114
1昔、イスラエルの民は、ことばの通じない異国の地、
エジプトから逃げ出して来ました。
2その時、ユダとイスラエルの地は、
神の新しい住まいとなり、王国となったのです。
3紅海は、神の民の近づく足音にあわてて二つに分かれ、
ヨルダン川は、歩いて渡れる道を作りました。
4山は雄羊のように、丘は子羊のように跳びはねました。
5なぜ、紅海は二つに分かれたのですか。
どうして、ヨルダン川の水が逆流したのですか。
6なぜ、山は雄羊のように跳びはね、
丘は子羊のように躍ったのですか。
7大地よ、主の前におののきなさい。
8神は、堅い岩から、
ほとばしる泉のように水を出された方だからです。
Zaburi 114
Maajabu Ya Mungu Wakati Israeli Walipotoka Misri
1114:1 Kut 13:3; 29:46Wakati Israeli walipotoka Misri,
nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
2114:2 Kut 15:17; Za 76:1; 78:68, 69Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu,
Israeli akawa milki yake.
3114:3 Kut 14:21; Za 77:16; Kut 15:8; Yos 3; 16Bahari ilitazama ikakimbia,
Yordani ulirudi nyuma,
4114:4 Amu 5:5milima ilirukaruka kama kondoo dume,
vilima kama wana-kondoo.
5114:5 Kut 14:21Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia,
nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
6enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume,
enyi vilima, kama wana-kondoo?
7114:7 Kut 15:14; 1Nya 16:30Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana,
mbele za Mungu wa Yakobo,
8114:8 Kut 17:6; Hes 20:11aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji,
mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.