箴言 知恵の泉 3 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

箴言 知恵の泉 3:1-35

3

知恵は繁栄をもたらす

1-2わが子よ。私の教えたことを忘れてはいけません。

充実した生涯を送りたければ、

私の命令を忠実に守りなさい。

3いつも正しい生活をし、人には親切にしなさい。

この二つが心から行えるように、

しっかり身につけなさい。

4-5神にも人にも喜ばれ、

正しい判断力と英知を得たいなら、

とことん主に信頼しなさい。

決して自分に頼ってはいけません。

6何をするにも、主を第一にしなさい。

主がどうすればよいか教えてくださり、

それを成功させてくださいます。

7-8自分の知恵を過信してはいけません。

むしろ主に信頼して、

悪の道から離れなさい。

心も体もみずみずしく元気がみなぎります。

9-10収入があったなら、まずその一部をささげて、

主をあがめなさい。

そうすれば、倉には食べ物があふれ、

酒蔵は極上の酒で満たされます。

11-12主に懲らしめられても、腹を立ててはいけません。

あなたを愛していればこそ、そうするのです。

父親がかわいい子どもの将来を思って

罰するのと同じです。

13-15善悪の区別がつき、

正しい判断力と英知を持った人は、

大金持ちよりも幸せです。

高価な宝石も、このような知恵に比べたら

取るに足りません。

16-17知恵が与えるものは、

長く良き人生、財産、名誉、楽しみ、平安です。

18知恵はいのちの木、

いつもその実を食べる人は幸せです。

19主の知恵によって地球は造られ、

宇宙全体ができました。

20神の知恵によって、泉は地中深くからわき上がり、

空は雨を降らせるのです。

21二つのものを求めなさい。

善悪を見分ける知恵と良識です。

この二つを見失ってはいけません。

22それらはあなたを生きる力で満たし、

あなたの誉れです。

23挫折や失敗からあなたを守ります。

24-26それらがあなたを見張ってくれるので、

安心して眠れます。

また、主があなたとともにいて守ってくださるので、

みじめな思いをすることも、

悪者の悪だくみを恐れることもありません。

27-28人に何か頼まれたら、すぐにしてあげなさい。

「いつかそのうち」などと、先に延ばしてはいけません。

29あなたを信じきっている隣人を陥れてはいけません。

30意味のないことで争うのはやめなさい。

31暴力をふるう者たちをうらやんで、

彼らの手口をまねてはいけません。

32主はそのような者たちをきらいます。

しかし、神の前に正しく生きる人には

親しくしてくださいます。

33悪者は主にのろわれ、正しい人は祝福されます。

34あざける者はあざけられ、謙遜な人は助けられ、

35知恵ある人はたたえられ、愚か者は恥を見るのです。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 3:1-35

Faida Nyingine Za Hekima

13:1 Kum 30:16; Za 44:17; Mit 4:5Mwanangu, usisahau mafundisho yangu,

bali zitunze amri zangu moyoni mwako,

23:2 Mit 9:6; 4:10kwa kuwa zitakuongezea miaka mingi ya maisha yako

na kukuletea mafanikio.

33:3 Kum 6:8; Mit 6:21; 2Kor 3:3Usiache kamwe upendo na uaminifu vitengane nawe;

vifunge shingoni mwako,

viandike katika ubao wa moyo wako.

43:4 1Sam 2:26; Lk 2:52; Mdo 2:47Ndipo utapata kibali na jina zuri

mbele za Mungu na mwanadamu.

53:5 Za 4:5; Yer 9:23Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote

wala usizitegemee akili zako mwenyewe;

63:6 1Nya 28:9; Ay 33:11; Yer 42:3katika njia zako zote mkiri yeye,

naye atayanyoosha mapito yako.

73:7 Isa 5:21; Rum 12:16; Kum 4:6Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe;

mche Bwana ukajiepushe na uovu.

83:8 Za 38:3; Mit 4:22; Ay 21:24Hii itakuletea afya mwilini mwako,

na mafuta kwenye mifupa yako.

93:9 Kut 23:19; 26:1-15Mheshimu Bwana kwa mali zako na

kwa malimbuko ya mazao yako yote;

103:10 Kum 28:8; Za 144:13; Ay 22:21; Mal 3:10-12ndipo ghala zako zitakapojaa hadi kufurika,

viriba vyako vitafurika kwa mvinyo mpya.

113:11 Mit 1:8-9; Ay 5:17Mwanangu, usiidharau adhabu ya Bwana

na usichukie kukaripiwa naye,

123:12 Mit 13:24; Ufu 3:19; Ay 3:19; 5:17; Ebr 12:5-6kwa sababu Bwana huwaadibisha wale awapendao,

kama vile baba afanyavyo

kwa mwana apendezwaye naye.

133:13 Mit 8:34, 35Heri mtu yule aonaye hekima,

mtu yule apataye ufahamu,

143:14 Ay 28:15; Mit 16:16kwa maana hekima ana faida kuliko fedha

na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu safi.

153:15 Ay 28:17-19Hekima ana thamani kuliko marijani;

hakuna chochote unachokitamani

kinachoweza kulinganishwa naye.

163:16 1Fal 3:13-14; Mit 8:18Maisha marefu yako katika mkono wake wa kuume;

katika mkono wake wa kushoto

kuna utajiri na heshima.

173:17 Mit 16:7; Mt 11:28-30Njia zake zinapendeza,

mapito yake yote ni amani.

183:18 Mwa 2:9; Ufu 2:7Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia;

wale wamshikao watabarikiwa.

193:19 Ay 28:25-27; Za 104:24; Mit 8:27-29Kwa hekima Bwana aliiweka misingi ya dunia,

kwa ufahamu aliziweka mbingu mahali pake;

203:20 Kum 33:28; Ay 36:28kwa maarifa yake vilindi viligawanywa,

nayo mawingu yanadondosha umande.

213:21 Mit 1:8-9; 6:20; 4:20-22Mwanangu, hifadhi maamuzi mema na busara,

usiache vitoke machoni pako;

223:22 Kum 30:20; Mit 4:20-22ndipo vitakapokuwa uzima nafsini mwako

na pambo la neema shingoni mwako.

23Kisha utaenda katika njia yako salama,

wala mguu wako hautajikwaa;

243:24 Law 26:6; Za 3:5; Ay 11:18; Yer 31:25ulalapo, hautaogopa;

ulalapo usingizi wako utakuwa mtamu.

253:25 Za 91:5; 112:7Usiogope maafa ya ghafula

au maangamizi yanayowapata waovu,

263:26 1Sam 2:9kwa kuwa Bwana atakuwa tumaini lako

na kuepusha mguu wako kunaswa katika mtego.

273:27 Rum 13:7; Gal 6:10Usizuie wema kwa wale wanaostahili

ikiwa katika uwezo wako kutenda.

283:28 Law 19:13; Lk 10:25-37; Kum 24:15Usimwambie jirani yako,

“Njoo baadaye, nitakupa kesho”:

wakati wewe unacho kitu kile karibu nawe.

293:29 Zek 8:17Usifanye hila ya kumdhuru jirani yako,

ambaye anaishi karibu na wewe akikuamini.

303:30 Rum 12:18Usimshtaki mtu bila sababu,

wakati hajakutenda dhara lolote.

313:31 Za 37:1; Mit 24:1-2Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri

wala kuchagua njia yake iwayo yote,

323:32 Za 101:4; Ay 29:4kwa kuwa Bwana humchukia mtu mpotovu,

lakini siri yake iko kwa mwenye haki.

333:33 Ay 5:3; Mal 2:2; Zek 5:4Laana ya Bwana i juu ya nyumba ya mwovu,

lakini yeye huibariki nyumba ya mwenye haki.

343:34 Za 18:25-27; Mt 23:12Huwadhihaki wale wanaodhihaki,

lakini huwapa neema wale wanyenyekevu.

35Wenye hekima hurithi heshima,

bali huwaaibisha wapumbavu.