찬양의 대상인 여호와
1여호와를 찬양하라!
여호와의 종들아,
그의 이름을 찬양하라.
2여호와의 집에서,
우리 하나님의 성전 뜰에서
섬기는 자들아,
그를 찬양하라.
3여호와는 선하시니 그를 찬양하고
그의 아름다운 이름을 찬송하라.
4여호와께서 자기를 위해
야곱을 택하시고
이스라엘 백성을
자기 소유로 삼으셨다.
5여호와는 위대하시고
모든 신보다 뛰어난 분이시다.
6여호와께서는
하늘과 땅과 바다에서
원하시는 것은 무엇이든지
다 행하신다.
7그는 땅 끝에서 구름을 일으키시며
비를 위해 번개를 보내시고
그의 창고에서 바람을 내신다.
8그가 이집트의 첫태생을
사람으로부터 짐승까지
모조리 죽이시고
9또 이집트에서
기적과 놀라운 일을 행하셔서
바로와 그 신하들을 벌하셨다.
10그가 많은 나라를 치시고
강한 왕들을 죽이셨으니
11아모리 사람의 왕 시혼과
바산 왕 옥과
가나안의 모든 왕들이었다.
12그가 저들의 땅을
자기 백성 이스라엘에게
영원한 선물로 주셨다.
13여호와여, 주의 이름은
영원히 남을 것이며
모든 세대가 주를 기억할 것입니다.
14여호와께서 자기 백성을
변호할 것이며
자기 종들을 불쌍히 여기시리라.
15이방 민족의 신들은 은과 금이며
사람의 손으로 만든
우상에 불과하다.
16그들은 입이 있어도 말하지 못하며
눈이 있어도 보지 못하고
17귀가 있어도 듣지 못한다.
또 그 입에는 입김도 없으니
18그것을 만든 자와
그것을 신뢰하는 자들이
다 그와 같으리라.
19이스라엘 백성아,
여호와를 찬양하라!
135:19 또는 ‘아론의 족속아’여호와의 제사장들아,
여호와를 찬양하라!
20레위 사람들아,
여호와를 찬양하라!
여호와를 두려워하는 자들아,
그를 찬양하라!
21시온 사람들아, 예루살렘에 계시는
여호와를 찬양하라!
여호와를 찬양하라!
Zaburi 135
Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu
1135:1 Neh 7:73Msifuni Bwana.
Lisifuni jina la Bwana,
msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2135:2 1Nya 15:2; Lk 2:37; Za 116:19ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana,
katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3135:3 1Nya 16:34; Za 119:68; 68:4; 92:1; 147:1Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema,
liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4135:4 Kut 19:5; Kum 7:6, 7; 10:15; Mal 3:17; Tit 2:14Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe,
Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5135:5 Za 48:1; 145:3; Kut 12:12; 1Nya 16:25; Ay 21:22Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu,
kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6135:6 Za 115:3; Dan 4:35; Mt 6:10Bwana hufanya lolote apendalo,
mbinguni na duniani,
katika bahari na vilindi vyake vyote.
7135:7 Ay 5:10; Za 68:6; Isa 30:23; Amo 4:13; Yer 10:13; 51:16; Yoe 2:23; Zek 10:1; Kum 28:12; Mwa 2:6; Ay 28:25; 38:22Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia;
hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua
na huleta upepo kutoka ghala zake.
8135:8 Kut 4:23; 12:12Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,
mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9135:9 Kut 7:9; Za 136:10-15Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri,
dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10135:10 Hes 21:21-25; Yos 24:8-11; Za 44:2; 78:55; 136:17-21Aliyapiga mataifa mengi,
na akaua wafalme wenye nguvu:
11135:11 Hes 21:21, 26, 33; Yos 12:7-24Mfalme Sihoni na Waamori,
Ogu mfalme wa Bashani
na wafalme wote wa Kanaani:
12135:12 Kum 29:8akatoa nchi yao kuwa urithi,
urithi kwa watu wake Israeli.
13135:13 Kut 3:15; Za 102:12Ee Bwana, jina lako ladumu milele,
kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14135:14 1Sam 24:15; Ebr 10:30; Kum 32:36Maana Bwana atawathibitisha watu wake,
na kuwahurumia watumishi wake.
15135:15 Ufu 9:20; Isa 2:8; 31:7; 37:19; 40:19; Yer 1:16; 10:5; Za 96:5Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,
zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16135:16 1Fal 18:26Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,
zina macho, lakini haziwezi kuona;
17135:17 Yer 10:14; Hab 2:19zina masikio, lakini haziwezi kusikia,
wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,
vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19135:19 Za 22:23Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana;
ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana;
ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21135:21 Za 128:5; 134:3; 1Fal 8:13; 2Nya 6:2Msifuni Bwana kutoka Sayuni,
msifuni yeye aishiye Yerusalemu.
Msifuni Bwana.