혹되었구나. 그들은 자기 백성의 초석과 같은 자들인데도 이집트를 잘못 이끌어갔다.

14여호와께서 그들에게 혼란한 마음을 주셔서 잘못된 조언을 하게 하셨으므로 그들이 매사에 이집트를 술취한 사람처럼 비틀거리게 하였다.

15그래서 이제는 지도자나 평민이나 그 어떤 사람도 이집트를 구제할 수 없게 되었다.

16그 날에 이집트 사람들이 여자처럼 소심하여 전능하신 여호와께서 그들을 벌하시려고 손을 뻗치는 것을 보고 떨며 두려워할 것이다.

17이집트 사람들은 전능하신 여호와께서 그들을 벌하실 것이라는 소문을 듣고 유다를 몹시 두려워할 것이다.

18그때 이집트의 다섯 도시가 19:18 또는 ‘가나안 방언을’히브리어를 말하고 전능하신 여호와께 충성하겠다고 맹세할 것이며 그 중 하나가 19:18 또는 ‘장망성’‘태양의 도시’ 라고 불려질 것이다.

19이때 이집트의 중심부에는 여호와를 섬기는 제단이 있을 것이며 이집트 국경에는 여호와의 기념비가 있을 것이다.

20이런 것은 이집트 사람들이 전능하신 여호와를 섬긴다는 증거와 상징이 될 것이다. 그들이 자기들을 괴롭히는 자들 때문에 여호와께 부르짖을 것이며 여호와께서는 한 구원자를 보내 그들을 구하실 것이다.

21그가 이집트 사람들에게 자신을 알리실 것이며 그제서야 이집트 사람들이 여호와를 알고 그에게 제물과 예물을 드리며 경배하고 또 여호와께 서약하며 그 서약을 지킬 것이다.

22여호와께서 이집트를 쳐서 벌하실 것이지만 그런 다음에는 다시 회복시키실 것이다. 그들이 여호와께 돌아올 것이며 여호와께서는 그들의 부르짖는 소리를 들으시고 그들을 고쳐 주실 것이다.

23이집트와 앗시리아 사이에 간선 도로가 뚫려 이집트 사람과 앗시리아 사람이 서로 왕래할 것이며 그들이 다 함께 하나님께 경배할 날이 있을 것이다.

24그 때에 이스라엘, 이집트, 앗시리아 이 세 나라가 온 세계에 복이 될 것이다.

25전능하신 여호와께서 그들을 축복하시며 이렇게 말씀하실 것이다. “내 백성 이집트야, 내가 창조한 앗시리아야, 19:25 또는 ‘나의 산업’내가 택한 백성 이스라엘아, 너희에게 복이 있을 것이다.”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 19:1-25

Unabii Kuhusu Misri

119:1 Yer 43:12; Yoe 3:19; Kut 12:12; 2Sam 22:10; Yos 2:11; Isa 20:3; Kum 10:14; Isa 13:1Neno kuhusu Misri:

Tazama, Bwana amepanda juu ya wingu liendalo kwa haraka

naye anakuja Misri.

Sanamu za Misri zinatetemeka mbele yake,

nayo mioyo ya Wamisri inayeyuka ndani yao.

219:2 Amu 7:22; 12:4; Mk 13:8; Mt 10:21, 36; 24:7; 2Nya 15:6; Lk 21:10“Nitamchochea Mmisri dhidi ya Mmisri,

ndugu atapigana dhidi ya ndugu,

jirani dhidi ya jirani,

mji dhidi ya mji,

ufalme dhidi ya ufalme.

319:3 Law 19:31; Dan 2:2, 10; Za 18:45; Ay 5:12; 2Nya 10:13; Isa 47:13Wamisri watakufa moyo,

na nitaibatilisha mipango yao.

Watatafuta ushauri kwa sanamu na kwa roho za waliokufa,

kwa waaguzi na kwa wale waongeao na mizimu.

419:4 Yer 46:26; Eze 32:11; 29:19; Isa 20:4Nitawatia Wamisri

mikononi mwa bwana mkatili

na mfalme mkali atatawala juu yao,”

asema Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote.

519:5 Isa 44:27; Yer 50:38; 2Sam 14:14Maji ya mito yatakauka,

chini ya mto kutakauka kwa jua.

619:6 Kut 7:18; Eze 30:12; Isa 37:25; 15:6; Mwa 41:2; Ay 8:11Mifereji itanuka;

vijito vya Misri vitapungua

na kukauka.

Mafunjo na nyasi vitanyauka,

719:7 Kum 29:23; Isa 23:3; Zek 10:11; Hes 11:5pia mimea iliyoko kando ya Mto Naili,

pale mto unapomwaga maji baharini.

Kila shamba lililopandwa kando ya Mto Naili litakauka,

litapeperushwa na kutoweka kabisa.

819:8 Hes 11:5; Amo 4:2; Hab 1:15; Eze 47:10Wavuvi watalia na kuomboleza,

wale wote watupao ndoano katika Mto Naili,

watadhoofika kwa majonzi.

919:9 Mit 7:16; Eze 16:10; 27:7; Yos 2:10Wale watu wafanyao kazi ya kitani kilichochambuliwa watakata tamaa,

wafumaji wa kitani safi watavunjika moyo.

10Wafanyao kazi ya kufuma nguo watahuzunishwa,

nao vibarua wataugua moyoni.

1119:11 Hes 13:22; 1Fal 4:30; Mdo 7:22; Mwa 41:37Maafisa wa Soani ni wapumbavu kabisa,

washauri wa Farao wenye busara wanatoa ushauri wa kijinga.

Unawezaje kumwambia Farao,

“Mimi ni mmojawapo wa watu wenye hekima,

mwanafunzi wa wafalme wa zamani”?

1219:12 1Kor 1:20; Isa 41:22-23; Rum 9:17; Isa 14:24Wako wapi sasa watu wako wenye hekima?

Wao wakuonyeshe na kukufahamisha

ni nini Bwana Mwenye Nguvu Zote

amepanga dhidi ya Misri.

1319:13 Yer 2:16; Hos 9:6; Hes 13:22; Yer 46:14-19; Eze 30:13-16; Za 118:22Maafisa wa Soani wamekuwa wapumbavu,

viongozi wa Memfisi19:13 Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu. wamedanganyika,

walio mawe ya pembe ya taifa lake

wameipotosha Misri.

1419:14 Mit 12:8; Mt 17:17; Za 107:27Bwana amewamwagia

roho ya kizunguzungu;

wanaifanya Misri iyumbayumbe

katika yale yote inayoyafanya,

kama vile mlevi ayumbayumbavyo

katika kutapika kwake.

1519:15 Isa 9:14Misri haiwezi kufanya kitu chochote,

cha kichwa wala cha mkia,

cha tawi la mtende wala cha tete.

1619:16 Isa 2:17; 11:10; Nah 3:13; Kum 2:25Katika siku ile Wamisri watakuwa kama wanawake. Watatetemeka kwa hofu mbele ya mkono wa Bwana Mwenye Nguvu Zote anaoinua dhidi yao. 1719:17 Mwa 35:5; Isa 14:24Nayo nchi ya Yuda itawatia hofu Wamisri, kila mmoja atakayetajiwa Yuda ataingiwa na hofu, kwa sababu ya kile ambacho Bwana Mwenye Nguvu Zote anapanga dhidi yao.

1819:18 Za 22:27; Yer 4:2; 43:13; Isa 10:20; 24:12; 32:19; Sef 3:9; Yer 44:1; Isa 48:1Katika siku hiyo miji mitano ya Misri, itazungumza lugha ya Kanaani, na kuapa kumtii Bwana Mwenye Nguvu Zote. Mji mmojawapo utaitwa Mji wa Uharibifu.19:18 Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).

1919:19 Yos 22:10; Kut 24:4; Za 68:18; Mwa 12:7; 28:18; Isa 10:20; Za 68:31Katika siku hiyo patakuwepo madhabahu ya Bwana katikati ya Misri na mnara wa kumbukumbu kwa Bwana kwenye mpaka wa Misri. 2019:20 Isa 25:9; 49:24-26; Yos 4:20; Mwa 21:30; Amu 2:18; Kum 28:29Itakuwa alama na ushahidi kwa ajili ya Bwana Mwenye Nguvu Zote katika nchi ya Misri. Watakapomlilia Bwana kwa sababu ya watesi wao, Mungu atawapelekea mwokozi na mtetezi, naye atawaokoa. 2119:21 Isa 11:9; 43:10; 56:7; Mwa 27:29; Za 86:9; Hes 30:2; Kum 23:21Hivyo Bwana atajijulisha mwenyewe kwa Wamisri, nao katika siku hiyo watamkubali Bwana. Wataabudu kwa kumtolea dhabihu na sadaka za nafaka, watamwekea Bwana nadhiri na kuzitimiza. 2219:22 Kut 12:23; 11:10; Ebr 12:11; Eze 33:11; Yoe 2:13; Kum 32:39; Isa 45:14; Hos 10:2Bwana ataipiga Misri kwa tauni; atawapiga na kuwaponya. Watamgeukia Bwana, naye atayasikia maombi yao na kuwaponya.

2319:23 Isa 11:15-16; 20:6; 27:13; 66:23; Mik 7:12; Mwa 27:29Katika siku hiyo kutakuwepo na njia kuu kutoka Misri hadi Ashuru. Waashuru watakwenda Misri, na Wamisri watakwenda Ashuru. Wamisri na Waashuru wataabudu pamoja. 2419:24 Isa 11:11; Mwa 12:2Katika siku hiyo Israeli itakuwa ya tatu, pamoja na Misri na Ashuru, nao watakuwa baraka kwa dunia. 2519:25 Za 87:4; 100:3; Efe 2:10; Kut 34:9; Yer 30:22; Hos 2:23; Mwa 12:3; Isa 29:23; 43:7Bwana Mwenye Nguvu Zote atawabariki, akisema, “Baraka iwe kwa Misri watu wangu, kwa Ashuru kazi ya mikono yangu, na kwa Israeli urithi wangu.”