箴言 知恵の泉 2 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

箴言 知恵の泉 2:1-22

2

知恵の有益さ

1-2若者よ。私のことばを聞き、私の教えに従う者はみな、

英知を与えられます。

3-5もっと深い洞察や識別力がほしいなら、

なくした銀貨や秘密の宝を捜すように、

熱心に求めなさい。

そうすれば、主ご自身を知り、

すばらしい主の知恵が与えられます。

主を信じ敬うことがどんなに大切か

わかります。

6主が知恵をお授けになるからです。

主のことばはどれも知恵の宝庫です。

7-8主は正しい人に英知を授け、

彼らの盾となって、安全に守ってくれます。

9主は、どんなときにも

何が正しく何が間違っているか、

正しく判断する方法を教えてくれます。

10それは知恵と真理があなたの心に入り、

喜びにあふれるからです。

11-14こうしてあなたは、

仲間に引き込もうとする悪い者たちから離れられます。

彼らは神の道からそれ、

暗い悪の道に歩み、

悪事を働くのが何より楽しいのです。

15彼らは、ひねくれたこと、

間違ったことばかりします。

16-17悪い女の甘い誘いに惑わされないために、

神の知恵を身につけなさい。

彼女は結婚の誓いをさげすみ、

平気で夫を裏切りました。

18彼女の家は死と地獄への通り道です。

19その家に入る者は身をもちくずし、

二度と立ち直れません。

20身も心もきよく生きなさい。

何があろうと、正しい道からそれてはいけません。

21人生を思う存分楽しめるのは正しい人だけです。

22悪人はせっかく幸運を手にしても失い、

やがて破滅に至るのです。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 2:1-22

Faida Za Hekima

12:1 Mit 1:8Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu

na kuyaweka akiba maagizo yangu ndani mwako,

22:2 Mit 22:17kutega sikio lako kwenye hekima

na kuweka moyo wako katika ufahamu,

32:3 Yak 1:5na kama ukiita busara

na kuita kwa sauti ufahamu,

42:4 Ay 3:21; Mt 13:44; 6:19-21na kama utaitafuta kama fedha

na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,

52:5 Kum 4:6ndipo utakapoelewa kumcha Bwana

na kupata maarifa ya Mungu.

62:6 Ay 12:13; Lk 21:15; Yak 1:5Kwa maana Bwana hutoa hekima,

na kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu.

72:7 Mwa 6:9; 15:1; Mit 30:5-6; Za 84:11Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu,

yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama,

82:8 1Sam 2:9; Za 18:25kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki

na kuhifadhi njia ya waaminifu wake.

92:9 Kum 1:16Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki

na sawa: yaani kila njia nzuri.

102:10 Mit 14:33Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako,

nayo maarifa yataifurahisha nafsi yako.

112:11 Mit 4:6Busara itakuhifadhi

na ufahamu utakulinda.

122:12 Mit 2:16; 3:13-18; 4:5Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu,

kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,

132:13 Mit 4:19; Yn 3:19; Efe 4:18wale waachao mapito yaliyonyooka

wakatembea katika njia za giza,

142:14 Mit 15:21; Yer 11:15wale wapendao kutenda mabaya

na kufurahia upotovu wa ubaya,

152:15 Za 125:5; Mit 21:8ambao mapito yao yamepotoka

na ambao ni wapotovu katika njia zao.

162:16 Mit 6:20-29; 7:5-27Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba,

kutokana na mke aliyepotoka mwenye maneno

ya kushawishi kutenda ubaya,

172:17 Mal 2:14; Mwa 2:24aliyemwacha mwenzi wa ujana wake

na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu.

182:18 Mit 5:5; 7:27; 9:18Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo

na mapito yake kwenye roho za waliokufa.

192:19 Mit 5:8; Mhu 7:26; Ebr 13:4Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi,

au kufikia mapito ya uzima.

202:20 Ebr 6:12Hivyo utatembea katika njia za watu wema

na kushikamana na mapito ya wenye haki.

212:21 Za 37:29Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi,

nao wasio na lawama watabakia ndani yake.

222:22 Ay 18:17; Za 37:38; Kum 29:28Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi,

nao wasio waaminifu watangʼolewa kutoka humo.