詩篇 115 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 115:1-18

115

1ああ主よ。

私たちではなく、あなたがあがめられますように。

すべての人が、神の恵みと真実をたたえますように。

2諸国の民に、「彼らの神は死んだのではないか」

などと言わせておいて、よいものでしょうか。

3天におられる私たちの神は、

意のままに事を運ばれます。

4ところが彼らの神々は、

銀や金でこしらえた手製のものなのです。

5目や口があっても、見ることも話すこともできません。

6聞くことや、嗅ぐことはおろか、

7手足を動かすことも、

声をたてることもできないのです。

8そのようなものを作ったり、

拝んだりする者たちは、偶像と同じくらい愚かです。

9イスラエルよ、主にすがりなさい。

主はあなたがたを助け、

盾となって守ってくださいます。

10アロンの家の祭司よ、主に信頼しなさい。

主はあなたがたを助け、

盾となって守ってくださいます。

11主の民となった人々も、主に信頼しなさい。

主はあなたがたを助け、また盾となって守られます。

12主はいつも私たちを心にかけて、

祝福してくださいます。

イスラエルの民とアロンの家の祭司、

13それに、主を信じてお従いする人は、

だれでも祝福されるのです。

14主が、あなたがたとその子孫を

十分に祝福してくださいますように。

15天と地をお造りになった主は、

進んであなたがたを祝福してくださいます。

16天は主のものですが、地は人間にゆだねられています。

17死人は、主を賛美することもできません。

18しかし、私たちには、それができます。

主をいつまでもほめたたえましょう。

ハレルヤ。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 115:1-18

Zaburi 115

Mungu Mmoja Wa Kweli

1115:1 Za 29:2; 96:8; Kut 34:6Sio kwetu sisi, Ee Bwana, sio kwetu sisi,

bali utukufu ni kwa jina lako,

kwa sababu ya upendo

na uaminifu wako.

2115:2 Za 42:3, 10; 79:10; Yoe 2:17Kwa nini mataifa waseme,

“Yuko wapi Mungu wao?”

3115:3 Ezr 5:11; Neh 1:4; Za 136:26; 135:6; 103:19; Mit 6:9; Dan 4:35; 1Nya 16:26Mungu wetu yuko mbinguni,

naye hufanya lolote limpendezalo.

4115:4 2Fal 19:18; 2Nya 32:19; Yer 10:3-5; Mdo 19:26; Kum 4:28; Ufu 9:20; Za 135:15, 16; Isa 40:19; Hos 8:6; 1Kor 10:19, 20Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu,

zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.

5115:5 Yer 10:5Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,

zina macho, lakini haziwezi kuona;

6zina masikio, lakini haziwezi kusikia,

zina pua, lakini haziwezi kunusa;

7zina mikono, lakini haziwezi kupapasa,

zina miguu, lakini haziwezi kutembea;

wala koo zao haziwezi kutoa sauti.

8115:8 Za 135:18; Isa 44:9, 10; Yon 2:8; Hab 2:18Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,

vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.

9115:9 Za 37:3; 62:8; 33:20; Mit 30:5Ee nyumba ya Israeli, mtumainini Bwana,

yeye ni msaada na ngao yao.

10115:10 Kut 30:30; Za 118:3; Mal 2:7Ee nyumba ya Aroni, mtumainini Bwana,

yeye ni msaada na ngao yao.

11115:11 Za 22:23; 103:11; 118:4Ninyi mnaomcha, mtumainini Bwana,

yeye ni msaada na ngao yao.

12115:12 1Nya 16:15; Mwa 12:2; Efe 1:3Bwana anatukumbuka na atatubariki:

ataibariki nyumba ya Israeli,

ataibariki nyumba ya Aroni,

13115:13 Za 24:4; 112:1; Law 26:3; Mit 10:6; Kum 11:27atawabariki wale wanaomcha Bwana,

wadogo kwa wakubwa.

14115:14 Kum 1:11Bwana na awawezeshe kuongezeka,

ninyi na watoto wenu.

15115:15 Mdo 14:15; Ufu 10:6; Za 96:5; Mwa 1:1; 14:19Mbarikiwe na Bwana

Muumba wa mbingu na dunia.

16115:16 Za 89:11; Mwa 1:28; 8:6-8Mbingu zilizo juu sana ni mali ya Bwana,

lakini dunia amempa mwanadamu.

17115:17 Za 88:10-12Sio wafu wanaomsifu Bwana,

wale washukao mahali pa kimya,115:17 Mahali pa kimya maana yake ni Kuzimu, yaani Sheol kwa Kiebrania.

18115:18 Za 111:1; 113:2; 28:6; 33:2; 105:1; 145:2; Dan 2:20bali ni sisi tunaomtukuza Bwana,

sasa na hata milele.

Msifuni Bwana.115:18 Msifuni Bwana ni Kiebrania Hallelu Yah.