詩篇 114 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 114:1-8

114

1昔、イスラエルの民は、ことばの通じない異国の地、

エジプトから逃げ出して来ました。

2その時、ユダとイスラエルの地は、

神の新しい住まいとなり、王国となったのです。

3紅海は、神の民の近づく足音にあわてて二つに分かれ、

ヨルダン川は、歩いて渡れる道を作りました。

4山は雄羊のように、丘は子羊のように跳びはねました。

5なぜ、紅海は二つに分かれたのですか。

どうして、ヨルダン川の水が逆流したのですか。

6なぜ、山は雄羊のように跳びはね、

丘は子羊のように躍ったのですか。

7大地よ、主の前におののきなさい。

8神は、堅い岩から、

ほとばしる泉のように水を出された方だからです。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 114:1-8

Zaburi 114

Maajabu Ya Mungu Wakati Israeli Walipotoka Misri

1114:1 Kut 13:3; 29:46Wakati Israeli walipotoka Misri,

nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,

2114:2 Kut 15:17; Za 76:1; 78:68, 69Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu,

Israeli akawa milki yake.

3114:3 Kut 14:21; Za 77:16; Kut 15:8; Yos 3; 16Bahari ilitazama ikakimbia,

Yordani ulirudi nyuma,

4114:4 Amu 5:5milima ilirukaruka kama kondoo dume,

vilima kama wana-kondoo.

5114:5 Kut 14:21Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia,

nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,

6enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume,

enyi vilima, kama wana-kondoo?

7114:7 Kut 15:14; 1Nya 16:30Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana,

mbele za Mungu wa Yakobo,

8114:8 Kut 17:6; Hes 20:11aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji,

mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.